Big up Sana Simba. Mko vizuri. Ni bahati tu mlikosa.
@essammanyologa393455 минут бұрын
Bado usiwape moyo
@nyambuisuleimanmujaya19832 сағат бұрын
Simba plays with Yanga with scared attitude
@silvanuskisinza4303Сағат бұрын
Forward line ni mbovu kocha amefeli hapo. Simba hatutengenezi nafasi za kufunga.
@SalvatoryMtunga11 сағат бұрын
Of course yanga yanga yanga team should be respected.
@rexgodwill735310 сағат бұрын
@@SalvatoryMtunga politically motivated not clean football team.. That's why not even in top 10 African club ranking... Mipangoo mingiii na majigambo kwa matokeo ya mchongo
@suleimanmwenyemvua995Сағат бұрын
@@rexgodwill7353you are ahead with a difference of 1.5points with young Africans we are not worrying about your top ten the ready to your team to drop.😂😂😂
@fabianmihafu6972 сағат бұрын
Eti hata shule hazifungwi kila siku
@fulltank669310 сағат бұрын
Kwa mpila mnaocheza ni LIGI yanga wanacheza kimataifa...Simba wanataka kuishi na lefa muda WOTE wanajibwaga utafikiri wamevunjika wakimuona lefa alekei wanavyotaka wao..wananuna usirazimishe kitu uonekane we star..yanga kipindi cha Kwanza wamepigwa sana viatu lefa kabalance mpila angewapa kadi mngelalamika
@BarakaRobert-j7g5 сағат бұрын
Bro nmepitia comment yako nmeona kuna kitu hata wwe umekiona ...mm binafsi kuhusu goal la kibu ile ilikua clear offside kwan kibu alitoka kabla ya hata mpira wenyewe haujapigwa Kibu vs boka nmerejea lile tukio kwa slow motion na nmegundua kibu alijiangusha Kibu vs Job madhambi yalifanyika nje ya 18 ila kibu alijitupa kuingia kwenye penalty box
@abdulhakeem95911 сағат бұрын
Wapuuzi tu.
@silvanuskisinza4303Сағат бұрын
Simba tutafute sababu za uwanjani kocha hanauwezo kutengeneza forward simba haitengenezi clear chance za kufunga.
@AljuhaniAllyy-dg4ld8 сағат бұрын
Mashabiki wa simba tusiende uwanjani sasa waende wenyewe na marefa wao km inawezekana simba ijiuzuru kucheza ligi ya bongo ibaki timu wanayoitaka marefa wao
@godlistengodlisten75524 сағат бұрын
Eti Mnasusa Susaaa Susaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aliewaambia Yanga Ni Kikundi Cha Kuwachekesha Ni Nani?😢😅😅😅
@denishaule6314Минут бұрын
Sisi yanga kwa kweli hatuwataki kwe ligi yetu muondoke tu…..kila siku tunawafunga tu…mnakera bana….mnajiuzulu lini sasa…tuwape point zenu msepe
@idylipika39011 сағат бұрын
Kolo tim mbovu
@georgegregory841412 сағат бұрын
Kuweni kama wachamuzi au mrudi darasani
@SalvatoryMtunga11 сағат бұрын
Wanadhoofisha mpira kwa lipi? Mmefungwaaaaaa
@TwahirBurhan11 сағат бұрын
HAKUNA MWENYEKITI HAPO NI MZEE JINGA TU
@IndalesioHenery4 сағат бұрын
Wekeni video tuwaone mnavyozungumuza sio aduo mnafeli wapi
@valentinemtei358811 сағат бұрын
Hakuna penalt,
@fargakoigip60294 сағат бұрын
Kuna tabia washabiki wa simba wamezoezwa maamuzi yasio ya kisheria mfano waandishi walipo toa maelezo ya kuhalalisha penalti ya simba dhidi ya Dodoma.....wachambuzi wanaharibu sana tafsiri za kimaamuzi ya mpira ya miguu ..... Sio rahisi tena kwa hata hao wachambuzi kutoa maoni yao kwasababu wameisha kengeuka kenye kanuni za mchezo
@rexgodwill735312 сағат бұрын
Pennati alizonyimwa simba za wazi nyinyi mnaona hazina maana... Hivi mnavyosifia ujinga hamuoni mnadhoofisha mpira wa Tanzania?
@francismbuji55849 сағат бұрын
À
@rexgodwill735312 сағат бұрын
Mabeki wa yanga wanarukia wachezaji hovyo kwenye maeneo ya hatari hiyo hamuoni ni hatari na siyo mchezo mzuri kwa timu bora na maamuzi mabovu ya refa hiyo yote hamuoni what you know is yanga yanga yanga 🚮🚮🚮
@willsoniissaya11 сағат бұрын
Bod to bod iyo broo
@gilbertnday744910 сағат бұрын
Wanachambua kuendana na matokeo, always huwa ni vigeugeu sna
@MauBonde8 сағат бұрын
Nyinyi mnaijua total game uwanjani kama refa na wasaidizi hawako Sawa.
@errydeo88654 сағат бұрын
Yanga wanacheza kadri unavyokuja! Ukija PHYSICAL,utaumia ,wako fit balaa! Ukija na speed,watakuacha urukeruke kama maharage,then watakupeleka,again, fitness na stamina! Ukija kwenye pira la pass, hapo ndo kabsaa! So usifikirie kila game watacheza kama leo! Every game has a different approach na game plan! Jifunze mpira!