🚨 Uchambuzi Crownfm, Mapya Yaibuka inshu ya Aziz ki,Zandani kaanza safari kurudi dar es Salaam.

  Рет қаралды 22,864

Tolly Media

Tolly Media

17 күн бұрын

#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo

Пікірлер: 25
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 15 күн бұрын
TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA
@user-vy9oq7gq9d
@user-vy9oq7gq9d 15 күн бұрын
Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale
@godfreykibaha4441
@godfreykibaha4441 15 күн бұрын
Deal done, Stephen ni Mwananchi
@MusaManyilima
@MusaManyilima 15 күн бұрын
Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu
@noelmakere1381
@noelmakere1381 15 күн бұрын
Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa
@Ba63828
@Ba63828 15 күн бұрын
Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU
@AllyAthumani-xy4xf
@AllyAthumani-xy4xf 15 күн бұрын
katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka
@hamidmussa838
@hamidmussa838 15 күн бұрын
Waongo nyinyi
@Vedsastomutalemwa1980
@Vedsastomutalemwa1980 15 күн бұрын
Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.
@user-ht5vo2em4f
@user-ht5vo2em4f 14 күн бұрын
Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,
@fathimadaid3429
@fathimadaid3429 15 күн бұрын
Mmezidi umbea
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 15 күн бұрын
Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 15 күн бұрын
Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?
@AyatollahMustafa
@AyatollahMustafa 15 күн бұрын
Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 15 күн бұрын
WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA
@user-vy9oq7gq9d
@user-vy9oq7gq9d 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ZakiaMgabo
@ZakiaMgabo 15 күн бұрын
Ende tu mpiran n biashara
@Kabeya410
@Kabeya410 15 күн бұрын
Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA
@AliUsi-ms4bm
@AliUsi-ms4bm 15 күн бұрын
Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 15 күн бұрын
Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 15 күн бұрын
NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 15 күн бұрын
Acheni akatsfute maisha
@mwanangusana
@mwanangusana 15 күн бұрын
Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah
@pambaboniface1199
@pambaboniface1199 15 күн бұрын
Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers
@francismomo7067
@francismomo7067 15 күн бұрын
Je akisajiliwa Simba utasemaje,
MZEE SAID: WACHEZAJI WALINDWE | MSIMU UJAO VIKOMBE | AZIZ KI KABAKI?
24:46
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,7 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 25 МЛН
Magoli yote 21 ya Aziz Ki NBC Premier League 2023/24
13:07
Azam TV
Рет қаралды 134 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,7 МЛН