Unatudanganya hujui sheria wew ,magom atashinda leo
@SantinaChaleАй бұрын
Jamani wengi hatujuwi sheria.hatujasomea sheria.tuacha waliosomea sheria wafanye kazi zao.Huyo.mzee na wenzake wanajidanganya sana .sheria inawabana .wache hizo njaa zao.mi nimemueliwa sana mwanasheria yupo.sahii kabisa.tungoje tu matokeo.ila tuombe sana Mungu atunusuru na haya majanga ya kulawiti watoto nakuwateka.tusikae tu kushabikia magoma.huyo ni njaa tu inamsumbua.
@ulicydickson68163 ай бұрын
Wamefanya udanganyifu, magoma na wenzake wawajibike
@LucasKazimoto3 ай бұрын
Mzee kayakanyaga
@MbeziAmos3 ай бұрын
Mambo ya Simmba na yanga huwa ya kisenge saana
@elizabetty-rt7py3 ай бұрын
Huyu mzeee amesema anapiga alubadili😮😮 sasa analoga mpaka mahakama
@AsmaKapaya3 ай бұрын
Dedani kapingo kidato kimoja nakubali sana yanga oyeeeeeeeee
@isaacsimon35803 ай бұрын
Wafungwe hao mbwa
@BrighterStore3 ай бұрын
unatumikia miaka saba then unatumikia kifungo cha maisha🤣🤣🤣
@mesuitozil15273 ай бұрын
Miaka 7 ukiwa umeghushi kawaida lakin ikiwa umeghushi nyaraka za mahakama, ndio kifungo Cha maisha
@stanslausmteme84553 ай бұрын
Huyo mzee ametafuta matatizo aisee
@johnsonjuliusmassaka55193 ай бұрын
Miaka saba then maisha.au vyote kwa pamoja 😅
@MohdAli-cx7bc3 ай бұрын
Waliokutuma wamekuponza😂😂
@bsmonline84823 ай бұрын
Mzee Kashajitevyenga huyo enheeh Samaki ukiwakaanga wengi sana lazima iwaunguze mikia😂😂😂
@LucianaJoachim3 ай бұрын
Sisi waziima ila nyinyi ndiyo wasenge maji sisi simba tunaendelea mambo yetu
@ghhhhy18123 ай бұрын
Uyo mzee ni njaa tu
@Mwitamkunyimarwa3 ай бұрын
Sawa
@SaidiYahya-t1c3 ай бұрын
Magoma kajishenyenta
@mwangasonimwanga58503 ай бұрын
Magoma jela ileeeee
@florencemeza65403 ай бұрын
Simba acheni ujinga hebu pambanieni timu yenu mnaonekana wasenge tu
Hii kesi viongozi wayanga naona dhahiri wanaenda kuferi lahasha wapite mlango wa pili 😢
@sallyeliya52133 ай бұрын
😂😂😂Mzee kayakanyaga,walokudanya wamekuponza,utamkumbuka Mandojo na Domokaya,imekula kwako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AbelKidungu3 ай бұрын
Kuna watu wanna umia na huu ufafanuzi kwani vp😂
@MomadeMudimoz70-cs2ud3 ай бұрын
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
@maxmiliangunze89313 ай бұрын
Taasisi kubwa mno hii unaishitaki huku Ina viongozi weledi aaaa sahau yule mzee
@zuhurajabiri39003 ай бұрын
Mbona wamehukumiwa na kupata ushindi
@MohamedMpeneka-og6sq3 ай бұрын
We unaelewa lakin? Au kichwa Chako ni pambo la kupendezesha mwili? Kamsikilize mwanasheria wa yanga alafu urudi hapa@@zuhurajabiri3900
@mazaramatucha3 ай бұрын
Yaani kwa jirani msiba,halafu uitishe disco lazima ndugu tunune
@tezuramziray87003 ай бұрын
Na mama kashawakana huko sasa chupi lazima ziwabane
@rafikiyako66973 ай бұрын
Nimatumaini sheria zikichukuliwa kama inavyotakiwa na kubainisha vyote hivi sio kweli hii ndio itakuwa mwisho kwa watu wenye njaa zao kuvuruga hizi timu ..imagine timu kama Yanga hiko hatua 20 mbele anatokea mtu anajaribu kurudisha nyuma tena kisa kwa njaa zake binafsi its insane
@salehegiza33053 ай бұрын
Mzee magoma cc watu simba tunasema upo sahihi na tupo pamoja na ww jino kwa jino😅😅😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
Kashawaponza😂😂😂 poleenii
@jacksonelphas72563 ай бұрын
basiiiiii
@abedysteven49303 ай бұрын
Yan we Mzee magoma umeyatimba ikigunduliwa umefoji cjui yanga watakufanyeje Yan we unabishaba na wa2 weng Tena wananch heeee nakuonea huruma!😂😂😂
@hamisrahul60673 ай бұрын
mzee magoma ana hali gan kwasasa
@mugishamajeba96283 ай бұрын
dah mbona sasa mambo yanataka kuwa magu
@israelkisaila84013 ай бұрын
Ni magumu halafu yatachukuwa Muda aise😢,sasa Sijuwi wakati wanafanya mambo YOTE hayo,Hawa wanaotakiwa kuondoka kwenye nafasi zao,watakuwa wanaendelea na kazi au laa?
@robertzamani56123 ай бұрын
Msikilize Magoma vizuri ndio utamwelewa aliowashitaki ni akina nani,utajua uongozi bado upo madarakani au la
@israelkisaila84013 ай бұрын
@@robertzamani5612 nimeona HAWATAKIWI KUWA MADARAKANI WITH IMMEDIATE EFFECTS
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
@@israelkisaila8401Hamna mtu anaondoka hapoo we tulia tubebe makombe kama tulivozoea
@maxmiliangunze89313 ай бұрын
Aisee yule mzee atazimia akisikia hii taarifa
@badymedia96483 ай бұрын
😂😂😂😂
@saidimgina82993 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@delphinatemba17363 ай бұрын
Na iwe funzooooooo😂
@abdulmelele73223 ай бұрын
Aanze kuandika urithi wa wtt wake kabisaa 😅
@saidimwanyiro51473 ай бұрын
Hakuna cha kufoji magoma sheria alikuwa nayo msituzuge kukanusha tunaakili zetu timamu hapo magoma mmemtuliza tu
yanga Mnatakiwa muwe na mwanasheria kama huyu anafafanua hoja taratibu kabisa mpaka unaelewa.
@anithawidambe75433 ай бұрын
MAGOMA ANASEMA KM WANASEMA SAHIHI WAMEIBUSHI BASI WAENDE MAHAKAMANI SASA KWANN MSIENDE MAHAKAMANI?
@stewartsylvester23533 ай бұрын
Nasikiliza nacheka 😂😂😂😂😂😂 haki matatizo mengine ni ya kujitakia
@bakarithegeoinformatician74063 ай бұрын
Ukweli unaujua? Aja mapenzi ya kijinga
@stewartsylvester23533 ай бұрын
@@bakarithegeoinformatician7406 dunduka aka kolo Pole kijana 🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaAkyoo-s4s3 ай бұрын
Na cha ajabu zaid yey mwenyewe anakir kuwa hajawapatia yanga hiyo karatasi ya hukum tangu ameshinda kesi mwaka jana labda yey mwenyew kwa kugundua kuwa hakuwashirkisha yanga badala yake almuweka mtu na akajifanya anaiwakilisha yanga magoma mwenyew imekuwa vigum kwake kuwasilisha hyo hukum kwa yanga maan anajua alipita mlango wa nyuma hakufata sheria
@luqmanomary35582 ай бұрын
Sio jukum lake kuwap nakal ya hukum ,
@salwasuleiman89433 ай бұрын
Kidomodomo huwa sio kizuri sasa litamkuta jambo kidomo magoma
@mussakilo49163 ай бұрын
🙊🙊 dah magoma wee kama kweli ume gushi 😢😢mhh
@Shafikimanga73 ай бұрын
Kwa kutolea maelezo ya Kila siku nn walikuwa wanafanya ndani ya mwaka mzima, itakuwa muujiza kuvuka kiunzi hicho hasa ukizingatia upana wa mawasiliano ya timu husika. Pili. Sijajua kama mahakama hutoa hukumu za kesi kwa ajili ya mitandao ya kijamii. Hivyo tuwe wapole tujifunze kwenye hili
@NeemaAkyoo-s4s3 ай бұрын
Umeambiwa yanga hawakushirikishwa na pia magoma mwenyew ameshasema mara nyingi kuwa hajawapa yanga hayo makarasi ya hukum mpka leo tena yey magoma anasema ana shangaa kuona mtandaoni na wakati yeye nakala zote za hukum anazo hajazitoa sas nikuulize wew kama yanga magoma hakuwapa hiyo nakala ya hukum na mpka leo anasema hajawapa yanga wangeota kama kuna hukum imetoka??
@Shafikimanga73 ай бұрын
@@NeemaAkyoo-s4s soma vizuri na elewa nichoandika. Kama hujaelewa ni hivi, upande unaokataa hukumu ndio watakuwa na wakati mgumu kuishawishi mahakama kuwasikiliza.
@NeemaAkyoo-s4s3 ай бұрын
@@Shafikimanga7 hapo sawa nilifikir unasema yanga watapata wakati mgum et na wakati magoma mwenyew anajinadi kuwa hakuwapatia hyo hukum mpaka leo🙏🙏🙏🙏
@personpeter22213 ай бұрын
Nyny wanasheria mnashndwa kufafanua vfungu vya vya sheria kwa mafisadi mnahangaika na upuuz
@iddkessy3 ай бұрын
Yaan acha tuu
@AmisiAloisi3 ай бұрын
Wewe muongo sana mumekula pesa
@angonzamujunangoma87753 ай бұрын
Ikimbukwe mambo ya kimpira hayahukumiwi na Mahakama yoyote zaidi ya Mahakama kuu
@SadickHusein3 ай бұрын
Wee umesoma wapi
@Fred-Ma3 ай бұрын
Hii sio kesi ya Kimpira ni ya Kikatiba😅😅
@Dopa7MC3 ай бұрын
We nae amnazo sasa km mahakama kuu yeye kaenda kushitaki wapi fifa au mahakama kuu?
@yakobokuzenza68373 ай бұрын
@@Dopa7MC ww ndo mpuuzi mkubwa.Hiyo kesi ameifungua mahakama ya hakimu mkazi,siyo mahakama kuu.Unakurupuka tu na ukolo wako.Mtazidi kujianika tu msiotumia akili ipasavyo
@Mrmakavu3 ай бұрын
Yanga apewe hakizake💚💚💚💚💚💚💚💚💚
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Eti Yanga ipewe haki yake. Sema GSM aendelee kutupiga wewe.
@kanyeshahigirimana56863 ай бұрын
@@GibsonNtamamilounataka na wewe upewe mshahara kama wachezaji PERIOD!!!
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
@@GibsonNtamamilowewe so yanga bwanaa😂😂😂
@efraimjohn49563 ай бұрын
Je waliposhitakiwa, mahakama iliwapa barua yanga African? Na je Kuna ushahidi wa dispatch inayoonyesha walipelekewa? Pia hyo document iliyompa huyo muwakilishi WA yanga awawakilishe wengine je ilihakikiwa kivipi? Mahakama ilikuwa na uwezo wa kuamua hyo kesi? Kwann mahakama haikujua kuwa Kuna mwanasheria wa club?
Na ndo maana inaitwa ni kesi ya upande mmoja watu walijigawa
@MRJ13083 ай бұрын
Injinia tuchukulie huyu mwanasheria asaidiane na Simin Patrick
@bbanyikwa3 ай бұрын
Ni kwa nini Kesi inayohusu mipira imepelekwa kwenye mahakama ya kiraia badala ya kushughulikiwa na vyombo vya vinavyohusika na mpira? Hili nalo sio kosa kweli kwa mpira wa tanzania kama FIFA wakilinasa?
@EligiaMligo3 ай бұрын
Umeambia sio kes ya mpira ni ya katiba ko mamlaka za inch znahusika na sio tff wala fifa jana ulimwelewa yule wakil tena mahakama ya kisutu tu
@AllySalum-j9y3 ай бұрын
Ikiiiii Simbaaa kinaonekanaaaaa
@charleskuyeko16603 ай бұрын
Je, wakati hizo kesi zikiendelea Viongozi wa yanga watakuwa bado ni Viongozi au watakuwa nje ya ofisi? Mawakili hawajafafanua.
@ErastoOmari-ij1zs3 ай бұрын
Kwenye Shtaka Hilo Hakuna Kiongozi Aliyepo Yanga Katajwa Ktk Kesi Hiyo
@swedywamba55353 ай бұрын
Shida yako wawe nje ya office???? Vip umetumwa???
@Mwafrika20213 ай бұрын
Magoma sio mjinga, pale Simba Kigwangala alikuwa anakosoa zile bilioni 20 za Mo lakini alipuuzwa kwasababu Simba ilikuwa inafanya vizuri lakini ikaja kuaminika baada ya simba kupoteana, Yanga nao watakuja kuamini wakianza kufanya vibaya, nyie mtukaneni tu huyo mzee lakini ipo siku mtakuja kumshukuru, tunzeni hii
@totolanyakiwope88173 ай бұрын
Yanga isifananishwe na vitu vya kijinga
@alhajjsimba88333 ай бұрын
Umeombwa na nani ufafanuzi huu
@Mary-fs4mc3 ай бұрын
😂😂😂
@Asamtz3603 ай бұрын
Babaako ekumama zako
@ErastoOmari-ij1zs3 ай бұрын
Mo
@IvanChrisantus-hz4cv3 ай бұрын
Political cheat code , kupoteza attention ya wananchi kuhoji meli ya kijeshi ya china !!! think big , amkeni !
@UrassaPaschal3 ай бұрын
Inawezekana😢
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
Mambo ni mengi ase😂😂😂 mara kupotezea attention ya taharuki ya kenya mara meli khaaaa kwaajili ya yanga tyuu duuh maashaAllah very funny😂😂
@fadhiliabasi65853 ай бұрын
MAGOMA hawezi Kuwa na akili mbovu kiasi HICHO cha kugushi saini