Amen amen pastor mm niko na ushuhuda na hili fungu juzi nilitoa nyumba ya konokono mdogo wale wa baharini kwa mkono wangu wakulia kulikua kama jibu nikakamua nikatoa hicho kinyumba chake na niko saudi nafanya kazi amen amen kupitia mafunzo yako nimesimama na mungu zaidi kukaa ndani yangu
@dorcusmusombi36469 ай бұрын
B😮j
@MahubiriPrMmbaga6 күн бұрын
Mungu wa ajabu
@flavianamayutta46192 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na somo hili! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nzuri na la baraka sana.
@gombanirombalejames895811 ай бұрын
Huu ufalme unao kuwa ndani yangu uniongezeye Imani. Mungu akuzidishiye kwa yote,amina
@faustermtavangu821213 күн бұрын
Amina Leo nimeuona upendo wa Mungu kuna jambo nilimwomba Mungu amenijibu sifa na utukufu ni Yesu.
@IsackAugustine8 ай бұрын
Aminaaaa sana pastor ,Mungu akubariki sana na azidii kukutumia popote palee ulipoo,kupitia ujumbe unaotamkika kinywani mwako .....umeimarisha maisha yangu ya kiroho na kiuchumi piaaah!!!! Jina la Bwan lihimidiwe mileleeee.
@olphanyamweya3154Ай бұрын
AMEN MCHUNGAJI umenipa ujasiri, mume Ako lakini Mimi ndio mke mume sitawai lalamika.YESU nisamehe.
@rodachaula6264 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu najifunza vingi sana kupitia mafundisho yako from malasyia🇲🇾
Pastor ... Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi Mbaga. Mungu kaa nami leo na hata milele
@eduugikundi10 ай бұрын
Nashukuru sana mchuganji,mola akuzidishie hekima zaidi
@WinnieJumanne9 ай бұрын
Amen 🙏 pastor mungu akubariki ahsante Kwa haya mafundisho tangu nijue nguvu za mungu ndani yangu nashuhudia kuna mambo siyafanyi ambayo hayakuwa yampendeza mungu
@linethowire703111 ай бұрын
Pastor ushuhuda WA swala la ada limeniyokea wiki chache zilizopita pale MUNGU aliponilipia ada kwa muda wa masaa mawili tu..ada ya mwanangu wa std seven 2023...amount ilikuwa milioni moja kasoro....Hakika MUNGU huyu anaweza KULIKO chochote..ukuu wake kwangu HAUELEZEKI
@MahubiriPrMmbaga6 күн бұрын
Wow. Mungu atukuzwe
@harunibernadi11 ай бұрын
Ahsante Sana Sana mchungaji kwa neno
@user-pw7di6vp3n10 ай бұрын
Asante pasta, kwa mafundisho
@aumamadina710025 күн бұрын
Amen amen thanks pastor mmbaga thanks a lot and glory go to GOD
@flavianamayutta46192 ай бұрын
Asante mtumishi kwa somo lenye nguvu.
@richardsafari287110 ай бұрын
asante mtumishi kwaku neno la kujenga
@sarahsamatwa321110 ай бұрын
Asante.mchungaji MBAGA.NINAENDELEA KUBARIKIWA KILA IITWAPO.LEO
@WinnieOwitiАй бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi
@boazmusumba794910 ай бұрын
Nashuhudia uwepo wa Yesu ndani yangu. Roho mtakatifu atufunze zaidi.
@MichaelThomas-tc8sf10 ай бұрын
Nimekubari sana
@shimwekagwiza230010 ай бұрын
Asante pr aliye upande wetu ni mkuu kuliko waoo 🤗🤗🙏
@Joycependopendo-dv2tb9 ай бұрын
Amen pastor hapo ni kweli kabisa uko na mume na wewe ndio baba na tena wewe ndio mama barikiwa pastor
@user-ir1np7xn8y10 ай бұрын
Amen mchungaji tunabarikiwa sana na huduma zako kwetu
@sophiatitokalinga140510 ай бұрын
Mungu akubariki sana sana! Ckujua haya ahsante
@perisbosibori852411 ай бұрын
AMEN 🙏🏻 🙌! Ufalme wa MUNGU uko ndani yangu. Thank you Pastor for the blessings of the word.
@hopemakangale159610 ай бұрын
ubarikiwe Mch.nimepokea
@teresakemunto547910 ай бұрын
Namshukuru mungu akubariki pia pastor
@janelulambo395710 ай бұрын
Mungu tulie nae nimkubwa kuliko wakwao.
@jacquelinesalugole640010 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji umenifundisha mengi kupitia mahubiri yako
@bernadettemuzaliwa837311 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana kwa neno la nzuri .
@rachelraphael135510 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa
@NellyMusiwa8 ай бұрын
🙏 Amen
@user-tr6vq5ld5o10 ай бұрын
Yesu nisaidie Niongezee Imani
@kevinigendi60808 ай бұрын
From Kenya l real enjoy your teachings
@SolanzaMwasanyage-hq2jy10 ай бұрын
Asante mchungaji lakini Mimi nashida ya masikio hayasikii vizuri naomba uniombee nisikie vzr mafundisho yako mtumishi was mungu.Amina
@MahubiriPrMmbaga6 күн бұрын
Ninakuombea
@ruthondieki856711 ай бұрын
Mungu hakushidishie neema nimebarikiwa sana ila Tu Kwa siku mbili
@user-gs1ld5vd6e9 ай бұрын
Ubarikiwe baba siku zako ziwe nyingi nipone siku hadi siku
@raelsarange63811 ай бұрын
My mentor ,yaaani Pastor you don't force things, faith works,niko middle east God has done for me ❤❤I stay strong and positive in Jesus name 🙏
@alicemwaka376211 ай бұрын
Mungu akuzidishie mtumishi uzidi kutufundisha ameeen
@kissanselu856910 ай бұрын
Amen nimebalikiwa
@mecksondeoneclassic863511 ай бұрын
Unanibariki sana sana Mchungaji Mbaga sina Mchungaji nabarikiwa nae zaidi yake isipokuwa wewe natamani siku nipate kukufikia ulipo nihudumiwe Kwa karibu zaidi ndo shauku yangu
@KelvinKimario-fu8hk10 ай бұрын
Mkubali yesu
@GraceMimbi4 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Naomba namba Yako
@MalongoRichard-md5dv11 ай бұрын
Pastor ubarikiwe sana
@joyikaya74297 күн бұрын
AMINA PASTOR. ZIDI KUBARIKIWA.
@user-or1ds3hm6t8 ай бұрын
Barikiwa sana mtu wa Mung
@faustinajili416410 ай бұрын
Amen Amen amen
@user-xb6dg9uc8x11 ай бұрын
Mungu akuzidishie hekima kila siku, zamaisha yako
@esterkaogo239011 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@user-dz6wb3vd9c11 ай бұрын
Nashukuru ufalme wa Mungu uko ndani yangu, amen pr. Mmbaga
@user-pw7di6vp3n10 ай бұрын
Nimeongezewa jambo
@taimumwaibako83859 ай бұрын
Najiungamanisha na maombi haya Mungu nisaidie
@geraldmwangira.497810 ай бұрын
Amen, nmerudi kuangalia tena linikumbuke vitu fulan ubarikiwe pastor.
@PaulKariuki-fh6yd11 ай бұрын
God bless you mtumishi
@enocksilungwepondajr970710 ай бұрын
Amen and amen from Lusaka zambia
@margaretwanjiru909611 ай бұрын
Kubarikiwa kweli hua unanifundisha mengi sana sana barikiwa sana Pastor Mbaga 🙏🏻
@everlyneiminza572211 ай бұрын
Hallelujah
@YohanaLazaro-rj7cp11 ай бұрын
Mungu akulinde
@user-lb6sx3vn4d11 ай бұрын
Amen
@linethowire703111 ай бұрын
MUNGU atukuzwe Kwa hubiri hili,,,nimegundua ni kwa sababu gani BANDA LANGU LA KUKU lote lilipatwa na ugonjwa WA ajabu..biashara ya kuku 300 sikufanikiwa kuingiza hata shilingi laki sita kwa mauzo maana walikufa karibia nusu ambao walikuwa ni 150.... Nimepata kitu kikubwa Sasa kutoka Kwa hubiri hili na sasa ninaanza Tena biashara RASMI...Ee MUNGU nisaidie....
@user-sk8sm2rx2f7 ай бұрын
AMEN MTUMISHI
@user-qt2pb6tr5t10 ай бұрын
Wow very powerful teachings be blessed glory belongs to jesus, In fact you've made my inner 🎉 person feel revived again 🙏🙏🙏
@user-fi9ef2rd8k11 ай бұрын
Kweli Mungu anakutumia kwa viwango vya juu sana mwanangu ,Zidi kunyenyekea chini ya mkono waMungu ili akukweze kwa wakati wake
@user-pq8xy3tv7l11 ай бұрын
Asante sana kwa mahubiri
@dawhiteschola884711 ай бұрын
Katika wachungaji wanaonibari ki MChungaji mbaga wewe ni no Moja Mungu akubariki Sana Sana. 🙏
@tatually905511 ай бұрын
Ubarikiwe sana unanitia moyo sana
@dawhiteschola884711 ай бұрын
Amina haya ndyo mafundisho syo pokea gari lanani Hilo gari. Mm siyo msabato ila Huwa siangaliii dini naangalia Neno la Bwana hakika huyu mchungaji Mungu wambinguni ana mtumia sana
@faustermtavangu821211 ай бұрын
Mungu akubariki Mchungaji Mungu amejibu maombi yangu Asante Mungu Asante Mchungaji Mungu akutunze
@dismashurbertshirima324110 ай бұрын
@@tatually9055❤❤❤❤❤
@iranzi678811 ай бұрын
Ubarikiwe saana pastor. ... Naweza pata contact za pastor hata kama ni za social media?
@ReubenKihili-mn7zs9 ай бұрын
Ahahahah paster umenifurahisha Leo umenifundisha kitu nayabwaga yote kwa mungu shetani ataisoma no...
@alidnyalusi571011 ай бұрын
Ufalme wa MUNGU upondaniyangu
@jameskirwasang435311 ай бұрын
Amina Amina
@rebaccaewoi888211 ай бұрын
Amen happy Sabbath day pastor 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@eunicekalamakalama326311 ай бұрын
Amen Amen Amen
@solangemaniriyo549711 ай бұрын
Amen 🙏
@sauud2some47110 ай бұрын
Ameen barikiwa sana mutumishi wa Mungu 🙏🙏🙏
@JM-en2vu11 ай бұрын
Amen, Pastor 😇
@raheljose952411 ай бұрын
Amina Pastor 🙏 ubarikiwe.
@kilungumsabaha389111 ай бұрын
Ameeen Pastor 🇹🇿🇴🇲
@user-rq8rz4md5x11 ай бұрын
Amen Mungu akubariki uzidi kuinuliwa Kwa viwango
@queensusany807811 ай бұрын
Natamani niwe na Imani kubwa kama hii !!ee Mungu nisaidie!!
@ainebyoonabolis988011 ай бұрын
Asante sana Mchungaji kwa neno la Bwana. Lakini ninachangamoto ya ugonjwa wa ulcers, nimejaribu madawa mara kadhaa lakini bado sijapona, naomba nawe uniombee . ( Jina langu ni Bolis Ainebyoona kutoka nchini Uganda)
@Jastus10011 ай бұрын
Mungu akuponye, nenda kwa prophet kakande yupo uganda utapona
@RahmaRahma-ie6ey11 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe Mutumishi wa mungu Mimi nipo Oman ninaitwa Rehema ninachangamoto ya kichwa naomba uniombee
@callmemaggie25411 ай бұрын
@@Jastus100 kakande ni mzanii tu mungu ndiye mponyanji tu bora tu akuwe na imani kidogo kama mbunje ya haratani
@josephatodimary363311 ай бұрын
Ukimsikiliza Pr mbaga utaweza kuomba mwenyewe na Mungu atakujibu msidanganywe na ma prophet
@joycelanda898711 ай бұрын
Amini tu Mungu atakuponya mpendwa!!
@rehemanashon373911 ай бұрын
Aminaa kubwaaa, Mungu anaishi ndani yangu 🙏🙏🙏
@KendiLydia-tf2ii2 күн бұрын
🙏🙏🙌
@callennyanchama401411 ай бұрын
Amina
@nellukay719411 ай бұрын
AMEN 🙏🏽
@papabishopmusic884411 ай бұрын
Ameen
@nanguniMtaita-hz4zt11 ай бұрын
Suala la kupendezwa na mahubiri ya pastor Mbaga, ni nyeti sana. Sisi tumuombeeni yule mwovu, asije ruhusiwa akamdhoofisha kama vile pastor Mhando.
@judithnjalambaya24509 ай бұрын
😅🎉
@BarnabasJonas-nv4ig11 ай бұрын
AMINA
@user-qw1wp7vc5i10 ай бұрын
Pr.mimi kwavile sikujua na niliolewa namchawi ameni angaisha akunakitu naweza Fanya ifanikiwe mi nimwanabiashara tangu nimweleze mikono tangu yoteinagandaikiuma nanimefika sikuiziroho yamaombi sina na nikisikia kuomba mwili inakuamzito na uchofu siwezi omba nisaidie mtumishi ninateseka
@upendomaduhu13107 ай бұрын
Hata choon inawezekana?maana mili nikienda uani huwa nasukumwa sana kusali lakin naogopa
@nishimwedanny469111 ай бұрын
Live? Mala ya kwanza Amen
@GebosEliakim6 күн бұрын
Mchungaji niaomba namba yako ninashida ya kitu kinanisumbua sana