Uislamu, Kipi kitabu cha kweli sehemu ya 1

  Рет қаралды 31,897

Malundi online Tv

Malundi online Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@سعدياقوت-ت2خ
@سعدياقوت-ت2خ 7 ай бұрын
Ma shaa allah mungu akurehemu imani petro
@maryammo-gd3me
@maryammo-gd3me 11 ай бұрын
Imani petro Allah akurehemu akupe pepo ya firdows
@najatsalum2122
@najatsalum2122 3 жыл бұрын
Allah akurehem almarhum Amani petrol akulipe Fildauss. Na mie pia.Amin
@talhiyaibrahim7951
@talhiyaibrahim7951 3 жыл бұрын
Allah atawalipeni walimu wetu Wa kiislam haki uislam ni dini ya kweli Allah anijalie nice nikiwa muislam
@guwileguwileyasini758
@guwileguwileyasini758 3 жыл бұрын
Allahu Akbr Allah amlaze mahala pema peponi Amiiina
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
Allah akuperehema na amani uko ulipo amin
@HusseinAli-fx1ld
@HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын
Imani Petro Pale ulipo Mungu akurehemu akututie dhambi akuingize peponi
@husseinmongolare3417
@husseinmongolare3417 Жыл бұрын
Allah akulipe kila laheri amina
@hamisimkima117
@hamisimkima117 2 жыл бұрын
Kaziyake Mola haina Makosa umeenda sheikh wetu Allah akurehemu Sheikh
@aishaarusha894
@aishaarusha894 4 жыл бұрын
Allah atupe pepo inshallah tena ya wafirdausi amin sote waislam amin
@saidamur5747
@saidamur5747 2 жыл бұрын
Subuhana.kwakweli.nimefurahi.sana.avochambua.bibilia.na.coran.alakuweke.peponi.kaaribu.na.mitume
@farajiissa560
@farajiissa560 2 жыл бұрын
mungu amrehemu ameeeen
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 4 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah anifishe ktk dini y hakh din Islam Allahumma Aamiin
@nassoropongwa8022
@nassoropongwa8022 5 ай бұрын
Allah akupe Pepo
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 2 жыл бұрын
اللهم اغفر له ورحمه واسكنه فى الجنة يارب العالمين انك سميع الدعاء
@saidamur5747
@saidamur5747 2 жыл бұрын
Mashaallah
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Toboa Imani petro takbir mpaka ahera Mutume amepigwa mawe pakashuka aya inatuusu sisi tulitoka ukafirini takibiri Imani petro
@rashidjumamohamed3437
@rashidjumamohamed3437 2 жыл бұрын
Tatizo mnakata mada Hii ni dhambi dhimaaaa
@talhiyaibrahim7951
@talhiyaibrahim7951 3 жыл бұрын
Hakuna dini ya haki mbele ya Allah ni uislam na issa ni nabii tuu kam mtume Muhammad saw wala sio mungu
@EmanuelMutunga-wb9nc
@EmanuelMutunga-wb9nc 5 ай бұрын
Allah amrehemu
@allykeita704
@allykeita704 3 жыл бұрын
Mmmmmh shikamo waislam napenda watu ambao ni logic tuache uongo waislam wanalogic Sana🙌🙌🙌🙏🙏🙏📿📿📿
@hamisimuhammad6225
@hamisimuhammad6225 2 жыл бұрын
Uislam raha jaman
@NtakirutimanaAlly-v6o
@NtakirutimanaAlly-v6o 10 ай бұрын
Rahmahullah
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Atamimi nimetoka ukafiri takibiri InshaAllah allah atujaliye pepo waumini
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 4 жыл бұрын
Ahaahahaaaa.....!!🙄, upo sahihi, coz islamu utaenda alipo Mohammad, wakristo utaenda alipo YESU, chaguo ni lako
@najmamakame9881
@najmamakame9881 4 жыл бұрын
@@millionairejeffreysunofbez3766 kwikwikwikwi soma dini usisubiri roho ijekuombea wewe
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 4 жыл бұрын
@@najmamakame9881 ..ata cjakuelewa,
@chenzhenlee7633
@chenzhenlee7633 4 жыл бұрын
Matayo 2:10 uongo Sasa hapa wanawambia Yesu hakuuwawa ndio hawakubahatika Sasa alipotoka Egypt aliuwwa au la?
@lukmanmfnanga2336
@lukmanmfnanga2336 2 жыл бұрын
Ufunuo amapewa nabii wa zama za mwisho
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Awo makirisu wanapenda maagizoyawanadamu yesu akija watuwatasali kiisilamu wanduguzetuwamoja watakua wameshatanguliyatangua nimusiba misarabayote yesu ataikana itaangushwa cini nimusiba Mungu mwenyewe kasibitisha katika coroan duniya itaisha ikija uisilamu
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 4 жыл бұрын
Please ..km huwez kuandika usicomment, ...kidogo quran huite corona..🙄🙄😄😄
@jeanmuzaliwa9023
@jeanmuzaliwa9023 Жыл бұрын
nyie waislamu ndio munafuata maagizo ya wanadamu hushaidi qu'ran 6-101 ayo ni maagizo ya Muhammad si Mungu kasema!
@cirimwamibusane8713
@cirimwamibusane8713 9 ай бұрын
ivio vitabu vyote munasema waislam je munavipata ndani ya kuroan ama ndani ya bibiliya.
@nasserm.nasser5087
@nasserm.nasser5087 2 жыл бұрын
Dini pekee ambayo kitabu chake hakipo ktk lugha ya muanzilishi ni ukristo peke yake. Uislamu umeshushwa arabuni na quran origin ni kiarabu. Kiyahudi ipo ktk lugh yao ya kiyahudi. Uhindu upo kihindi lakini ukristo umeshushwa kwa Yesu ambaye aliongea lafudhi ya kiyahudi lakini vitabu wameviandika kigiriki
@jeanmusamba3253
@jeanmusamba3253 Жыл бұрын
misri wakati huo ahikuwa ya waarabu ilikuwa ni watu weusi sana ikkitwa kemet,anaglaia ushahidi wa kisayansi nje ya pyramid kuna sanamu za watu weusi wanapua pana na ni weusi hii ilipelekea alexander the great alipofika alichukia sana kuona watu weusi wana sayansi kubwa sana aliamuru sanamu hizo zipigwe risasi pua kupoteza ushahidi.kemet maana yake nchi ya watu weusi misri kia asili ni ya waafrika sio waarabu
@chenzhenlee7633
@chenzhenlee7633 4 жыл бұрын
Ukimsikiriza kwa makini anahubiri Biblia tuu injili itasonga mbele tuu na sio watu wengine Hao Hao ndio wanaiendesha kwa moto kkkk ubarikiwe
@Lky589
@Lky589 3 жыл бұрын
Tatizo linakuja ktk kufanyia kazi unajikuta unatenda uislamu,,,ndo maana wakristo wengi wanasikiliza maneno ya midomoni mwa wachungaji nakujikuta wanapingana na maandiko yao.
@Lky589
@Lky589 3 жыл бұрын
Injili yakweli yakwenye BBLIA inafuatwa na WAISLAMU ya maandiko,,,,,wakristo munafuata porojo.
@isaacmafole2136
@isaacmafole2136 3 жыл бұрын
Sahihi waislamu wanajitekenya na kuchekecha wenyewe
@lukmanmfnanga2336
@lukmanmfnanga2336 2 жыл бұрын
Ukristo sio dini ni misheni ya wazungu au mpango au dili au tafsiri ya misheni embu tukafanye mishen tupate pesa ndio tafsiri ya ukristo ili tupewe mvinjo msahao dini ya muumbaa
@lukmanmfnanga2336
@lukmanmfnanga2336 2 жыл бұрын
Ufunuo nikitabu cha mwisho kwenye bibilia maana ya ufunuo kwa lugha ya kiarabu ndio Quran
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 2 жыл бұрын
Je maandiko ya ufunuo wa kwenye biblia na ufunuo wa kwenye Koran vinafanana?
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/a4a7oJ-rj92Gl8U MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI
@chenzhenlee7633
@chenzhenlee7633 5 жыл бұрын
Wa Islam na hakiri kama ya Nguruwe kwa zia 1AL-FAATIH'A mpaka 114 ANNA'S Kuna INJILI au TORATI au ZABURI? 😡 😡 😡 😡 Lakini open The Holy Bible hivi vitabu utavikuta Humo wa Islam okokeni JESUS IS THE WAY, TRUTH AND LIFE njoni nyote kwake
@danielmahela2436
@danielmahela2436 4 жыл бұрын
Hahaha huyu jamaa anaongea pumba kwa wanaoelewa.anataka kuona neno biblia ndani ya biblia ajui cc tunaamini injili.labda angeomba aoneshwe neno injili ambayo cc wakristo wote duniani ndio mboni yetu ya jicho. biblia sasa ni baada ya injiri zabur na taurati kuwekwa mahali pamoja maana kila kitabu kilikuwa kivyake sasa hivyo vitabu vingine vyote vinasapoti hiv vitabu vitatu Mama ambavyo ni injir zabur na taurati kwa kutoa historia mbali mbali za mitume na manabii hao walio vipokea kwa hiyo vikishawekwa mahali pamoja lazima kiwe na jina hakiwezi baki nyutro sasa ndo kina itwa biblia minafikiri arud tena darasani
@yusarjunkhanna4100
@yusarjunkhanna4100 4 жыл бұрын
Nyinyi wakristoo mumepotea, wapii yesu akitaka kusaidiwa na nyinyi mukusanye vitabu na museme bibilia
@saidsuleiman9018
@saidsuleiman9018 2 жыл бұрын
Kwa iyo icho kifo cha yesu kina hisu nini kwetu
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 жыл бұрын
So you finish talking giving biblia lakini si qur'una na Jina la yesu Christo apewe sifa kwa kuweka muhuri kuwa MUNGU alitupa Bible.
@yusarjunkhanna4100
@yusarjunkhanna4100 4 жыл бұрын
Huyo anawaonyesha upotevu wa bibilia ilii mupate kuokoka
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 2:43 wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi manjua. So ukiona wakipiga si eti siyo hawajuwi ukweli. 2:62,Hakika walio Amina, na mayahaudi na wakiristo, na wasabai, yoyote atakaye muamini mwenyewe Mungu na siku ya mwisho na akatenda mema Basi watapata malipwa yao kwa Mola wao mlezi wala hita kuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika
@chenzhenlee7633
@chenzhenlee7633 4 жыл бұрын
Zaburi, Taurati, injili vyote utavikuta kwe Biblia kkk Sasa hapa uislamu una nini?
@yusarjunkhanna4100
@yusarjunkhanna4100 4 жыл бұрын
Kwahivyoo ww ndio uliandika bibilia sio, si uulize hiyo bibilia haihitaji uisaidie, ndio maana bibilia si kitabu cha Mungu
@hassannamtyakabacar.309
@hassannamtyakabacar.309 3 жыл бұрын
Ndugu hujaelewa swali. Swali ni hili, Biblia ni kitabu cha MUNGU gani na mtume wake nani?
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 жыл бұрын
Hakuna siku mutatoa andiko kwa qur'una lakini hamujuwi Bible, mara Bible ni ya Israeli lakini kwa kwa kujibu ni hiyo Bible ya Israeli mbona musitumia qur'una kwa kujivunia Bible na hali munakata Bible.
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Waisilamu wametumwa kuwaambiya kama mumegeuza maneno mukaondoa ili nakuongeza lile lashetani
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/a4a7oJ-rj92Gl8U MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI
IJUE SASA DINI YA KWELI  (swali Part 1)
32:30
Malundi online Tv
Рет қаралды 11 М.
Quran na Biblia ni kipi kitabu cha Menyezi Mungu.Ust.Mwaipopo,Shk.Kinyogoli na Shk.Mazinge pt3
57:03
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 1,1 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 57 МЛН
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 21 МЛН
Live Stream PPTQ Al-Mabrur Purworejo Suruh Semarang
2:07:17
PPTQ Al-Mabrur Purworejo Suruh Semarang
Рет қаралды 18
Mdahalo   Bibilia maneno ya nani 1 9
14:23
YesuHakufa
Рет қаралды 60 М.
DR  SULE NA MCHUNGAJI MWASILINDI Zmzam Pro:
2:03:24
AAR ACCESS TV
Рет қаралды 66 М.
NAFSI YAKO NI ADUI MKUBWA KULIKO IBILISI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
24:24
arkas online tv
Рет қаралды 14 М.
Mdahalo: Biblia vs Koran part 07 of 12
15:01
Michael Mukuni
Рет қаралды 86 М.
MAZINGE KUKURU KAKARA.
54:09
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 49 М.
MAPASTA 7 WASHINDWA KUTETEA UKRISTO
1:00:07
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 640 М.
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 1,1 МЛН