Alhamdulillah Allah anifishe ktk dini y hakh din Islam Allahumma Aamiin
@nassoropongwa80225 ай бұрын
Allah akupe Pepo
@istambuliahmedi82032 жыл бұрын
اللهم اغفر له ورحمه واسكنه فى الجنة يارب العالمين انك سميع الدعاء
@saidamur57472 жыл бұрын
Mashaallah
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Toboa Imani petro takbir mpaka ahera Mutume amepigwa mawe pakashuka aya inatuusu sisi tulitoka ukafirini takibiri Imani petro
@rashidjumamohamed34372 жыл бұрын
Tatizo mnakata mada Hii ni dhambi dhimaaaa
@talhiyaibrahim79513 жыл бұрын
Hakuna dini ya haki mbele ya Allah ni uislam na issa ni nabii tuu kam mtume Muhammad saw wala sio mungu
@EmanuelMutunga-wb9nc5 ай бұрын
Allah amrehemu
@allykeita7043 жыл бұрын
Mmmmmh shikamo waislam napenda watu ambao ni logic tuache uongo waislam wanalogic Sana🙌🙌🙌🙏🙏🙏📿📿📿
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Uislam raha jaman
@NtakirutimanaAlly-v6o10 ай бұрын
Rahmahullah
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Atamimi nimetoka ukafiri takibiri InshaAllah allah atujaliye pepo waumini
@millionairejeffreysunofbez37664 жыл бұрын
Ahaahahaaaa.....!!🙄, upo sahihi, coz islamu utaenda alipo Mohammad, wakristo utaenda alipo YESU, chaguo ni lako
@najmamakame98814 жыл бұрын
@@millionairejeffreysunofbez3766 kwikwikwikwi soma dini usisubiri roho ijekuombea wewe
@millionairejeffreysunofbez37664 жыл бұрын
@@najmamakame9881 ..ata cjakuelewa,
@chenzhenlee76334 жыл бұрын
Matayo 2:10 uongo Sasa hapa wanawambia Yesu hakuuwawa ndio hawakubahatika Sasa alipotoka Egypt aliuwwa au la?
@lukmanmfnanga23362 жыл бұрын
Ufunuo amapewa nabii wa zama za mwisho
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Awo makirisu wanapenda maagizoyawanadamu yesu akija watuwatasali kiisilamu wanduguzetuwamoja watakua wameshatanguliyatangua nimusiba misarabayote yesu ataikana itaangushwa cini nimusiba Mungu mwenyewe kasibitisha katika coroan duniya itaisha ikija uisilamu
@millionairejeffreysunofbez37664 жыл бұрын
Please ..km huwez kuandika usicomment, ...kidogo quran huite corona..🙄🙄😄😄
@jeanmuzaliwa9023 Жыл бұрын
nyie waislamu ndio munafuata maagizo ya wanadamu hushaidi qu'ran 6-101 ayo ni maagizo ya Muhammad si Mungu kasema!
@cirimwamibusane87139 ай бұрын
ivio vitabu vyote munasema waislam je munavipata ndani ya kuroan ama ndani ya bibiliya.
@nasserm.nasser50872 жыл бұрын
Dini pekee ambayo kitabu chake hakipo ktk lugha ya muanzilishi ni ukristo peke yake. Uislamu umeshushwa arabuni na quran origin ni kiarabu. Kiyahudi ipo ktk lugh yao ya kiyahudi. Uhindu upo kihindi lakini ukristo umeshushwa kwa Yesu ambaye aliongea lafudhi ya kiyahudi lakini vitabu wameviandika kigiriki
@jeanmusamba3253 Жыл бұрын
misri wakati huo ahikuwa ya waarabu ilikuwa ni watu weusi sana ikkitwa kemet,anaglaia ushahidi wa kisayansi nje ya pyramid kuna sanamu za watu weusi wanapua pana na ni weusi hii ilipelekea alexander the great alipofika alichukia sana kuona watu weusi wana sayansi kubwa sana aliamuru sanamu hizo zipigwe risasi pua kupoteza ushahidi.kemet maana yake nchi ya watu weusi misri kia asili ni ya waafrika sio waarabu
@chenzhenlee76334 жыл бұрын
Ukimsikiriza kwa makini anahubiri Biblia tuu injili itasonga mbele tuu na sio watu wengine Hao Hao ndio wanaiendesha kwa moto kkkk ubarikiwe
@Lky5893 жыл бұрын
Tatizo linakuja ktk kufanyia kazi unajikuta unatenda uislamu,,,ndo maana wakristo wengi wanasikiliza maneno ya midomoni mwa wachungaji nakujikuta wanapingana na maandiko yao.
@Lky5893 жыл бұрын
Injili yakweli yakwenye BBLIA inafuatwa na WAISLAMU ya maandiko,,,,,wakristo munafuata porojo.
@isaacmafole21363 жыл бұрын
Sahihi waislamu wanajitekenya na kuchekecha wenyewe
@lukmanmfnanga23362 жыл бұрын
Ukristo sio dini ni misheni ya wazungu au mpango au dili au tafsiri ya misheni embu tukafanye mishen tupate pesa ndio tafsiri ya ukristo ili tupewe mvinjo msahao dini ya muumbaa
@lukmanmfnanga23362 жыл бұрын
Ufunuo nikitabu cha mwisho kwenye bibilia maana ya ufunuo kwa lugha ya kiarabu ndio Quran
@mwassamwassa72642 жыл бұрын
Je maandiko ya ufunuo wa kwenye biblia na ufunuo wa kwenye Koran vinafanana?
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/a4a7oJ-rj92Gl8U MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI
@chenzhenlee76335 жыл бұрын
Wa Islam na hakiri kama ya Nguruwe kwa zia 1AL-FAATIH'A mpaka 114 ANNA'S Kuna INJILI au TORATI au ZABURI? 😡 😡 😡 😡 Lakini open The Holy Bible hivi vitabu utavikuta Humo wa Islam okokeni JESUS IS THE WAY, TRUTH AND LIFE njoni nyote kwake
@danielmahela24364 жыл бұрын
Hahaha huyu jamaa anaongea pumba kwa wanaoelewa.anataka kuona neno biblia ndani ya biblia ajui cc tunaamini injili.labda angeomba aoneshwe neno injili ambayo cc wakristo wote duniani ndio mboni yetu ya jicho. biblia sasa ni baada ya injiri zabur na taurati kuwekwa mahali pamoja maana kila kitabu kilikuwa kivyake sasa hivyo vitabu vingine vyote vinasapoti hiv vitabu vitatu Mama ambavyo ni injir zabur na taurati kwa kutoa historia mbali mbali za mitume na manabii hao walio vipokea kwa hiyo vikishawekwa mahali pamoja lazima kiwe na jina hakiwezi baki nyutro sasa ndo kina itwa biblia minafikiri arud tena darasani
@yusarjunkhanna41004 жыл бұрын
Nyinyi wakristoo mumepotea, wapii yesu akitaka kusaidiwa na nyinyi mukusanye vitabu na museme bibilia
@saidsuleiman90182 жыл бұрын
Kwa iyo icho kifo cha yesu kina hisu nini kwetu
@janetkahada52064 жыл бұрын
So you finish talking giving biblia lakini si qur'una na Jina la yesu Christo apewe sifa kwa kuweka muhuri kuwa MUNGU alitupa Bible.
@yusarjunkhanna41004 жыл бұрын
Huyo anawaonyesha upotevu wa bibilia ilii mupate kuokoka
@janetkahada52064 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 2:43 wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi manjua. So ukiona wakipiga si eti siyo hawajuwi ukweli. 2:62,Hakika walio Amina, na mayahaudi na wakiristo, na wasabai, yoyote atakaye muamini mwenyewe Mungu na siku ya mwisho na akatenda mema Basi watapata malipwa yao kwa Mola wao mlezi wala hita kuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika
@chenzhenlee76334 жыл бұрын
Zaburi, Taurati, injili vyote utavikuta kwe Biblia kkk Sasa hapa uislamu una nini?
@yusarjunkhanna41004 жыл бұрын
Kwahivyoo ww ndio uliandika bibilia sio, si uulize hiyo bibilia haihitaji uisaidie, ndio maana bibilia si kitabu cha Mungu
@hassannamtyakabacar.3093 жыл бұрын
Ndugu hujaelewa swali. Swali ni hili, Biblia ni kitabu cha MUNGU gani na mtume wake nani?
@janetkahada52064 жыл бұрын
Hakuna siku mutatoa andiko kwa qur'una lakini hamujuwi Bible, mara Bible ni ya Israeli lakini kwa kwa kujibu ni hiyo Bible ya Israeli mbona musitumia qur'una kwa kujivunia Bible na hali munakata Bible.
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Waisilamu wametumwa kuwaambiya kama mumegeuza maneno mukaondoa ili nakuongeza lile lashetani
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/a4a7oJ-rj92Gl8U MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI