UKALI wa SPIKA NDUGAI Kwa JENERALI ULIMWENGU - "CHUNGA ULIMI, AKIENDELEA TUTASHUGULIKA NAE"

  Рет қаралды 23,718

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

UKALI wa SPIKA NDUGAI Kwa JENERALI ULIMWENGU - "CHUNGA ULIMI, AKIENDELEA TUTASHUGULIKA NAE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 66
@emeldamulukuzi888
@emeldamulukuzi888 2 жыл бұрын
HIVI SPIKA WETU ANA KIWANGO GANI CHA ELIMU?.. MBONA MWEUPE SANA.
@datiusseba1344
@datiusseba1344 2 жыл бұрын
@ emelda mulukuzi hapo ndo unapokosea ufahamu au maharifa hayamuondolei mtu upumbavu and tambua kiwango cha elimu sio kipimo tosha cha how good you are at thinking hii vita kati ya mmoja ni educated fool anaewaongoza wenzake kwa matakwa ya executive na mwingine ni knowledgeable person anaejenga hoja zenye fikra nzuri. mwisho aisee ni kitu kibaya sana ukiwa maskini wa fikra.
@eliasmollel9213
@eliasmollel9213 2 жыл бұрын
Ndugai kaa ukijua haya ni maisha tu na kila mmoja atalipwa ujira wake asubuhi na mapema sanaaa
@sirkingsky108
@sirkingsky108 Жыл бұрын
Leo imekuwa
@janguboitz4316
@janguboitz4316 2 жыл бұрын
Uyu spika kweli Zuzu,Sasa ww Kama Nani Hadi upangie Watu Cha kuongea,Unajiona umefika,kumbe cheo ni dhamana,na shukulu ancle magu alikupitisha bila kupingwa,Bunge limekushinda Watu tunataka Katiba mpyaa
@emeldamulukuzi888
@emeldamulukuzi888 2 жыл бұрын
MNAWAPELEKA WATU MAHAKAMANI ..USHAHIDI WA UONGO ...MAMBO YA KUTUNGWA...AIBU.
@fabyboy_tz5562
@fabyboy_tz5562 2 жыл бұрын
Ndugai ni zuzu full stop,,
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 2 жыл бұрын
Uyu ndugai hafai kanisani wala msikitini
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 2 жыл бұрын
Usipende kutisha watu ww spikaa simnasemaga inchi hii ya uhuru waachen waaongee ..mnapenda kuonenea watu nyieee
@saidpazi6620
@saidpazi6620 2 жыл бұрын
Hii Nchi WATu wengi wanaelewa kwa hivi SS Bunge linavoendeshwa na Utaratibu wake Wakitokea WATu wanavojua KUSEMA Basi wanaonywa kwa kutishwa
@essaumakariusmbunda370
@essaumakariusmbunda370 2 жыл бұрын
Fanya kazi ndugai polojo za nini kama unakosea unakolewa tu wewe sio mungu
@cottamanywele9279
@cottamanywele9279 2 жыл бұрын
Hii nchi kila MTU anayo haki ya kuongea bali asivunje Shelia ulimwengu yuko sahh. Wewe ukiwa mbovu lazima usemwe vibaya ili ujirekebishe.
@ReactorsWatcher
@ReactorsWatcher 2 жыл бұрын
Yaani Viongozi uchwara Wanaona Ubabe ndo suluhisho la kila kitu. Acheni ujinga Watanzania wanataka Katiba Mpya na tume huru. Ili waweze kuwaondoa Madarakani Viongozi mnaojiweka Madarakani kwa Kutumia vyombo vya dola.
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 2 жыл бұрын
Hujielewi Umuhimu wa kuwa na katiba mpya lazima utokane na madhara ya katiba ya zamani. Mtu wa kawaida anaweza sema, sioni Umuhimu wa katiba mpya kwani napata mahitaji yote ya msingi (maji umeme hospital barabara shule nk). Hapo unahitaji zaidi ya jibu la msingi ili wende nae. Nyimbo tu itaimbwa, maantiki yake ni kutawala hata na kichaa.
@ReactorsWatcher
@ReactorsWatcher 2 жыл бұрын
@@edwardmizambwa237 Mm na ww nani Hajielewi ?? Inamaana ww mpk leo hujui madhara ya Katiba ya Zamani?? Katiba ya Zamani ni Katiba ya chama kimoja nw Kuna vyama vingi. Just logical tu utawezaje kuendesha inchi kwa Katiba ya chama kimoja kwenye wakati wa sasa wa vyama vingi?? Unasema eti unapata maji, umeme. Hivi kweli ww unapata umeme na maji ya uhakika kwenye miaka 60 ya utawala wa ccm?? Pumbavu kabisa, ccm wanajua Katiba mpya itawatoa madarakani ndio maana wanang'ang'ania Katiba ya Zamani ya chama kimoja.
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@ReactorsWatcher Changamoto ya kuwa ccm inasababisha kufunikwa akili uelewa anaelewa sana umuhimu wa katiba mpya ila changamoto moja yupo chama cha madikteta wanajua kbs katiba ya sasa inawabeba kwa kias kikubwa tume yao wenyewe wanajua ikiwa tume huru hatuna chetu kbsaa kwaio usibishane nae acha aseme ila ashajijua yeye ndo hajielewi uyo
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 2 жыл бұрын
Ipo day utakuwa raia tu kawaida sana tena sana..
@emeldamulukuzi888
@emeldamulukuzi888 2 жыл бұрын
TUMESHA CHOKA UDIKTETA HUU...MTU AKIONGEA MNATAKA KUMBOWE...
@martinmsaba8098
@martinmsaba8098 2 жыл бұрын
Kazi kazi
@emeldamulukuzi888
@emeldamulukuzi888 2 жыл бұрын
SASA ACHENI MTINDO WA KUWAMBOWE WA TZD. MNAYOYAFANYA YANA MWISHO.
@Werema3760
@Werema3760 2 жыл бұрын
ULIMWENGU alizungumza fact mbona!
@joojombi2341
@joojombi2341 2 жыл бұрын
Safi hayo
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 2 жыл бұрын
Huyu ndugai kuma tu
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 2 жыл бұрын
Mh.Tanzania yangu inapoelekea 🙏🙏🙏🙏
@manchalijob9600
@manchalijob9600 2 жыл бұрын
Ww ndugai ni mnafiki sanaaa
@aminamodi8927
@aminamodi8927 2 жыл бұрын
ULIMWENGU sasa hivi waya umempiga hanna pesa hivyo anadhani hiyo itamssidia ni MPUMBAVU saana HANA JIPYA yeye na bibi hake muendesha midahalo mitandaoni
@emeldamulukuzi888
@emeldamulukuzi888 2 жыл бұрын
ULIMWENGU ANAONGEA UKWELI. SASA KAMA KAWAIDA MNATAKA KUMBOWE.
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aminamodi8927
@aminamodi8927 2 жыл бұрын
Ulimwengu toka anyimwe tenda ya mabango na awamu ya magu basi kila mtu serikarini ni MBAYA kuimba nikupokezana
@othmankhan4393
@othmankhan4393 2 жыл бұрын
Huyo jamaa wa hovyo sana mshuhulikie apate tabu ssa😁
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 2 жыл бұрын
Ukiongea ukweli bhs itabidi ushughulikiwe sabb una dharau🤕🤕.
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 2 жыл бұрын
NDIHAI ZUZU NA WABUNGE MAZUMBUKUKU, YANABURIZANA NA HAYAJIELEWI KAMA MASHETANI👺👺👺
@anuaryally6177
@anuaryally6177 2 жыл бұрын
Sio kila mtu mzima anaekima kuna watu wazima ovyooooo pia
@mosesbarnabas3379
@mosesbarnabas3379 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anajiona Kama hii nchi ni baba yake
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 жыл бұрын
Jamani katiba inasemaje kuhusu watu wa nje ya bunge kuzungumzwa bungeni na raia wa kawaida anapomzungumza mbunge nini kinapaswa kufuatwa je ni Kama spika alivyosema
@frankremishoy5778
@frankremishoy5778 2 жыл бұрын
Ni bungeni sehemu ya kutunga sheriya lakini wameonyesha kufunja katiba yao hiyo mbovu eti hakuna uhuru wa kuongeya. Ndungai hii inchi mmeona ni ya kwenu hii nchi siyo ya mamaake mtu acha usenge ndugai.unatuona cc mazuzu alafu wabunge mpo bungeni mnasikiza hoja za fala.
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
Nyie wabunge fanyeni kazi yenu,msisikilize maneno ya watu taasisi yoyote lazima isememwe ndipo ijirekebishe sasa nyie kina nani msiependa kusemwa mtafanyaje kazi yenu kwa ufanisi kama hamkosolewi? Utawala wa Magufuli umeisha sasa tupo utawala wa kukosoana wa Samia Suluhu Hassani sasa kama nyie mnahisi bado mpo utawala wa Magufuli mtasubiri sana
@charleswilson9098
@charleswilson9098 2 жыл бұрын
Yaani nyie mkikosolewa mna sema watu Wana lopoka wewe nimwana dam huna lolote ikosiku utakinywea
@btsanime6138
@btsanime6138 2 жыл бұрын
Ndugai hafai kabisa
@georgesongo3617
@georgesongo3617 2 жыл бұрын
Wewe ndio tatizo ndungai
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 жыл бұрын
Ww spika kiwango chako cha kuelewa ni kidogo sana ww umekua nani
@oyay2821
@oyay2821 2 жыл бұрын
Mbunge mwenyewe alijidhalilisha alipo sema yeye ameokotwa jalalani. Na bunge ni kweli walisema Magu apende asipende ataongezewa miaka na hivi karibuni watasema tena mama aongezewe miaka kinyume cha sheria. Siku uvumilivu wa wananchi ndio mutajua tz ni ndogo sana
@johncharles9439
@johncharles9439 2 жыл бұрын
Taabu hata wewe utaipata tu kwani mungu hazihakiwi mkiambiwa ukweli mnakuja juu
@hamzasuleiman9605
@hamzasuleiman9605 2 жыл бұрын
Hili jamaa lilijisahau hiliii , wacha tusubirie taarifa za kifo chake tuenjoi
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Uhuru wakuongea kwahio naww spika punguza mdomo wako na humuwez
@omaryally9735
@omaryally9735 2 жыл бұрын
mazuzu
@MultiMbongo
@MultiMbongo 2 жыл бұрын
Ndugai kipindi kile kimepita huwezi kumtisha mtu tena fala wewe
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 жыл бұрын
Hiyo ndiyo kazi ya bunge? Kumjadili Ulimwengu?
@cottamanywele9279
@cottamanywele9279 2 жыл бұрын
Ndugai wewe. Na chama chako cha ma ccm ni mazuzu hamjielewi ulimwengu ni camanda ww. Ni nani mbele ya general ulimwengu. Huo ni udicteta. Na mmeshazoea kuteka teka watu. Ovyo ovyo.
@cottamanywele9279
@cottamanywele9279 2 жыл бұрын
Mmezoea kuteka teka watu ovyo ovyo. Baadae mnssema wasiojulikana kumbe Leo mmejitokeza hazarani kumbe wasio julikana ndo nyinyi akina ndugai
@bahatjuma7458
@bahatjuma7458 2 жыл бұрын
Umpe onyo wewe nanii
@jenistabukoko9182
@jenistabukoko9182 2 жыл бұрын
Kuna vtu vnapta umo ndan havelewek
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 2 жыл бұрын
Mara paaa watu wasiojuilikana washakushughulikia jeneral wangu Bora Kaa kimya
@noahlarapho3411
@noahlarapho3411 2 жыл бұрын
😁😁
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 2 жыл бұрын
Ukweli unawauma nyie ni kweli mazuzu kwani uongo ?😂😂
@annamrsmoses7413
@annamrsmoses7413 2 жыл бұрын
Uongozi hekiza sio matamko ya kij kama hayo wewe unachozungumza ni pumba tupu wapo watu wa uzito zaidi ya huo ulio nao lakini hauluwasaidia kitu hatuko nao we unajiona boooora kumbe hovyo
@hamsndengu6381
@hamsndengu6381 2 жыл бұрын
Watuwasi semeukwe saivi unashikwa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@issakazi6536
@issakazi6536 2 жыл бұрын
Ulimwengu mwendawazimu kingine siyo mtanzania
@willabryton2623
@willabryton2623 2 жыл бұрын
Ulimwengu ni miongoni mwa watu wachache wenye akili kubwa waliobaki Tanzania. Bahati mbaya sana nchi nyingi za kiafrika ukikosoa unaonekana unavunja sheria
@omarirashidi8250
@omarirashidi8250 2 жыл бұрын
Wewe zuzu tu
@omaryally9735
@omaryally9735 2 жыл бұрын
piga makofi tafazaaaalii
@kondegangmusic5866
@kondegangmusic5866 2 жыл бұрын
Alikiba kapata ajali tumuombee 😢kzbin.info/www/bejne/bmXaeYCpnrmegZo
@zuberikupaza1184
@zuberikupaza1184 2 жыл бұрын
Jenerali anasahau kwamba alipiga magoti ili kupata uraia wa Tanzania. Kweli anakashfu viongozi na hii nitabia yake tangu awamu ya tatu.
@hoseamligula8092
@hoseamligula8092 2 жыл бұрын
Mmebaki kutishia tishia tu watu
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 8 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 166 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
MAJIBU YA JENERALI ULIMWENGU KUHUSU KAULI YA SPIKA NDUGAI
2:07
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 712 М.
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 8 МЛН