SubhanaAllah Mimi niliota ng'ombe mweusi anafanya mapenzi na mimi hadi nahisi😭😭 na kabla ndoto hiyo nilikua naota tunagombana na mume wangu siku tatu mfululizo halafu ndio nikaota ng'ombe mweusi na kwa sasa mimi na mume wangu hatuna maelewano 😭😭😢
@fatimaabuu7463 Жыл бұрын
Pole sana
@mwikalijosephine51782 жыл бұрын
We believe in christ, Jesus conquered Satan we are more than conquer. I cover my self with blood of Jesus christ.
@DaoudKaloumba Жыл бұрын
Mansha Allah
@aishaaisha92012 жыл бұрын
She he Mimi naotanyoka sana saanyingine namuota akiwa ukutan mdamwingine anakuja anasoma kuruaani
@salamakombo32572 жыл бұрын
Subhana Allah
@fatmatwalib30672 жыл бұрын
Mashaallah Allah atulinde ya rabby
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Asante kwa elimu yako, hata kama mm ni mkristu elimu nzuri.
@ghulamyassintv48252 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pneqf6KPlJp0qNE Guza link faida
@saeedsaeed73813 жыл бұрын
Masha Allah Sheikh BarakAllah feek
@linamasta4773 жыл бұрын
Sheih nakukuba nakukubali Sana. Naomba uelekeze sawa ya mtu Alie unganishwa na wachawi Wana fanya tendo la hijmai
@nasurukagwisa43892 жыл бұрын
Manshalla
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
shukran zakAllah
@kababial31012 жыл бұрын
Yani wallah sisemi sana coz kwenye maisha yangu nimungu tu yuasaidia lakini yale nnayoyapitia,,, sheikh hii mada imelenga tusana
@jamilaalfarsi77123 жыл бұрын
Mashaallah allah akupe umrimrefu sheikhe uzidi kutufundisha tusioyajua
Assalàm allaikum Sheikh nilikuwa nauliza Dawa yauvimbe kwenye paja
@queenalimoja37032 жыл бұрын
asante
@saidasao98972 жыл бұрын
Ase mm napata tabu Sana na hizi ndoto za nyoka yani nachukia Sana na kila siku mm naota hizi walah nachoka sana
@furestonmajaliwa53152 жыл бұрын
Q'oran itatusaidiaje nawakati hinazidi kuzambazwa katika ruga moja ya kiarabu nawanaohambiwa hapa niwasema kiswahili ili wasome dua kwajili ya hizo pepo.
@abdlmalik45222 жыл бұрын
Naomba kuuliza
@mwanaishamwanamviwe82942 жыл бұрын
I nshallah
@bahatinassor99802 жыл бұрын
Hizi dalili nnazo mie subhanallah
@nasrascreativity37102 жыл бұрын
Mimi hua Mara nyingi naota naua manyoka ya brown na hua naota simba ama ngombe mweusi lakin huwaona kwa mbali kabla wao hawajaniona alaf nawahi kukimbia
@sallhaabumashari40882 жыл бұрын
Inshaallah sheikh umenena vyema mie nakutana sana hao nyoka
@sichanajecha19722 жыл бұрын
Allah tuondelee mitihani ya jini
@mwajumakaunawamwajumakauna24472 жыл бұрын
Assalam alaykum mitihani Kama hiyo ninayo miaka sita sasa sijapata mtoto ewe Allah tujaalie wepesi waja wako
@arafadeo52902 жыл бұрын
Sheikh Mimi zaid ya miaka mitano naota sanasana nipo shuleni nafanya mtihan majibu sijui naangaika nisaidien ina maana gani hii
@ghulamyassintv48252 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pneqf6KPlJp0qNE Guza link to faidike
@faizamansour35962 жыл бұрын
Na mm ni mwezako
@lexygeisar83032 жыл бұрын
Doh ni ndoto za kurudishwa nyuma kima endeleo weka chumvi mawe chini ya mto uache kuota hizo ndoto
@anifauwizeyimana84683 жыл бұрын
Vipi sheikh bona mimi nawaogopa nyoka nikiwaona hata kwa picha najiskia kichefuchefu alafu ndoto yakupa angani
Ndio Mimi nilivyo shekhe , nikweli haswaa ,nnilikuwanaonahivyo kwamudamlefu kitu kama mtotokinatembea tumboni ,mweziuliopita niliota yulemyoka anatoka na alikuwa mkubwaaa akatokakea mdomoni nilimvuta mpaka akaisha wote ,na alikuwa mrefu mkiawake ulijitokeza mpaka sehemu nyeti, basi akaomdoka , majuzi karuditena alipitia mgongoni Mimi nililalia mgongo alivyopita Nika hisi nilivyomshika aka nikwaruza nahisi alinitafuna kidogo ,akaendelea na safariyake kuondoka akapitia miguuni ,nikapigakelele anawaonyeshawenzangu nao wakakimbia lakini hawakumuona nilimuona Mimi tuuu .pia aliyeyuka sikujua alipoelekea ,na nilivyoamka hasubuhi nikaona natembelewa na kitu kama nyoka vilevile kama nyoka anavyotembea,
@ahmadyahya65762 жыл бұрын
Pole sana Dada angu mungu akulinde na shari za mashetani
@lexygeisar83032 жыл бұрын
Subhanallah pole sana dear
@user-gb4hi9im5o2 жыл бұрын
Asalam alkm warmatullahi wabarakatu
@catherinenyokabi57462 жыл бұрын
Waisilam kubilini YESU awaokowe.muachane na hiyo imani ya manjini.
@ashakhamis90932 жыл бұрын
Weee vipi Mungu yupo,na hao wameumbwa kwa ajili yakumuabudu Allh(s.w)
@ashakhamis90932 жыл бұрын
Haimaanishi kwamba majini wanao waislam ispokuwa shetan wanaadamu wote anae na hakuna aliekuwa Hana,hata yule mtoto mchanga azaliwe sasa hivi pia anae
@ashakhamis90932 жыл бұрын
Huyo yesu Hana chochote,ispokuwa heshimu dini ya wenzio km ww ni mkristo kaa na dini yako lkn umepotea Kuna Aya unasema hivi: Tabbat yadaaaa abi lahabi wwatabba,pmj na wenzio muko hatarini,silimu uingie ktk dini ya hakki Bado unanafas hujacherewa,Mungu yupo halali Wala Hali ,njooo dada angu dunia ni starehe lkn tumeletwa kwa Jambo 1 tu kuja kumtukutuza na kumswifu Allh(s.w) kuabudu,ww umeshika kuabudu usichokijua unapotea
@saidasao98972 жыл бұрын
Vip ww hata hao Majin wanaabudu mungu pia
@ashakhamis90932 жыл бұрын
Na ndio maana nkakwambia heshimu dini za wenzio,maana hujui na hao majini wanaabudia kit gn
@fatmashosy93622 жыл бұрын
Asalam aleykum jee ikiwa nko Kenya nitasaidia kivpi
@naisaempare75842 жыл бұрын
Waislamu mnapenda mno kuabudu majini bhna! M ndo mana nikatoka kuzimuni kwenu mnakera mno
@mwikalijosephine51782 жыл бұрын
Yes they love to believe of satanic and they know how to do demonc issues.
@annamoka25762 жыл бұрын
YAN wanamwabudu sana Shetani hawa duuuuuu
@mwikalijosephine51782 жыл бұрын
Let's keep them on prayers
@angelnasri19953 жыл бұрын
Namba ya mpesa ya kuchangia ukiwa Kenya ni gani?
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
NAMBA YA KUCHANGIA UKIWA KENYA NI 0754664218 MPESA YUSSUF KHAMIS
@angelnasri19953 жыл бұрын
@@alfajrtvtzonline9315 Asante
@angelnasri19953 жыл бұрын
Is not registered pia ni ya airtel
@gracewanjiru31652 жыл бұрын
Ndawa in gani
@gracewanjiru31652 жыл бұрын
Mimi Niko hivyo
@mercygatumwa13292 жыл бұрын
Kwa mara nyingi mi uota nikifanya mapenzi.
@marryprospa76222 жыл бұрын
Je ukiota unakimbizwa n nyoka lkn hajakung,ata
@mathewswedy74633 жыл бұрын
Yani mm ndoto za nyoka naotaga mala nyingi sana siku hizi
@arnoldngwira45913 жыл бұрын
Ndoto za kuota nyoka wa kijani anakuja kuuma ghafla unaamka maana gani?
@priscachizenga99602 жыл бұрын
Kaka naomba namba
@priscachizenga99602 жыл бұрын
Kaka namba yako twaipataje
@jamillahmussa37753 жыл бұрын
Asalaam Allaykum warahmatullahi wabarakatuh, naam ukiota nyoka mweupe nyebamba na refu,, anakusumbua usiku nsima Kisha ukaamua, asubuhi yake watoto wakaona nyoka Kisha wakauua really kabisa, hapo inamanisha nini sheikh??
Mmmh Mimi sijawahi kuota izo ndoto za kuongea na nyoka wala kufanya mapenz na nyoka wala kua na jini nyoka....Lakini Mimi hua nikiona nyoka napenda sana kumtazama iwe live iwe kwenye tv Yaani napenda sana kumtazama nyoka kwa kweli huwa simuogopi labda anikaribie kabisaa
@user-ee8hq1bg5l2 жыл бұрын
Mimi huwa siwezi harufu ya mafuta ya taa petrol na mafuta makali lakini hizo dalili nyingine sina huwa naumwa na kichwa sana
@ghulamyassintv48252 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pneqf6KPlJp0qNE Guza link ilitufaidike