Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?
@STEVEN-f6gАй бұрын
SnS is more than mainstream media..
@thelaoban6236Ай бұрын
Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍
@thelaoban6236Ай бұрын
Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….
@AbuuAli-nf4fbАй бұрын
Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha
@maneibaztv5943Ай бұрын
Watching live from Russia
@djsma255Ай бұрын
Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,
@bomonda2622Ай бұрын
Dj sma uko bright mashaalah
@maniamba.tz_29 күн бұрын
Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri
@kherisalum6304Ай бұрын
Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥
@abcelectricalsolutions7000Ай бұрын
Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates
@jkifutu7936Ай бұрын
Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Ndio wap uko ndgu
@Gulfnas1Ай бұрын
Ndo wap huko kaka??
@hajimaruzuku6583Ай бұрын
Sns tun wapata vizuri URAAAAAA
@thehomeoffootballskills4358Ай бұрын
wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers
@kikongajoel2693Ай бұрын
KAZI nzuri
@user-ql6hg7fy9pАй бұрын
Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.
@omarisombi9284Ай бұрын
Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu
@streetsechoАй бұрын
Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve ! SNS Respect 💯👊🏾
@BeauthomАй бұрын
Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa
@user-il7hv7qr7cАй бұрын
Waaaa
@RamadhanpMwakilasa-di5hcАй бұрын
Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥
@MAHAN-SMARTАй бұрын
I won't stop listening sns, I really like it
@rashadmohamed8341Ай бұрын
Kazi nzuri brother
@kolokokoloko9276Ай бұрын
Safi sana Sns
@MiramboMarieJeanne-xz6ysАй бұрын
Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi
@deusisindwa616Ай бұрын
Asnt sana kwatarifa nzr,, Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin
@user-fs6iq2my9kАй бұрын
Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi
@matukutajuma156Ай бұрын
Mpo vizuri
@PUTINN365Ай бұрын
Sauti
@NuhuHamisiАй бұрын
Oya wazee nakubali sana kazi zenu
@johnthesimba4764Ай бұрын
Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika
@ramadhandivele9019Ай бұрын
Asanteni Kwa habari tupo pamoja
@georgebataze6625Ай бұрын
Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns
@danielmbaga4596Ай бұрын
Uko Ukirein!!!!!!!!!k kama ndivyo una roho ya Nyau😂
@golebenson4597Ай бұрын
😂😂😂
@godwinmandary5116Ай бұрын
Good
@dominic4727Ай бұрын
Kweli
@nomoboy152Ай бұрын
SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo
@sleifikhajjir262Ай бұрын
Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky
@johnnkelebe7360Ай бұрын
Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.
@uwimana6533Ай бұрын
Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa
@user-oz3zu1qm9zАй бұрын
asandeni sana
@user-cf6qo9rs4fАй бұрын
❤❤ dj smaa❤❤
@soudyhassan1511Ай бұрын
Duh
@martinndunguru7103Ай бұрын
Fire
@chusseboywcb2808Ай бұрын
Team mrusi tujuane👇👇👇👇
@Gulfnas1Ай бұрын
Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea
@user-pl7rr6oe4zАй бұрын
Safi.sana
@bosssyedmund8785Ай бұрын
The change has come
@MAHAN-SMARTАй бұрын
Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi
@salumadam2862Ай бұрын
Sns hamna mpinzani ✌️
@mutorojackson8847Ай бұрын
❤
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.
@HusseinMohamad-pl2cfАй бұрын
Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂
@uwimana6533Ай бұрын
Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo
@sonnyr1899Ай бұрын
BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu
@succeslifeeducation9868Ай бұрын
Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV
@user-pd5hl9di2qАй бұрын
Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive
@lukulomansour3087Ай бұрын
Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!
@King_Of_EverythingАй бұрын
👍👊✌️.
@erickhaule5591Ай бұрын
Back sound muhimj
@ezekiakiwovele7794Ай бұрын
Sauti hamna
@emanuelmasua7830Ай бұрын
😊
@abdallahkhalfan3966Ай бұрын
Sauti imepotelea wapi
@asclassic504Ай бұрын
First
@MedardMushoboziАй бұрын
Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤
@golebenson4597Ай бұрын
Wizara ipi ndugu
@rashadally6871Ай бұрын
Lazima waseme mwaka huu watakaa mezani...
@KAMTUPEАй бұрын
Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.
@ShabanKarim-tv3vnАй бұрын
Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤
@ezekiambise2595Ай бұрын
Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.
@lameckraphael3743Ай бұрын
Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee
@FastpayMauzoАй бұрын
Nyie wachambuzi si mpewe kazi ya kufundisha jeshin?
@user-oz3zu1qm9zАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@vumiliamgingu1579Ай бұрын
Piga hao
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1
@CharafimalisalimoAli-qw3hkАй бұрын
HAHAHAHAAAAA😂 .NA HAO WALIOUWAWA 1,400 MDA WA MASAA 24 TU MBONA BBC HAWASEMI😂. DAH YAANI RAHASANA HAWA JAMAA WALIOTUULIA GADAFIWETU NA SADAMU BILAKOSA DADEK HAYO NDIO MALIPO SASA. kama asemavyo ALLAH. hazidishiwi dhwaalimu isipokua ni hasaratu😂
@boaziamos1224Ай бұрын
😂
@khalidbelhasa2137Ай бұрын
Sasa ww unafikiria kama Ukraine ataishambulia Moscow sio ndio itamalizwa Ukraine
@DaudiWimburaАй бұрын
Yaani mpaka waseeeemeee
@devisjoseph5787Ай бұрын
Naomba kujua, vipi kama Urusi ikashinda vita na kuichukua Ukraine yote, je Urusi waichukua nchi nzima na kupanua mipaka ya nchi hiyo kwa eneo la Ukeaine?
@user-sy6oh2ft6rАй бұрын
Putin anafanya kazi zuri ila awe makini kwa usalama wake Marekani na ukata wapo kazini usk na mchana
@mussakimaro5588Ай бұрын
Wapige tu hao mashoga mpaka wakimbie nchi yote iwe urusi tu
@nicenice3881Ай бұрын
Mmetsha ✅✅🇹🇿
@kdloon2030Ай бұрын
Vita hii ni kwamba Ukraine kaisha shindwa,ila anashindwa kusalim amri coz itakua ni kama NATO wameshindwa vita!Hilo lipo wazi
@RajabuHussein-to7jzАй бұрын
Acha uruss iwatandike hao wapuuzi na waisoma uraaaaaaa
@user-sr8tc8ke6qАй бұрын
Nipo Ukraine nawapata vizuri 😢😢😢
@KhamisOmar-kt4kzАй бұрын
Ww si uko.kenya😂😂😂
@ahmedhemed21 күн бұрын
Mrusi kashajiandaa kutumia s500 kwa ajili ya f _16 naf22na 35
@isaacramadhan9721Ай бұрын
Wachana na kharkiv naona pia mji mkuu pia ukienda
@user-po9wi5lh1oАй бұрын
Nato kazi yao kutengeneza ugaidi ili kuihadaa dunia wazidi kuendeleza ushetani wao ngoja wakione chamoto
@dominic4727Ай бұрын
Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns
@Kituramohamed9698Ай бұрын
Wapigwe hao mashoga mpaka warudi kwenye mstari
@SaidKawela-qy5wvАй бұрын
Mimi bado nasoma ahlalbadr
@mndambokilavo2502Ай бұрын
Na wanasema hizo f16 zina technology mpya sana kwa zitawasumbua sana waukrine kuziendesha
@hajinachembe4310Ай бұрын
Swali langu kwa dj smaa na kwa ally kwa yoyote ambae anaweza kunijibu,, hizi ndege za F-16 na F-35 mrusi ana uwezo wa kuzitungua kwenye uwanja wa vita?