UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARI

  Рет қаралды 47,924

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 273
@user-tm6gv9kp7v
@user-tm6gv9kp7v Ай бұрын
Naomba like 20 Wana sns ..tunawashukuru xna kwa kutupatia taarifa kwa wakat .. Zerozensky mwisho wa cku mpk yy atakimbia na kuitelekeza nchi yake
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 Ай бұрын
Yani wew hamna sauti unataka like
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Nimemtafutia sijasiona uliziweka wapi😅😅😅😅😅😅
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Ай бұрын
Conversation ya Leo yapo poa sana, fantastic job
@fatmabukuku5384
@fatmabukuku5384 Ай бұрын
Sns nawapata vizuri sana from Belgium
@bishweko
@bishweko Ай бұрын
Combination hii ya wachambuzi inatupa uelewa mkubwa kimantick. ❤❤❤❤. Nashukuru sns kwa kulichukua wazo langu na kulifanyia kazi. ❤❤❤
@PatrickKagiraneza-ok8cw
@PatrickKagiraneza-ok8cw Ай бұрын
Ongera kwa urusi.endeleya ku capa NATO n'Amerika...
@josephyapesa160
@josephyapesa160 Ай бұрын
Bila michubuko unaweza kupata ukimwi?
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 Ай бұрын
Asanteni sana kwa taarifa nzuri zimesomeka kitaalamu kabisa hongereni kwa uchambuzi mzuri wa kiwango cha Kimataifa
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Ай бұрын
Dj smaa alishatabiri japo wanao shabikia magaidi NATO na mharifu Marekani hawataki kusikia ukweli .
@ikramuselemani3272
@ikramuselemani3272 Ай бұрын
Uhakikaaa
@mnaratailoring6346
@mnaratailoring6346 Ай бұрын
Nawapata vema .nipo Namibia hapa windhoek. Napenda sana kazi yenu.
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 Ай бұрын
Upo Windhoek sehemu gani? Khomazda Katutura Babylon ama Klein Windhoek. Hongera SNS kwa umbuzi uliochangamka
@mpwaguzipwagu3199
@mpwaguzipwagu3199 Ай бұрын
Nawapata vzr from Germany
@annurmohamedi9824
@annurmohamedi9824 Ай бұрын
Hawa Wagner kwel ni watu hatar sana maana sio kwa wanachokifanya huko Kharkov 🙌
@uwimana6533
@uwimana6533 Ай бұрын
DJ esma nimchambuzi mzuri mrusi siomtuwakutania watu wanavyofikiria ,anaogopwa na wazungu wenzie
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Ай бұрын
Sio dj esma ni Dj sma
@uwimana6533
@uwimana6533 Ай бұрын
@@Gulfnas1 mkono umetereza kuandika kwaio umekua mkosoaji
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Ай бұрын
@@uwimana6533😂😂😂😂
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 Ай бұрын
Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?
@STEVEN-f6g
@STEVEN-f6g Ай бұрын
SnS is more than mainstream media..
@thelaoban6236
@thelaoban6236 Ай бұрын
Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍
@thelaoban6236
@thelaoban6236 Ай бұрын
Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….
@AbuuAli-nf4fb
@AbuuAli-nf4fb Ай бұрын
Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha
@maneibaztv5943
@maneibaztv5943 Ай бұрын
Watching live from Russia
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,
@bomonda2622
@bomonda2622 Ай бұрын
Dj sma uko bright mashaalah
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 29 күн бұрын
Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri
@kherisalum6304
@kherisalum6304 Ай бұрын
Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥
@abcelectricalsolutions7000
@abcelectricalsolutions7000 Ай бұрын
Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Ай бұрын
Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Ай бұрын
Ndio wap uko ndgu
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Ай бұрын
Ndo wap huko kaka??
@hajimaruzuku6583
@hajimaruzuku6583 Ай бұрын
Sns tun wapata vizuri URAAAAAA
@thehomeoffootballskills4358
@thehomeoffootballskills4358 Ай бұрын
wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 Ай бұрын
KAZI nzuri
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p Ай бұрын
Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.
@omarisombi9284
@omarisombi9284 Ай бұрын
Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu
@streetsecho
@streetsecho Ай бұрын
Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve ! SNS Respect 💯👊🏾
@Beauthom
@Beauthom Ай бұрын
Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa
@user-il7hv7qr7c
@user-il7hv7qr7c Ай бұрын
Waaaa
@RamadhanpMwakilasa-di5hc
@RamadhanpMwakilasa-di5hc Ай бұрын
Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART Ай бұрын
I won't stop listening sns, I really like it
@rashadmohamed8341
@rashadmohamed8341 Ай бұрын
Kazi nzuri brother
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 Ай бұрын
Safi sana Sns
@MiramboMarieJeanne-xz6ys
@MiramboMarieJeanne-xz6ys Ай бұрын
Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi
@deusisindwa616
@deusisindwa616 Ай бұрын
Asnt sana kwatarifa nzr,, Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin
@user-fs6iq2my9k
@user-fs6iq2my9k Ай бұрын
Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi
@matukutajuma156
@matukutajuma156 Ай бұрын
Mpo vizuri
@PUTINN365
@PUTINN365 Ай бұрын
Sauti
@NuhuHamisi
@NuhuHamisi Ай бұрын
Oya wazee nakubali sana kazi zenu
@johnthesimba4764
@johnthesimba4764 Ай бұрын
Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika
@ramadhandivele9019
@ramadhandivele9019 Ай бұрын
Asanteni Kwa habari tupo pamoja
@georgebataze6625
@georgebataze6625 Ай бұрын
Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns
@danielmbaga4596
@danielmbaga4596 Ай бұрын
Uko Ukirein!!!!!!!!!k kama ndivyo una roho ya Nyau😂
@golebenson4597
@golebenson4597 Ай бұрын
😂😂😂
@godwinmandary5116
@godwinmandary5116 Ай бұрын
Good
@dominic4727
@dominic4727 Ай бұрын
Kweli
@nomoboy152
@nomoboy152 Ай бұрын
SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 Ай бұрын
Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 Ай бұрын
Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.
@uwimana6533
@uwimana6533 Ай бұрын
Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa
@user-oz3zu1qm9z
@user-oz3zu1qm9z Ай бұрын
asandeni sana
@user-cf6qo9rs4f
@user-cf6qo9rs4f Ай бұрын
❤❤ dj smaa❤❤
@soudyhassan1511
@soudyhassan1511 Ай бұрын
Duh
@martinndunguru7103
@martinndunguru7103 Ай бұрын
Fire
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Ай бұрын
Team mrusi tujuane👇👇👇👇
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Ай бұрын
Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea
@user-pl7rr6oe4z
@user-pl7rr6oe4z Ай бұрын
Safi.sana
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 Ай бұрын
The change has come
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART Ай бұрын
Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi
@salumadam2862
@salumadam2862 Ай бұрын
Sns hamna mpinzani ✌️
@mutorojackson8847
@mutorojackson8847 Ай бұрын
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Ай бұрын
Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.
@HusseinMohamad-pl2cf
@HusseinMohamad-pl2cf Ай бұрын
Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂
@uwimana6533
@uwimana6533 Ай бұрын
Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Ай бұрын
BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g Ай бұрын
​@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g Ай бұрын
​@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu
@succeslifeeducation9868
@succeslifeeducation9868 Ай бұрын
Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q Ай бұрын
Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive
@lukulomansour3087
@lukulomansour3087 Ай бұрын
Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
👍👊✌️.
@erickhaule5591
@erickhaule5591 Ай бұрын
Back sound muhimj
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 Ай бұрын
Sauti hamna
@emanuelmasua7830
@emanuelmasua7830 Ай бұрын
😊
@abdallahkhalfan3966
@abdallahkhalfan3966 Ай бұрын
Sauti imepotelea wapi
@asclassic504
@asclassic504 Ай бұрын
First
@MedardMushobozi
@MedardMushobozi Ай бұрын
Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j Ай бұрын
Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤
@golebenson4597
@golebenson4597 Ай бұрын
Wizara ipi ndugu
@rashadally6871
@rashadally6871 Ай бұрын
Lazima waseme mwaka huu watakaa mezani...
@KAMTUPE
@KAMTUPE Ай бұрын
Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn Ай бұрын
Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 Ай бұрын
Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 Ай бұрын
Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee
@FastpayMauzo
@FastpayMauzo Ай бұрын
Nyie wachambuzi si mpewe kazi ya kufundisha jeshin?
@user-oz3zu1qm9z
@user-oz3zu1qm9z Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@vumiliamgingu1579
@vumiliamgingu1579 Ай бұрын
Piga hao
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 Ай бұрын
Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk Ай бұрын
HAHAHAHAAAAA😂 .NA HAO WALIOUWAWA 1,400 MDA WA MASAA 24 TU MBONA BBC HAWASEMI😂. DAH YAANI RAHASANA HAWA JAMAA WALIOTUULIA GADAFIWETU NA SADAMU BILAKOSA DADEK HAYO NDIO MALIPO SASA. kama asemavyo ALLAH. hazidishiwi dhwaalimu isipokua ni hasaratu😂
@boaziamos1224
@boaziamos1224 Ай бұрын
😂
@khalidbelhasa2137
@khalidbelhasa2137 Ай бұрын
Sasa ww unafikiria kama Ukraine ataishambulia Moscow sio ndio itamalizwa Ukraine
@DaudiWimbura
@DaudiWimbura Ай бұрын
Yaani mpaka waseeeemeee
@devisjoseph5787
@devisjoseph5787 Ай бұрын
Naomba kujua, vipi kama Urusi ikashinda vita na kuichukua Ukraine yote, je Urusi waichukua nchi nzima na kupanua mipaka ya nchi hiyo kwa eneo la Ukeaine?
@user-sy6oh2ft6r
@user-sy6oh2ft6r Ай бұрын
Putin anafanya kazi zuri ila awe makini kwa usalama wake Marekani na ukata wapo kazini usk na mchana
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Ай бұрын
Wapige tu hao mashoga mpaka wakimbie nchi yote iwe urusi tu
@nicenice3881
@nicenice3881 Ай бұрын
Mmetsha ✅✅🇹🇿
@kdloon2030
@kdloon2030 Ай бұрын
Vita hii ni kwamba Ukraine kaisha shindwa,ila anashindwa kusalim amri coz itakua ni kama NATO wameshindwa vita!Hilo lipo wazi
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz Ай бұрын
Acha uruss iwatandike hao wapuuzi na waisoma uraaaaaaa
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q Ай бұрын
Nipo Ukraine nawapata vizuri 😢😢😢
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz Ай бұрын
Ww si uko.kenya😂😂😂
@ahmedhemed
@ahmedhemed 21 күн бұрын
Mrusi kashajiandaa kutumia s500 kwa ajili ya f _16 naf22na 35
@isaacramadhan9721
@isaacramadhan9721 Ай бұрын
Wachana na kharkiv naona pia mji mkuu pia ukienda
@user-po9wi5lh1o
@user-po9wi5lh1o Ай бұрын
Nato kazi yao kutengeneza ugaidi ili kuihadaa dunia wazidi kuendeleza ushetani wao ngoja wakione chamoto
@dominic4727
@dominic4727 Ай бұрын
Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns
@Kituramohamed9698
@Kituramohamed9698 Ай бұрын
Wapigwe hao mashoga mpaka warudi kwenye mstari
@SaidKawela-qy5wv
@SaidKawela-qy5wv Ай бұрын
Mimi bado nasoma ahlalbadr
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Ай бұрын
Na wanasema hizo f16 zina technology mpya sana kwa zitawasumbua sana waukrine kuziendesha
@hajinachembe4310
@hajinachembe4310 Ай бұрын
Swali langu kwa dj smaa na kwa ally kwa yoyote ambae anaweza kunijibu,, hizi ndege za F-16 na F-35 mrusi ana uwezo wa kuzitungua kwenye uwanja wa vita?
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Yes
@Gulfnas1
@Gulfnas1 Ай бұрын
Baba Tours aka Zerozenky naku zoom kwa mbali...
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 155 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 13 МЛН
One Two Buckle My Shoes ! #spongebobexe #shorts
0:17
ANA Craft
Рет қаралды 54 МЛН
当小孩上学后,路飞太开心了#海贼王#路飞
0:25
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 9 МЛН
When dad sneezes 😱😵‍💫 LeoNata family #shorts
0:26
LeoNata Family
Рет қаралды 8 МЛН
Мужчина С Золотыми Руками 💪
0:42
EpicShortsRussia
Рет қаралды 3,5 МЛН