Ukiiba kuku wafungwa maisha lakini wauwaji wa binadamu wanaishi na wanalindwa subhanallah
@PETERKIMANI-kr5cdАй бұрын
Ingillieni kusaidia senior Dave a content creator anafuatilia washukiwa lecturer, councilor, daktari,wanaua kutoa body's parts Na kudump maiti
@Mima-cl2imАй бұрын
Mauwaji haya hayawezi kufanywa na mtu mmoja. Serikali inatakiwa kuchunga usalaama wa wananchi. Serikali imeshindwa. Ruto must go
@agneskhakali2069Ай бұрын
Hakuna cha kuugua akili hii business ingieni YOU TUBE ya Senior Dave muone vile wanatoa offer ya 40m waachiliwe
@user-yb5we7bm7tАй бұрын
😢😢😢😢😢😢 kayole remember iko mbali Sana na kwuare
@conpere1468Ай бұрын
This guy has been set up. Why were the police against phone usage around the said area? That area is a crime scene and everybody is there. Kikulacho kiko nguoni mwako.
@atwowa6380Ай бұрын
Hii kazi ipatieni kina posta show nakina true k na kina raaf
@ElizabethLetlettingАй бұрын
Mungu alinde kenya so sad oh my God
@getrinimweyeli2095Ай бұрын
Wameshika mutu Mmoja ili kuficha aibu ya serekali kenya niogozi wanatoa watu kafara sana walai mungu alali ata nyinyi mutakufa tu
@thesheriff-sheriffmunene7993Ай бұрын
This Government is fooling us...Watu si wajinga bana
@lucafrica123Ай бұрын
Maskini tuhamishwe Kenya 🇰🇪 tuiwachie serilali na kanisa😢
@trusilangolo9032Ай бұрын
Huyu mtu never did this alone police should be answerable
@walkertechnologyАй бұрын
Govenment will always have something to say be it true or false.... Bona imetake long kuconvict wale waliua wakati wa maandamano na wengi wanajulikana?
@eunicenyokabi3604Ай бұрын
Yule anasema wahamizwe mahali pennine,pia yeye Ali sign
@user-dp5zy8ih1kАй бұрын
Hii nijaa yapesa watu wanauza viungu vya.mwili.huyo.siruto.natuombe
@antoniosenteu1599Ай бұрын
decoy.. he is just another pawn sacrifice
@eunicemukuiАй бұрын
So sad 😭😭😭😭😭😭
@abdulmustafa2148Ай бұрын
Mliambiwa bottom up maana ya bottom ni hiyo shimo up ni juu ya hiyo shimo ya kware
@ednahumazi777Ай бұрын
Kitu sijaelewa kwani hawakuriport police
@mzeemombasa.3456Ай бұрын
Mshukiwa atatuelezea zaidi .
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796Ай бұрын
Uyo jamaa hajauwa nikupumbaza wa kenya akili tu ila malipo ni hapahapa duniani ahera ni esabu
@rihkaa6289Ай бұрын
Ruto the murderer,, ruto the killer,, ruto mtu amethreaten DCI waje watupigie kelele,, ruto mtu hana utu,,we aren't buying this narrative..
@2ndlast539Ай бұрын
Sheria iwekwe kama ya saudi arabia ukiua uuliwe pia si ho kuangaliwa ati akili, huo n upusi
@user-ok6qr6tb1uАй бұрын
Rutos dirty deeds
@ChristineNzeluАй бұрын
Kwanza ukienda police kulipoti kitu anasema uyo pesa kwani mahasikali awana mshahara tuhulisie