kweli kabisa mtumishi anakuwa hana tofauti ma mganga wa kienyeji😂😂
@Tom_Florix7 ай бұрын
Hii situation imekuumiza sana all in all ni kuwaelewesha tu maana hata maandiko yalisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@mr_chengula7 ай бұрын
😂
@roynamwinuka63917 ай бұрын
Hongera mtumishi,
@roynamwinuka63917 ай бұрын
Tena hao matapeli ndo wamekuwa wengi Sana. Nashukuru Mungu alipata mtumishi jack mwamba aliyenijenga kwenye misingi ya Neno la Mungu ndiyomana mpaka Leo nadumu katika Imani na hakuna mtumishi mwingine atakaye nitoa kwenye Imani ya Neno .