ULIPITWA NA HII? TAZAMA HAPA DAKIKA 5 ZA UDAMBWI UDAMBWI WA ELIE MPANZU VS KAGERA SUGAR

  Рет қаралды 266,054

Simba SC Tanzania

Simba SC Tanzania

Күн бұрын

SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC KZbin Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi

Пікірлер: 166
@dhgraphix_
@dhgraphix_ Ай бұрын
Mpanzu tunae na tunatamba naeeee salute kwa Mpanzu 🎉🎉
@ReiyoNgopilo
@ReiyoNgopilo Ай бұрын
😮
@jumamangombe6493
@jumamangombe6493 Ай бұрын
Tusiwe watu wa majivuni. Tunamwomba mwenyezi Mungu aibariki na kuilinda club ya simba sc, awabariki na kuwalinda wachezaji wooote wa Simba SC.
@noelpetro2089
@noelpetro2089 Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥 daah ni moto mwingn mpanzu
@marthamsacky6973
@marthamsacky6973 Ай бұрын
Nachojua mimi ni maombi tuu kwa wachezaji wetu Mungu awalinde na mabaya na hatari zote❤❤❤
@iddiramadhan
@iddiramadhan Ай бұрын
Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Ай бұрын
Amina
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 Ай бұрын
aaamin
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Ай бұрын
Shikamoo Mo , Magori na kamati nzima ya usajili please bring Fei and one center back
@isaackbm1935
@isaackbm1935 Ай бұрын
Nguvu Moyaaaaaa
@EfrahimMsemwa-j7j
@EfrahimMsemwa-j7j Ай бұрын
Anaejua anajua tu mpanzu analijua Sana boli simba ni Kama Barcelona sasa. ❤😅😅😅
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu Ай бұрын
Nimeshawahi mpanzu ni wa kwang sitaki ugomvi na mtu ❤❤😂😂😂
@ShukuruMakoko
@ShukuruMakoko Ай бұрын
Anajua
@ZuberiJuma-e2b
@ZuberiJuma-e2b Ай бұрын
Mpanzu Anajuwa sana
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 Ай бұрын
nimfatilia sana simba inatakiwa huyu bwana Atunzwe sana tena sana Nalindwe kutokana nanguvu za kishilikina isije akawa jeshuwa mutale
@Movietz9
@Movietz9 Ай бұрын
MCHEZAJI MZURI sana
@Mariah-r1o
@Mariah-r1o Ай бұрын
Elie mpanzu nimekupenda Sana siwezi ishi bila wew ❤️😂
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 Ай бұрын
😂😂😂 mbwa wewe
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz Ай бұрын
​@@allymwashambwa5920😂😂😂😂😂😂 wivu unataka akupende wewe
@Mariah-r1o
@Mariah-r1o Ай бұрын
@allymwashambwa5920 mwenyewe 😁😂
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Ай бұрын
Mobeto wa Mchongo hahaaa
@shadymbuki87
@shadymbuki87 Ай бұрын
Mungu anakuona..😅😅
@NaibuJuma-x3i
@NaibuJuma-x3i Ай бұрын
Ok bongee la mchezajii
@HawaKocho
@HawaKocho Ай бұрын
Ahsante nguvu Moja ila da huyu mpanzu wanataka kutuharbia miguu, maana anafuatiliwa sana kumuumiza,
@jhashick8983
@jhashick8983 Ай бұрын
MUNGU MTUNZE MPANZI 🙏🏾
@GoodluckKomba-s2r
@GoodluckKomba-s2r Ай бұрын
Noma san mpanzuu
@joshuahamis2738
@joshuahamis2738 Ай бұрын
Duuh Mpanzu ni balaa, Mungu tunakuomba umlinde mchezaji wetu
@paulkasase7280
@paulkasase7280 19 күн бұрын
simba kuna kimondo kinasukwa combination ya Elie mpanzu,Kibu d na Ahoua (EKA) kama wataelewana vizuri itakuwa ni hatari kubwa sana mtakuja kunielewa sku nyingine kwa sasa ni ngumu sana kuelewa
@AlcherausMalinzi
@AlcherausMalinzi Ай бұрын
Natamani Mpanzu na Kibu waanze pamoja
@anthonymilinga8696
@anthonymilinga8696 Ай бұрын
Yaani wewe unawaza kama mimi, natamani siku moja Mpanzu acheze winga ya kushoto na Kibu winga ya kulia tuone moto utakavyo waka.
@MichaelKahisha
@MichaelKahisha Ай бұрын
KIBU HUYUHUYU???
@JohnJohn-fs8ex
@JohnJohn-fs8ex Ай бұрын
Kibu hapana anapoteza mipira. Mpanzu anacheza vizuri na Kapombe, kocha alipaswa kuwapa dakika 90 wote wawili , alipowatoa tu mchezo ukapooza.
@AlcherausMalinzi
@AlcherausMalinzi Ай бұрын
@JohnJohn-fs8ex Yaani Kibu unamkataa leo? Mpira wa sasa ni mtu mwenye uwezo wa kupress kwa nguvu.Na Mpanzu na Kibu ndio vinara wa uwezo huo.Sasa Kapombe unamlinganisha na Kibu?
@HajsonNdundulu-h8q
@HajsonNdundulu-h8q Ай бұрын
Wapinzani wajipange nw untouchable simbaa
@stevekabume3317
@stevekabume3317 Ай бұрын
Mchezaji mzuri mwepesi yupo fast
@mlekwadaud2530
@mlekwadaud2530 Ай бұрын
Ikiwezekana wabadilishane jezi na Mavambo. Mpanzu avae jezi namba 17 itapendeza zaidi. Maoni yangu tu.
@allychengula3511
@allychengula3511 Ай бұрын
Namba 10
@asajilemwamundela1220
@asajilemwamundela1220 Ай бұрын
Mwamba fundi sana Mungu amlinde tuu
@jumamangombe6493
@jumamangombe6493 Ай бұрын
Amen
@361NEWS
@361NEWS Ай бұрын
dah jamaa anajua sana naiona ile simba ya moto yakina mikson gari likiwaka hakuna wakumzuia simba kupitia mpanzu
@zaynd5366
@zaynd5366 Ай бұрын
😂😂😂goli keeper aliongea na mpira
@Hawaally-d6f
@Hawaally-d6f Ай бұрын
Shikamoooooo....mpanzu
@AllyjumaSwadi
@AllyjumaSwadi Ай бұрын
Daaah! nawaonea huruma San wapinzani wetu tukikutana nao kweny dabii😢😢
@NettoMwandambo
@NettoMwandambo Ай бұрын
Wakianza pamoja mpanzu na kibu itakuwa hatari sana
@MudiMnyamwezi
@MudiMnyamwezi Ай бұрын
Anajua boli aisee. Mchezaji mzuri unaangalia movements zake tu
@ZaiLisa-c2h
@ZaiLisa-c2h Ай бұрын
Mpanzuu Mali safii sana Hii Wana msimbazii maombi kwake asilogwe na utopolo fc
@The_lemon39
@The_lemon39 Ай бұрын
baba mpanzu minima
@FOOTBAL_AFRICA
@FOOTBAL_AFRICA Ай бұрын
Mpanzu Tunae
@VICEGOSPEL-zu6is
@VICEGOSPEL-zu6is Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@relaxstarman
@relaxstarman Ай бұрын
Baba huyu jamaa noma sasa hio pacha na Debora noma kabisa🎉🎉
@AlexMtemi-s2j
@AlexMtemi-s2j Ай бұрын
Naomba ile jezi namba 7 apewe mpanzu
@soudsoud8227
@soudsoud8227 Ай бұрын
😊😊
@AbuuSix-w6z
@AbuuSix-w6z Ай бұрын
Uyuuu atasabaibishaa arufu za mavii ziongezekee mjinii nyuma mwikoo wakianzaa kualishaa kw wasiwas😂😂😂
@AllyNzisabira
@AllyNzisabira Ай бұрын
Huyu jamaa hatari duuh
@TriciaSambo
@TriciaSambo Ай бұрын
mumkanye habari ya kubadilishana jezi yatamkuta ya Debora Fernandez toka amebadilishana jezi na yule mchezaji wa costal union naona kaanza kupotea ila yote kwa yote nawaombea mungu awalinde
@JustinMwakalukila
@JustinMwakalukila Ай бұрын
Kabisa hawawanaoitaji kubadilishana jezi wanakuwa wanaagizwa wafanye hvo ili hzo Jez wakafanye yao
@denisrwelengera
@denisrwelengera Ай бұрын
Huyu Mwamba ni Hatari
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz Ай бұрын
Nimejikuta nikicheka tu kwa furaha. Tuzidi kumuomba Mungu amlinde asije akarogwa kama Joshua Mutale
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 Ай бұрын
mm nilisema El mpanzu Akituwa simba mm nachinja kuku
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Ай бұрын
Kagera wana uchezaji mbaya jamani khaaa
@imanimwambagi8176
@imanimwambagi8176 Ай бұрын
Fundi mpira ni kumwombea tu asilogwe na nyuma mwiko
@AbdulatifBaalawy-g7m
@AbdulatifBaalawy-g7m Ай бұрын
Aamiin inshaallah 🤲
@seifarteta
@seifarteta Ай бұрын
Unazani mkongo analogeka kilaisi
@StevenMzungu-v9u
@StevenMzungu-v9u Ай бұрын
😂😂😂😂❤wabaya sana hao
@JaphetGiliard
@JaphetGiliard Ай бұрын
@AminaLibisa
@AminaLibisa Ай бұрын
Wasenge awa walitaka wamvunje mpanzu wetu shwain
@Paulomollel-n3n
@Paulomollel-n3n Ай бұрын
Sindyo man c wameona jamaa anajua
@AminaLibisa
@AminaLibisa Ай бұрын
Mungu kaepusha alhamdulilah
@AllyHamisi-c7j
@AllyHamisi-c7j Ай бұрын
Elii kamfanya golikipa auongeleshe mpira ,mi ndio kuyaona aisee simba Kalama Dume
@AllyNzisabira
@AllyNzisabira Ай бұрын
😂😂😂
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz Ай бұрын
😂😂😂
@zaynd5366
@zaynd5366 Ай бұрын
Kikubwa asijetengenezwa kama walivyomfanya Mutale
@miangijunior4358
@miangijunior4358 Ай бұрын
EBHANAEE HUYU MPANZU ANAJUA HADI ANAJUA TENA TUNAOMBA MWENYEZI MUNGU ATULINDIE HII CHOMBO AMIIN!"
@AdamHamis-sg6zz
@AdamHamis-sg6zz Ай бұрын
Mpanzu Dribbling Master MDM
@Benjaminwilliam-s8r
@Benjaminwilliam-s8r Ай бұрын
👑👑👑👑👑👑👑
@RashidiMwiga
@RashidiMwiga Ай бұрын
Makocha cha kumshauri mpanzu asiwe mchoyo sehemu ya kutoa pasi atoe asilazimishe kufunga yeye tu.
@agripamwakapala
@agripamwakapala Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@arafahabibu5039
@arafahabibu5039 Ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@jonathaneliabu2298
@jonathaneliabu2298 Ай бұрын
Mchezaji mzuri haitaji muda mwingu kuonyesha uwezo wake,mpanzu ni kama chama alivyoanza kucheza simba kwa mara ya kwanza.
@WendeMposola
@WendeMposola Ай бұрын
Simba nguvu moja naomba Mungu tuwe na msimu bora 🙏🙏
@HenryTindwa
@HenryTindwa Ай бұрын
Nilivyo muona mpanzu washambuliaji wanatakiwa wapite kwenye njia akiwa na mpira
@MussaSabore-h5o
@MussaSabore-h5o Ай бұрын
Wana Simba tunawaombea Kwa mchezo wa kesho mshindee goli 5
@FabianoVerani-e5d
@FabianoVerani-e5d Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮😮😮
@RehemaJohnson-nz5ob
@RehemaJohnson-nz5ob Ай бұрын
Mtu na nusu
@Sportsvibes-jc3vu
@Sportsvibes-jc3vu Ай бұрын
Mungu amlinde huyu mtu na wachawi wa ligi ya bongo
@abdulmagogo9238
@abdulmagogo9238 Ай бұрын
Ni mwamba kwl kwl yani
@RashidiMwiga
@RashidiMwiga Ай бұрын
Wazee wa Simba msilale kumlinda mpanzu, MUNGU awe nae popote alipo aamin.
@AlfonceKasanyi
@AlfonceKasanyi Ай бұрын
Ni mchezaji wa kiwango Cha juu anastahili kuchezea Simba
@KajakakatambiKajaka
@KajakakatambiKajaka Ай бұрын
Mpanzu
@kudrathmohammed
@kudrathmohammed Ай бұрын
Wachezaji wetu wote wazuri, mapungufu ni madogo waombewe kila kitu kitakuwa sawa kabisa
@JolinoPeter
@JolinoPeter Ай бұрын
Hata budo??
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 Ай бұрын
Huyu jamaa kapga target TATU zote Kwa mguu wa kushoto najiuliza mguu wake wa kulia niaje km kushoto Yuko hivi
@hassanshunda5226
@hassanshunda5226 Ай бұрын
halaf hyu line one muongo sana...ile ofside gani dakik ya 9 pasi kutoka kwa mpanzu
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 Ай бұрын
Huyu jamaa anaujua mpiraa sanaa.. ni kipaji
@emanuelkilinga9196
@emanuelkilinga9196 Ай бұрын
Nimemkumbuka nteze John lungu
@MedadiMigeleo
@MedadiMigeleo Ай бұрын
Kamara akae kwenye mbao ndefu maana anasahau wajibu wake umakini unapungua wakati usio dhaniwa,
@IbrahIbrah-x7l
@IbrahIbrah-x7l Ай бұрын
Sasa Simba tunalo tena jini lingine si walimchukua chama Sasa ni Elie mpanzu afu huyu kunasiku ataitwa mpanzi wa simba
@YusuphSaguda
@YusuphSaguda Ай бұрын
hiyo ni ni yenyewe
@MohdMohd-o8w
@MohdMohd-o8w Ай бұрын
Mdebejiday
@mahmoudmchiu5369
@mahmoudmchiu5369 Ай бұрын
oya simba ya mpanzu mechi tutayo shinda magoal kidogo goal 3
@frankJohn-rx4si
@frankJohn-rx4si Ай бұрын
Nyuma Mwiko wasilete Uchawi
@tallmasai2164
@tallmasai2164 Ай бұрын
Elie tunae na tunatamba nae
@SaidMkome-p6s
@SaidMkome-p6s Ай бұрын
Uyo jamaa chukua pacome ally kwamwe na GSM 😂
@dr.elimikatv1919
@dr.elimikatv1919 Ай бұрын
Sio saana kawaida
@DeodatusPaul
@DeodatusPaul Ай бұрын
Huyu jamaa simba wamelamba dume
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 Ай бұрын
Kagera walijipanga kumuumiza Mpanzu kama walivyofanya kwa Moses Phiri
@kekiklion5247
@kekiklion5247 Ай бұрын
Asa ndo Goalkeeper angoleshe Ball? Walahi Sijapenda😂😂😂
@KIDAURA-f5
@KIDAURA-f5 Ай бұрын
3 Malogo Kolo...
@fatumasaid558
@fatumasaid558 Ай бұрын
Tunahitaji wachezaji wenilqine kwenye kikos dirisha likowaz kwasabu yamashindano huko mbeleni mamboyatakuwa maqumu lazima tufanye mainqizo mapya
@luluray2115
@luluray2115 Ай бұрын
Fund
@AlcherausMalinzi
@AlcherausMalinzi Ай бұрын
Mimi Yanga lakini huyu Mpanzu ni hatari
@AlfaMwasofu
@AlfaMwasofu Ай бұрын
Kitale alianza iviivi
@fatumasaid558
@fatumasaid558 Ай бұрын
Msaidien joshua a anapitia wakati mqumu hata wanasaikolojia mpeleken
@herybangulaBangula-e8c
@herybangulaBangula-e8c Ай бұрын
Fund wa mpira alimpa kipa uchiz akaongea na mpira ndio kwanz kuona
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Ай бұрын
Uchawi ndo Mwingi Kwa yanga
@abelmussa5061
@abelmussa5061 Ай бұрын
Maswala ya kubadilishana Jezzey kwakwel ungeacha aidha uwe na Jezzey ambayo haujaivaa wewe unadhan mtu anachukua Jez ina kasho lako anaenda kufanya nayo nini
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri Ай бұрын
Wakenya ni wapumbavu hawajueleweiiii
@paulfrank13
@paulfrank13 Ай бұрын
kwani tunacheza lini tena😅😅
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 Ай бұрын
Atawafanya vibaya sana wapinzani wetu
@JordanMethod
@JordanMethod Ай бұрын
Usajili mzuri Elie mpanzu ni hatari yaan anacheza kimataifataifaa!!
@Rashdidy
@Rashdidy Ай бұрын
Amna mchezaji hapo kuni tuh zinavunjwa
@SharifuJuma-v7p
@SharifuJuma-v7p Ай бұрын
Fundi wa ball haswaaa
@AmbeleJames-cb1el
@AmbeleJames-cb1el Ай бұрын
Mpanzu tunae tunatamba nae mnateseka mkiwa wap
@muhammedomaryshembilu8539
@muhammedomaryshembilu8539 Ай бұрын
Kama mayele hv
@mrsamata
@mrsamata Ай бұрын
Uyu jamaa ni mjanja sana akidondoka anabiduka hili kupunguza ajali asiumie zaid
@heredilematuru7814
@heredilematuru7814 Ай бұрын
Nusu final ya cafcc naiyona vile
@EmanueliWilibad
@EmanueliWilibad Ай бұрын
Ni mtuh na nusu
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН
MPANZU MFALME MPYA SIMBA,ATABIRIWA MAKUBWA,TAZAMA HAPA.
2:34
Simba 3-1 Al Ahli Tripoli | Highlights | CAF CC 22/09/2024
12:04
Azam TV
Рет қаралды 1,3 МЛН