No video

UNABII -- MWISHO WA KAFARA ZA KISHETANI

  Рет қаралды 86,959

Apostle Mtalemwa Bushiri

Apostle Mtalemwa Bushiri

Күн бұрын

Пікірлер: 169
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 4 жыл бұрын
Nyie timizeni unabii tu Yesu Kristo arudi,tumechoka Upuuzi wenu
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 6 ай бұрын
Mungu akubariki.
@jadenjames4441
@jadenjames4441 2 жыл бұрын
Na unaona kweli unlimited Apostle
@zephaniajaphet8360
@zephaniajaphet8360 4 жыл бұрын
Kwama huburi haya wengi wataria wataingia jehanam oo yes oo yes ibada gani
@priscamagambo7419
@priscamagambo7419 4 жыл бұрын
Daa! Mungu nisaidie, maana sielewi kabisa nahitaji kuelewa Mungu wangu, naona kizunguzungu
@jadenjames4441
@jadenjames4441 2 жыл бұрын
Unlimited Apostle Mtalemwa ni mnoma
@loverules5502
@loverules5502 3 жыл бұрын
Locate me lord in your mercy
@lawilonyama1808
@lawilonyama1808 5 жыл бұрын
Nyakati isi ni nyakati mbaya sana katika imani kila MTU Anaibuka na vituko vike
@bettyoluoch9774
@bettyoluoch9774 4 жыл бұрын
Last min tutaona kila aina ya wanabii
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 Жыл бұрын
Be blessed brother ,you the man of God
@StevenMutale-xt9yj
@StevenMutale-xt9yj 2 ай бұрын
Uwo unabii sio maingiso tu lakin akunakilicho fichika mbele ya bwana itajulikana
@joselinewoden5259
@joselinewoden5259 5 жыл бұрын
Mungu anakuona pia atashughulika na wewe
@jadenjames4441
@jadenjames4441 2 жыл бұрын
Hapo ulikuwa unapita mbele yangu nilikuwa nachanganyikia baba
@wemasarwat6182
@wemasarwat6182 3 жыл бұрын
Unabii gani huu
@elialomaeamgladia1478
@elialomaeamgladia1478 4 жыл бұрын
Jama jinsi anavyo dundik yey kamshinda Diamond stegini ivi wanabi wote waliyo kuwa ndan ya bibliy akuna aliy kuwa kam wew lol so jamani acha Mungu akuinuw wew
@godfreycharles7539
@godfreycharles7539 2 жыл бұрын
Mafundisho yasasa hivi yanabaliki Zaid ya unabii
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 4 жыл бұрын
Aisee naona majivuno mengi sana kwa huyu mjinga mpotoshaji
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Kabisa hawa watu ni wajinga aje
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
Mchezo huo sio mzuri matani Sana kanisani
@mariselilekibalunye5933
@mariselilekibalunye5933 Жыл бұрын
Kwel aseee utani umezidi sana kwa huyu boya , Hadi akaa kama kachanganyikiwa,
@ginakitimbo9406
@ginakitimbo9406 5 жыл бұрын
Nakupenda bure mwana wa nabii Major 1
@mariselilekibalunye5933
@mariselilekibalunye5933 Жыл бұрын
Ebu mchungaji mtalewa , badili uhubiri wako maana jina kwanza unayo ni mbaya sana hivi utaitwaje Mtalewa maanake unakaa kama unalewa , hebu badili mwenendo ya uhubiri wako, maana unakuwa na wenge mno sana ebu tuliza wenge la kuropoka ofyo na kukaa na waumini kama watoto, tambua kitu kimoja hapo ni madhabahuni si vituko show stage please , ebu badilika wewe mchungaji kwani kichwa chako kinaenda resi sana.
@elialomaeamgladia1478
@elialomaeamgladia1478 4 жыл бұрын
Bibiliya ikasema ivi watu wanaangamiy kwakukosa maharifa sikiy jinsi anavyo jiita eti chef oh my god
@bettyoluoch9774
@bettyoluoch9774 4 жыл бұрын
Hope wasikuwa kama wakenya wanalazima watu wapindua midomo mungu wangu
@sisterezahoremore6005
@sisterezahoremore6005 4 жыл бұрын
This is not season of prophesying to God's children, but a season of spending time to preach the WORD OF THE TRUTH, HOLINESS AND RIGHTEOUSNESS OF GOD IN THE LIFE OF HIS CHILDREN! JESUS CHRIST IS COMING VERY SOON! STOP ENTERTAINING GOD'S CHILDREN. MANY SOULS ARE DROPPING INTO HELL EVERY SINGLE DAY! WITHOUT HOLINESS AND RIGHTEOUSNESS OF GOD NO MAN WILL SEE GOD HEBREW 12:14 . MAY GOD HELP YOU UNDERSTAND TIME IS NOT IN OUR HANDS. God bless you.
@olivakamwela3489
@olivakamwela3489 5 жыл бұрын
nafurahia sanaaa unabii Mungu akuzidishie mnooo
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Idiot...mmmmm mwongo huyu
@patiencebentezz5712
@patiencebentezz5712 5 жыл бұрын
Pastor mungu akuinue sana wa sana
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Hii ni upotoshaji
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 4 жыл бұрын
Kweli hawa waganga wa kienyeji
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
😈😈😈😈😀😁😂
@bupemwakipunda6361
@bupemwakipunda6361 4 жыл бұрын
Mbeya lini
@ayubukikoti4486
@ayubukikoti4486 4 жыл бұрын
Mungu anashughulika na nafsi ya ndani ya MTU.
@ayubukikoti4486
@ayubukikoti4486 4 жыл бұрын
Yesu mwenyewe abishiwa,atakuwa yeye!!endeleeni kubisha hivyo hivyo,
@jofreyjohn6360
@jofreyjohn6360 3 жыл бұрын
Mbn profesa inatajwa Sana kuliko jina la yesu
@julytito3891
@julytito3891 3 жыл бұрын
😅😅😅😅😜😜😜mathayo ni kakaangu jamn Mungu atunusuru tu kwa hili
@ednahumazi777
@ednahumazi777 3 жыл бұрын
Wacha we nabii mumepangana
@lucymary6457
@lucymary6457 5 жыл бұрын
Wakati wa mwisho manabii watakuwa wengi but wale wakweru mtawajua na matendo yao please watoto wa Mungu jihazalini juu ya wanabii
@stanleysamuel906
@stanleysamuel906 5 жыл бұрын
Muongo Sana
@peacemakersplus37
@peacemakersplus37 4 жыл бұрын
Is this prophecy or divination !!!!! Majivuno kibao...hii inasaidiaje mwenye dhambi kuokoka na kuacha dhambi...watu kuabudu binadamu na kumsifu kama Mungu...Mungu aikumbuke kanisa lake.
@estherwambuies1782
@estherwambuies1782 4 жыл бұрын
Nakupenda bure nabii
@josphinenduta7050
@josphinenduta7050 5 жыл бұрын
Watu, tuwe makini jameni.
@elibarikikivuyo5755
@elibarikikivuyo5755 4 жыл бұрын
Lete dawa ya corona acha mbwembwe nyingi sijui miaka sijui boy friend;!! Usenge tu
@loverules5502
@loverules5502 3 жыл бұрын
I pray for God's prophecy in my life.
@queenmariana5887
@queenmariana5887 4 жыл бұрын
Mti wenye matundaa ndo hupigwaa mawee😭😭😭 why Lord now 😭😭 watu wako wagumu kuelewa 🙏🙏🙏
@mariselilekibalunye5933
@mariselilekibalunye5933 Жыл бұрын
Wewe mchungaji ombea watu please Wacha kurendarenda hapo , unamhoji mtu mmoja Hadi wengine wanaboheka aseee
@jackrinaman7521
@jackrinaman7521 5 жыл бұрын
Naona wachungaj wa naijelia wamehamia tanzania ss mwendo wa kudanc
@aulamongi2020
@aulamongi2020 4 жыл бұрын
Ecg ni rahaaaaaa had rahaaaaaaaa
@peterdeus153
@peterdeus153 5 жыл бұрын
Peter nakubaliana nanyi nakuwakubali
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama 5 жыл бұрын
Ata mnachekesha kweli 😂
@seraphinjohn5259
@seraphinjohn5259 5 жыл бұрын
ni shidaaa!!
@mariselilekibalunye5933
@mariselilekibalunye5933 Жыл бұрын
Hapo unajifanya unatoa unabii huku unabahatisha TU, mbona unahigiza mchungaji aseee
@justinajoseph39
@justinajoseph39 5 жыл бұрын
My chiiiiiiieeeeeeffff apostleeeeee!!
@gullaalex6590
@gullaalex6590 4 жыл бұрын
Naona km mapicha picha
@francismkonda8753
@francismkonda8753 4 жыл бұрын
Mungu hebu shuka
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Dunia kwisha
@francismkonda8753
@francismkonda8753 4 жыл бұрын
Yanii hawa.. Ni zaid ya mafarisayo... Wanaharibu imani za watu ...ila sisi tuliojaliwa macho ya rohoni hawatuwez kabisa
@mwambauliohai5043
@mwambauliohai5043 5 жыл бұрын
ni Freemason mia kwa mia
@sullecom
@sullecom 4 жыл бұрын
Hii engine iliyofungwa ndani ya Huyu jamaa ni hatari imebeba vitu vingi
@jacklinevosevwa9859
@jacklinevosevwa9859 5 жыл бұрын
I only believe in God
@biramsakh9212
@biramsakh9212 4 жыл бұрын
Duh hatare
@loisegithumbi1124
@loisegithumbi1124 5 жыл бұрын
Aiiiiìi,I doubt ,hii no church,Aki jokes
@albertswai5021
@albertswai5021 6 жыл бұрын
Do it man of God Chief Apostle
@victoriamahanga3781
@victoriamahanga3781 4 жыл бұрын
Thx Chief
@loisegithumbi1124
@loisegithumbi1124 5 жыл бұрын
Hii ni kama comedy
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 5 жыл бұрын
et anajisikia katabili,, wanajisikiaga
@piusthomas5713
@piusthomas5713 3 жыл бұрын
Angalau watu mna amka
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 4 жыл бұрын
Huyu nabii namfahamu
@kapyelumusic344
@kapyelumusic344 4 жыл бұрын
Tupe sifa zake
@kallyleenmaina6692
@kallyleenmaina6692 5 жыл бұрын
Hapa hakuna Apostle ni brain washed pple na madrama mob chief oooiii
@babyyshayo3633
@babyyshayo3633 5 жыл бұрын
MUNGU MUNGU WANGU
@ednahumazi777
@ednahumazi777 3 жыл бұрын
.idont belive this mjanja wewe
@florasanga6664
@florasanga6664 5 жыл бұрын
Ni wajinga tu ndio wanaingia kwa kanisa hili unabii gani huuu
@chamam5031
@chamam5031 5 жыл бұрын
Yaani unabii karate
@bettyoluoch9774
@bettyoluoch9774 4 жыл бұрын
Hata sijui
@askofupeter2329
@askofupeter2329 4 жыл бұрын
Siyo hivyo ndugu, kila mmoja na utumishi wake si Unajua mwili una viungo vingi.? Je. Mkundu utayaambia matako yaondoke.? kuwa na akili
@askofupeter2329
@askofupeter2329 4 жыл бұрын
Tulia wenzako wapate prophecy
@estherwambuies1782
@estherwambuies1782 4 жыл бұрын
Kama huna lakusema unyamaze kwani kwamungu hakuna raha
@mariamnangai8060
@mariamnangai8060 5 жыл бұрын
Emeeen
@SonofMajor1
@SonofMajor1 6 жыл бұрын
The soldier of Jesus Christ himself Chief Apostle at work Iyeee power.
@salomengas7034
@salomengas7034 5 жыл бұрын
True the 😈 has blinded many,,only God can open this people's eyes.
@jacklinevosevwa9859
@jacklinevosevwa9859 5 жыл бұрын
Salome Ngas 😅😅😅exactly
@harmonicatz2837
@harmonicatz2837 4 жыл бұрын
NYIE MNAOKOMENT UJINGA KWANI MMEITWA HUMU
@washhjojo4840
@washhjojo4840 5 жыл бұрын
Wewee MWONGO mungu anakuwona
@saidasaidisaida9230
@saidasaidisaida9230 5 жыл бұрын
Amen
@hamishemed9179
@hamishemed9179 5 жыл бұрын
Wajinga ndio waliwao
@AfricaYangu
@AfricaYangu 4 жыл бұрын
What is this?????
@leerimoy5477
@leerimoy5477 6 жыл бұрын
MY CHIEEEEEEEF APOSTLEEEEEEE............
@lulushancd177
@lulushancd177 6 жыл бұрын
My Dady ma Dady
@gloriakaliyo4856
@gloriakaliyo4856 5 жыл бұрын
Back to the sender
@joycemasanja7955
@joycemasanja7955 5 жыл бұрын
Yesu alikuja kutafuta na kuokoa kichopotea siyo kufanya mazingaimbwe!!!!! Mpokee Yesu kwanza
@samwelsarakikya3532
@samwelsarakikya3532 6 жыл бұрын
Chief
@alicemagoma1888
@alicemagoma1888 5 жыл бұрын
Wewe mjungachi uogo wako .utakupereka kwa moto sema ukweri mungu anarundi ,edereya tu na uogo siku inakucha. Utazema yote
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
hii ni tz ama naota? nyakat za mwisho kila mtu atajiita nabii, simama ulipo usiyumbishwe na manabii wa uongo wa kishirikina wanaotafuta pesa kwa mgongo wa kanisa
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
From Kenya...kwani hii ni upuuzi uliyo juu
@derickbenedicto7435
@derickbenedicto7435 4 жыл бұрын
Yesu alihubili nenolamungu nakuponya kwanenolamungu kuagua nistaili ya waganga wajadi vp ww nimgangawajadi?
@mariamapuga1829
@mariamapuga1829 6 жыл бұрын
I love u Chief wa watu
@arthurmwakanyamale7651
@arthurmwakanyamale7651 6 жыл бұрын
10G++++++
@ostazclassic3370
@ostazclassic3370 5 жыл бұрын
From America naitaji number za huyu mchungaji nikamtembelee 👈
@jennjaja1586
@jennjaja1586 5 жыл бұрын
The number is on top .
@pastor_mashimo
@pastor_mashimo 5 жыл бұрын
OSTAZ CLASSIC +255 766 365042
@ostazclassic3370
@ostazclassic3370 5 жыл бұрын
@@pastor_mashimothank you
@amanimanase5794
@amanimanase5794 4 жыл бұрын
Mbona ni sifa tu sioni cha kumtukuza mungu APA?
@mariselilekibalunye5933
@mariselilekibalunye5933 Жыл бұрын
Kwel aseee ndugu hapo ni sifa TU anaendelea Hamna kitu bana
@elizabethsolomon8620
@elizabethsolomon8620 5 жыл бұрын
10G+++
@holyspiritembassychanneltz8599
@holyspiritembassychanneltz8599 6 жыл бұрын
kweli bado sijakujua vizuri chief...your too much
@sullecom
@sullecom 4 жыл бұрын
Mm najua comment za watu hazikuzui kufanya yale uliyokusudiwa kufanya
@zephaniajaphet8360
@zephaniajaphet8360 4 жыл бұрын
Mutabaki kudaganywa soma maandiko haya utayaona watakuja kwa ibaada mbaya soma neno LA mungu
@mwalimumhunzi6694
@mwalimumhunzi6694 5 жыл бұрын
Allah ndo ametutaka tuwe Waislamu nuie nani amewtaka muwe Wakriso?! Ukristo nijina lakupangwa na Wapagani . MATENDO YA MITUME 11: 18-2O Hivi mpagani awapangie dini?!
@matukioatbavaria1046
@matukioatbavaria1046 5 жыл бұрын
Daimond Aonywa
@mocranaburugi3486
@mocranaburugi3486 4 жыл бұрын
Mungu wetu Sisi sio Allah na ukristo na muislam ni vitu viwili tofauti we baki na uislam wako na Allah wako. Na kama hawa wanayofanya sio Yesu alifanya au hakubakini mayo yeye ndie atakayewahukumu. Mnapenda sana kujihesabia haki waislam as if ninyi ni Mungu
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
Like father like son
@amishokihongos6878
@amishokihongos6878 5 жыл бұрын
Veronika Shija ubarikiwe mtumishi
@adambonaya4032
@adambonaya4032 5 жыл бұрын
Veronika
@sampaconnector2845
@sampaconnector2845 4 жыл бұрын
This is total brainwashing
@witnessmnthali5497
@witnessmnthali5497 5 жыл бұрын
Riding people to hell
@joycengowi9580
@joycengowi9580 4 жыл бұрын
Wanaangamia kwa kukosa maarifa..inaonyesha wazi jinsi uongo ulivyo but still kuna watu wanaamin Mungu tusaidie
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
Back to the sender
@holyspiritembassychanneltz8599
@holyspiritembassychanneltz8599 6 жыл бұрын
my Chief your too much ooo,
@evelinegration3454
@evelinegration3454 5 жыл бұрын
JOHN LWEGANWA wewe weeee mtalemwa.taja jina la Yesu sio liiiii losesefa. huna haibu.mungu anakuchekaa akigeuza hasira yake utajisalimisha.zab 2;1-3 Soma
@wiltsshirima9418
@wiltsshirima9418 4 жыл бұрын
Sijuwi chochote
@stephenlyimo5619
@stephenlyimo5619 4 жыл бұрын
lack of education
@samwelkimalo2421
@samwelkimalo2421 5 жыл бұрын
Iv wale wamazingaombwe waliendaga wapi..!!??
@peterdaud5951
@peterdaud5951 5 жыл бұрын
Ndiyo huyo sasa
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 5 жыл бұрын
ndo hawa
@annajustine5104
@annajustine5104 4 жыл бұрын
Ndo hawa wamerudi ki vingine
@anithabuberwa2253
@anithabuberwa2253 4 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana tuliyokuwa tunadanganywa tukiwa primary na wamazingaombwe 😃😃😃
@julianamsofe6445
@julianamsofe6445 6 жыл бұрын
Poweeeeeeeeeeeeeeeeeer
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 5 жыл бұрын
Siku za mwisho Manabii Kama Hawa lazima watokee.sasa hapa yesu hatajwi.
@mariamapuga1829
@mariamapuga1829 6 жыл бұрын
Powerful
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Stupid
@daughterofzion.9624
@daughterofzion.9624 4 жыл бұрын
Ata manabii wamo ata wachungaji waamo miujiza yao fake .. this is a fake pastor
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
Prophesie son of Major
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 5 жыл бұрын
et chief
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
Your too much Chief son of Major provovo
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
Oooh yesss
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
Because your too much dad
@wemasarwat6182
@wemasarwat6182 3 жыл бұрын
Ujinga tyu hakuna hata jina la yesu kristo
@veronikashija4979
@veronikashija4979 6 жыл бұрын
10G+
@neememanueli9928
@neememanueli9928 5 жыл бұрын
Nakumbuka alinipa kitambaa chake kikafanya miujiza mkubwa sana
@mwalimumhunzi6694
@mwalimumhunzi6694 5 жыл бұрын
Tukiwaambia Uktisto c dini oooh.....! Hao na wenye mfano wa huyu ni maTP. C unaona anapiga ramli kwa kukuliza tar'/mwaka wa kuzaliwa? Ameongea na majini wake kwa lugha anayoijuwa yeye na mashetani eake wanampa majibu anajifanya ametabiri. Ewe ndg wangu ktk immaani (Muislamu)naww ndg ambae hujabahatika kuwa Muislamu but ni ndg wangu ktk damu (kizazi ) cha Adam tuwe makini saana na tuwaepuke hawa tumfuate na kucha ALLAH (Mungu wa wote hata hao miungu bandia). UISLAMU ndo dini pekee na ya haki. Ukristo ni dini ya kupanga tu wala kwaMungu haijulikani watu wamejibunia nakuita dini ya kikristo. (MATENDO YA MITUME 11:18-20 Ukristo ni jina la kupanga tu lililopangwa na Wapagani wa Antokia )jiulize/uliza huo mnaouita UKRISTO ulianzaje/nani kaleta Ukristo na kwanini/kwa faida ya nani? Vivohivyo jiulize/uliza nani kaleta UISLAMU na kwafaida ya nani? Shetani mjanja anawahamisha hamisha ktk madhehebu kiibao but mpira katika kivuli kilekile cha Ukafiri/Upagani (Ukristo )wakati hakuna dini ijulikanayo/itwayo UKRISTO! Wanania wamegundua Wanaingia ktk Uislamu (dini ya kweli na haki) wale wabishi waojielewa na hawajui kama hawajielewi washakamatwa na shetani bado wanalala ktk UKRISTO au utawasikia "dini ni imani yako, hutoenda mbinguni kwa dini bali kwa kumfuta Yesu" baada kukosa hoja kiukweli anaejiita Mkristo hana dini hivyo wameletewa katika madhehebu nayo ni ya kubuni/yakupanga (yameanzishwa nahao wenyewe wanaojiita wakristo)Utasikia wakisema wao ni Waroma/Wakatoliki haa mji ulikuwa dini?! Mara mimi Msabato haa cku ya Sabato (pumziko)imrkuwa dini?! Mara Assemble of God nk zoote ktk huo mwamvuli wa Ukristo lkn c dini hizo. Ukimuona mtu anapiga ramli, anapandisha mashetani nakujitia mganga Muislamu huyo c Muislamu bali ni mshirikina anaupaka matope UISLAMU huyo anakufuru/kafiri kwamujibu wa Qur'an. Kunamatendo/makosa mtu humtia ktk UKAFIRI akiyatenda makosa hayo humtia Uislamu wake hata kama anajiita na kung'ang'ania yy ni Muislamu. Shetani ameelewa lugha nyiingi na zaidi unaendelea kuongea kiarabu coz anajuwa dini ya haki ni Uislamu hivyo anatumia lugha ya kiarabu iwerahisi kuwanasua Waislamu awapoteze wajue ni mwezao kumbe ni ADUI mkubwa. Kwa wanaojiita wakristo shetani hana.shida nao sana kashamaliza kazi ya kuwakurisha wameshajipangia dini,wanamwabudu asiekuwa Mungu wamamwiita Yesu ni Mungu na Maria mama wa Mungu! Jini mbaya /shetani mid utaona anampangia masharti ya cku as kutibu na cku za kusali kwa huyo anaejiita Mganga Wa Kiislamu. Jini mzuri haingii mwilini kwa binadamu na wala hamdhuru binadamu labda umchokoze na hata binaadamu hapendi mauzi/kuuziwa/kuchokozwa ukimuizi mtakorofisha/atakujerui. Majini ni viumbe kama binaadamu (sote ni biumbe) Mungu anasema amewaumba majini na bnaadamu ili sote tumuabudu Mungu ila majini wapi majini baadhi waasi kama binadamu hawataki kumcha Mungu hawa ndo msshetani/maibirisi wa kijini au wa kibinadamu. Isomeni Qur'an muilewe mcdangsnywe na ago waganga FEKI wanaojiita Waislamu wanatumia nembo ya Uislamu ilhali wanjua hope MUNGU hapendi wayafanyayo na ameonya kupitia mtume wetu Muhammad na kitabu kitukufu cha Allah Qur'an. Wote wanaomkiuka MUNGU wataingia Motoni. InshaAllah Allah atuongoze ktk Kheri na tufanye jitihada kushikamana na haki (UISLAMU pekee na mamrisho na makatazo yake) mtume Muhammad kapewa Qur'an iwe Mwongozo na Rehema kwa watu wote na duniani kote. Nikawaida ya Shetani/makafiri hawajaanza leo kumpinga MUNGU na mitume wakweli wa MUNGU me bitabu walivyopewa mitume; Zaburi wameipinga, Taurati wameipinga, Injiri wameipinga na Qur'an kitabu cha mwisho wananileta na hata mtume wa meisho alopewa Qur'an hawamtaki wanajiandikia bitabu vyao (vikakusanywa ktk Biblia ambayo hakuna mtume alopewa na Mungu!) Wanajitungia na kujifanya mitume na manabii huu wote ni ushtani/UKAFIRI. "Wamepanda MAGUGU ktk mbegu njema mwenyemasikio na asikie".
@edsonmruma4833
@edsonmruma4833 5 жыл бұрын
Wewe umejazwa kasumba ndio zinazo Kusumbua na inaelekea bado hujajitambua ndio maana unaona dini ni jambo la maana shauri yako kazana kushikilia dini .Mwisho wa dini ni hapa duniani ,pole.
@davidmuriithi1469
@davidmuriithi1469 5 жыл бұрын
Aliyesema uisilamu ndio ndini ya kweli na haki ni nani.... Si ni binadamu kama wewe tu....acha Mungu awe hakimu mkuu pia nyie waisilamu mna mengi ya kujibu mbele ya Mungu.... Mwajifanya sana kujua....
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 5 жыл бұрын
jambo usilo kujua ni usiku wa giza
@mwalimumhunzi6694
@mwalimumhunzi6694 5 жыл бұрын
Na mbaya zaidi pale hujui na hujijui kama hujui ndo kiza kinazidi kuwa kinene na kupotea/kupotezwa uendako!!
@evelynjohn2706
@evelynjohn2706 5 жыл бұрын
Kawadanganye wapuuzi wenzio huko shenz type waislamu wenyew washnz tu kazi kuhukumu dini yetu wakati nyie Ndo mabingwa wakutengeneza majini ovyo...kama huamini ni ww usilazmishe watu waamini unachoamini ww mxiew
UNABII -- KUTAFSIRI  MAONO YA KINABII (HOW TO INTERPRET PROPHETIC VISIONS)
30:42
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 58 М.
MAFUNDISHO -- UNAJUA KWANINI YESU ALITUMIA MFANO WA HARADALI?
36:47
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 26 М.
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 14 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 10 МЛН
SIKU MACHOZI YAKO YATAKAPOGEUKA KUWA FURAHA.
4:36
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 59 М.
NGUVU ZA GIZA ZINAVYOZIMA NURU, NYOTA NA TAA YA MTU.
8:19
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 37 М.
FANYA HIVI UTASHINDA
36:49
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 12 М.
MAFUNDISHO -- JINSI YA KUTAWALA FEDHA NA MALI.
51:00
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 51 М.
MAFUNDISHO -- JINSI MANENO MABAYA YANAVYOZUNGUKA DUNIANI.
36:24
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 48 М.
HUYU NDIYE PEPO AMBAYE HUINGILIA KATI UNAPOKARIBIA KUFANIKIWA
7:57
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 26 М.
MAFUNDISHO -- KIBALI KISHINDACHO SHERIA
52:06
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 21 М.
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН