Kiptoo usizoe kufanya interview MTU ako na panga mkono,jua hiyo ni kama bunduki za Nairobi
@marywanyoike9790Ай бұрын
😂😂
@Morgan-k8qАй бұрын
😂😂😂😂 kweli bunda
@PriscahKavetsaАй бұрын
Neno lina sema ndoa iheshimiwe na watu wote mambo imebadirika haki.mungu saidia watoto wetu uwasamehe ndoa zao zipone Kwa jina la yesu kristo.
@edwinonyango1691Ай бұрын
Good job, uovu uanikwe kila mahali frm cities to shags bt umenifanya nimiss home especially mahindi choma 🤣🤣🤣🤣more love frm KSA 🇸🇦
@Grace-zo1lhАй бұрын
Kitoo msitoke western 😂😂😂...huko chai ni mingi
@debbiememoo73Ай бұрын
Poor generation 😢may anyone trying to take our clothes to devil Thunder to them,,,,,,,God Kila wakati🙏
@rachelranyawa8866Ай бұрын
Amen
@floramumbua3393Ай бұрын
Amen Amen
@user-io8nn4bs8wАй бұрын
Aki this lady amenibamba, 😅
@user-hu8hd2rf9xАй бұрын
Mimi sasa sai niolewe nikose smart phone hio ndoa ni ya mateso tayari😂😂😂
@djramzadullaz6762Ай бұрын
Kitoo chunga sana huko Western utarudi Nairobi bila kichwa..!!
@wycliffeodari2472Ай бұрын
KITO unahoji mtu Ka amejihami surely
@kavengiruth9434Ай бұрын
Mofah na kitoo good job
@NorineEdesaАй бұрын
kitoo huwa ujali life zenu surely before uhoji mtu take all sharp objects first
@kiri5807Ай бұрын
Atajuaje km mtu ana kisu kwa nyonga ?
@rahabmaina3240Ай бұрын
Yani kitoo umeamua kugarisha ushago pia nlisema tu sanitize ikifika western conversation itakua about uchawi wee huku sio mchezo
@lennahharrison8809Ай бұрын
Western navile sio waaminifu aki
@omangash23oirere20Ай бұрын
Kito unatumia bangi mbona all the time macho yako yako red😂😂😂
@eddydevvyАй бұрын
Kitoo watu. Wanapendana Hadi wanakupea simu bila kuomba 😂😂😂😂
@frankadiga5399Ай бұрын
Kito utakuja kukatwa na panga
@JanemargretIrungu-rl3htАй бұрын
Eish tujifiche wapi... Cz kama mother's in laws included... Lord hv mercy 😊
@SylvesterWeisikoАй бұрын
😢😢😢😢😢😢😢 N kubaya aky
@user-ej5xv3fn3oАй бұрын
Kwani alipeleka nguo kwa mganga ndio washinde wa kufuatana tu kama kondoo
@edwinonyango1691Ай бұрын
Maybe 😂😂😂😂
@OmanOman-wy3ihАй бұрын
😂😂😂😂😂
@user-tw4tf8fu7rАй бұрын
We uoni wabafyatsba kama mbuzi hiyo ni juju
@user-wq9wr7du9cАй бұрын
Na vyenye waluhya wanaume majority ni malaya si utabomoa boma nyingi sana 😂😂🤣🤣🤣
@FelicitycarainАй бұрын
Kito unaeda Road text gishagy aki wew Huna huruma😢
@okutebettina2509Ай бұрын
Please kitoo next time don't sanitize people when they have sharp objects
@djramzadullaz6762Ай бұрын
Kitoo ungepatia hao watu ofa ya elfu kumi bwana......
@user-tw4tf8fu7rАй бұрын
Weeeweeeeeee waluya ndani ya mix nikubaya watu wangu tukae rada.
@saudatoto3010Ай бұрын
Msichana mzur masikin mbona mumufanyie Ivo ww n mamako shually ATI mumuroge asizae
@kiri5807Ай бұрын
wamtumiye tu . pengine huyo dume ana mke kwengine anatakiwa na mama mkwe .
@marggiekarikamaina2187Ай бұрын
Hahaha kito we love u 😘 western people its not a joke uko na kazi😂😂
@BeatriceMuthoni-rh3gdАй бұрын
Mimi sigweziiii fuatana na kijana wa mtu,nafuatana na my son only,so am loyal to my son
@saudatoto3010Ай бұрын
Vyenye nawaogopea kitoo aki musije mukarogwa
@CarolineGatuaАй бұрын
😂😂😂😂huyu mama ni funny,eti hajui pattern niangalie
@PeterNgungi-qf9vhАй бұрын
Kito kito mi napenda sana kazi yako
@eunicesang1704Ай бұрын
😂😂😂😂Ushagoo utatuonyesha maneno kitoo😅
@Christine-c4cАй бұрын
Kitoo kaa to western umalizie mahofu n wengi wachawi
@JohnSirengo23 күн бұрын
😂😂😂😂 sijui hata nacheka nini
@JaneJane-vq6ptАй бұрын
Wwwwwweeeee my God
@isaackiprono803Ай бұрын
Kitoo never make mistakes again. Someone has weapon and u just carry on?
@gladys5617Ай бұрын
Ngai mungu tufunikie nadamu yako
@adamsbritte5313Ай бұрын
Kazi njema Kitoo na Moffat
@user-dj1io8uy5fАй бұрын
Kwanini unakubali mutu akae na panga ungemwambia aweke chini
@DorcasBosubenАй бұрын
Siku hizi mnafanyia mzitu
@bikoflavious2903Ай бұрын
That's why sipendi waluhya wanakuanga mannerless unfaithful and primitive sana
@floramumbua3393Ай бұрын
True
@marygithinji1310Ай бұрын
Western chai uku ni moto ile mambo tutajione huku mkae rada wadau😂
@Christine-c4cАй бұрын
Hawa wanaume ndio kuchunga bibi na nkupima unga mm kaa hyu c wezi kaa na yy ndio mahana anmplka kwa mto
@asminmakoha6889Ай бұрын
Alikuchako waa
@mae-k7sАй бұрын
KITOO DID NOT SANITIZED THAT LADY PROPERLY AND SHE LOOKS SUSPICIOUS
@victoriawayua4514Ай бұрын
Kitoo we want problems always😂😂😂
@khamistv6138Ай бұрын
Apdnzi ya kiluya ni romantic 😅
@sublacolАй бұрын
I hope you paid them their 2000 because witchcraft is not cheating.
@naomybokid9088Ай бұрын
Madam kimbia life yako iko adarini 😢😢
@user-ej5xv3fn3oАй бұрын
Juu amejua ukweli vile alikua anajifanya anampenda
@KhalidAskari-x1zАй бұрын
Bb yke n commedian
@user-vd7wy1sj1fАй бұрын
Mpe brother salamu zangu 😂
@ZabinaNasimiyu27 күн бұрын
Kitoo naona umekatalia kwetu kufanya usafi 🤣🤣🤣
@nasrasway7143Ай бұрын
Kenya kuna mambo
@user-wu5sj2se6bАй бұрын
huyu madam ananimbamba😂
@Alice-kl9ztАй бұрын
Mzee mkora😂😂😂
@fridahmuthoni713Ай бұрын
Ni kubaya kila mahali
@naomybokid9088Ай бұрын
Kitoo fika malava ufanye hiyo kitu uko😅😅
@charitywangeci4846Ай бұрын
Undaku western chai ni Moto vilivyo
@marywanyoike9790Ай бұрын
Kito na mofa mlienda kuvuruga ocha?😂😂
@Josephineonyango-cl6qlАй бұрын
Kwan mova uko na panga na unakimbia badala umuchape nayo slap moja mova mjue jins ya kushika mtu kama huyu unangusha chin na unafunga miguu na hiyo leso huyo ni mchawi na mamake
@WinroseKadengeАй бұрын
Aki huyu bibi amenibambà
@user-uc9vr7jd2pАй бұрын
Kito huyu bibi ana cheat hizo message zake hapana kila saa unakuja anaitwa wapi mother in-law maneno uchawi load
@user-vd7wy1sj1fАй бұрын
Kito nyumbani utachoma sana achana nao😂😂😂
@dorcaswairimu697Ай бұрын
Kitoo tumekumiss ukuje na mahindi kwa wingi
@asminmakoha6889Ай бұрын
Mchele haitapikwa umechoma kitoo
@masoudkatiba1484Ай бұрын
😮😮
@annlovergalАй бұрын
😅😅😅😅😅😅huko uji n mingi
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Unakela sana wewe kitoo soma message umalize mpumbavu nafasi ya kusoma unayo Unamsubili kufanya ugovi
@user-vv8wh2cb8qАй бұрын
Kitoo ww ni mnoma umeamua kusentize shags
@wairimuwaihwa2475Ай бұрын
Wife material....may GOD shower her with BLESSINGS for life...
@janekaraya6523Ай бұрын
Kitoo huogopi iyo panga😂😂😂😂
@user-jh4hg2ev9sАй бұрын
Kito you gamble your life.. Daah this profession needs tight security measures. Be sharp in avoiding danger.