UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA

  Рет қаралды 197,599

EFM TANZANIA

EFM TANZANIA

Жыл бұрын

Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance
Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events
#MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee

Пікірлер: 193
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 Жыл бұрын
Huyu pastor is every genius and blessed
@jorammsemakweli3116
@jorammsemakweli3116 Жыл бұрын
Tatizo Mch Kapora hauko huru ni mtumwa wawazugu sisi sote tumesoma na tunajua lugha hiyo lakini unashindwa kupambnua unawafundisha watu wa taifa gani wewe ni mtanzania unawafundisha watanzania tuna lugha ya Taifa kiswahili wewe unachanganya kama si mtumwa ninani alafu unasema umewekwa huru
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Straight forwad mimi mwenyewe nilishafikiwa na hayo nilivyomwambia mama mimi naachana naye kani cheat mama alicheka kwa nguvu yuko huna kamkeka hapo tandika ombea ndoa yako ombea mume wako kila unampoamka unapoenda kazini mume anavyoondoka mwambie ngoja nikuombee hata maneno matatu anapoenda nje kila akitaka kufanya upuuzi anakumbuka maombi ya mkewe anaacha.leo hii tuna miaka 25 kwenye ndoa sina stress
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Жыл бұрын
Waow hongera sana 25 sio midogo ...umetutia moyo tulio na miaka michache kwenye ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
@@gracekenan4665 asante mpenzi atakayekuja kukuambia ndoa haina changamoto ni muongo huyo sio kaka yako huyo sio mtu mliolelewa pamoja.kazaliwa huko umezaliwa huko mmekutana kujaribu kuoanisha tabia zenu.kinachotakiwa katika miaka saba ya ndoa ni wewe kumsoma mumeo na mume kumsoma mke then mkubaliane hizi tabia zinanikwaza na yeye aseme tabia ambazo hazipendi then muanze tabia mlizozijenga ninyi sio mlizotoka nazo makwenu.kwani tumelelewa tofauti kilicho ndio kwako kwa mwingine sio.nikupe mfano sisi kwetu hata kama una marafiki unataka waje wikend as long as uko kwenye himaya ya wazazi unatakiwa uwataalifu marafiki zangu watakuja mama yako atauliza umejiandaa utawapikia nini mnajadiri.upande wa mume wangu wakishua yeye kwao walikuwa hawana hicho, kakutana nawashikaji twende kwetu wanakuja pale chakula hamna mama hajali kwani anajua mtoto wake ana hela ataagiza chakula watakula na washikaji then basi.tulivyooana akazileta hizo tabia kwangu.mmekaa mnakuta anarudi na marafiki mimi tumbo linaunguluma mama yangu hatujapika hatuna vinywaji jamani nakasirika ,hivi kwanini asingeniambia jamani maana marafiki zake ni mashemeji zako. unataka waje wale wafurahi.akifika yeye tu anamtuma dada nenda dukani fata soda,chipsi kuku mimi moyoni nawaza hawa mashemeji siwatajua sijui kupika kumbe mimi sikuwa na taarifa.nikavumilia tabia zake nikashindwa nikakaa naye alichonijibu Mungu wangu samahani kumbe nilikuwa nakosea mimi nikadhani labda hutaki wageni niko hapana nachokasirika kushitukiza watu wamekuja tuna agiza chakula badala ya kuwapikia. yuko kuanzia leo sitarudia mke wangu sisi kwetu tulikuwa tukifanya hivi.sasa unaweza jifunza ni mambo mangapi tunahukumiana bila kujua why yanafanyika hivi.mazungumzo ni muhimu kwenye ndoa siku yenye furaha uliza maswali yako ukiwa huna hasira mtaelewana ukimpandishia moli sahau
@evalynedenis
@evalynedenis Жыл бұрын
Mungu ambariki Mama wetu kwa hekima zake❤
@marystanleymarystanley1702
@marystanleymarystanley1702 Жыл бұрын
umenitia nguvu my love
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Safi dada mimi mwanzo niliona kazi nilipokua na mtoto mdg wa1 kidg niondoke ila Mungu tu leo miaka 12 watoto 3 ahsante Mungu dada uko sawa umeniongezea ngv nyingine zaidi 🙏
@upendoamani8164
@upendoamani8164 Жыл бұрын
Ndani yako kuna mamlaka Asikiae hii sauti hii na apone kwa jina la Yesu Kristo 🙏🏽
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Naona watoto wangu wakiwa juui kiriho na kimwili pia in Jesus name
@aledesiomushi875
@aledesiomushi875 Жыл бұрын
Umebarikiwa ili ubariki wengine pastor Mungu WA mbinguni anikumbuke na mimi
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Maneno yako yameniingia sana Asante Pastor Mungu aendelee kukubariki
@aminajuma8629
@aminajuma8629 Жыл бұрын
Pastor Asante kwa somo zuri sana hta ambao hatujafanikiwa kufika tumejifunza mengi sana Mungu ni mwema sana na akubariki sanaaa
@jacklinesamson1175
@jacklinesamson1175 Жыл бұрын
Hekima kubwa sana hii,mwenye sikio na asikie🔥
@leonardoautomotivegarage9452
@leonardoautomotivegarage9452 Жыл бұрын
Penye neno la Mungu pana Mungu pokeeni neema hii wadada, Mungu awape mwanzo mpya amen
@sifaisack7470
@sifaisack7470 Жыл бұрын
Amen 🙏
@pielahadson2884
@pielahadson2884 Жыл бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 Жыл бұрын
AMEEEN, MTUMISHI WA MUNGU.
@adelinekiwale2879
@adelinekiwale2879 Жыл бұрын
Nemekuelewa sana mtumishi wa Mungu
@CarolyneN45
@CarolyneN45 Жыл бұрын
Amen
@osilojackson-oj8dk
@osilojackson-oj8dk Жыл бұрын
Mchungaji kumanisha nimefaidika na maubiri wako no way to explain but ubarikiwe kabisa am augandan in Dubai with ma Kenyan wife in Uganda with two children your message has totally changed my life i can not explain
@agnessbulegu996
@agnessbulegu996 Жыл бұрын
Alaye, anakula Hadi afya, umoja,AMANI furaha.. Unajua nini kaka Kapona,, you're blessed.
@asnathmwaipopo6877
@asnathmwaipopo6877 Жыл бұрын
Sikuwepo. Ila kwa neema ya MUNGU now nimejiongamanisha kupitia haya mafundisho na maombi kupitia hii ibada NAPOKEA kila kitu cha BARAKA alichotamka MTUMISH huyu🙏🙌🙌❤️
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Ni kweli neno la MUNGU ni taa,,,nimeelewa , MUNGU tusaidie kwenye ndoa yangu,,,, barikiwa mtumishi ,,,nachukua baraka za neno
@nancymuturi629
@nancymuturi629 Жыл бұрын
Sure sure pastor point taken wazaidia wa mama waaawaa Na kila mama anaye kushikiliza apate kuponyua live is spiritual
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 Жыл бұрын
Anaongea Kama mtu MWENYE Amri 😢😢😢 Glory to God Am happy of having this man in our Generation
@tumainimwaijonga5407
@tumainimwaijonga5407 Жыл бұрын
Mtumishi nimebarikiwa sana nilikuwa nimekata tamaa. Na ndoa yangu inabidi nipambane kwa maombi
@emmanuelcharleschitete4879
@emmanuelcharleschitete4879 Жыл бұрын
Powerful word from the powerful man of God
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hapo upo sahihi kumuombea au ruombeane mmoja anapokosea , Mungu akubariki mchungaji
@tainamsemwa2865
@tainamsemwa2865 Жыл бұрын
Amina isiyokuwa na mwisho mtumishi barikiwa
@tawocatv9940
@tawocatv9940 Жыл бұрын
Your amazing ! Mungu ametupa wewe tupone kwa Kweli
@FelixMjen-fx4lx
@FelixMjen-fx4lx Жыл бұрын
My lord bless u pastor be blessed at all
@fatumarashidi5182
@fatumarashidi5182 Жыл бұрын
Wallah pastor nimepokea uponyaji
@NeemaKimaro
@NeemaKimaro Жыл бұрын
barikiwa sana pastor nimepokea jambo kubwa sana
@nancymuturi629
@nancymuturi629 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏Ooooh yes amenena mwenyewe huyu Mungu in Jesus name
@maryeer6392
@maryeer6392 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah 🔥🔥🙏🇰🇪
@lulusufian9455
@lulusufian9455 Жыл бұрын
Amina baba MUNGU akutunze mtumishi barikiwa Sana babaangu
@yasintacharles3594
@yasintacharles3594 Жыл бұрын
Amina sana pastor i got it very clear
@flokirui2742
@flokirui2742 Жыл бұрын
I like your teachinyg Pastor... Ubarikiiwe sana as you blessed other people with the word of God...
@gladysramadhan4008
@gladysramadhan4008 Жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah bwana Yesu ameeeen
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 Жыл бұрын
Asante Mungu Baba. Asante Yesu Kristo Amina.
@marthamlowe7928
@marthamlowe7928 Жыл бұрын
Umesikika kwa saut kubwa pastor 🥰🥰🙏
@gasperurassa6440
@gasperurassa6440 Жыл бұрын
Amen Amen Amen Amen Amen Amen
@sumaiyabakary2692
@sumaiyabakary2692 Жыл бұрын
Ni maneno makubwa sana
@sekitauniquedesigns8813
@sekitauniquedesigns8813 Жыл бұрын
Barikiwa Pastor Tony!
@user-vv1rs5ho1v
@user-vv1rs5ho1v 8 ай бұрын
ASANTE mungu akutunze sana nimejifunza umegusa maisha yangu kwa shemu kubwa san
@KibibiMtuhi-xg8ju
@KibibiMtuhi-xg8ju 5 ай бұрын
Huu ujumbe umenibariki leo na umekuja kwa wakati sahihi 2 Feb 2024 ❤❤❤
@user-fk9mj4vd7s
@user-fk9mj4vd7s 8 ай бұрын
Ameeen sana hakika umenivusha mahali fulani Mungu azid kukutia nguvu uzidi kutuinua🙏
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Alhamdulilah 🙏
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 Жыл бұрын
Amen dady🙏🙏
@lovenesslukas5360
@lovenesslukas5360 Жыл бұрын
Dady Amen 🙏🙏🙏
@beatricefuraha6471
@beatricefuraha6471 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi 🙏
@user-ps2lt7bc2j
@user-ps2lt7bc2j 11 ай бұрын
Ni kweli mchungaji ubarikiwe sana
@EmmyMwaipopo
@EmmyMwaipopo 2 ай бұрын
Amina na pokea. Uzima kwajina la yesu
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr Жыл бұрын
Amina
@heavenlight5084
@heavenlight5084 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
AMINAAA
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
Aminaaaaa
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
AMINAAAA
@user-ee8vj1km2v
@user-ee8vj1km2v 3 ай бұрын
Nmekuelewa sna mchungaji remain blessed 🙏
@pilikafuku5468
@pilikafuku5468 Жыл бұрын
Amen mtumishi
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
Amina. Daddy Nitafanya hivyo 🙏
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Amen Amen
@hawasaidsaid8204
@hawasaidsaid8204 Жыл бұрын
Amen amen
@user-nb6qg2qb9g
@user-nb6qg2qb9g Жыл бұрын
Amina Amina 🎉🎉🎉❤❤
@rhodanangoma7386
@rhodanangoma7386 Жыл бұрын
Mungu atusaidie kwa kweli
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
AMINAAAAA
@UpendoMnzava-kr3nk
@UpendoMnzava-kr3nk 8 ай бұрын
Mtumis nakushukuru kwa elimuyako mungu akupe maaisha marefu ilituzidi kujifunz
@gasperurassa6440
@gasperurassa6440 Жыл бұрын
Amen
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 Жыл бұрын
Yesu tusaidie
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
Napokea....Amina
@selegioelias9076
@selegioelias9076 Жыл бұрын
Wallah tena ??? pastor
@godwinagustava5634
@godwinagustava5634 Жыл бұрын
AMINA!!!!
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 Жыл бұрын
Thanks mtumishi
@rosesanga6163
@rosesanga6163 7 ай бұрын
Pastor wangu oyeee
@AwaziBange-yo1wq
@AwaziBange-yo1wq Жыл бұрын
Paster Tony unajua sana
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hiyo ndoa wanazosusa labda hazina kumuuingiza Mungu,au kunawachopitia labda inatakiwa ujue,ni kweli unasusa urithi zingine hazifuati maneno ya Mungu ,hazitaki mabadiliko sasa wasisuse,wamchao Mungu watadumu ktk ndoa
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Жыл бұрын
Amen day🙏🙌
@lightsamweli8296
@lightsamweli8296 6 ай бұрын
Stay blessed my spiritual father
@damianandrew3074
@damianandrew3074 Жыл бұрын
Mchungaji Hilo bango na tangazo nyuma yako pastor linawatoa watu kwenye uwepo wa mungu
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
aminaaaaa
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
I need a spiritual power of God 🎉
@shukranitawa4668
@shukranitawa4668 Жыл бұрын
Ameeen
@belinadeusdedit3993
@belinadeusdedit3993 Жыл бұрын
Amina ,tuponywe
@user-ps2lt7bc2j
@user-ps2lt7bc2j 11 ай бұрын
Ameni mtumishi wa mungu mungu akubarki sana
@osilojackson-oj8dk
@osilojackson-oj8dk Жыл бұрын
Na kenye nimesahao niko mchungaji but due to some situations at home i have hired ma self to serve some Iranians in working car body kits na i need your prayers n some more business ideas basing on what I heard from you
@DeoKapimpiti-fm7sk
@DeoKapimpiti-fm7sk 11 ай бұрын
God bless you paster🙏
@joynnko5186
@joynnko5186 Жыл бұрын
Amen!
@patrickdebe8416
@patrickdebe8416 6 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu.
@fatumarashidi5182
@fatumarashidi5182 Жыл бұрын
Dada Dina kitchen ta mwakani mlete Tena pastor jamn tunajifunza
@jojotanzan609
@jojotanzan609 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@josephinemapuga3515
@josephinemapuga3515 Жыл бұрын
Aminaaaaaaaaaaaa
@rebeccamwiseneza2431
@rebeccamwiseneza2431 4 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumish❤❤i
@KilihonaNdaki
@KilihonaNdaki Ай бұрын
Mungu mwema nimefuniliwa sana
@daudichija2800
@daudichija2800 Жыл бұрын
blessed pastor i appreciate. you
@zephaniapaul5562
@zephaniapaul5562 Жыл бұрын
🙏🙏
@SisteKayombo-up5cy
@SisteKayombo-up5cy 10 ай бұрын
Wow marvelous
@israelchacha6424
@israelchacha6424 11 ай бұрын
Mungu anibariki na mke
@bahatimwaitenga4488
@bahatimwaitenga4488 5 ай бұрын
Amen Amen Amen
@JanethNgambeki
@JanethNgambeki 2 ай бұрын
Mungu asante kwa kunifundisha
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 4 ай бұрын
God bless you more than you are.
@Mjeshi215
@Mjeshi215 6 ай бұрын
Amen mtumishi barikiwa sana
@jacklinejohn4531
@jacklinejohn4531 Жыл бұрын
Powerful
@sararasmamwamapupa3577
@sararasmamwamapupa3577 5 ай бұрын
Amina mtumishi wa Bwana
@manirakizamireille8337
@manirakizamireille8337 Жыл бұрын
Asante mucungaji
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Жыл бұрын
Kweli point
@user-ei9vv9hu7i
@user-ei9vv9hu7i 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@hdhdhdhdhdh3264
@hdhdhdhdhdh3264 Жыл бұрын
Amina🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Жыл бұрын
❤❤
@ShidaKazungu-tp8ld
@ShidaKazungu-tp8ld 2 ай бұрын
Ameni pastor jamani
@LovenessTzer
@LovenessTzer 3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@BigirimanaJoly-ec3rj
@BigirimanaJoly-ec3rj 6 ай бұрын
Mungu akuvike nguvu mchungaji
MAKOSA YAKO YA JANA YASITAFSIRI KESHO YAKO
12:15
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 165 М.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 38 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 24 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Mungu awe tegemeyo kwako by Pastor Tony Kapola
3:31
WORSHIP GOD FOREVER
Рет қаралды 172
USHUHUDA WA  MAISHA PASTOR TONY KAPOLA SEHEMU 1
22:08
ayoub mwigune
Рет қаралды 156 М.
PASTOR TONY KAPOLA SHETANI ANAKUJALIBU WAKATI WA MAGUMU
4:36
HVT CHANNEL
Рет қаралды 30 М.
SIKILIZA USHUHUDA HUU
7:23
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 31 М.
Invaded Systems-Part I | Pastor Tony Kapola | 5th March 2023
3:09:21
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 56 М.
Почему Мона Лиза такая дорогая🤔
0:31
как попасть в закулисье в schoolboy runaway
0:51
Приятного аппетита 🤣
0:15
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 8 МЛН
え、、、!
0:11
美好秋人
Рет қаралды 17 МЛН