Рет қаралды 2,875
La chorale Upendo vous présente la chanson pleine d'onction intitulée UPENDO Lyrics #gospel #praiseandworship #song
#upendokwawote #upendo #upendochoir
Chœur:
Upendo amrikubwa kuliko zote x2
waweza imba, waweza tabiri, waweza hubiri pasipo upendo
yote nibure x2
Lead: Upendo tunda la roho, Upendo amri kubwa ambayo tumeachiwa na yesu mwenyewe, leo haiko tena kanisa kanisa la jioni mulilogwa na nani, mulianza kwa roho leo mwamaliza kwa mwili. nakumbuka ma babu wetu wa zamani walikuwa naupendo, upendo wa dhati ijapokuwa walikuwa wapagani. mayatima walikomaliya kwanye baraza, wajane waliponeya kwenye baraza, nawale wasiyo jiweza waliponeya kwenye baraza. Afrika ili jengwa bila kuona lugha ya mutu, niliwaza kwasiye ambao tulimupokeya Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu, inaweza kuwa zaidi. kwanini watu wanakufiya hekaluni, tuko naimba pamoja lakini tuko naogopana, tuko kwenye mazabahu pamoja lakini tuko naogopana najiswali mbinguni ya wapi tunaenda jameni, kanisa la kwanza waliishi umoja waliishi upendo waliishi ushirika, ikiwa leo twajuwa injili nikwasababu walitembeya pamoja kwa umoja. ubaguzi unatoka wapi kanisani, uyu haiko wakwetu, ile niupungufu wa upendo. kama siongeye lugha yako unasikiya hau farijike , nakisha unasema tunaenda mbinguni, mbinguni ya wapi ambayo tunakwenda, soma vizuri bibliya yako Duniya yote ilikuwa mutu moja tuligawanyika wakati wa munara wa babeli. tusiitwe wauwaji muuwaji hataingiya mbinguni. mbinguni niya wale waliyo takaswa kwa damu ya Yesu, ndiyo wale wataingiya mbinguni, acha kuzozana na mwenzako, jikaze kuchukuliya ndugu yako, hilo ndilo kanisa la kwanza, siye wote hatuendake ndani ya hekalu tukiwa nanguvu moja, tuwe naupendo tujuwe kuchukuliyana sisi niwa moja ndani ya Kristo kati yetu hakuna muyuda wala muyunani tuwe naupendo, tujuwe kuchuliyana.
Choeur2: Amri kubwa Bwana ametuachiya, sisi wakristo, upendo. tupendane tushirikiyane, ndipo tutajenga mwili wa kristo
Lead2: Upendo wa samehe mambo yote, upendo wa funika mabaya x2
Choeur3: Kama ndugu yako akikutendeya mabaya huwezi kuhesabu sababu ndani yako munakuwa upendo X2
lead3: Chuki ya nini twa fiya nini sote tuwatoto wa baba moja x2
Mimiques:
Rangi
Mipaka ya inchi
Maumbile yangu
Sura yangu
Jinsi nilivyo
choeur4:
hai wezi tu tenganisha