messaje himefika mamangu , Mungu akubariki sana, walio barikiwa pamoja nami gongeni like hapo chini ili twende sawa
@neemalema79813 жыл бұрын
Majaribu ni kama moto yanauchoma moyo, yamenipata mim moyoni mwangu naumia... ilikua ni kwa ajili yangu kabisa,,,katika uchungu uliopitiliza wimbo huu ukawa faraja na uponyaji Ubarikiwe sana 🙏 My song🙏
@theresianyangachi6432Ай бұрын
Riziki hapa nyimbo zako huwa zina nibarik hii ablam nitaitaifuta je wap nitaipata au kwenye tovutut gan naomba jibu
@user-yf9cm9nu7w9 ай бұрын
Utabaki na mimi wengine wakiniacha utabaki na mimi yesuuu . God bless you mamaaa
@innajonathan82734 жыл бұрын
Baki na Mimi Yesu. Binadamu wameniacha Yesu baki na Mimi
@marrykisiki4655 Жыл бұрын
Yesu utabaki na Mimi wengine wakiniacha Yesuu!! Utabaki na Mimi🙏🙏🙏
@user-my7ik4hd4p4 ай бұрын
Hizi nyimbo zako nazipenda sana Mungu akubariki milele
JESUS MY BEST FRIEND OOH ALELUAH my GOD bless you human of GOD
@napendammbaga-my6lx Жыл бұрын
Wimbo huu umenifanya nikalia Sana majaribu ni Kama Moto yesu Baki na mm .
@lulufrance19974 жыл бұрын
Kweli katika dunia hii hakuna mfariji isipo kuwa YESU......hiv dada upendo umenifanya nilie kwa wimbo wako So pain full Unafariji unatia moyo......MUNGU alie juu akuzidishie.......Baba niinue na mm.....wengine wakiniacha utabaki na mm.....😣😭😭😭😭😭
@monicamitimingi27943 жыл бұрын
Ameen kweli huu wimbo ni faraja sana😭😭
@joskyshams47584 жыл бұрын
Wow wow wow Asante kwa kwa sababu utabaki na mimi. Mimi wa kwaza kutazama nikiwa 🇰🇪
@antonykibirisho73534 жыл бұрын
Pamoja
@albertbyendatv74364 жыл бұрын
😭😭😭 wengine wakiniacha , utabaki namimi
@ivyodero68813 жыл бұрын
Yesu utabaki na Mimi yesu yote ya dunia kwisha utabaki na mimi.asante mama kutumika kuimba nyimbo za kufariji moyo
@genevievesunday6 ай бұрын
Hongera mtumishi kwa wimbo mzr unstia moyo.
@peterchao93114 жыл бұрын
Hongera Sana Dada yangu hakika nyimbo zako zimekua zikinipatia faraja Sana hasa kwa magumu niliyoyapitia,Mungu aendelee kukupa afya njema na utunzi wenye maono zaidi.
@violetsumba5429 Жыл бұрын
Asantee Kwa hii wimbo barikiwa sana violet kutoka kenya Mombasa
@beatriceshayo81013 жыл бұрын
Yesu pekee tu ndio ndio kimbilio, haijalishi magumu tunayopitia,yesu utabaki na mimi👏👏👏👏
@yusuphemanuel97112 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zako mtumishi wa Mungu
@ErizabertMaiko2 ай бұрын
Mama nyombo ni nzuri Sana imenichoma moyo
@doreenmukandara65083 жыл бұрын
AMEN.UTABAKI NA MIMI BWANA
@falonnetshilongo2438 Жыл бұрын
mimi na liya, matshozi yangu uyaone baba, faradja yako iwe na mimi bwana🥲😭😭😭😭😭
@beatricesanga78564 жыл бұрын
Baki na Mimi mungu wangu nimebaki mwenywe Baki na Mimi Leo na kesho na hata milele napitia maumivu makali
@ONGospelTv.Күн бұрын
Love this song ❤ God keep you woman of God
@lionsonlionel21404 жыл бұрын
Songambere na huduma burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunakupenda
@dianamilaji52513 жыл бұрын
Nakupenda sana mama,yesu azid kukutunza mama
@Zenitram-xv1qs2 жыл бұрын
20th June 2020 directly from morning MBCI
@lawrencechibumbu1998 ай бұрын
Your songs always lift me higher any time I play any of them
@mceddie37183 жыл бұрын
Nakupenda Sana Mtumishi Upendo Nkone...Ahsante kwa Mahubiri Yako kwa njia ya uimbaji..Mungu Azidi Kuinua Huduma Yako Kwa Viwango zaidi...na watu wazidi kubarikiwa na nyimbo zako na kuvuka salama kwenye mapito yao.
@shadracknzioka96502 жыл бұрын
Jesus, the ultimate friend who will never forsake us when we call on his name🙏
@wannaproducts2 жыл бұрын
Mungu kimbilio Baki na wote walioachwa
@monicahmwalozi Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏😭😭😭japo pito hili ni gumu najua Bwana utabaki na mimi 🙏🙏🙏
@tinetwagirayezu63702 жыл бұрын
Utabaki na mimi BABA GOD🙌🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@davidobonyo75584 жыл бұрын
Yesu ndiye Mfalme Wa kweli hakauki wala hakaukiwi baki nami Yesu
@user-wu1xq2qp9o Жыл бұрын
Napenda sana maana nyimbo hiz zinafundisha sana
@chanellenibikora42492 жыл бұрын
Amen Utabaki na mimi YESU
@furahasanga25344 жыл бұрын
Nakuaminia dada lao Hubahatisha.
@victoriawilliam3336 Жыл бұрын
Dada unajua mungu akubariki sana
@amosmganyizi75442 жыл бұрын
Amina sana huu wimbo umenibariki sana
@everlight64 жыл бұрын
Wewe mtumishi Mungu akibariki sana sana jembe la Yesu
@orenisrael8234 жыл бұрын
Glory to the Most HighLord,Our Darling Father pokea sifa hizi,UTABAKI NA MIMI my Sweet Jesus🙌🙏🙏🙏❤️
@joycentongani3884 жыл бұрын
Hakika utabaki na Mimi Yesu wangu . ahsante mama kwa ujumbe wa wakati.
@user-cv9hv3qb6q9 ай бұрын
Mungu akubaliki kwahudu
@bahatisanga1183 Жыл бұрын
Utabaki na Mimi yesu wangu
@aminaaa322711 ай бұрын
Oooooh Mungu wa urejesho
@napendammbaga-my6lx Жыл бұрын
Yani nimeusikiliza wimbo huu mpaka nimelia Dada upendo mungu akuinue juu juu Sana kwa nyimbo za faraja unazo tupatia Kila siku mungu ukuketishe na wakuu mwisho ufike mbinguni dah!
Yani mama hakika Roho mtakatifu anatia maneno yake ndani yako yenye uhai oooo!!! Jesus nisaidie kweli kweli
@joshuakimario15284 жыл бұрын
Nimeutafuta siku nyingi sana,saf sana mama
@user-vj1ic2hb4u7 ай бұрын
Ilove❤mama umekuwa baraka Sana
@esther80323 жыл бұрын
utabaki na mimi astane
@glorykamenya25434 жыл бұрын
Amen,Yesu utabaki na mimi wengine wakiniacha utabaki na mimi
@nduwimanalouise9409 Жыл бұрын
Amen Uwe na Mimi Yesu
@brysonmwakina4 жыл бұрын
I love this my Mama Nkone
@jemimahmbilo63415 ай бұрын
Mungu ni mwema ❤ ❤❤❤❤
@lozzienimu48662 жыл бұрын
Only THE LORD JESUS can remain with me in this storm of sorrow after the demise of my Beloved Mum
@gracekiarie42594 жыл бұрын
Woow God bless u upendo I love u from kenya
@fridaytv38183 жыл бұрын
Nami ubakiii namiimii Yesu
@thomasjuma62323 жыл бұрын
Oh! I love the king of kings. The comfort God gives me is more than any creature or object will ever give.
@fridaeligius13214 жыл бұрын
Jesus, the one and only Hope,, through thick and thin ..always by my side..
@andreamutekulwa10922 жыл бұрын
I wishing you long life and GOD bless you more Mom🙏
@rebekayuda44413 жыл бұрын
Be blessing my Mumy pale ambapo ulipitia MUNGU alikufanya uwe daraja kwa wengn nabarikiwa sana na huu wimbo tena IMAN yang inazd kuongezeka MUNGU azd kukuinua kwa viwango vya juu
@filbertanthony17072 жыл бұрын
Utabaki na Mimi yesu 🙏
@patrickmaina36222 жыл бұрын
Ni kweli Yesu ni rafiki mwema, rafiki wa kudumu siku zote. Neema na uufunuo zaidi Upendo Nkone.
@corizzahwere7299 Жыл бұрын
I feel blessed with each and every of your songs...May God bless you and feel you with his Grace as you continue in ministering ...Amen
@saraodanga3960 Жыл бұрын
I love your worship.Especially odio it touches the heart of God.Thank you for worshipping God Almighty in a powerful way.
@shiipeters8018 Жыл бұрын
God ur the only friend who will never forsake me ...in the situation am in please God kuja Baki na Mimi unionyeshe njia ...I know I will came back with testimony 😭😭🙏
@claudeirakoze2585 Жыл бұрын
Usikie kama moyo wangu unakupenda
@user-eb5uc6pk8t9 ай бұрын
Nabalikiwa san❤
@henrykanoro21642 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa nyimbo hii yenye kujaa mafuta. Imenibariki sana. Mungu aendelee ku kupa mafuta na baraka zake tele.
@Ailestv4 жыл бұрын
Wimbo unanipeleka kilindini
@saraelias78634 жыл бұрын
Ninavyokupendaga mamy wee acha tyuu
@lumadedem.imeldanyarengine35912 жыл бұрын
Asante YESU🤲🙏
@ndukunancy2560 Жыл бұрын
I swear God is the ultimate answear ... always there with you no matter what happens ... believe in God
@neemadawson7233 жыл бұрын
Ubarikiwe dada kwa wimbo huu hili ni ombi langu Yesu naomba ubaki nami baki na familia yangu kama ilivyokua kwa Ibrahimu
@l.j_gospelmusic3 жыл бұрын
𝐔𝐁𝐀𝐑𝐈𝐊𝐈𝐖𝐄 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔
@lucyringo60103 жыл бұрын
Jmn dada upendo huu wmbo unanbariki Sana haipiti cku bila kuusikiliza...unaimba vtu vya rohoni Sana jmn Mungu akuinue vwango vya juu...stay blessed
@dianakatheu67992 жыл бұрын
Najua Yesu wangu huwezi niacha. Umekuwa nami tangu mwanzo
@kisanyafrancis62902 жыл бұрын
Asante sana mama yangu kwa wimbo huu, umeubariki sana moyo wangu.Bwana akubariki sana.
@mankamacha43832 жыл бұрын
Hata nilipoondokewa na mume wangu 😭 wengine waliniacha ila wewe hujawai kuniacha Bwana wangu 🙏
@SalomeMndeme16 күн бұрын
Hakika
@lilianongachi43684 жыл бұрын
Amina, Mungu utabaki na mimi wengine wakiniacha
@ritamutinda37034 жыл бұрын
Powerful
@andrewmulimusembi1114 жыл бұрын
I love all your songs mama.they are very spiritual and they cool my spirit.continue that way dear
@stephenmusango47233 жыл бұрын
I like this worship song,yes,utabaki nami Yesu wengine wakiniacha,,May God bless you so much Upendo
@mauleenmaresi1402 жыл бұрын
Ameen
@silamunuo49353 жыл бұрын
Nice barikiwaa
@ibrahimmkombe43702 жыл бұрын
be blessed mama I loved your songs immediately after I recieved salvation,you ve being my source comfort in times of hardship through your songs.may God keep you for thousands years.
@saraelias78634 жыл бұрын
Barikiwa mama wimbo umebeba ujumbe mzito sana
@emmysweetz83893 жыл бұрын
Utabaki na mie wengine wakiniacha yesu utabaki na mimi hallelujah yesu apewesifa
@nicholasmwadime11012 жыл бұрын
Yesu Utabaki Nami, Kwenye Mapito yangu umebaki Nami, wengine wameniacha Bali Wewe Umebaki kua rafiki mwema, naomba urejesho wako tena.
@user-fw7ik1rf9b11 ай бұрын
Amen amen❤❤❤
@bonifacekituo23774 жыл бұрын
Yesu utabaki mm,,,, my prayer
@marymeshack29752 жыл бұрын
Hallelujah!,
@abigailkavugho24614 жыл бұрын
I really like the way you sing maman upendo Nkone may God bless you
@michalsingano29642 жыл бұрын
Utabaki na mm
@dorcaskoech68253 жыл бұрын
it's true mum upendo our lovely dad will never ever forsake us he will remain with us till the end...mbaki na sisi dad
@user-ef6ii4yj6d9 ай бұрын
Ameeeen🙏💕💕
@tumainikenga9944 Жыл бұрын
The God who is ever present ,his name be glorified
@dorcaskoech68253 жыл бұрын
it's true mum upendo our lovely dad in heaven will never forsake us mbaki na sisi dad...