Urusi alikuwa apeleke Cuba IRAN ,Venezuela, na Korea kaskazini
@nassoroshakiru709422 күн бұрын
Binafsi pia nadhani angefanya hivo ingekuwa njia sahihi kabisa yan
@kwisa489922 күн бұрын
sio kweli URUSI ana program ya kutembelea Cuba kila mwaka usa kainunua cuba kula Guantanamo kwahiyo pia ni risk kwa Russia kuweka Base Cuba
@hamidamussa-sy4fm22 күн бұрын
Marekani haitoruhusu
@user-pd5hl9di2q22 күн бұрын
Wewe urusi na USA ni jirani sana kupitia Alaska
@felisteronesmo309122 күн бұрын
Alafu wanatuzuga ..
@AFRICA_D66921 күн бұрын
@@felisteronesmo3091 😁
@user-nd5uf6lw4g21 күн бұрын
@@user-pd5hl9di2q ulisha wai kusikia habari ya kuuziana alaska
@tonitonito158722 күн бұрын
Vita vya Dunia viko karibu kuanza. Sijui Taifa letu limejipanga vipi katika nyanja zote
@Mumewangu22 күн бұрын
Nakumbuka ujerumani waziri wa ulinzi aliwambia waanze mazoezi kwa kujiandaa na vita 2029
@felisteronesmo309122 күн бұрын
😂 😂😂 .. ndomnasemaga wanajeshi wachokozi...
@StephanoMoses22 күн бұрын
Tuko full mabomu ya machoz ya tumbaku
@tonitonito158722 күн бұрын
@@Mumewangu Mimi nilitamani serikali ijipange kuandaa mpango mzuri wa bidhaa tunazo agiza nje ili kusiwe na uhaba wa izo bidhaa baada ya vita kutokea
@tonitonito158722 күн бұрын
@@StephanoMoses Tunahutaji kuwa na majasusi wazuri wa kiuchumi kwenye Majeshi yetu
@user-hi7ry5bc9t22 күн бұрын
Hebu tuambieni ni umbali up uliopo baina ya marekani n urusi? Maana tunajua kuwa magaribi ya marekani imepakana na mashariki ya urusi si zaidi ya maili 3. Kw mujibu wa ramani ya dunia.
@SaraphinaKidoti-qe7gi22 күн бұрын
Hawa nao ifike maahala wapge mambo ya kupgana kupitia mgongo wawawengne tumechoka wapgane ajulikane Nani mbabe basi
@nizarrama22522 күн бұрын
Marekani mavi yanagonga chupi hamuwezi mrusi
@godfreysudi726419 күн бұрын
Ikitokea vita kati yao ujuwe kabisa ni vita ya 3 ya dunia
@SaraphinaKidoti-qe7gi19 күн бұрын
@@godfreysudi7264 watajua wao uko uko
@sabrinaahmed081622 күн бұрын
Nchi *
@user-pd5hl9di2q22 күн бұрын
USA ni maneno tu hypersonic hana alizijaribu zikalipuka, ila usa waoga mrusi atapeleka cuba na Venezuela usa atapaniki
@frankbanda660222 күн бұрын
Wote hatuhitaji ubeberu wa America lakini punguza chuki kdgo kwa America, unasema kuwa hana hypersonic missile? We unaelewa unachoongea kweli, Taifa la kwanza kugundua na kutengeneza Atomic bombs and Nuclear weapons ni America bro na hizo hypersonic missile yye ndo wa kwanza kuzitengeneza hata kabla ya wasoviet ,, ila kitu ambacho mmi na ww huenda hatukijui nikwamba America wana usiri mkubwa sana ktk masuala ya silaha na ana silaha hatari nyngi sana huenda hata Mrusi hana
@AmriKidelengwe-gw1lr22 күн бұрын
Ni kweli lakin kwa historia hypersonic imegunduliwa na mrusi kafuatia mchina na wengine labda wanatudanganya
@rumdeesonsoa181122 күн бұрын
Sasa kama Marekani hana hypersonic na ni muoga Urusi inahangaika kuionya Marekani kwnn wakat sio tishio?
@frankbanda660222 күн бұрын
@@rumdeesonsoa1811 unajua bro wengi tunakomenti kwa mihemko tumetanguliza uhasama zaid kwa America bila kujua Urusi mwenyewe hana amani dhidi ya America na anamjua vzr sana kuwa USA ni taifa la aina gani upande wa kijeshi na zana za kivita. Ingekuwa USA ni dhaifu kwa Mrusi ni muda mrefu USA angeshambuliwa ila jiulize mwanzoni mwa mgogoro huo Urusi ilitoa kitisho kuwa taifa litakalompatia silaha Ukraine ataishambulia, America kapeleka silaha bila kificho je alishambulia? Tuache mihemko hii vita ya wakubwa hakuna mnyonge kati ya hawa wawili USA NA RUSSIA
@omarymwaluko976522 күн бұрын
@@frankbanda6602ndio marekani ni mashoga
@user-pd5hl9di2q22 күн бұрын
Vita ni vita HAMAS mbona kamtoa kamasi Israel na USA
@fahadhassan171422 күн бұрын
Putin peleka nuclear Cuba kazipange zitulie tatizo mpole sana
@AmaniMathod22 күн бұрын
Wanae ijuwa vizuri urussi wapo kimya.... marekani alishawai kuomba msaada kwa mrusi vita vya mjerumani na urussi aliweka bendera yake pale ujerumani...
@MczoAyo22 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Levimakokha-ch6id22 күн бұрын
👏🙏
@AsumaniMAtanga22 күн бұрын
Hi guys
@AFRICA_D66921 күн бұрын
Hayana hata aibu mibendera yooote kanchi kamoja maskin kanayatia hoffu ya Maisha yao, majinga kweli
@user-pd5hl9di2q22 күн бұрын
Sasa hivi USA wamepaniki baada ya kupigwa ukraine hivyo anatapatapa
@DeusRobart22 күн бұрын
twende tuone
@MohammedBwanga21 күн бұрын
Ally masubi vita ina siri kubwa sana the way unavoleta uchambuzi ni sw ila kuna taarifa km uliwahi kuskia kwmba urusi ilipeleka mzigo mkubw sn wa silaha nchini cuba lkn pia wana kambi za siri zilizopo. Alaska lkn pia zilizopo antactica continent kw ajili ya marekani tu,kwyo. Km alivisema putin hii vita ya nyuklia ikitokea hakutakua na mshindi,hii meseji nzito sana kw usalama wa dunia,lkn ni ujumbe kw nchi za magharibi kuwa mambo ya zamani yameisha taifa kutishia wengine.
@ibranoahngidange590922 күн бұрын
Marekani analia soon 😂😂😂😂 maana amezoea mikwara hajui kuwa anacheza na putin mtu wa matendo Alafu pia nikusahihishe ndugu mwandishi mrusi ndio nchi yenye nuclear submarine nyingi kuzidi nchi yoyote hile duniani so anao uwezo mkubwa tuu wa kusogea karibu na marekani na kushambulia bila kuwa na kituo katika nchi ya karibu na America
@faridmnyamike55610 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Marekani ni Ndumilakuwili
@sabrinaahmed081622 күн бұрын
Norway imedonate weapon kwa ukran, hii ikoje kwa Russia? Ukiangalia Norway iko boda na Russia? Pia nacho Kama Poland, Sweden pia wamedonate weapons…au Putin yuko sawa nchi nyengine zikiipa weapons Ukraine Ila sio Adui yake marekani?
@rumdeesonsoa181122 күн бұрын
Silaha za Marekani ndio zinaogopwa zaidi
@omarymwaluko976522 күн бұрын
@@rumdeesonsoa1811marekani mashoga
@hazygardmericho957121 күн бұрын
God bless america. nyie nyie nchi zisizokua na demokrasia watu ni wanachinjwaaa😃haya jisahaulisheni
@kassimbayuu521722 күн бұрын
Hot war is coming
@mialanomanqobo663922 күн бұрын
Russia panic 😱
@AFRICA_D66921 күн бұрын
Haka kajamaa kaliko shikana mkono na mwenzie wakati wakiround hao ndio marafiki wakweli 😅😅😅
@danvannyzawad645222 күн бұрын
3world war on the way😢
@subrynerysegerow132322 күн бұрын
Yani marekani na israhell ni laana kwa dunia
@dottomabula725322 күн бұрын
Watu wengi hawajui hii ishu wanazani MAREKANI amewekeza nguvu yake yote hata NATO hawajawekeza nguvu Yao yote
@user-nd5uf6lw4g22 күн бұрын
Hamna kitu hapo mbona miaka mingine Wana ingiaga2 nchii yoyote ile mbona hapo Wana jificha
@rumdeesonsoa181122 күн бұрын
@@user-nd5uf6lw4gWanaogopa nuclear, Urusi isingekuwa na nuclear ingevamiwa kama zilivyovamiwa nchi zingine
@amirinestory22 күн бұрын
urusi nae hajawekeza hata wanajeshi wake bora...ni migambo tu na hata vifaa na silaha niza zamani mpya na zakisasa bado hajazitumua😂
@omarymwaluko976522 күн бұрын
Marekani nato mashoga
@user-yw3qh6qj8g22 күн бұрын
Mrusi mpuuzi,amelikoroga
@Awatee22 күн бұрын
Kama ulivo kua mpuuzi weye unaeropoka😂😂
@omarymwaluko976522 күн бұрын
Marekani mashoga sana
@user-ye4iy8jy2z22 күн бұрын
Hujielewi wewe
@user-xk5hd3rg5n22 күн бұрын
Urusi na yeye aache mikwara . Kama nchi ndogo ukrein imemsumbua zaidi ya miaka miwili, sasa kwa USA ataweza kufua dafu kweli au ndo ule msome wa kelele za chura.....
@user-up6zl1ck3j22 күн бұрын
Ukraine angeipiga siku moja tu,ila kumbuka anapambana na mataifa zaidi ya 30
@alphamenson378422 күн бұрын
War strategies mzee
@msodokidasilva673922 күн бұрын
Kojoa kula kande kalale maana hakuna ukijuacho maskin 😂😂
@rabikekitashu8822 күн бұрын
Vita sio mkatati na hata unless utajikuta huna uchumi
@HusseinSaguti-sj9nh22 күн бұрын
Labda hufuatilii vzr Wanaopgana ukren ni ni nato Nato ni nchi 27 ikiowemo marekani