Рет қаралды 142
Mama na mume wake na familia nzima wameona wema kumushukuru Mungu kwa kumuponya na Magonjwa mazito iliyo mdumbua sana ya pancreas ika aribu mwili wake mpaka akavimba .ila nguvu za Bwana Yesu kristo zimemuponya kupitia maombi aliyo muombea Nabii Rosine MUBARIKIWA.
Sifa zimurudi Mungu pekee yake .Yesu kristu ni jibu kwa mambo yote Amen