USIKU HUU: JUX NA MKEWE PRISCILLA BAADA YA KUFUNGA NDOA, DIAMOND, MARIOO NA MASTAA WENGINE NDANI

  Рет қаралды 18,357

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@AngelMazola
@AngelMazola 19 сағат бұрын
Mungu awatunze Jux mzae watoto wakike nawakiume afadhali mmewafunga watu midomo mi nawapenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SatuMansur
@SatuMansur 5 сағат бұрын
Kila la kheri My Favorite Jux!❤🫶🏻 japokuwa natumia maana nampenda Sanaaa Jux!😞😃👍🏻
@NoorynMody
@NoorynMody 11 сағат бұрын
Zuchu na diamond kazi kuuzuria harusi za wenzenu to nyie kufunga ndoa aaaah 😂😂
@shivobs4485
@shivobs4485 13 сағат бұрын
Jux Vanessa anamuuma sana ndio maana kaenda Nigeria
@Zanha582
@Zanha582 5 сағат бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 19 сағат бұрын
Mmependeza mashallah
@JenifaAbasi-w1q
@JenifaAbasi-w1q 19 сағат бұрын
Mashaallah
@siriyangu4724
@siriyangu4724 2 сағат бұрын
Mabruk ❤🎉
@Haleema-dg5bo
@Haleema-dg5bo 10 сағат бұрын
Mashaallah congratulations 🎊 ❤
@Mainatongwe
@Mainatongwe 18 сағат бұрын
Congratulations ❤🎉🎉🎉
@aaa64sa13
@aaa64sa13 19 сағат бұрын
MashaAllah❤❤🎉🎉
@LydiaJoseph-d4n
@LydiaJoseph-d4n 9 сағат бұрын
ndoa yenu ikawe ya baraka tele mzae wtoto wakumpendeza mungu🙏
@husnasalim9614
@husnasalim9614 9 сағат бұрын
Allah jalia idumu ndoa
@shibukhmarie7080
@shibukhmarie7080 15 сағат бұрын
Familia ya huyu dada wamuombee sana. Hawa wasanii wa tz, wanatambuliwa sana siku hizi kwa ufalme wa giza.
@hadijamohd6028
@hadijamohd6028 12 сағат бұрын
Na umalaya yani wanaume wamekuwa malaya htr mm nashangaa mwanaume utakuta yumo kwenye ndoa lkn bado anachepuka
@BeaSHAYANAHunterson
@BeaSHAYANAHunterson 12 сағат бұрын
tena bila woga na hofu yoyote😮😮😮 mke ajue asijue yote sawa..duhhh.....Mungu awape wanawake​ moyo wa uvumilivu hali ni tete sana.....@@hadijamohd6028
@aminamloka7545
@aminamloka7545 9 сағат бұрын
M nmejua unasema kucheat kwa mambo ya Giza tukasome Tena kwa Nigeria kwahy Wala halitamshtua Ila tu ajiandae na matukio bc Allah ampe uvumilivu maana tunawajua wanaume wa nchi yetu
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 сағат бұрын
Nimefrahi kuona harusi ya kawaida sasa mke na mume mengine masherehe ni vitu vya kawqida havina ulazima daimond iga mfano wa jux uwa siri sherehe utafanya ukipenda
@EdinaKilua-g9o
@EdinaKilua-g9o 9 сағат бұрын
Congratulations
@SamwelikazimbayaKitahenga
@SamwelikazimbayaKitahenga 19 сағат бұрын
Waislam hawana mambo mengi jambo limeishaisha hapo😊
@aaa64sa13
@aaa64sa13 19 сағат бұрын
😂😂😂 Bado inaenda mpaka naija..... na bongo pia ipo sherehe kubwa. Hiyo ni Mikaha na lazma iwe hivyo kulingana na Dini. Insha Allah
@SamwelikazimbayaKitahenga
@SamwelikazimbayaKitahenga 19 сағат бұрын
@@aaa64sa13 Hachana na sherehe namaanisha hapo ni mke halali kwake!hizo unazo sema wewe ni mbwe mbwe tu!!
@Burner_Acc
@Burner_Acc 16 сағат бұрын
Mbwembwe ni uamuzi na kipato chako. Hakuna mtu au dini yenye mbwembwe. Kuna ndoa nyingi tu za dini zinaishia kanisani au wengine bomani. Kila mtu afanye kwa uwezo wake.
@KK-so1zd
@KK-so1zd 12 сағат бұрын
Congratulations ❤
@RukiaRashid-v4x
@RukiaRashid-v4x 3 сағат бұрын
Juma lokole haache Kaz wasafi sasa
@Brainwave-b25
@Brainwave-b25 13 сағат бұрын
Yaani marioo ni kivuruge wenzake wamevaaa nyeupe wote,yeye nyeusi anaonekana mchawiii 😅
@maase2023
@maase2023 10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 hawa wasanii tanzania kila kukicha wanaoana na baada ya masaa 48 tu wanaachana na kukashifiana kwenye media mmmhhhhh!
@AngelMazola
@AngelMazola 19 сағат бұрын
MNigeria og uyu wanongo mliokuwa mnasubiri waachane imekula kwenu😂😂😂😂😂pole sana wanafki Jux kawafunga midomo sasa😂😂😂😂😂😂😂
@AbdeenBahry
@AbdeenBahry 11 сағат бұрын
Kwahyo prisila kaslimu au ni vipi
@5araalharmi474
@5araalharmi474 7 сағат бұрын
👏👏🤲🙏🏽🇹🇿🇳🇬🫶🏽🫶🏽🌹🌹
@NuzlaMalay
@NuzlaMalay 11 сағат бұрын
Diamond platnumz imebaki wewe Sasa uoe pia
@mrpazurioriginal579
@mrpazurioriginal579 18 сағат бұрын
Jux sijui karogwa duu mbona ame jitengenezea giza ringine ritakaro msafirisha kumpereka na kumtokomeza mazima aisee mwenye zimungu nina kuomba umwokoe kiumbe wako
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 12 сағат бұрын
Mbwa kama nyie hamkosekani
@SamySamy-u1p
@SamySamy-u1p 12 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂​@@rebbywealth9869
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 10 сағат бұрын
Binadam bwana mmmmh au basi 😏
@rosemarykimath9337
@rosemarykimath9337 7 сағат бұрын
Andika kiswahili fasaha ww
@KhalfaniFarisy-c3w
@KhalfaniFarisy-c3w 18 сағат бұрын
Ndoa yao batiri kisheria. Kwasababu hawaswali.
@bilalkhamis_
@bilalkhamis_ 15 сағат бұрын
Hiiii haya nipe ushahidi wa maneno yako... 😢
@NajmaMohammed-sn4vh
@NajmaMohammed-sn4vh 15 сағат бұрын
Kisha mke mkristo mume muislam
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 12 сағат бұрын
Haya assistant Mohammad
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 12 сағат бұрын
​@@NajmaMohammed-sn4vhmnakuwaga wa juaji sasa wangefunga ndoa bila binti kubadili? Kaolewe wewe sana, shenzi kabisa
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 11 сағат бұрын
Kumbe usiposwali hautakiwi uoe dini hiyo umesoma wapi ww.
@mrpazurioriginal579
@mrpazurioriginal579 18 сағат бұрын
ukweri nikwamba nina chukia sana hasa pare ninapo ona mwana ume mwenzangu na kijana mwenzangu anapo ingia katika kufunga ndoa maana ame jiandaria kitanzi kitakacho muimiza mwenyewe Jux kafunga ndoa na kwenda kuishi kisheria na sio kuishi kwenye taaswila ya mapenzi nampa pore sana kitakacho mkuta mbereni sisi atutokuepo hata wananii wenzake yamesha wakuta
@Burner_Acc
@Burner_Acc 16 сағат бұрын
Waislam wanaoana Leo wanaachana kesho ni wao tu. Ataoa na kuacha hadi achoke mwenyewe.
@bilalkhamis_
@bilalkhamis_ 15 сағат бұрын
Una matatizo wewe.... Ndo ni stara... hakuna tatizo lolote kuoa na ni jambo kubwa sana na jema.... mbona sisi tumeoa na hmna ttz... mapungufu ya kibinaaadam basi muwe n subira mvumiliane siku ziende.... hivi utazini mpaka lini kwa mfano
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 12 сағат бұрын
Ona hii mbuzi... hata kuandika hujui ndo utajua mapenzi? Hovyo
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 10 сағат бұрын
​@@Burner_Acc Uwislam aujahalalisha kuoa Leo kesho kuacha iyo ni hurka ya mtu namkikutana wote matahila ndo ivo na Sasa ivi mpk wakristo wanaachana Leo kesho anaoa kwani atuoni akuna pingu za maisha Wala pingu za jela Sasa ivi ukristo ulikuwa zamani sio Sasa na uwo Uwislam ulikuwa zamani sio Sasa Karne hii wanawake na wanaume matahila ndoa azidumu
@FitnessBysixkisengo
@FitnessBysixkisengo 11 сағат бұрын
Mashaallah
DUNIA (Ep 49)
22:42
ASMA FILMS
Рет қаралды 47 М.
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
Andro, ELMAN, TONI, MONA - Зари (Official Audio)
2:53
RAAVA MUSIC
Рет қаралды 8 МЛН
Harmonize - X (Official Lyrics Video)
3:16
Harmonize
Рет қаралды 113 М.
TAARIFA YA HABARI WIKIENDI - AZAM UTV - 08/02/2025
UTV Tanzania
Рет қаралды 90
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН