Usitazame Filamu Hii Ikiwa Huwezi Kuzuia Machozi Yako | Senorita | - Swahili Bongo Movies

  Рет қаралды 662,084

RIVERWOOD BONGO MOVIES

RIVERWOOD BONGO MOVIES

Күн бұрын

A Swahili Bongo movie starring; Ramadhan Shabani,Vaileth Issa,Waziri Jumbe....
Movie title - Senorita
Aforevo ID - juWWzGFfhd
#bongomovies #swahilimovies #kenyanmovies #tanzanianmovies

Пікірлер: 236
@VeronicahOtwori
@VeronicahOtwori 4 ай бұрын
Weeee hii n funzo kubwa kweli kweli adi nimelia 😢😢😢😢malipo n hapa hapa t nashukuru dada kwa moyo uliyo nayo mungu atawasaidia mutapona n mtakuwa n watoto kw jina l yesu kristo kila mwenye anasoma huu ujumbe tuseme amen maana mungu ndie kila kitu kwenye maisha yetu bila yy sisi si kitu kwa hii ndunia🙏🙏🙏🙏🙏🙏nawapenda sana ❤❤❤kutoka kenya 🎉🎉🎉
@AllyBarakati
@AllyBarakati 4 ай бұрын
Mung au yesu
@mwanaishamunyiri6033
@mwanaishamunyiri6033 4 ай бұрын
Hii n movie unaweka Hadi yesu😂
@janetnthenya6273
@janetnthenya6273 4 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@VeronicahOtwori
@VeronicahOtwori 4 ай бұрын
@@mwanaishamunyiri6033 komaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣km si yesu wangeweza kufanya hyo movie jameni ww mungu anakuona
@NajmaNadzua
@NajmaNadzua 4 ай бұрын
Emeen
@HulyaKanoro-g3l
@HulyaKanoro-g3l 4 күн бұрын
mungu akupe ujasili❤❤❤❤
@maylucson001
@maylucson001 4 ай бұрын
Yanii hìi movie ni yangu kabisa senorita anapitia kama mm😢😢😢😢😢 imenikumbusha mambo mengi sanaaa🎉🎉🎉❤❤
@AvestinaVitalis
@AvestinaVitalis 3 ай бұрын
Mungu awape nguvu na uvumilivu zaid ya hapo,nimekupenda bure senorita
@SakinaValy
@SakinaValy 9 күн бұрын
Nimelia sana sasa nimemuachia mungu
@ElizabethKatinde
@ElizabethKatinde 3 ай бұрын
Da senorita mungu akupe maisha marefu❤❤❤
@peterluther5830
@peterluther5830 Ай бұрын
Clips zako Senorita,Pamoja na za Baba Mzazi wa Kijana 100 Percent nimezikubali sana,Mnafaa kuwa kwenye movies kadhaa.Ningekuwa Director wenu,ningehakikisha nawahusisha kwenye movies kadhaa.mnaleta mvuto wa Cinema.mmecheza poa sana part zenu.Haswaa Senorita.watoto kama hao wanajua kucheza poa clips zao,watafutie nafasi kwenye movies kadhaa.
@faridayusufu2045
@faridayusufu2045 Ай бұрын
Hayo nimazara yakutumia kinga kabla yakuingia kwenye ndoa Mungu atusaidie sana ss na watoto wetu wasije wakafanya hivyo wakiwa bado wadogo
@NaimaHamis-h2j
@NaimaHamis-h2j Ай бұрын
Pole sana dada. Ina umaa mungu atunusuru sis ambao hatuna umizwa.
@DENISOGOLA-w4e
@DENISOGOLA-w4e 4 ай бұрын
Ni uchungu ule ule Hannah alipitia. Mungu hubadilisha Kila jambo. Msichana wa wenyewe analia Hadi mtu wa pembeni pia anatoa machozi. Mungu hurumia watoto wako.
@MillyWekesa-d7t
@MillyWekesa-d7t 3 ай бұрын
Baba hongera kwa maneno yako
@KhadSmiths
@KhadSmiths 4 ай бұрын
Mm upo vizuri mama kukanya mama aliya kazinzuri
@DenisWambua-y2y
@DenisWambua-y2y 3 ай бұрын
pole sana dada...mungu yunawe
@faridaali2820
@faridaali2820 3 ай бұрын
😢😢😢😢Aky pole sana dadangu allah akupe wepesi na akujaliye utapata mtoto umenikumbusha mbali sana daaah😢😢
@VailetySamweli
@VailetySamweli 2 ай бұрын
Hata mm nimechukuriwa mme namfanya kazi wandani❤
@peterluther5830
@peterluther5830 Ай бұрын
Kwa kweli Senorita ni Mwanamke,Sura anayo,na ni mtoto mcha Mungu,Lakini hata uwe mzuri kiasi gani,huwezi kosa kasoro.Unaona kapiga mwenzio kusababisha mauaji,Uzuri wake wote umepotea.
@MatridaElasto
@MatridaElasto 2 ай бұрын
Noma sana
@AsiaRamadhani-r1i
@AsiaRamadhani-r1i 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 pore sana dada yg 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤ nakupend sana
@monicakusenha8405
@monicakusenha8405 Ай бұрын
Nakupenda sana senorita
@PeterWatuwengi
@PeterWatuwengi 3 ай бұрын
Mm nakupenda sana ❤
@ZipporahKitsao-x4l
@ZipporahKitsao-x4l 4 ай бұрын
Hongera wa mama tena hongera sana ,hata kama anateseka kwa ndoa yake hayaoni hayo bado yeye anautu kwa mumewe
@Amina-o6y4e
@Amina-o6y4e 23 күн бұрын
Mzee anawanza Kula tu😂😂😂😂
@DenisWambua-y2y
@DenisWambua-y2y 3 ай бұрын
ghaiiii......poleeee
@naomijemutai9401
@naomijemutai9401 3 ай бұрын
Waaah this a real movie
@jamillahkheir6536
@jamillahkheir6536 4 ай бұрын
Limchepuko libayaaa 🥱🥱🥱
@NdayizeyeChemsan
@NdayizeyeChemsan 3 ай бұрын
Kumbe hujatambua kwamba kila mwanamme msaliti wa ndoa yake husaliti mke we kwa mchepuko mbaya
@ChristineMaloba-hk9je
@ChristineMaloba-hk9je 13 күн бұрын
😂😂anakaa vibaya mnoo
@LekoiMzee
@LekoiMzee 2 ай бұрын
Yaan senorita mung akubarik xanaaaaaaa kwa ujasiri wko
@FelistarMagige
@FelistarMagige 4 ай бұрын
Kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤❤
@Viginiankhoma
@Viginiankhoma 4 ай бұрын
Senorita mwanamke mzuri sanaa
@yohanajohn8741
@yohanajohn8741 4 ай бұрын
We dada nmependa sana unavyoecti unafaa kuwa mke
@Fibi-og9ce
@Fibi-og9ce 3 ай бұрын
Funzo zuri sana ❤❤
@MaswagaSaide
@MaswagaSaide 4 ай бұрын
Vizuri sana🎉
@MenzaKanavidzo
@MenzaKanavidzo 4 ай бұрын
Hongera. Dada. Unajua. Kuacti. Vizuri sana. Unafaa. Tuzo.
@mariegoretteshondingarugam3714
@mariegoretteshondingarugam3714 2 ай бұрын
Pole sana nimeliya hadi kuchoka afazali ni mchezo tu loo!
@lushlashy5420
@lushlashy5420 4 ай бұрын
Dada sonerita nakupenda sanaa mm naomba niwe kama wewe walai
@johnsimiyunyongesa2735
@johnsimiyunyongesa2735 Ай бұрын
Majaliwa ni mwenyesi mungu
@christine1997-by9hh
@christine1997-by9hh 4 ай бұрын
Daah! Asie sikia la mguu huvunjika guu
@elizamwacha7458
@elizamwacha7458 4 ай бұрын
Baba nimekupendaaa
@Maryam-j1d6u
@Maryam-j1d6u 3 ай бұрын
Babamkwe unafaa sana❤❤
@LilianBhoke-g3c
@LilianBhoke-g3c 2 ай бұрын
Pongezi Sana baba kwa kushauri mwanawe wababa Kama Hawa wako wapi wapewe like
@MohdSaid-m2c
@MohdSaid-m2c 4 ай бұрын
Upo sawa mdada umeumbika kweli unafaakuwa mke wakweli ukweli dada
@MbjMbaj
@MbjMbaj 3 ай бұрын
Very nice ❤❤❤❤❤❤
@BoniphaceWambali
@BoniphaceWambali 4 ай бұрын
Hongera ina maudhui
@nasraN-c8l
@nasraN-c8l 4 ай бұрын
Daaah ndg zang mpka naogpa kuolew jmn duuh 😢😢😢
@عامرعفير
@عامرعفير 3 ай бұрын
Kazi nzuri sana ❤
@NizigiyimanaIssa
@NizigiyimanaIssa 3 ай бұрын
Mimi waburundi nimeipenda sana
@thamratysuleiman3053
@thamratysuleiman3053 3 ай бұрын
Baba mkwe kacheza vyema sana .dah adi rass
@AsmaShemndolwa-l3u
@AsmaShemndolwa-l3u 3 ай бұрын
😂Nimeshindwa kujizuia 😢 wangapi wameshindw kujizuiya tujuane kwa like🎉❤😂
@NicholasKaberia-ni6be
@NicholasKaberia-ni6be 4 ай бұрын
kuna funzo kubwa sana hapa walai wacha tumtangulize mungu katika kila jambo ata katika ndoa zetu.
@NicholasKaberia-ni6be
@NicholasKaberia-ni6be 4 ай бұрын
i want to receive more of you what can I do or send me a link
@elizabethmwafongo7829
@elizabethmwafongo7829 4 ай бұрын
Baba mkwe oyeeee😂😂
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 4 ай бұрын
Baba mkwe safii
@monicakusenha8405
@monicakusenha8405 Ай бұрын
💕💕💕💕✨✨✨
@DANIELBASSO-y9m
@DANIELBASSO-y9m 4 ай бұрын
Daaah xijapenda kwani yy mung
@yohanajohn8741
@yohanajohn8741 4 ай бұрын
Baba kama baba
@ScolaMashalo
@ScolaMashalo 4 ай бұрын
Mdada mwenye Mume anajua Sanaa hongera mwaya, unakipaaji
@ZunanOman
@ZunanOman 4 ай бұрын
Nimempenda uyodada ambae ni mke
@MowakaMowaka
@MowakaMowaka 4 ай бұрын
Asaite san baba simama katikati baba uabiyee ukweli mwanamuke api😮😮😮❤❤❤
@MuhammedYussuf-dx6wg
@MuhammedYussuf-dx6wg 4 ай бұрын
Hunger dada❤ kazi nzuri❤🎉
@victoriaMbilinyi-o3y
@victoriaMbilinyi-o3y 4 ай бұрын
Nimekupenda bule senorita uko pw sana mfano wakuigwa
@ElisaAntônioAntônio-h1d
@ElisaAntônioAntônio-h1d 4 ай бұрын
Kutoka 🇲🇿 hongera sanaa dada unajua kupenda
@NeemaEli-wl1dz
@NeemaEli-wl1dz 4 ай бұрын
Kazi zuri sana waooooooo
@VailethAlex-s9j
@VailethAlex-s9j Ай бұрын
Me ina road tu
@FocusDeogratius-r8v
@FocusDeogratius-r8v 4 ай бұрын
Hongera dada yangu
@fikiriisaya5803
@fikiriisaya5803 4 ай бұрын
Asanteni sana
@maimunamselemo8427
@maimunamselemo8427 4 ай бұрын
Funzo zuri sasa
@JenivaJames-qz4xn
@JenivaJames-qz4xn 4 ай бұрын
Da sinyorta nimekupenda sana, kiukwel nimejifunza mengi, make nimeguswa cn mtt at leo😢
@Norah-s9f
@Norah-s9f 4 ай бұрын
Nakupenda bure bevaaa🎉🎉🎉
@LorrieDiella
@LorrieDiella 4 ай бұрын
asanteni saan naapenda
@AlfredinaKaumbya
@AlfredinaKaumbya 3 ай бұрын
Wanaume jifunzeni kitu🙏🙏
@BakariMajid
@BakariMajid 4 ай бұрын
Nimeipenda hy9
@ZipporahKitsao-x4l
@ZipporahKitsao-x4l 4 ай бұрын
Nimependa vyenye baba anamwonya mwanawe
@dorcasmueni2290
@dorcasmueni2290 3 ай бұрын
Fundisho kwake
@JulianaNoboka
@JulianaNoboka 3 ай бұрын
Hii movie ni yangu Ilinikuta
@Norah-s9f
@Norah-s9f 4 ай бұрын
😂😂😂 anaona haya huyoooo
@ErnestChengula
@ErnestChengula 4 ай бұрын
Hakuna ngumu kwamungu dada vumilia❤
@AnthonyMwangombe
@AnthonyMwangombe 4 ай бұрын
Indeed it's an interesting movie, good and nice acting just tu siwe na mahamuzi ya haraka good thing comes slowly, congrats huyo mwanadada na wote kwa hii filamu
@AnthonyMwangombe
@AnthonyMwangombe 4 ай бұрын
New movie
@FrankShilingi
@FrankShilingi 3 ай бұрын
Huyu jamaa nimempenda bule hawandio madaktar wazur angekuwa mwingi angeshenyenta mwenyewe
@LatefaHussain
@LatefaHussain 3 ай бұрын
Kweli malipo duniani akhela kuisabiana
@umentco9600
@umentco9600 4 ай бұрын
Ukiwa na akili jifunze hapa unambia nampenda sana mke wangu na siwezi muwacha alale peke yake na bado unagagana mimba sio upendo
@Maryam-j1d6u
@Maryam-j1d6u 3 ай бұрын
Wenye ndoa w mko wapi kujeni tupate kufaidika maana hapa Kuna meng ya kutufunza na lituelimisha😢
@IreneMsile
@IreneMsile 3 ай бұрын
Najua ukweli nimchungu na unauma ningependa kuwa mkweli tu kuigiza bado sana mnatakiwa mfanye mazoezi sana, kwanza hamna confidence kuanzia kwenye kuongea yaani matamshi yenu mmmm hapana kwakweli yaani bado sana hebu mjitahidi kidogo😢😢
@FatmaSalum-w2o
@FatmaSalum-w2o 3 ай бұрын
Mbona ya huzuni
@ZipporahKitsao-x4l
@ZipporahKitsao-x4l 4 ай бұрын
Enda uzembe xx
@DevothaPeter-g3y
@DevothaPeter-g3y 4 ай бұрын
Hiyo ni kweli Mume apatapo tatizo wakwanza kuulizwa ni Mke wake,hivyo basi nyie wanaume mlitambue hilo,pia siku zote mtambue kuwa mwanamke huwa anaona mbali sana hata kabla jambo halijatokea.
@gudanemma1459
@gudanemma1459 4 ай бұрын
😢😢😢😢mmeniliza mwishoni
@allyzicko8149
@allyzicko8149 3 ай бұрын
Tungekuwa twapata wakwee kaa hawa. Basi ndoa zingedumu kweli
@naomijemutai9401
@naomijemutai9401 3 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa Duniani tu 😂😂
@HappinessTumaa
@HappinessTumaa 4 ай бұрын
Ama kweli ubaya utaomtendea mwenzko ni km deni,jiandae kwa kulipia
@MarineAlex-t8k
@MarineAlex-t8k 3 ай бұрын
😭😭😭😭😭🙏🏼🙏🏼
@proscoviafesto
@proscoviafesto 4 ай бұрын
Amen
@faridayusufu2045
@faridayusufu2045 Ай бұрын
Hiz ndiyo move zakuangalia sasa siyo zile zakina kelv leo wametoa kipande 1 mpaka mwez
@ZipporahKitsao-x4l
@ZipporahKitsao-x4l 4 ай бұрын
Angepoteza maisha pia kwani hajui mume wa mtu sumu,aya mwanaume utaanzia wapi kumuuliza mkeo ilhali alikuulza ukakataa
@NeemaMkusa
@NeemaMkusa 3 ай бұрын
Kiukweli inauma Sana, Poleni Ndugu ila Uvumilivu kwenye ndoai jambo la hekima Sana ila wengi tunashindwa
@DenisWambua-y2y
@DenisWambua-y2y 3 ай бұрын
senorita unapedeza....
@Patrick-t9i7k
@Patrick-t9i7k 4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢sinyoole sana maman
@JanetKimindu
@JanetKimindu 4 ай бұрын
Jamani kweli manuto ni mjukuu
@FaridaJuma-e5h
@FaridaJuma-e5h 4 ай бұрын
Safisana nimeielewa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ZipporahKitsao-x4l
@ZipporahKitsao-x4l 4 ай бұрын
Katika hii dunia mwanamume na mwanamke waamue kua na mtu wa nje nko na uhakika mwanamke atashinda ila ni heshima tu wanaume wanapewa
@brendanawanga
@brendanawanga 4 ай бұрын
Hii movie ni nxuri❤ naipenda xana ❤
@ADIJAABEDI
@ADIJAABEDI 3 ай бұрын
Hata mimi nimeshindwa kujizuia naandika machozi yakumwagika nimempenda huyo msichana naomba mungu apatie kijana wangu mke kama huyo
@DayanaMathias-c4h
@DayanaMathias-c4h 4 ай бұрын
Chakwanz ni mzul san piah unasaut nzul.piah hii movi umeichez vizul San San unafaa kwel jaman
@IreneMsile
@IreneMsile 3 ай бұрын
Story ni nzuri ila wanaoigiza sasa hapana najaribu kuwaza hizo kofi zinavopigwa😂😂
пришла на ДР без подарка // EVA mash
01:25
EVA mash
Рет қаралды 3,3 МЛН
ماذا لو كانت الفواكه حية 🥥🍸😜 #قابل_للتعلق
00:42
Chill TheSoul Out Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
Last Person Hanging Wins $10,000
00:43
MrBeast
Рет қаралды 151 МЛН
Red Valentine Part 1 - Steven Kanumba, Wema Sepetu (Official Bongo Movie)
1:18:07
JESUS (Swahili: Kenya) 🎬
2:01:45
Jesus Film
Рет қаралды 4,2 МЛН
TT Comedian Movie's KATUMBAKU _Full Movie
1:00:49
TT Comedian
Рет қаралды 7 МЛН
KOSA LA MAMA || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
2:00:01
kapaayathegreat films
Рет қаралды 4,6 МЛН
Top 5 Swahili Movies You Won't Believe Are Coming in 2025!
1:35:53
TaitaDaily Movies
Рет қаралды 330 М.
пришла на ДР без подарка // EVA mash
01:25
EVA mash
Рет қаралды 3,3 МЛН