Usituchokoze waislamu,kabla haujamuita Rais Samia mdini tazama hizi Takwimu - Sheikh Mziwanda

  Рет қаралды 73,222

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Пікірлер: 461
@shersaid7988
@shersaid7988 Жыл бұрын
Shukran Sheikh hukupindisha maneno na data unayo hao wanaomsema mama wanataka fitna.Mama anajitahidi kuonyesha upendo kwa wananchi wote na kwa muda mfupi ameonyesha mabadiliko.Kwani hijabu ndio inayoongoza nchi au hikma.Allah akubariki Shekhe.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Tunahitaji amani tu udini hatutaki waislamu na wakristu tunazaliana
@alwymohammad5336
@alwymohammad5336 Жыл бұрын
Asante Shekhe. Ukweli ni mafuta yaelea. Allah atawavunja miguu mahasidi wasiweze kusimama.
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 Жыл бұрын
Shukran sheikh, ALLAH akuhifadhi, huyo mzee warioba naona fyuzi zinakatika mara kwa mara
@soudia9084
@soudia9084 Жыл бұрын
Sheikh Ilunga.mmMwenyezi Mungu amrahamu
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 Жыл бұрын
Aamin
@Team-t6k
@Team-t6k Жыл бұрын
Sheikh mziwanda ❤ Allah akupe mwingi
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын
ukweli waislam ndio kauli zenu maashallah shekhe 🤲hao wa upande wa pili wafe vinywa wazi inshaallah kwa ubaguzi wanapenda 😭😭 yarab mpe nguvu na subra samia wet❤😭😭😭😭
@nassorbinfundi1196
@nassorbinfundi1196 Жыл бұрын
Wanashindwa kustahmili wenzetu, kikubwa dua ziwe nyingi ndg za waislam tumuombee huyu Rais wetu Mola amlinde,
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 Жыл бұрын
Tena waislam ndo wanaoongoza kumpinga mama na hasa wanawake,. Mimi ni mkristo lkn namkubali sana rais Samia.
@zubedabunto1296
@zubedabunto1296 Жыл бұрын
Kwa kweli subira hawana na hawana kumbukumbu. Allah tulindie mama yetu na umpe hekima ya nabii Suleiman. David Simbeye nmekuelewa na nimekukubali, Allah akuongoe uijue haki
@zubedabunto1296
@zubedabunto1296 Жыл бұрын
hawa majirani zetu kwa kweli!!!
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
Tatizo wakristo, akitawala mwislam roho inawauma sana. Wanavo Amini wakristo kwamba Tz ni yao. Hata zanzibar wanajenga makanisa ili kuimeza iwe ya wakristo. Hapo ndio mmekosea. Makanisa ya Znz yote yana majini Cheketu.
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
​@@mansooralaisri5200Kila anapotawala mtu wenu kuna kuwa na Mambo mengi ya hovyo lakini pia elimu kwenu iko chini sana kulinganisha na wenzenu
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Jamani hawa wazee waliostaafu tusiwape nafasi ktk vyombo vya habari, wanaongea hovyo.
@editrudesmbonde9051
@editrudesmbonde9051 Жыл бұрын
Hivi unajua kuwa waanzilishi ni waarabu wenye dini yenu??😂😅
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 Жыл бұрын
Huyu sheikhe Huwa namkubali saana yaani Allah akutangulie katika ukweli wako
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 Жыл бұрын
Usipojua maana huambiwi maana, Usipojua kinachokupasa kufanya utababaika mpaka mwisho wa maisha yako. Ubabaifu tu ukweli tunauficha. Hongera sana Sheikh kwa neno hili ""msituchokozeee""
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 Жыл бұрын
Mimi Kwa mawazo yangu ni kwenye uongozi tuangalie uwezo na sio dinin ya mtu
@rugetehassan5942
@rugetehassan5942 Жыл бұрын
In position Integrity is first thing
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 Жыл бұрын
Tatizo Wakristo wengi wameshalishwa sumu na wazungu ili wauchukie Uislam ili iwe vyepesi kupitisha sheria za mila za Wazungu zenye kwenda kinyume na maandiko. Ndipo Leo unaona ushoga umeshamiri. Lkn Wazungu wanawajua vyema Waislam kwqmba asilimia kubwa wameshika maandiko hivyo ni vigumu kuwashawishi kupitisha mila zao za kishenzi. Wakristo na Waislam tushikamane na tuijue hii mitego ya Wazungu mapema.
@hamoudabdullah5497
@hamoudabdullah5497 Жыл бұрын
Mzee Warioba amekosea Sanaa. Kimsingi maneno yake si sahihi kwa Amani ya nchi yanaweza yakachochea mivutano na MIGOGORO ya kidini hususan kwa wakuwa Takwimu zinaonesha wazi kuwa Raisi anapokuwa Mkiristo Waislamu wachache ndio wanaingizwa Serikali na wala hawapigi kelele. Lakini Raisi anapokuwa muislamu na akatenda haki kwa dini zote, Basi wenzetu wanaona hivyo si sahihi kwasababu wamezowea kupendelewa. Wanapenda kutaja neno udini kwasababu wanakusudia kutisha. Lakini wakati wa kuogopa umeondoka na Sasa tutaenda kitakwimu kwa kueleza ukweli. TUVUMILIANE ILI TUENDELEZE AMANI NA UPENDO WA NCHI.
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Mmmh! Inaweza kuwa kweli lakini katika maraisi wote wakristu JPM aliweka waislaam wengi, sio tu mawaziri hata wakuu WA mikoa na wilaya, aliwachanganya sana. Alikuwa na ukanda lakini sio udini. Mungu atusaidie Kwa kweli.
@hamadimatano4503
@hamadimatano4503 Жыл бұрын
@@MsAggie5 apo ni kupigwa mtu tu uwo uvumilivu ndio matongea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 Жыл бұрын
Mzee Walioba amezeeka vibaya mno! 🤦‍♂️😃😃
@hamoudabdullah5497
@hamoudabdullah5497 Жыл бұрын
@@MsAggie5 Takwimu zinaonesha kuwa MAGUFULI ndie alieongoza kwa kupunguza Waislamu katika Serikali. Ni asilimia 20 ya nafasi zake za uteuzi ndio alizowapa Waislamu.
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
@@hamoudabdullah5497 sio kweli! Fanya utafiti tena. Mkapa na Kikwete walikuwa na udini lakini Magufuli nakataa na wengi wao walikuwa wala hawajulikani. Ukinambia ukanda siwezi bisha alikuwa nao lakini sio udini
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona 4 ай бұрын
Tusije tukakupoteza Kama sheikh Ilunga❤❤❤❤❤❤❤😂
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
SEMA SHEIKH MZIWANDA, HUWA NAKUPENDA KWA KUSEMA UKWELI NA KUTOOGOPA MAZIMWI MA MASOKWE
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Masheikh wengi wakifuga ndevu na kupunguza suruali wameuliwa wakiitwa magaid
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Tunajivuni kuwa waisilamu sababu mwisilam maishani kwetu tunapenda salama alhamdulilah rabillamin mwenyezi mungu atupe uvumilivu wajuu ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
Raisi Samia kawekwa na MUNGU, na MUNGU ndie atakae mlinda .
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Waislam mnatakiwa muamke sasahv mnachafuliwa kwa ajir Samia ni muislam mnapandikizwa chuki mumchukie muislam mwenzenu mama Samia amkeni mumuunge mkono
@hamisiramadhani3538
@hamisiramadhani3538 Жыл бұрын
Allah akuongoze sheikh
@mohamedmwatuwano5526
@mohamedmwatuwano5526 2 ай бұрын
Masheikh leteni mapya yasaidie masikini.
@jeremiatitus4414
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Basi shekh Mungu azidi kukupa hekima katka kuelekeza mema ktk jamii ya tz tuishi kwa amani,
@charleslugemalila1168
@charleslugemalila1168 Жыл бұрын
Hizi si hoja za msingi kwa sasa sote watanzania mzee wetu sijamsikia lakini kama kasema hivyo kateleza au kakosea. Kweli kabisa hizi kelele ningeweza kuanza awamu iliyopita maana teuzi tuliziona
@lulachahayeshi93
@lulachahayeshi93 Жыл бұрын
Ndugu yangu Charles asante kwa maoni yako mazuri, natumai yangekuwa mazuri sana iwapo ungeyatafuta maneno yanayodaiwa kusemwa na huyo kiongozi mstaafu hadi kumfanya Sheikh Mziwanda atoe hotuba hii. Tuipende nchi yetu kuliko kitu chochote kwani hata uhuru wa kuabudu tunaupata na kuutumia vilivyo kwasababu tunayo nchi yenye amani, uimara na ustahmilivu baina ya watu wake ambao wana imani na dini tofauti.
@adammj6258
@adammj6258 Жыл бұрын
Ametaja watu 7 wote wakristo hapakua na Muslim ht mmoja lkn kulikuwa kimya,uteuzi wa muislam mmoja Wakristo tena viongozi wa juu kelele nyiingiii,,,,,hapo katumia namba so please tumia namba kukanusha, Shekh kaweka 7
@simbillamachiyya
@simbillamachiyya Жыл бұрын
Mzee Warioba akujibu mwenyewe, yeye aeleze maana ya udini! Watanazania wengine, hatuelewi Nini maana udini? Hebu iweke hiyo clip tumsikie mzee Warioba anasema habari za udini!!!
@adammj6258
@adammj6258 Жыл бұрын
@@simbillamachiyya pengine peke yako ndio habari hii umeikutia hapa mwishoni,,,andika tu 'ripoti ya Warioba' kisha njoo tubishane hapa
@simbillamachiyya
@simbillamachiyya Жыл бұрын
@@adammj6258 suala so kubishana, suala ni kufanya suluhu baina ya khitilafu Kati ya wanaokhitilafiana, Haki huwa haisemwi popote na vyovyote hii ndio Sera ya uisilam.
@magomakabanja480
@magomakabanja480 Жыл бұрын
Hawa Maqafiri Tusipowakemea kwa Ukali hawatotuheshim na kutuhofia na ALLAH Amesema Maqafiri Wanawaogopeni Sana Kwa Itikadi zenu Kuliko Mimi Nilie Waumba Sasa Tumewavumilia Maqafiri tumechoka Sasa Tunaenda Nao Kama Wanavyotaka
@isaaabdala7016
@isaaabdala7016 Жыл бұрын
Ni tabiayao hiyo sisi.mnyezi.mungu ametukataza.kubagua watu.lakini.kaziyao.kubagua.waislam.nashangaa dinigani inabagua watu.dini ya mungu watu hawabaguliwi
@cosmasparkire1837
@cosmasparkire1837 Жыл бұрын
Mimi ni m kristo lakini nawakubali sana kwa msimamo wenu kuhusu Hali hii ya kupinga hili la ushoga
@rahimgwotta68
@rahimgwotta68 Жыл бұрын
MASHAALLAH Karibu kwenye UISLAMU Dini ya Mitume wa Mwenyezi Mungu.
@ngoni7944
@ngoni7944 Жыл бұрын
​@@rahimgwotta68 dini ya mohamed ya mtume alie abuse mtoto wa miaka 6 aisha
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 Жыл бұрын
​@@rahimgwotta68 😂😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Mbona mashoga wengi ni hao hao? Kitchen parties au ukienda Zanzibar wamejaa,well sio kama hakuna mashoga WA dini nyingine ila ushoga ni janga la taifa.
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Ushoga umejaa Zanzibar
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Sheikh wangu unaupiga mwingi
@abubakarmustwafa-lg8fe
@abubakarmustwafa-lg8fe Жыл бұрын
Mungu akuhifadhi mwamba!!Sheikh Zubeir aliyasema haya,yakatokea mengine,ila liwalo acha liwe
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
Na ndio maana warioba alipigwa mtama na Makonda hadi Chali, wakati anazindua Katiba ya Warioba.
@omaryomaryally7420
@omaryomaryally7420 Жыл бұрын
Mungu akuifadhi shekhe
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Watanzania wanaozungumzia kuwa mama ni mdini ,mpango wao sio dini ,mpango wao ni kutaka madaraka ndio maana wanawashwa na viherehere ,Sasa sisi tunaishi mitaani waislamu na wakristo mbona tuko poa ,hao wanaoongea sisi hatuwataki watuache na NCHI yetu bhana
@SAM_163
@SAM_163 Жыл бұрын
Nikweli bro
@SAM_163
@SAM_163 Жыл бұрын
Hawa ni watu Hatari sana kwenye nchi
@Kiyonga2014
@Kiyonga2014 Жыл бұрын
Wapagani mbona wananyimwa haki zao!! Au hawana haki ya kuwa viongozi?
@cafejohn3582
@cafejohn3582 Жыл бұрын
Mungu wetu ni wa wote mungu ibariki Tanzania wabariki wakirito wote na waisilam wote sis ni wamoja na pia hizi niyakati za mwisho tubuni kwa maana ufarumu wa mbinguni umekaribia
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa, sheikh. Mwl. Nyerere alishirikiana bega kwa bega na Waislamu wakati wa kupigania Uhuru wa Tanganyika. Waislamu na Wakristo wote ni Watanzania. Kamwe tusiendekeze udini hapa Nchini. Wote tu wamoja.
@michaelkibiki3309
@michaelkibiki3309 Жыл бұрын
Mmeshaanza kelele Nchi hii haina Dini ila wananchi Ndio wenye Dini shehe Acha Uchochezi wewe ndio unataka kupeleka Dini serikalini Acha watu wachaguliwe kulingana na uwezo na utendaji KAZI wao
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Жыл бұрын
Kama hujui alieanza kuleta udini ni wazir mkuu mstaafu sheikh ndio anasema watu wasilete udini labda ww hujamuelewa tu
@ramyramso
@ramyramso Жыл бұрын
Rudi darasni ili ue muelewa sikiliza kwanza ndo uje ukoment so unkurupuka we vip
@shahakaisi1920
@shahakaisi1920 Жыл бұрын
Kwl ww ni mpummbavu mbona huyo aliyesema serikali inaendeshwa kidini , humsemi? Shekh anataka kujua huyo warioba alikuwa na maana gn anaposema serikali ya awamu 6 ni yakidn!
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Жыл бұрын
Umemuelewa lakini shekh au ndo slow learner
@muzneali4747
@muzneali4747 Жыл бұрын
Michael kibiki Kwanza sikiliza Kisha ndio u comment sio kudandia train Kwa mbele
@mzeemzee7503
@mzeemzee7503 Жыл бұрын
NDUGU WATANZANIA MUWE MACHO SANA MUMEANZA KUCHOCHEWA KIDINI WATU WAWAIBIYE RASILI MALI ZENU VIZURI KUWENI IMARA ALIYATABIRI HAYATI MAGHUFULI SHIKAMANENI KITU KIMOJA
@nalingarowl7048
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kuna Askofu yeyote au Kiongozi yeyote wa Kikristu alietoa tamko Hilo au watu ambao ni Wakristu?. Maana kama Suala Hilo halikutamkwa na Askofu au Kiongozi mkubwa wa Kikristu lilipswa kutafutiwa namna ya kuliongea badala ya kuwachanganya Wakristu wote. Ukristu ni mpana sio Kila anaetamka kitu eti Kwa Kwa vile mkristu basi ni Suala la Wakristu wote
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Ndiyo maana ya kuonywa warioba kwa ujinga wake wa uzeeni.
@balqeessalum1081
@balqeessalum1081 Жыл бұрын
Sahihi ulichosema
@amriomar3398
@amriomar3398 Жыл бұрын
Sawa lakin yy hyo kajibi kutokan na walioba alivyongelea udin kwaiyo yy anawek saw udin gani ambao mama samia anaufany ingaw mm cpendwez na uongoz wa mam samia lakin kweny hli namtetea 😊
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 Жыл бұрын
Tumesoma na kz hatupat walivyokuw wabaguz
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 Жыл бұрын
The big question is, Magufuli chose Samia as his vice president. Ana makosa Gani?
@SAM_163
@SAM_163 Жыл бұрын
TUNACHAGUA UONGOZI KWA KUANGALIA UWEZO WA MTU SIO DINI..... PELEKENI WATOTO SHULE SIO MKO BUSY NA MADRASA AFU MNATAKA UONGOZI...
@omaar5693
@omaar5693 Жыл бұрын
Unachamba bila kuelewa kilichosemwa nani hajapeleka mtoto shule?
@aliali-ji9ym
@aliali-ji9ym Жыл бұрын
ALLAH AKULIPE KHAIR NA NGUVU KUISIMAMIA DINI KWA NAFASI YAKO INSHALLAH.
@ignasmalema8354
@ignasmalema8354 Жыл бұрын
Kwanza elimu mmeanza kusoma juzijuzi tu ,mlikua mnasema elimu ni za makafiri ,kwanza samia amewekwa na wakristo ,uislam hauruhusu mwanamke kua kiongozi,
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Жыл бұрын
kwa hiyo CCM ni wakristo?!
@khatibbakhresa7615
@khatibbakhresa7615 Жыл бұрын
Rekebisha kauli yako
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Wewe yahudi acha ujnga Tanzania sio dola ya kiislamu hivyo mwanamke anaweza kuongoza acha ushamba
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Wewe yahudi acha ujnga Tanzania sio dola ya kiislamu hivyo mwanamke anaweza kuongoza acha ushamba
@ignasmalema8354
@ignasmalema8354 Жыл бұрын
@@salehesalehe2967 hata kama tz sio dola ya kiislam bado anapaswa kuishi uislam ,basi ale nguluwe ,sasa kwa kua haishi nchi ya kiislam
@juliusmshani6985
@juliusmshani6985 Жыл бұрын
Hivi warioba ni mwakilishi wa wakriso? Mtu akiongea jadili alichokiongea kutumia akili yake usiweke udini wakati sio mwakilishi wa dini
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Ulikuwepo serikalini akiwa waziri mkuu, atueleze yeye alisimamiaje hakhi.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Kweli kabisa kwa NINI muingilie dini,KWA KUWA KIONGOZI NI MUISLAM,DINI HII INATETEA KILA MTU NA HAKI ZA WATU,SIO MAASI
@kennedyngusa8890
@kennedyngusa8890 Жыл бұрын
Mmm mbona waklisto hawaongelei Mambo haya nyie. Vip?
@gessanabuu2099
@gessanabuu2099 Жыл бұрын
Allah atawaangusha muda si mrefu hao makafir
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Qafir mama yako na baba yako walio kukunya we nyoko
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
@@ramadhanmahongole9293 matusi ya nini Ramadhan
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
@@Yu-jr9uf muulize "gessan abuu "anaewatykana wakiristo eti ni makafiri huku yeye anajiona si kafiri wakati sisi wakiristo tunawaona waislamu ndio makafiri
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
@@ramadhanmahongole9293 Kwani tafsiri ya KAFIRI ni ipi hasa? Nawe ukiwa ndio mkristo, mtoto wa Paulo aliyewezaa katika kristo. Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
@@Sheba4651 kafiri ni yule mtu ambae anaepinga dini ya Mungu wa kweli Jehova ya ukiristo huyo ndio anatakiwa kuitwa kafiri
@kassimali2273
@kassimali2273 Жыл бұрын
Maneno mazima Akhii
@hamadimatano4503
@hamadimatano4503 Жыл бұрын
sisi waislam twawapenda hao makafir ila wao hawana haja na sisi hata kidogo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@joeldallas6491
@joeldallas6491 Жыл бұрын
Ujinga huo kumwta mtu kafili
@hamadimatano4503
@hamadimatano4503 Жыл бұрын
@@joeldallas6491 kwani usomi maandiko makafiri wako soma biblia 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@joeldallas6491
@joeldallas6491 Жыл бұрын
Nsome agano lakale mstali gan
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 Жыл бұрын
Kafiri ni nani labda
@hamadimatano4503
@hamadimatano4503 Жыл бұрын
@@lightnesselirehema1464 mtu asie na dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fastanzania
@fastanzania Жыл бұрын
Mashallah ♥️ maalmu mziwanda
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
Huyu sheikh ni nonsense! mambo haya na fikra hizi za kipumbavu usingeyasikia kipindi cha Mr Kazi Tu
@salehabri6957
@salehabri6957 Жыл бұрын
Tushachokozwa sana waislamu lakini hatuna ishu tumejaa unafip mtupu,tuachane na siasa feki ,siasa orig ni laa ilaaha illallah muhammadu rasulullah basi.
@shd12m55
@shd12m55 Жыл бұрын
Inaumiza Sana aisee😢
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Жыл бұрын
Wao wakiwa madarakan wanafanya watakavyo nakuweka watu wao sie hatusemi ila wariomba anamdomo sana ndio maana alipigwa kumbe alikuwa anasitahili tulimuonea huruma sana
@angelomalimi2444
@angelomalimi2444 Жыл бұрын
Ni kweli ni serikali la udini
@rajabsumba7786
@rajabsumba7786 Жыл бұрын
Tanzania ni majirani wazuri na uhusiano kati ya watanzania wenyewe kwa wenyewe ni mzuri pia baina yao na majirani zao hauna kasoro, lakin uchochezi wowote haufai. Uchochezi ndio unao sababisha maafa. Tunamuombea Rais Samia Suluhu nusra ya Allah.
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 Жыл бұрын
Waislamu kwa uchochezi hamjambo. Kitu kidogo tiyari mshaanza kuandamana c mgemuuliza aliyesema awafafanulie kwanini anasema hivo? Ndo muyazungumze kwenye hadhara.!!??
@youssouphsalum786
@youssouphsalum786 Жыл бұрын
Wauwawee tu wasituangamize wadhalim haoooo
@yohanamoikan7709
@yohanamoikan7709 Жыл бұрын
Ni suluhisho la udini ingawaje Samia unanadanganya wasio na ufahamu manake serikali ni watu watatu tu ikianzia Samia, majaliwa , tulia mwanzo mwisho ????? Na ndo maana Rais Samia hajawai kuulizwa matrilion anayotumia kusafiri kwenye nchi zinzo kubali ushoga ??? Na serikali ya CCM Kuna Siri kubwa kwenye kugawa madaraka waliapa
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Жыл бұрын
Musipotoshe tatizo linalolikabili taifa.hili hakuna wakupindisha taifa linaelekeakuzimu labudakamanawewe.ulitupiwa.minazi ukaotakutokachini ukasahau hata dhsmbi ikoje...
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Жыл бұрын
Takbirrrrrrr
@helentelemla5623
@helentelemla5623 Жыл бұрын
Na Makamba aliyesema wazuri hawafi tuseme nini sisi wakatoliki.
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Mumlaani tu kwa ubwege wake shauri yake kama warioba tu
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Mpuuzi, kwahiyo wakatoliki wabaya.
@popiya2368
@popiya2368 Жыл бұрын
Yaani wenzetu bwana akiongoza Muislam lazima walete maneno dha
@edoedo4973
@edoedo4973 Жыл бұрын
LAANA KHUM MWENYEZIMUGU ANATUAMBIA MWANAMKE AFAI KUWA IMAMU WALA KIONGOZI MASHEKHE TANZANIA HII NILAANA NDANI NCHI YETU MNASHINDWA KUWONGEA UKWELI MASHEKHE MNAIBEBEA MBELEKO LAANA MNALIJUA HILO SEMA DUNI MMEIWEKA MBELE AYA ZA MWENYEZI MUNGU MMEZIWEKA MIFUKONI
@hashimhassan4812
@hashimhassan4812 Жыл бұрын
Wasema kweli hawawezi kwisha duniani hata iwe iweje, walikufa wengi kama ilunga lkn bado
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Tuvumiliane tutafika na tusameheane tu Maana
@DawsonKiwia-qt6zf
@DawsonKiwia-qt6zf Жыл бұрын
Wewe ni mfano wa kuigwa suluhisho la milele kuanzia leo sio kukaa kimya tena. Maridhiano ya kweli ni kukutanisha madhehebu yote na kukusanya mawazo, malalamiko n.k kisha kuundwa mfumo wa haki sawa kwa wote katika idara zote za serikali. (Kuondoa pia na ukabila ktk tass zote pia.
@abdallahkikungulu9141
@abdallahkikungulu9141 Жыл бұрын
Yuyo mzee gongo inamsumbua kichwani
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Loves to ALLAAH (S.W) with all prophets and fellow Muslims. Watapata tabu sanaaaaaaaa
@user-xw9hg3zr4d
@user-xw9hg3zr4d Жыл бұрын
Swala liko kwenye hu mkataba tuache kupashana umbea ambao hauna maana na hao wanatoa maon yao kwenye mitandao ni watu kama watu wengine turud kwenye mkatab unafaa au aufai tushaur serekali. Sasa tukianza maswala y sijui tusichokozane sijui nini haina maana tena mimi naona kama nyie ndo mnachochea kabisa udini hakuna kiongozi wa kikristo ametoa kaul ya ya udini ni watu tu wakawaida tena watanzania
@mayaniphilipo9256
@mayaniphilipo9256 Жыл бұрын
Hv Kwann Rais Akiwa Muislam Lazima Chokochoko Ziwe Nyingi!?
@user-xw9hg3zr4d
@user-xw9hg3zr4d Жыл бұрын
Dah sijaon pwent hum ni kama kupashana umbea tu, kiujumla kila mtu anajua mkataba ni mbovu au fai sasa kwanin nyinyi mnaunga mkono na unawambia waislam watulie maanake nini. Alaf naona nyie ndo mnachochea udin kwan kuna kiongoz w kikristo ameongelea swala la kislam je sisi wAkiristo wangekua wanasikiliz maon ya watu kwenye mitandao na kuja ju ingekuaje achen unafk
@gessanabuu2099
@gessanabuu2099 Жыл бұрын
Wape ukwel wao hao wanezid ubinafs
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
RAIS HUYU KILA MTU ANAUWEZO WA KUMSHAMBILIA BILA WOGA😂😂 OGEPENI,YEYE NI KIONGOZI NASIO MDHALIMU
@kaegemagafu7828
@kaegemagafu7828 Жыл бұрын
Ubinafsi na unafiki unalitafuna taifa hili . Katiba mpya itamaliza hili pale nafasi za uongozi zitakapo koma kuwa kuteuliwa na kubaki za kushindaniwa maana watu wanajadili kama walevi tu
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Жыл бұрын
Mnakuza nyie wapenda kiki mnaotaka kuonekana mitandaoni,sisi uraiani hatuoni huo udini kutoka Kwa mama,mnamuonea nyie mnaodadavua hata kama aliesema hakua na maana hiyo,mnayakuza nyie ni wachochozi,nahamtuhamasishi kubaguana Kwa udini
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Haya yote yanasababishwa na kukopa kopa hovyo anae kurisha atakupangia mpaka mda WA kurara kwako JPM arikataaa haya ndo haya sasa
@sharomdguda
@sharomdguda Жыл бұрын
Hakuna kitu hapo , wanatafuta kick 2 raisi samiah Hana ayo, sheikh huyu anatafuta chokochoko tu, hana chakuhubiri fitna tu, km kasema waryoba kwanini asimwambie mwenyewe kuliko kuleta collective kana kwamba ni wakristo wote. Hakuna kitu hapo ni fitna tuu
@israelmwasomola6155
@israelmwasomola6155 Жыл бұрын
Mungu atusimamie Sasa Tanzania tulizoeya kuishi kwa aman Ila tunako elekea maneno maneno mara na machukizo ya ushoga mala udini haya mambo nikukaribisha majanga ya asili na ya vita, shekhe waambie watu waliombe taifa la Tanzania ili MUNGU amuongoze rais wetu ateuwe viongoz Bora, ukiingiz maswal ya din unachochea vita
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 Жыл бұрын
Ndio ndio shekhe sawa sawa,
@stanleymollel9860
@stanleymollel9860 Жыл бұрын
Nashangaa hutuba hii ni hutuba au ni kampeni
@ramyramso
@ramyramso Жыл бұрын
We fala kweli hujui kinachoongelewa au acha ushamba
@shahakaisi1920
@shahakaisi1920 Жыл бұрын
Lazma ushangae lkn, kabla ya kushangaa, ungemshangaa huyo warioba alipoongea alidhani watu hawatamjibu?
@antonymathias8219
@antonymathias8219 Жыл бұрын
Mama kwahilo usikubali kui ngiza neno dini hainamaana linapokuja utwala viongozi hawezi ridhisha kilamtu hizo nikelele Dada yangu watumikie wananzengo
@jumakapesa2940
@jumakapesa2940 Жыл бұрын
Maneno haya yanathibitisha usemi wa Jaji Waryoba. Khutba hii inaonyesha udini waziwazi. Kama wakristo nao watasimama kusema hayo tutaenda wapi jamani? Tukaeni pamoja katika nchi yetu tumuunge mkono Rais wetu ili afanye kazi yake vizuri. Huu udini ni hatari kwa Taifa sana.
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
Waislamu tulikuwa pembeni mwa serikali miaka mingi wenzetu wamezoea kuwa wao ndio wanaoatahili kuwa serikalini sasa wameshikwa na butwaaa kuona sisi kwanini tupo serikalini kwa sasa
@mosesembughi4284
@mosesembughi4284 Жыл бұрын
Munapopata mtonyo lazima mtetee .nchi ya tz haitakuja kuwa na maendelee.sababu wengine wanania ya maisha yao.sio kusimamia maendelee ya nchi.mnazani tz hatuna macho.
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын
Hoja huwa haipingwi Lakini ukiingiza hoja za kidini unakuwa umefungwa kifikra. Kama aliyetoa kauli ya kuelekea udini ulitakiwa kuomba Sheria ifanye kazi sio mjadala penginepo. Kwa kuwa Sheria zinafanya kazi huko unakowapeleka wenzako sio kwema.
@khairallahabubakar
@khairallahabubakar Жыл бұрын
Ivi ww unazifaham sheria za nchi zaidi warioba?
@baenikashushu5848
@baenikashushu5848 Жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli mziwanda amepasuwa jipu pale aliposema wizara ya elimu ilipokuwa umeweka utaratibu WA majina badala ya namba waislam tulifelishwa sana ,wakina jina rashidi au Salima unakatwa
@salimabdallah5304
@salimabdallah5304 Жыл бұрын
Mamfuti mbona hayaongei. Yanashiba tu. Mabwenyenye mamufuti.
@saidsuleiman9018
@saidsuleiman9018 Жыл бұрын
Allah anasema hawatokubali mayahudi na na wakiristo mpka mufuwate mila zao kuyafanya haoakafri wana hatushangai wache tu waendelee kulikoroga iko siku watalinywa wenyewe
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 Жыл бұрын
Let say kweli aliyasema either kwa kumaanisha au kwa kuteleza kwahiyo ww ndo umeyasikia peke yako ktk dini yako na ukaamua kutoa tamko au umetumwa?? Angalia ukosoaji wako usijekuwa ndo unatia chumvi zaidi maana tunayaona mengi ila tunanyamaza kmya, Afu elewa ukiongelea Ukristo unaongelea madhehebu mengi sana.
@andrewkissavah8272
@andrewkissavah8272 Жыл бұрын
Huyu shekhe kuna kitu nyuma yske anataka kuhamazisha vurugu nivizuri vyombo vya dora kumkataza kumnyamazisha shekhe huyu ,maana haoni aibu kusema ,mbona viongozi wote wa ngazi za juu wote Bara na visiwani wote ni waisilam lakini wakristo wamenyamaza kimya ,alafu tena mnaanza kumsumbua Mzee wetu warioba hebu kabula hamjaanza chokochoko mwe watu wa kutafakari
@laylayl5166
@laylayl5166 Жыл бұрын
Huyo mzee anaongea sana maneno siyo mazuri wakati nayeye alikuwa serikalini mungu anakuona wewe mzee
@shahakaisi1920
@shahakaisi1920 Жыл бұрын
Ila hayo aliyoyaongea warioba ni mazuri sio?
@mohamedyahya1677
@mohamedyahya1677 Жыл бұрын
@@shahakaisi1920 hujamuelewa lay layl
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Wakati unataja asilimia unasahau kutaja asilimia ya waislamu na wakristo hapa nnchini? Haya mambo ya Dini msipende kuyakuza sana, ndo uchochezi mwenyew huu. Kwan aloongea haya mambo ya Udini ni askofu/kiongozi wa juu wa Dini?? Mbona povu sana hapa Kama sio kukuza Inshu na kutaka kuifanya hii iwe hoja? Kuna wakati mambo mengine inabd kunyamaza ili kuonekana una akili timamu badala ya kutumia majukwaa ili kupata umaarufu
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Warioba tuache we mzee ss waTanzania tunaishi kwaupendo bl kujali dini muislam rafikiyake mkewake mpz wake mkiristo. Namkristo. Mpz wake ndo hv hv. Hatujali dini kwenye .umoja wetu .warioba tuache .utakuja kujuta. sn.ww.
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 Жыл бұрын
Watakaoleta vita nchi hiii ni WAKIRISTO
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
Tangu uliwahi kuona wakristo wakichoma Makanisa na kuuwa watu kwa misingi ya dini
@azzanalkhatry4625
@azzanalkhatry4625 Жыл бұрын
Warioba kachoka na akili pia
@abdulmajidkarama6469
@abdulmajidkarama6469 Жыл бұрын
huyu sheikh aitwaje? Mungu amzidishie hikma InshaAllah
@user-lo1rx6eu1e
@user-lo1rx6eu1e Жыл бұрын
Muharami mziwanda..huyo shekh ni mtu mwenye elimu yake
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Huyo ni sheikh Mziwanda
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Жыл бұрын
Mashallah yupo safi
@ramadhanilubuva1956
@ramadhanilubuva1956 Жыл бұрын
Ifike sehemu tuwaambie ukwelii hao jamaaa
@turojosephrukiko1622
@turojosephrukiko1622 Жыл бұрын
Huna maana hatupigan kuongoza Dunia waongoze watu kufanya mema ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu
@issakitundu617
@issakitundu617 Жыл бұрын
kwan kuwaeleza watu waache udini kwa njia iliyo sawa ili kuleta aman ya nchi ni makosa?
@yahayahassani7627
@yahayahassani7627 Жыл бұрын
huyu anaeitwa mdini ni yupiiiii..,
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 Жыл бұрын
Warioba
@alizaharan1471
@alizaharan1471 Жыл бұрын
KWAHAKIKA NDIO MAANA WAISLAM .TUNAAMBIWA SUBRA TUNAYO NA MUNGU ATUPE SUBRA KWAKWELI NDIO MAANA MUNGU AMLEHEMU SHEKHE HASSANI IRUNGA ALIKUWA ANAONGEA SANA MUNGU AKAMPUMZISHA MUNGU ATULIPE WAISLAMA KWA SUBRA
@wakatinisasa
@wakatinisasa Жыл бұрын
Naona unaelekea Somalia utashugulikiwa halaka
@ramyramso
@ramyramso Жыл бұрын
Hamuwezi hata iweje na ajaribu mtu muone kaz
@wakatinisasa
@wakatinisasa Жыл бұрын
Hamuoni Zanzibar selekaliyote yamashe halafu Bala mnataka usawa acheni ujinga
@ramyramso
@ramyramso Жыл бұрын
@@wakatinisasa we ni mzima kweli ww sasa Zanzibar na tanganyika unaifananishaje dah akili zingine zikiingia mafuta ya taa bhna
@hassanhd6480
@hassanhd6480 Жыл бұрын
​@@wakatinisasa asilimia 99 Zanzibar ni waislam
@majidukalokola7253
@majidukalokola7253 Жыл бұрын
Huyu shekh naona nidiye anayehamasisha udini.
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Uelewa wako ni finyu
@hombelozabron
@hombelozabron Жыл бұрын
Nisawatu na kuongozwa na kafir ni mtihani
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Жыл бұрын
@@hombelozabron muislamu Hana elimu yoyote ya kutongoza nchi
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 Жыл бұрын
Umefika mbali sheikh, hadi namba za mitihani kwahiyo kutumia majina au namba kwenye mitihani ipi njia bora.. kwahiyo Waislam walifaulu kwa majina yao..?, ongea kwa ufupi utaeleweka, sisi kwetu kuna msemo unasema mwongea mengi usifiwa na wachache..
@shaabanbellege3374
@shaabanbellege3374 Жыл бұрын
Mwenye akili kashaelewa ila vilaza lazma ndo wameduwaa mpk sasa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Жыл бұрын
@@shaabanbellege3374 Sasa hapa ameongea Nini zaidi ya kuonglea dini
@Zamb90
@Zamb90 Жыл бұрын
Tusome
@deusmoris3036
@deusmoris3036 Жыл бұрын
kwani mzee walioba amesema nini mnijuze na mimi
@deusmoris3036
@deusmoris3036 Жыл бұрын
Mama washauri waislam wasiingile mambo ya wanasiasa sababu hakuna mwabadamu anaweza kukutetea isipokuwa Mungu wote tunakupenda
@issakitundu617
@issakitundu617 Жыл бұрын
na wakristo hasa ambao ni maaskof na hapohapo ni wabunge wao mama awashauri nn
@omaar5693
@omaar5693 Жыл бұрын
​@@issakitundu617 nilitaka nitandike kitu kama iko naona haina Haja tena
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 36 МЛН
Шок. Никокадо Авокадо похудел на 110 кг
00:44
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 28 МЛН
muhadhara wa Sh. OTHMAN MAALIM aliotoa nchini Oman Msikiti wa alfridaws
57:03
SIKILIZA KISA HIKI KIFUPI KWA UMAKINI MKUBWA UNA HERI NDANI YAKE
7:01
Masjid Lillah-vingunguti
Рет қаралды 12 М.
Kamba ya Ndoa nyingi hukatikia hapa
17:52
Kalamutz
Рет қаралды 1,3 М.
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 36 МЛН