TAZAMA MWANZO MWISHO UTANI WA HAJI MANARA KWA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKIWA AIRPORT WANAONDOKA UJERUMANI KWENDA KULA BATA #manaratv #hajimanara #zaiylissa #diamomdplatnumz
Пікірлер: 89
@faridmnyamike55622 күн бұрын
Allah akuongoze kwenye njia iliyoonyooka kaka Manara, wewe ndiye Kiongozi kwa huyo mke wako, jitahidi urudi kwenye basic/ misingi yetu ya Kiimani, this Dunia is just temporary, it attracts everyone to do mistakes, but we can just try hard to win our heart not to do wrong to to displease our Almighty Allah.
@user-yj5on8cz3e18 күн бұрын
Mwenyezi mungu aniepushie mbali wanawake wanao kaa uchi mana ntakuwa hakuna tofauti ya kuowa kahaba mwanamke hana hofu ya Allah wanini si bora nifuge mbwa kuliko kuishi na mwanamke duzaini hiii subuhana Malik lkudusi
@MariamBakari-im5ef15 күн бұрын
Muogopeni mungu wenu kaa ukijua usipojistiri wewe mwenyewe kwa mikono basi utasitiriwa siku yakifo chako kwamikono ya watu wengine 😢😢😢😊
@KadumaIssa22 күн бұрын
Manara huyo nimke wako wandoa mstiri mavazi ya stara ndugu yangu katika Imani hivyo nisawa nakuwavutia watu vema Ili wamtongoze IPO siku utamkosa huyo mke wako haya nipo hapa natizama movie Yako hiyo
@johnzege20919 күн бұрын
Tafuta Hela, vitu vingine unaongea tuu kwa sababu ya umaskini
@agwalubifaridah707917 күн бұрын
@@johnzege209😂😂😂
@user-ig3qn9zw6b16 күн бұрын
Mbona mimi ni hela ila mke wangu anajistiri. Wewe umejuaje kama huo unae mjibu nimasikini? Bro acha kua munakariri watu@@johnzege209
@user-ig3qn9zw6b16 күн бұрын
@@johnzege209kama wewe ni masikini usidhani kama watu wote niwamasikini
@user-dx6dm6lh1i15 күн бұрын
Sasa utajir ni kuvaa uchi si ujinga huo na mwanaume kweli hasa hamuachi mkewe akawa kma kinyago.
@faridahalil445615 күн бұрын
Sawa unavyosema ku-save mapeni kusafiri, katika changizo zako Allah akulekeze na kwenda kuhiji makka
@user-yn6yu9zl1p22 күн бұрын
Yani manara unafeli kama uyu mke umemuowa kihalala ktk dini ya mazehebi yako unatoka katika taratibu za kisheriya juu ya mavazi alo vaaa fadhakiri
@rajah932819 күн бұрын
Ila kaka kw Dini wa Feli kwenye Mavazi ya Mke wako tena nyote Dini Moja
@user-wu8qe4fv4j22 күн бұрын
Zai badilisha mavaziie duuuu sio pow nakupenda vaa suruwali ila Kito people chakukuenea
@malakiezekiel919718 күн бұрын
Nakukubali bughati unatoa ushali mzuri sana
@elizabethmwanje968416 күн бұрын
I really enjoying watching you, your true joy to see because your telling the truth, ❤
@yohanaantony577419 күн бұрын
Hajji Manara muogope Allah hii ni Dunia tuu kila mchunga ataulizwa kwa kile ulchokuwa unakichunga vp mkeo wamuacha atembea uchi hvyo waona fahar muogope Allah ni Bora ungesafir kwenda hijjah ingekuwa Bora kulko huko marekan ,dubai yakusaidia nn
@twiseghekisilu884522 күн бұрын
Wanaume km manara wapo wachache Zay mkamate huyu baba mtunze!
@elizabethmwanje968416 күн бұрын
I really think your so entrusting I love you 🎉🎉🎉❤
@hamidabarraball316219 күн бұрын
Sifa Zitakuuwa haji
@user-zv2ng6ov2k22 күн бұрын
Nawapendasana🎉🎉🎉
@bonfacewanjare123116 күн бұрын
Duu 😂 ni kweli aisee huyo mdada Kwa mavazi hapana Kwa kweli.
@khamismtanga484817 күн бұрын
Najuwa mzee manara ww nimtu wa dini sana, na unatekeleza nguzo za dini, na ndio mana ulipompata zay, ukuitaji kufanyanae Zina mpaka ndowa,asaiv nimke wako, ila mavazi anayovaa hayaendani na ishima uliyonayo na ww ndio kiongozi wake, jarbu kumuilimisha na fikiri nimuelewa atatekeleza🙏🙏
@allisalim839518 күн бұрын
Brother huyo mkeo mbona unamfanya km matangazo ya Kingono kwa hicho kivazi?ww ni mtoto wa kiislamu Brother muogope aliyekuumba
@chemstry40921 күн бұрын
Kule pita huku alikuwa anateseka tu...😂😂😂
@user-wk2bg8zf3l16 күн бұрын
Zaylisa anaonekana anapata pesa nyingi lakini hana furaha ya mapenzi
@user-ds6li1ss4t16 күн бұрын
Binti mshamba sana
@chantalmapendo177817 күн бұрын
Nawapenda
@khajihamisi505417 күн бұрын
Jamani kuna ushamba na ulimbuke i! Huyu Khaji ni msomi kidogo wa dini! Anaelewa kwamba anafeli! Lakini yeye kaamuwa kufuata njia hiyo,labda ana Mungu wake!!!!
@fettiemaganza148421 күн бұрын
Hyu manara hana Mashauri huko kwao au ndo hataki ashauriwe
@RahelSimon-bm8tm19 күн бұрын
Kushauriwa kwenye maisha inahuuu😅
@liberatusjackson504518 күн бұрын
@@RahelSimon-bm8tmmalaya 😂😂😂😂
@mohamedally12119 күн бұрын
Huyu ndo alieandaa mashindano ya quran tukufu,daaah
@aishahasan772219 күн бұрын
😢niyy na Umrah alienda😭😭😭😭
@emmadora784816 күн бұрын
Proud to be malizia hiyo😂😂😂😂
@user-ds6li1ss4t16 күн бұрын
🎉acheni tu
@user-hk9st6sw8x22 күн бұрын
Namuangalia kwa mbali manara mke anamuuza
@KhayratMansour19 күн бұрын
Tena anamuuza bila malipo(free of charge) .
@user-xk7vy4gb6g17 күн бұрын
Kitovu nje 😢😢
@user-kr2qr8vx1x20 күн бұрын
Zai mwanangu nakupenda sana sana na mme wako...mungu akujarie ktk ndoa Yako..achana na michambo ya wenye wivu...uwe kama chura...usisikie la mpuuzi ziba masikio....mume umempata mweshim na kumuombea...kura raha mwanangu...chukua hiyo utanikumbuka...
@MansourKabuhaya13 күн бұрын
Wewe na zai wako nyote wapumbavu sana na msubiri hukumu yenu kwa kusapoti uvaaji uchi, kuna mke hapo au matangazo ya umalaya tu, kuna dini gan hapo?? 😢
@gulfomanbb21199 күн бұрын
Mkumbushe na kujistiri bs sio kula raha2
@davidbatista788220 күн бұрын
😢
@user-yb6wh1bk9d12 күн бұрын
Ukiwa hai omba mungu uhai
@ruqaiamohammed34518 күн бұрын
Mtu aliandaa mashindano ya qur an alikuwa mwalimu wa madrsa leo hii mke atembea uch maadili hana mirasta yn janaba juu ya janaba halafu uipate pepo ? 😳labda pepo ya coco beach mungu atupe mwisho mwema inshallah 🤲🤲
@gulfomanbb21199 күн бұрын
Apo ndio wazinifu na wa nandoa wt sawa2 kutembea na janaba
@chichahamis63518 күн бұрын
Mbona demu wako yuko uchi
@subiralema19 күн бұрын
Ndiyo sababu wanawake wanakukimbia kuwatembeza uchi
@emmadora784816 күн бұрын
Kwani wao ni watoto wadogo kwamba anawavalisha hivyo? Ifike mahali wanawake tujitambue thamani ya miili yetu
@aishaabdullah83713 күн бұрын
Nikweli kabisa anayo Sema tujitambue sana
@KhayratMansour19 күн бұрын
Karibuni hapa huyu nasikia eti aliandaa mashindano ya Quran halafu la kushangaza na kusikitisha maisha yake na hiyo Quran ni tofauti kabisa, Allahu a'alamu pengine mfano wa mashariki na magharibi , sijui ni nini anachokusudia kuionesha jamii !!!
@ruqaiamohammed34518 күн бұрын
Na alikuwa mwalimu wa madrasa 😢😢msiba huu 😢
@HamiduAwadhi-lg5kc18 күн бұрын
Huuni msiba mkubwa Sana huyu hata wivu na huyu mke Hana inaalinlahi wainna ilaihi lejeun
@fredymwengela676318 күн бұрын
Nendeni mkale Bata naona kila mtu anawashambulia Kwa maneno makali Lakini hajui hata yeye ni mtenda dhambi...mkubwa...mm sjaona kama Kuna mtu yupo uchi nyote mmevaa ..wakuache ule Bata mzee wangu!!!
@ruqaiamohammed34517 күн бұрын
@@fredymwengela6763 huwez jua km yuko uch maana ww ni kafiri
@othmanhamad788717 күн бұрын
Ckuwahi kufikiria kuwa Manara unaweza kumuacha mkeo akavaa km hivo
@kassimomar492019 күн бұрын
Wewe Manara ni muislamu uliesoma dini na ninadhani na huyo mke wako ni muislamu.Ivo kweli huyo mke wako kavaa katika maadili ya kiislamu,hata ubinadamu wa kistaarabu hauko sahihi katika mavazi,tuzitumie vizuri neema za Allah.Huo ni ushauri kwako wewe ni mchunga na utakwenda kuulizwa kwa ulichokichunga,dunia isituhadae,nakuombea kheri.
@user-ki4sg8yz9j5 күн бұрын
Haji unampenda kweli mkeo? Mbona unamuanika uchi
@SmilingBoardGames-jm4sj12 күн бұрын
Awaniwasani hawanahofu na mungu wako kidunia mola awaongoze
Sasa mbona mkeo yuko uchi????? Dini inaruhusu kweli???
@makamezahoro819417 күн бұрын
Wacheni siwanataka dunia wao ktk dini wanaigiza mtu kama hyo manara anajiona mtto bado anajua kama anachokifanya kwa mkewe ni kosa lkn anamini hiyo ndio anafanya kazi ale na mkewe kukaa uchii
@AbisinaRashidi-wg5jt17 күн бұрын
Mimalaya imekutana kimwanamke kipo uchi kinaona kimependeza zai Kwa rushaina humfikii hata utembee uchi
@harithkamgasha175011 күн бұрын
zai tulikupenda kwa ajili ya Bugati ila tupe heshima ya vazi jistiri wewe ni mke wa mtu sasa
@user-mr7gl5ox6u19 күн бұрын
Mkipata ya kuyapata mnaanza kuomba watanzania wawachangie
@annajoseph995521 күн бұрын
Kula Bata dada
@annamussa18521 күн бұрын
Zai uwe unatulia jamani acha kujishikashika Yani mbona huelimiki ushamba uko damuni wewe linakera😡
@user-qh2bx5em6j18 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-tu2ne7so3b18 күн бұрын
Huyu manara limbikeni tu
@AbdalahChire15 күн бұрын
Mavazi ya mkeo kidogo ume ghafilika
@user-xc7qj7ze7m18 күн бұрын
Utaachwa mno kwa kuwatembeza uchi
@modyworldmody429715 күн бұрын
Uyo dauthi...
@SuleimanKhdija3 күн бұрын
Laana mnazopata nyie Ajuwae ni Mungu
@najmasalim-rg6ow14 күн бұрын
😂😂huko kishati
@stn487318 күн бұрын
Gari imefungwa hiyo😂😂😂😂😂😂😂 au ndio script.
@hamidabarraball316219 күн бұрын
Huna hata nyumba yako mwenyewe umri wako huo bado unaoanga apatiment
@saidimwanyiro514717 күн бұрын
Kumshaur mtu asiejujuwa mipaka yake kujisumbuwa tu
@hamisishirikisho219921 күн бұрын
Ndoa isiishie huko kama yuleeee
@user-tu2ne7so3b18 күн бұрын
Si muda atakimbiwa tena ,huyo
@maidimples823621 күн бұрын
Boss haji boss haji is not proffesional call him by his name
@user-yi1wj4ls2h22 күн бұрын
Hii nimenigusa kabisa
@mulhatramadhan114718 күн бұрын
Shida
@user-jx8qj8gm5g19 күн бұрын
Tafuta pesa
@user-ui4oh8gf8n18 күн бұрын
Mstiri mkeo basi.Hiyo haimbendezi kwa Allah na malaika wake,achilia mbali wakwe zake na wana zengwe.Toka kichwani hadi miguuni.usmfanye aonekane kituko. Mbona akijistri atapendeza tuu.
@DrOmaryJuma-zj6se16 күн бұрын
Manara fahamu kuwa kuna anaekupa riziki subscribers sio wanakupa riziki wewe muislam usimuweke uchi mkeo haipendezi chapuo za duniani sio chapuo za akhera
@josephlorri43119 күн бұрын
Hapa comments nyingi ni za watakatifu.. wanamchagulia manara maisha yake na 'my wife'
@mariamemadoshi554021 күн бұрын
Jamani msipende kujifanya nyinyi ni watakatifu sana inawezekana nyie mna madudu mpaka basi yeye anapenda mkewake awe hivyo nyie kina wawasha nini mnatoa hukumu nyie kinanani waacheni hayo ni maisha yao hayawahusu hongera manara