Fabi na wenzako na wanayechangia Mwenyezi mungu awazidishie
@umsulaiman74682 ай бұрын
Fabi Allah akujalie Kila lakher yarab Amin Akupe unacho Taman Chenye kher na ww tunakupenda mwana wetu kwa KAZI unayo Fanya Mungu akuhifadhi
@halimaoman87262 ай бұрын
Bibi na mpenda huyu jamani mchangamvu sana ata kama ana kitu yupo mchangamvu sana mungu ijalie hii familia na wote wanaojitolea ktka hii familia na pia mungu awajalie kaka fabi na kaka adamu kwa kujituma yarabi
@hannymasu732Ай бұрын
Allahuma Aamiin.🤲🏽
@oman1oman1792 ай бұрын
Ninacho mmpendea huu bibi manshallaah mcheshi sana
@ashasaidy57692 ай бұрын
Mashallah bibi angejengewa hata banda la vyumba viwili atafutiwe kaeneo kake ingependeza Sana
@attyambaraka37562 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amfurahishe aliyetoa hela kumpa bibi yetu huyu mcheshi, na awalipe wote waliotoa kumsaidia
@halimamfaume19252 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Mungu awabariki wote waliomsaidia Bibi
@safiyaalmaamari49912 ай бұрын
Bibi na mpenda saaana
@oman1oman1792 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah mungu awajalie wote walie jitolea kwa kumsaidia bibi na fabie na team yako allaah awalipe kila la kheri inshallaah
@user-my5di6kx3c2 ай бұрын
Mashallaahh kk fabii na Adamu mungu awajalie kila la kheriii 🤲
@user-ko6lg9tw6w22 күн бұрын
Mashallah BB bwana unafurahisha Sana Mungu akupe umferu wenyeher na Baraka ❤😂
@FATMA.NOTICYMANZU2 ай бұрын
Wee fabi na bibi aki mwatuvunja mbavu na kucheka🤣🤣🤣🤣
@fatmafatu11282 ай бұрын
Allah bariki kila alie weka mkono wake amiiiiiin
@user-ug4dg3zh1w2 ай бұрын
Menyezi Mungu awazidishe uyu kk ana moyo
@NassoroSipembaАй бұрын
Wanadamu ndivyo tunavyo takiwa kuishi, Walio barikiwa watoe kwa wale wasionacho nakuwapatia furaha wasionacho.Hongera napongenźi kwa wale wote walio msaaidia mama huyu Mungu awazidishie pale walipo punguza.Inshallah.
@lastborn78102 ай бұрын
Allah ajaalie malipo yenu yawe pepo ya firdaus 🙏🏻❤️ nyote mlochangia
@chikujuma182 ай бұрын
❤❤❤ mashallah kwa wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran mwendeleze kutia furaha kwa wote wanaosaidiwa kutoa ni moyo sio utajir
@user-cj2kl7cd9k2 ай бұрын
Mashallah nimempenda bibi mpaka basi Allah amzidishie furaha amjalie afya njema yeye na Sisi ameen
@ZsbAlbarwani2 ай бұрын
Amiin 🤲
@elizabethmukeba25282 ай бұрын
Mke wa fabi mchangamshi kweli
@OmanOman-bx5du2 ай бұрын
Ongereni nyote mlochangia. Mungu awape wepesi
@user-dx1hz3ow7k2 ай бұрын
Mashaallah Allah anifanyie wepesi Na bibi zangu uwa nawapenda sana mda wt ni watu wa furaha ht km awana kitu ndo uyu bibi yy mda wote mtu wa furaha nikjaaliwa kurudi nilichokipata nitawakiiisha kwa Fabi na Adamu wampelekee bibi hata kwenda kumuona nitaenda nikijaaliwa