utapeli wa mafuta ya upako

  Рет қаралды 39,221

Bizimana.Z TV

Bizimana.Z TV

10 жыл бұрын

Пікірлер: 99
@Raissaabdoul
@Raissaabdoul 3 ай бұрын
Mungu akuhifadhi ma shekh wetu
@nyanchokachacha4318
@nyanchokachacha4318 7 жыл бұрын
Mimi nadhan ndg zangu muhimu tuachen dhambi tumutii mwenyez mungu tufuate amri za mungu tusimhukumu mtu mungu atahukumu yeye.
@nyanchokachacha4318
@nyanchokachacha4318 7 жыл бұрын
Mimi in mkristo ila huyu she he sijaelewa lengo lake
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Nahutaelewa mpaka uelimishwe
@hawasuleiman3159
@hawasuleiman3159 6 жыл бұрын
Allah anasema "wakhtasimu bihabli llah jamiian walaa tafarraqu" shikamaneni ktk njia ya mwenyezimungu na wala msifarikiane. hyo ni amri ya Allah sheikh lakini wewe umeipinga kwa kuwakashif mashehe wenzio kwaajili ya biashara. hujaishia kuwakashif tu mashekhe lakini umemkashifu hadi allah kwa uumbaji wake. Allah akusamehe sheikh kwakuwa hujui unayoyasema na huna elimu juu ya unacho kiongea. kiufupi umejidhalilisha kwa kudhihirisha kuwa hata quran yko huijui. Acha kupotosha waislaam na kukatisha moyo wanaoupenda uislam. Allah akuongoze na atuongoze zote inshallah!
@sallyalnoamani3077
@sallyalnoamani3077 10 жыл бұрын
A.w.w uyo ni wivu tu sheikh
@fatmaalfani2602
@fatmaalfani2602 7 жыл бұрын
we ni mnafiq Allah akusamehe badala ya kukashif waislamu wenzako wafate ukawaambie sababu Allah hapendi unavyo fanya na kusema sharifu anakichwa kama nini mbona ukosoe alicho umba Mungu hivi ww waweza kumpa kichwa kilicho sawa kidogo kazi ya Mungu haina makosa we jichungu ulimi wako huwe hata kuumba kisha wakashif kiumbe cha Mungu kina kichwa kikubwa Subhana Allah Allah akusamehe umeteleza mdomo na atusamehe sote acha kukashif masheehk wenzako wafate mkaongee
@fatmanasser6829
@fatmanasser6829 7 жыл бұрын
Fatma Alfani huyu ni mpumbafu sana kuma huyu naona alivuta bangi kuma huyu mpaka anakufulu het kichwa kilefu kama bisibis wewe je hujioni mdomo mlefu kama tako la mbwa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 6 жыл бұрын
Amejishusha hadhi mwenyewe.
@selesaid1829
@selesaid1829 6 жыл бұрын
huyu ana wivu ye mwenyewe mfany biashara Kwa Iyo wenzake wamepita ye amepagawa
@williamkishiva8163
@williamkishiva8163 7 жыл бұрын
mi nikionaga li mtu lina muonekano wa mindevu na mavazi kama hayo huwa najua tayari wazee wa kutumia jazba badala ya akili
@kassmbilali5013
@kassmbilali5013 6 жыл бұрын
Chuki zako tu
@chenza121
@chenza121 10 жыл бұрын
KUMBE NA WEWE UNABIASHARA YAKO NDIOMANA
@chenza121
@chenza121 10 жыл бұрын
NAWA SIO ELFU KHAMSI BEI YAKE NI 25000 TU
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 6 жыл бұрын
nandio maana ata apo ulipo akuna mwanaume mpo wanawake watupu ghabiiya wakheda mwanaume rajari uwafuwata wanaume wenzie kuwauliza na wakishindwa kukupa majibu unatakiwa kuwapa naswaha sasa umewakushanya wanawake na kuwatia ujunga na kujaza chuki baina yao kelbi wakheda
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Fatwm uelewa wako nimdogo
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 жыл бұрын
eleza mambo yanayoelimisha ukuu wa mungu sio kukashifu .
@simbamweusi3410
@simbamweusi3410 5 жыл бұрын
We mganga unajitngaza tu una lolote
@hamismasoud8306
@hamismasoud8306 6 жыл бұрын
shida yako waislam wa Burundi wawachukie waislam wa Tanzania sio? hii ni fitna kubwa sana ni bora hata kafiri kuliko mtu wa fitna ktk uislam.
@barikinihataringira5113
@barikinihataringira5113 6 жыл бұрын
Heri kuwa na Yesu ndugu
@Kathren-ed7xb
@Kathren-ed7xb 7 жыл бұрын
Acheni kuwadanganya waatu ww wafundishe mambo ya muhimu hayo mambo ya upako achana nayo huna akili
@mwaijaelias4446
@mwaijaelias4446 7 жыл бұрын
Mimi naungana na sheikh wauza mafuta ya upako wakina less nimatapeli tu
@inabikorwaneema8815
@inabikorwaneema8815 5 жыл бұрын
Swadakta Cheikh wetu msema Kweli mpenzi wa Allah. Barak'Allahu fiiQ
@fatmaalfani2602
@fatmaalfani2602 7 жыл бұрын
mmmmmmhhhhhh subhanallah Allah akusamehe Sababu we ni mna
@wardalward3693
@wardalward3693 7 жыл бұрын
USITUKANE MASHARIFU WW
@adammasero
@adammasero 7 жыл бұрын
una lolote basi tu wataka nawewe kuaikika tumeahakusikia shekh mnafiqi
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Huna elim
@wardalward3693
@wardalward3693 7 жыл бұрын
WACHEZA NA MOTO WW
@wardalward3693
@wardalward3693 7 жыл бұрын
Hapana usiseme hivo hao nima tapaeli sharifu yuku imoja tu tanzaniya huyo hatari
@smartboytz9870
@smartboytz9870 6 жыл бұрын
SIJAPENDA KILA MTU NA IMANI YAKE USIFOSI IMANI YA MWENZAKO IWE KAMA YAKO KWA KUMKASHFU VIBAYA
@hemedslim2787
@hemedslim2787 6 жыл бұрын
tatizo ina onekana uroho mbaya yakirundi ndio maana mwachinjana halafu mnakimbilia huku tuta watimua
@yesusimungu9084
@yesusimungu9084 7 жыл бұрын
Sheikh Mungu Akuzidishie Upotofu kwasbb Umejichagulia Upotofu Mmafiq ukubwa Unatafuta Umaarufu Mshenzi Qafiri mkubwa.
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Hii dini naipenda latizo moja tu(Umbea
@albusaidkhelef6655
@albusaidkhelef6655 6 жыл бұрын
wewe jamaa msenge mbona unatutukana watanzania. msenge we.
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Wejamaa huna akili
@warda7373
@warda7373 5 жыл бұрын
🤔 wezi tu wote waganga. Haram mugopeni Allah. Kuna moto unakusubirini....waganga wanajita..masharifu.mashekhe.wanga wachawi. Wanafiki
@petermdage4438
@petermdage4438 9 жыл бұрын
huyu shehe ,ni tatizo , imani yake ni O ,Mungu anaonekana kwa yeyote anayemwamini na kumwabudu ktk roho na kweli kama MUSA ,ABRAHAM,SULEIMAN ,kama wao walikua binadamu itashindikanaje kwetu ?
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Huna akili
@sifaali1744
@sifaali1744 7 жыл бұрын
subuhana allah allah akusame kwa kukashifu maumbaji ya allah ww allah amekupa kichwa kizuli bas sema alhmdulillah kwani alie muumba vibaya akika mumbaji ni allah allah akusamehe mana unaogea lakin haujitambui kabisa yani unasimama kabisa muisilam mwezako katika uisilam kwa sababu unatafuta kiki katika wanawake wanao kusikiliza acha fitina zako
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 6 жыл бұрын
Sifa Ali, namshangaa huyu sheikh anaeumbua. Hajui km alieumba ni Allah na Allah amejisifia kua amemuumba mwanaadam ktk umbile lililobora?
@chenza121
@chenza121 10 жыл бұрын
SHEKHE NENDA KASOME VIZURI KUNACHOO GANI KIPOSALA KIKOVIPI NAVIPI MTU AOGEJANABA BILA KUTAWADHA ASALI WEMWENYEWE KISWAHILI HUJUI KUFRUMISHA NDIONINI WACHA WIVU KASEMA KWAJINA LAMUNGU UHASIDI MBAYA
@atukuzwemungudaimaariseand6156
@atukuzwemungudaimaariseand6156 6 жыл бұрын
Akusamehe.wew mm sio mwisilamu lakini uyo taperi kaniboa kutukana watanzania.wakati..sisi tunawapa hifadhi
@user-gq7qw4kj8c
@user-gq7qw4kj8c 4 жыл бұрын
Nipeni mwosho Ni mimi
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 6 жыл бұрын
sikushangai ndio maana munauwana wenyewe kwaiyo chuki zenu muna ziamishia kwetu Tanzania Allah awaludishieni kwenu izo fitina zenu tena mukianza kuuwana kwa roho mbaya zenu musije kwetu tena unaonekana ww mwenyewe muongo umesema ulienda kuombewa ili uwende uwarabuni kamasio mshirikina nn kwann usimuombe Allah ukaenda kuomba bina damu sema na ww unatangaza biyashara yako
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Fatwima Makungu acha ujinga
@fatmanasser6829
@fatmanasser6829 7 жыл бұрын
we sheikh acha kumtus Allah kicha kilefu kwani alijiumba mwenyewe acha upumbafu ww wewe mwenyewe sura kama matako nyooooooko
@rizikijaha8260
@rizikijaha8260 7 жыл бұрын
Fatma Nasser hahaaa wanivunja mbavu
@fatmanasser6829
@fatmanasser6829 7 жыл бұрын
Riziki Jaha kweli tena huyu baba mdomo wake kama kilo ya nyama na kiswahili chetu hakiwez mwehu kweli huyu muuza sura tuu pumbafuuu sana
@engomaryshibe8445
@engomaryshibe8445 7 жыл бұрын
wacha kushambulia masheikh wetu Tanzania nenda kasome tena
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Omary uelewa wako nimdogo
@mohammedfarah4651
@mohammedfarah4651 10 жыл бұрын
Pili Huyu Bwana Haina Elimu Katika Dini Na Katika Mas’ala Ya Fiqih Haswa…… Lakini Mimi Hapa Sio Mada Yangu Nionavyo Mimi Huyu Bwana Naye Pia Ana Biashara Ya Kutowa Majini Sasa Yeye Anaona Wivu Sana Watu Waki-Ulizia Upako Na Wala Hawamu-Ulizi Yeye… katika tiba zake Na Pia Ifahamike Kuwa Jinsi Wale Watanzania Wafanyavyo Yaani Mfumo Wao Ni Katika Makosa Makubwa Katika Dini Kuwahadharisha Wanawake Wa-Kiisilamu Kmbele Ya Ummah Hilo Ni Kosa Na Pia Kusema Wanatoa Kwa Jina La Mtume Au Fulani Hilo Ni Kosa Ila Ile Mafuta Haina Kosa Lolote Bwana Kasome Sana Mas’ala Ya Tiba Huwenda Allah Akakufungulia Ukayajuwa Na Hasad Haisaidii
@omarprosper9444
@omarprosper9444 5 жыл бұрын
Yeye ajasema hivyo uyo anasema uongoh kawapa mufano kwamba wakristoh wanasema kuwa wanatowa majini kwajina la yesu sasa nataka afanye kutumiya jina la muhamad ndiyo kasema hajasema kwamba ni muhamad
@crstophermrema7072
@crstophermrema7072 6 жыл бұрын
huyu anayejiita mh.kessy,Mungu amsamehe maana hajitambui,watu wanapona,na kuokolewa
@neemainabikorwa5570
@neemainabikorwa5570 4 жыл бұрын
Mashaa Allah .Asanteni kwakutuzindiwa ma Cheikh zetu
@michaeldaimon1091
@michaeldaimon1091 7 жыл бұрын
ongea Kirundi sasa kama unaona bongo tunazingua
@hamismasoud8306
@hamismasoud8306 6 жыл бұрын
namba ya simu ipo kwahuyu aliyenunua mafuta kwanini usiwapigie au nyote biashara yenu moja ya kutoa majini hii ni fitna ktk uislamu hatupendi.
@omarymasoudykisondo389
@omarymasoudykisondo389 6 жыл бұрын
Uje Tanzania alafu uje uwongee upuuzi wako. Munafki mkubwa ww unajua akina dk sule walivyoilingania iyi dini alafu Leo unatapika matapishi yako
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Wehuna akil nzur
@smartboytz3628
@smartboytz3628 6 жыл бұрын
wewe auna tofauti na mpagani auna dini na kama unayo bc uijui kama muislam aifai kumkashifu muislam mwenzako adharani ila kama kakoseq bx mfate muelekeze ich akifai unatoka nje ya dini sio unasema adharani kafiri ww.
@jundunjunada5668
@jundunjunada5668 5 жыл бұрын
Acha upumbavu kesy tunamuona makanisan kla day
@albusaidkhelef6655
@albusaidkhelef6655 6 жыл бұрын
wewe una wivu. huna elimu na wewe uza biashara yako. kwanza kitunguu thaumu ni Dawa.
@engomaryshibe8445
@engomaryshibe8445 7 жыл бұрын
zipo tiba za kusuna
@atukuzwemungudaimaariseand6156
@atukuzwemungudaimaariseand6156 6 жыл бұрын
Kwanza ilishapitwa wakati siitaji kujibizana namtu nampenda .yesu tu
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 7 жыл бұрын
SUBHANALLA ALLAH KAKUFUNUA KWA KUWAGUNDUA WAONGO NA WIZI WA KUPOTOSHA WAISLAMU WAKATI NA WAO NI WAISLAMU HAO NDIO WAISLAMU WAFITINA WAONGO NA UONGO UKISHAMIRI NA KUKIWA HAKUNA MKANUSHAJI AU KUWEKA SAWA BASI WATU WANAPOTOKA SASA SISI WENGINE TUMENUNU KWA SEHEMU YA DOKTA SULE JE VIPI YANAFANYA KAZI KWA MADUDU BAADA YA DUWA UA VIPI TUKO NJE YA AFRIKA TUKAYAGIZISHIA TULETWE NA TUKALETEWA LAKI SIJAJAALIWA KUYATUMIA BADO NIKO KWA DUWA NA KUMUOMBA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KWA AURAN KUJISOMEA
@selesaid1829
@selesaid1829 6 жыл бұрын
Ali hiji iddi chuki
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Humm mweote sio kwabure tumikiyeni Allah nanivizuri wasijuwi waisilamu wameishiya makanisani ule kutajajina la Mutume hajasahau biazamani na waace wenzako kilamutu ataulizwayake nyote sijaona asiyeomba pesa Amutumikiye Allah kwakutunza watu
@sokhnafall6044
@sokhnafall6044 7 жыл бұрын
mimi naona wewe nimuislam nambona usimfuate dr. sule na mazinge uwaeleze na sio kutangaza hadharani ili iweje kumkashif mwenzako ikiwa wewe waamini quran kweli mbona huifwati inavyo amrisha maana qiran yasema Allah (S.W.T)atamnusuru yule ambae waislam watanusirika kwa mkono wake na ulimi wake jee wewe umewanusuru waislam wenzio
@kassmbilali5013
@kassmbilali5013 6 жыл бұрын
Ww huna elim yeyote pia ww nimuongo haipo ivo kweli kuwa nandevu kama poli hauna akili toa aya hata moja naukiona mtu anapenda kuapa apa ujue mtu huyo nimnafiki sana w muongo
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Mimi nilijua uisilamu maanayake nini kupitiya wale njomana siwezikosasemakweli maana nilikua nikiongeya namakafiri nakoslakujibu nafikanadema sote tunaomba mungu umoja eee sanilisikiliza vizuri nikakuta kumbe wawo wana abudu watu Aliyowaumba Allah .
@husseinothuman902
@husseinothuman902 7 жыл бұрын
Wakristo hata aibu hamuna lkn mwisho wenu umefika km kusoma hamjui BC ata picha
@msellemsalim690
@msellemsalim690 6 жыл бұрын
Huyu ni muonqo.. Hayo mafuta yanatoka nch za uarabun....
@ayoubmsuya1310
@ayoubmsuya1310 10 жыл бұрын
nina shida moja kwenye sentensi zako umesema hakuna masharifu Tanzania. sina uhakika na hilo. suala la utapeli kwa kutumia dini ni kweli kabisa, kwenye dakika ya 09:29 sijakuelewa kabisa. watanzania wote sio Waislam
@lexygeisar8303
@lexygeisar8303 8 жыл бұрын
Huyu dini Naona haijui vizuri. Ana changanya kosa la mtu mmoja ana wachanganya wote. Haifai Allah akbar 🙏🏽
@adammasero
@adammasero 7 жыл бұрын
huyu amepewa pesa Kuja kuleta kivurugo hajui hata dini ayaa mbona uwasaidii watu kutuo majini mnafiki huyu
@amasashikelly7899
@amasashikelly7899 10 жыл бұрын
Kweli Sheikh MASHALLAH wajulishe WAISLAMU, hakuna mafundisho yakutoa MAJINI/MASHETANI kwa Shirki, sasa wataka tuyaabudu hayo mafuta kina Makasisi Kessy.Na hali gani ya AIBU, wanawake wabeheneka uwandani.Tafadhalini WAISLAMU, quran ndio mafundisho sio MAFUTA ya UPAKO.
@ulafim2719
@ulafim2719 7 жыл бұрын
mmmmmmmmmhhhhhh
@akanishabani5789
@akanishabani5789 5 жыл бұрын
Kitakachojiri ni kupigana ninyi kwa ninyi mpaka mkome!Mm nimejua njia, njia ni Yesu peke yake Yoh 14:6
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Na ayo makanisa njoyamejaza kupata izo tiba wataritadisha wengi alafu yule pasta anasema kinacotumika sio jina la yesu ni mafuta ata mimi niko uarabuni mafuta yanasaidiya bingi sana
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Mimi mwenyewe zete zeituni yadukani sio yakisomo nikiyajisaidiza naona shifa kwadakika ndogo,na uku uarabuni ata mutu atoke kwamuganga anayatumikishaga
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Atakwamuganga mutu anaweza panahela na asiponi we vip Mungu njo anaponya dawa ni sababu taratibu za kisunazipo atabila ivo kwanini wewe kwakumutunza hakupona mojamoja sumetiya subira;aca kujifezeresheni watuwakiwa namambo yasio kua mabaya wafate uwambiye
@atukuzwemungudaimaariseand6156
@atukuzwemungudaimaariseand6156 6 жыл бұрын
Usitupotoshe mbona waislamu wengi wanakuja kuyachukua.kanisani mimi ata useme sitokaa niwe mwislamu mbona nyie waslamu ndio mnaongoza kua wagaga wakienyeji nanyie mnatembea namairizi msikitini tena nyie ndio wakwanza kufanya shiliki bora kila mtu akae na imani yake sio makombe.yenu
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Sisitunishajua makanisani njo watapeli basi,niwatapeli vip wanadanganyawatu eti jinalayesu linaponya kumbe taratibu zatiba nanyinyi njomwawapa dawa nakuwafunza ma pasta
@akanishabani5789
@akanishabani5789 5 жыл бұрын
Waislam hamjui mnachoabudu! mteenda motoni kwa kushika msicho jua.
@sammiraselemani4699
@sammiraselemani4699 9 жыл бұрын
Namimi sikubaliani n'a uyu sheikh zuberi Ule ni mwislam mwenzako km amekoseya unamfata unamwambia sio ubasema hadharani ivi wa kritso watacukulia je Mambo yakupingana sio fresh munadhalilisha dini ya kislam
@lexygeisar8303
@lexygeisar8303 8 жыл бұрын
Huyu yualeta fitna
@lexygeisar8303
@lexygeisar8303 8 жыл бұрын
Huyu yualeta fitna
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Makosa sana wako na number zasimu kwanini usiwa colling namwenye ataona unatukanana ivo akitaka silimu ataonatu kama hamuna lolote waisilam ni wabora wazingine dini aca ivo
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 2 жыл бұрын
Mapadri ni matapeli
@francinensavyimana5601
@francinensavyimana5601 4 жыл бұрын
Nilijua nawewe utatibu bure?duniya imeja cakula na sawa namatunda njo sifa nyingi na uboro Wa Mutume nikytojua tu mutu afanye aje corroani ni fullu muujiza sheikh docter sule,mazinge,nawenewakonawo hawana utapeli hacakuzua cuki na canyongeza hakunamukamilifu isipokua Allah atuongoze kuangukiya bahati ila ujuwe haujatendamazuri kwa Ayo mazungumuzo wengi pale niwaganga ata wakizungu usitaki jitiyaju sana bila hujatiliwaju si freshi
@hamimushabani9382
@hamimushabani9382 Жыл бұрын
Shekhe kwer wew in kiboko unamtukana MTU anakichwa kama bisi. Duuuh! Astafrullah
@chenza121
@chenza121 10 жыл бұрын
WIVUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU NAROHOMBAYA
@gwamakamwakyambiki4061
@gwamakamwakyambiki4061 9 жыл бұрын
njoni nyote kwa yesu kristo naye atawapa ninyi maisha ya milele! shetani ni muongo anawatafuta binadamu kwa nyenzo zote! njooni tumkimbie shetani na tumfuate yesu kristo aliye hai awe bwana na mokozi wa maisha yetu!
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 6 жыл бұрын
gwamaka mwakyambiki, karibuni na nyinyi ktk uisilamu, dini ya hakki.
@salimwheatgrass6711
@salimwheatgrass6711 6 жыл бұрын
YESU ALITAHIRIWA. JIOKOE MWENYEWE. KILA MTU ANABEBA MZIGO WAKE MWENYEWE.
@akanishabani5789
@akanishabani5789 5 жыл бұрын
Waislam wote wagonjwa
@adamsmkweli5787
@adamsmkweli5787 7 жыл бұрын
Haya kaka mazinge mtu Huyo anakufatafata sasa anakuita tapeli n.a. mashekh wako. kijana kasoma wapi tena uchoyo huo Dr sule maneno yako
7 Fatiha 7 Ayetel Kürsi 7 İhlas 7 Felak 7 Nas Kur'an-ı Kerim Rukye
24:23
fussilet Kuran Merkezi
Рет қаралды 76 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 55 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН
SURAT  ARAHMAN by Sheikh Zubeir
12:23
Bizimana.Z TV
Рет қаралды 6 М.
Chapter 3: Prokaryotic Cells
3:27:39
Dr. Julie Wells
Рет қаралды 592 М.
The Muslim Money Experts Ep.1: Khabib Nurmagomedov
1:06:15
Wahed
Рет қаралды 1 МЛН
Uhuru’s ire & Raila’s indecisiveness.
13:35
JI-TENGE
Рет қаралды 3,4 М.
Qunuyi3
2:51
Bizimana.Z TV
Рет қаралды 942