UTAPENDA! Jinsi Makongoro Nyerere alivyoapa mbele ya Rais Samia - Ikulu, DSM

  Рет қаралды 129,686

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Күн бұрын

Пікірлер: 113
@hamisim.likulile5087
@hamisim.likulile5087 3 жыл бұрын
KAMA UMEONA ALIVYOINAMA NA KUTIA SIGN PIGA LIKE
@samsonmakandaiga4555
@samsonmakandaiga4555 3 жыл бұрын
Kwa hili mama hongera sana
@charlesrwegalulila1069
@charlesrwegalulila1069 3 жыл бұрын
Nzur Sana kukumbuka familia ya nyerere baba wa taifa
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 3 жыл бұрын
Jamani sauti ya Nyerere kabisa
@dianamkita6571
@dianamkita6571 3 жыл бұрын
Hongera Uncle Mako..
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 жыл бұрын
Tuangalie mama yetu kuhusu mwenendo wa biashara Hali ni ngumu Sana mama mtu Anakaa Asubuhi Hadi jioni mtu Ana familia na Hali mbaya mama yangu kiongozi wetu tusaidie na wewe Allah Atakufanyia wepesi kwenye majukumu yako mama yetu mpendwa.
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 жыл бұрын
Mama Samia Ridhisha wananchi wako wanyonge ipo siku tutakukumbuka kwa wema wako mama kwani wema hata Kama ni chembe tu bs utatajwa kwa wema tu mama tunakuomba mama yetu utuangalie wafanya biashara kiongozi wetu mpendwa Allah Atakusimamia kwenye majukumu yako mama yetu .
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 2 жыл бұрын
Kwenye hili nampongeza sana Mhe.Rais umeikumbuka familia ya Baba wa Taifa,Mwendazake yeye ilibakia usanii tu kuwakejeli mf.pale uwanja wa Mukendo Musoma 2020 eti wajumbe baana wamefanya yao hatimae wamembulia tu kura 5 wakati km alikuwa na nia angewavusha Makongoro & Madaraka km alivyofanya kwa akina Mwana FA,Katambi,Lusinde nk
@ennyngalawa2809
@ennyngalawa2809 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mama kuikumbuka familia ya baba wa Taifa
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 3 жыл бұрын
Kumbe siku hizi ni husani tu au vp
@kessyantoy6223
@kessyantoy6223 3 жыл бұрын
Nakubali Sana uyu Jamaa, Makuu sio yakujionesha
@mauramichael4401
@mauramichael4401 3 жыл бұрын
Wale wa Manyara tumeona
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Hongera
@mamausilamy1360
@mamausilamy1360 3 жыл бұрын
Mtoto mzur fety mdomo 💋 lips denda Ilov u
@deshoenterprises6622
@deshoenterprises6622 3 жыл бұрын
Hongera mzee
@emeliusdominickkyaluz7569
@emeliusdominickkyaluz7569 3 жыл бұрын
Tunaomba mtuandalie raisi ajaye maana huyu aliopo ni yohana mbatizaji tunamuhitaji Yesu
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 3 жыл бұрын
We ni kenge tuu
@NikawotvAM
@NikawotvAM 3 жыл бұрын
Hasaaaa
@mchambawimakilasiku1349
@mchambawimakilasiku1349 3 жыл бұрын
Wa Nyerere wa Mwinyi wa Mkapa, mpaka wamalizike na wa Magufuli nafikiri tunahitaji miaka mingine mia moja kama siyo zaidi, ili kuwe na usawa wa mtu kupewa cheo kwa kisomo alicho nacho badala ya kuvaa tu rangi ya ccm ni lazima damu imwagike tu kama inavyotokea sehemu nyinginezo za afrika.Watanzania muda umewadia wa kutoka usingizini hawa wezi wataendelea kuikokota hii nchi mpaka lini tena jamani.
@eliyahrobert9340
@eliyahrobert9340 3 жыл бұрын
Mama mungu akubariki
@bengeorge9196
@bengeorge9196 3 жыл бұрын
Naona giza kubwa mbele Tanzania yangu ile natazama nahodha anavoenda kutekwa naililia Tanzania ahaa!!!
@ambroschristian4172
@ambroschristian4172 3 жыл бұрын
Hataungefanyanini mama huwezi jiuzulu tu unakoelekea unaandika historian mbaya sana yakufeli kilakitu
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 жыл бұрын
Vibaya sana. Kama haiwezi nafasi aiachie tu. Sema tamaa za binadamu tena
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 3 жыл бұрын
@@malikeyndotopopote hamjui tu, huyu mama yupo vizuri balaa. Ninyi mmezoea vitisho na kutishana lkn huyu anatumia diplomasia tu.
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 жыл бұрын
@@frankhoffa8356 kwa kumuweka makongoro. Tutaona
@TheMandela21
@TheMandela21 3 жыл бұрын
@@malikeyndotopopote Acha fear mongering mjinga wewe wewe ni kilaza no wonder you were a failure in your life
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 жыл бұрын
@@TheMandela21 Unamjuwaje failure?
@nivicaspect3597
@nivicaspect3597 3 жыл бұрын
Sasa ndg yangu Mako goggles za nini Ikulu
@kanyasurevocatus9390
@kanyasurevocatus9390 3 жыл бұрын
Kila jambo linawakati wake !!!
@teachingtruthmission2140
@teachingtruthmission2140 2 жыл бұрын
Sasa serikali haina dini ..huyo Mungu ni yupi?kizunguzungu mwenzenu
@childrengospelmissiontanza1474
@childrengospelmissiontanza1474 3 жыл бұрын
Bora hajavaa barakoa!!
@alfoncewiliam6680
@alfoncewiliam6680 3 жыл бұрын
Makongoro nimekupenda kuto vaa barakoa
@kessyngarawa9902
@kessyngarawa9902 3 жыл бұрын
Nisaidie Tafsiri ya Ugonjwa ya upumuaji ni nini ndugu yangu..kama unafahamu lakini
@modestapeter2997
@modestapeter2997 3 жыл бұрын
Mzalendo wa kweli bila unafki no barakoa
@edigersimukonda4014
@edigersimukonda4014 3 жыл бұрын
Mkojan
@catherinejohn678
@catherinejohn678 3 жыл бұрын
Safi sana mama samia kwa kuikumbuka familia ya baba wa taifa
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 3 жыл бұрын
Kwanini anaitwa Charles Makongoro Nyerere na sio Charles Julius Kambarage nyerere?
@fauadam6680
@fauadam6680 3 жыл бұрын
Charles jina la ubatizo makongoro jina la asili hivyo kama kuna majina yalishatangulia mawili mwisho linatakiwa la ukoo
@tuliafred2739
@tuliafred2739 3 жыл бұрын
@@fauadam6680 Anaacha kujiuliza kwann alikua Mbunge NCCR Mageuzi
@umojawawatanzania3813
@umojawawatanzania3813 3 жыл бұрын
Wazee wa barakoa vp, kweli mkubwa akija uchi wote lazima mje uchi.
@suzyjoseph9812
@suzyjoseph9812 3 жыл бұрын
Ahsant mungu wa mbinguni
@givenmwambola3023
@givenmwambola3023 3 жыл бұрын
Juliusmalema
@shaqirhassan2352
@shaqirhassan2352 3 жыл бұрын
Anakunja nne mbele ya bosi Duuh
@mursallusinde9189
@mursallusinde9189 3 жыл бұрын
Haka kamziki (kibwagizo) dah kananikumbusha kipindi cha jpm r.i.p
@emeliusdominickkyaluz7569
@emeliusdominickkyaluz7569 3 жыл бұрын
Hakuna lolote hapo nyote ni wanafiki kwa kuvaa balakoa Tanzania hatuna korona nenda na chanjo zenu huko tutamkumbuka raisi wetu magufuri hakuna wa kumfia kwa ushujaa wake
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 жыл бұрын
Ukivaa unapungukiwa nini?acha kuabudu watu
@kessyngarawa9902
@kessyngarawa9902 3 жыл бұрын
Ushahidi unao kwamba haupo au ...?kuvaa ni kinga kwa hali yoyote..Mengine anaachiwa Mungu..Tahadhari ni jambo jema mtanzania mwenzangu
@simondangote3245
@simondangote3245 3 жыл бұрын
Hizo barakoa naona ni unafiki
@doniishilali6501
@doniishilali6501 3 жыл бұрын
Mgewapa ajila vijana wasio kuwa na ajila. Sio wenye pesa ndio mnawapa ajila huu ni usenge. Au nikusema Mwenye nacho huongezewa
@josemmawezasanaaamwombeki3105
@josemmawezasanaaamwombeki3105 3 жыл бұрын
Mm,naona,balakoa,tu
@neemaernest4167
@neemaernest4167 3 жыл бұрын
Yaa
@pascalmakondo2290
@pascalmakondo2290 3 жыл бұрын
Wanafiki utawajua kwa usanii wao wa viziba pua
@simongwandu7392
@simongwandu7392 3 жыл бұрын
Andanganywa stole kutoka kamati kuu yaCCM. Kwa mtu mwenye akili ya kawaida hatakubali kwani umri wake unakataa maajabu hayo wengine wanastaafishwa na umri wengine wanaajiriwa tuangalie lipi
@abdulkatalango2890
@abdulkatalango2890 3 жыл бұрын
rais ana madaraka ya kumteua yeyote hata kama umri umezidi
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
@@abdulkatalango2890 kwako sasahivi ni wakati wa kukubali kila kitu hata kama hakina ubora!
@abdulkatalango2890
@abdulkatalango2890 3 жыл бұрын
@@brightluvanda2795 hata wewe kwko sasa hivi ni wakati wa kupinga kila kitu kwa sababu kimefanywa na usiyempenda
@vero57
@vero57 3 жыл бұрын
Miwani hiyo vipi mjomba,?? Au jana ulikua viwaja 😄😄🤪🎊
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 жыл бұрын
Kumbe unamfahamu poa mzee mako
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Huyu kama Uhuru Kenyata Baharia anaishi popote pale na walala hoi🙏🙏
@ambroschristian4172
@ambroschristian4172 3 жыл бұрын
Aibu tupu
@emeliusdominickkyaluz7569
@emeliusdominickkyaluz7569 3 жыл бұрын
Hakuna lokote hapo
@edwinnyabikwi560
@edwinnyabikwi560 3 жыл бұрын
M
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 3 жыл бұрын
Nyie huyu baba alifaa kubaki kwenye chama hizo ni figusu tu kumtoa
@haysanhassan2685
@haysanhassan2685 3 жыл бұрын
Mawazo ya kichawi haya
@zeranchimbi2808
@zeranchimbi2808 3 жыл бұрын
Abaki kwenye chama kufanya nini?
@emmalwaitamanyerere330
@emmalwaitamanyerere330 3 жыл бұрын
Kwenye Chama ndio future but let's wait time will tell
@ramadhanmajji5013
@ramadhanmajji5013 3 жыл бұрын
Mjomba ako ungemwambia abakie kwenye chama muache ale maisha
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 жыл бұрын
Hapo anatolewa nec taifa huyo .
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 жыл бұрын
Ukiona makongoro kavaa miwani nyeusi ujuwe jana alikuwa tungi sana. Mimi simpingi ila nchi hii Duh! Hamna kitu, mama huyu wala simkubali kamwe
@davidmvukie3273
@davidmvukie3273 3 жыл бұрын
mkubali hata demu wAko tuu
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 жыл бұрын
@@davidmvukie3273 Kabisaa. Ila kwa rais bado nampa mda ani proof wrong. Mzee wa kujibu comment. Utajuwa tu comment za jazba
@kababa_kababajr
@kababa_kababajr 3 жыл бұрын
@malikey sasa unataka kumkubal nani? Yeye ndio Raisi katafute nchi yako
@presseg.6362
@presseg.6362 3 жыл бұрын
@@kababa_kababajr simtaki na hana kura yangu
@fauadam6680
@fauadam6680 3 жыл бұрын
Maza anafanya hisani tu kwa watu wakubwa ili naye aje afanyiwe hisani akiondoka madarakani , yupo kwa ajili ya kuwafurahisha wakubwa tu ili wamuone wamaana wasimuone mnafiki na kuogopa wasimchukie
Жездуха 42-серия
29:26
Million Show
Рет қаралды 2,6 МЛН
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Cinewatch
Рет қаралды 87 МЛН
Style aliyoitumia Makongoro Nyerere kuomba kura za ubunge
12:53
Millard Ayo
Рет қаралды 503 М.