UTASHANGAA HAYA MADINI YANAPATIKANA TANGA, BILIONEA AMWAGA AJIRA NYINGINE, YEYE ANAISHI KWENYE HEMA.

  Рет қаралды 22,299

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 36
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .
@abdulshakulahmed7903
@abdulshakulahmed7903 Жыл бұрын
Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 Жыл бұрын
Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....
@mussaluhwago8829
@mussaluhwago8829 Жыл бұрын
Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira
@wolframmwalo2432
@wolframmwalo2432 Жыл бұрын
Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo
@moyogems
@moyogems Жыл бұрын
Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 Жыл бұрын
Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine
@nandyadam72
@nandyadam72 Жыл бұрын
Mwakijembee...wao kwaktuu babu
@Winfridankalupia-t8d
@Winfridankalupia-t8d 7 ай бұрын
Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
@daudikatanga6064
@daudikatanga6064 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu boss
@hamishalidy5696
@hamishalidy5696 Жыл бұрын
Watu wa mwakijembe tujuane hapa
@peninanicodemus2703
@peninanicodemus2703 Жыл бұрын
He is the best ever
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Kazi mzuri mtangazi
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali
@warren-zs6vv
@warren-zs6vv Жыл бұрын
Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge
@InnohubGroup
@InnohubGroup Жыл бұрын
Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii. Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.
@asiamerey9081
@asiamerey9081 Жыл бұрын
Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Ajira gan waitaka kwake
@jamesmwenewanda5578
@jamesmwenewanda5578 Жыл бұрын
​@@amanimanase8798😂😂😂😂ndiyo mgosi muulize haswa ajira gani hiyo😊😊
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Dating...she's asking for
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi
@benjo_brighter
@benjo_brighter Жыл бұрын
Hizo ajira tunapataje kaka 🤔
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Жыл бұрын
+MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏
@yusufuzuberi9884
@yusufuzuberi9884 8 ай бұрын
Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 Жыл бұрын
Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?
@chacha-255
@chacha-255 Жыл бұрын
hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview
@manchumaiddi766
@manchumaiddi766 Жыл бұрын
Big deal big boss
@OLDSCHOOL-if7mi
@OLDSCHOOL-if7mi Жыл бұрын
Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 Жыл бұрын
I appreciate your efforts!
@rahelmmari3751
@rahelmmari3751 Жыл бұрын
Kazenge ipo sehemu gani?
@zolongOne
@zolongOne 11 ай бұрын
Kizenge ni mkoa gani?
@sennybrown8588
@sennybrown8588 Жыл бұрын
Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage
@raphaeljickson9476
@raphaeljickson9476 Жыл бұрын
❤❤❤
@JosephBWAGIZO-fs5ig
@JosephBWAGIZO-fs5ig Жыл бұрын
MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid
@JosephBWAGIZO-fs5ig
@JosephBWAGIZO-fs5ig Жыл бұрын
Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
DADA CRISTAR MBUNIFU WA JUICE TIBA MKOANI KIGOMA
12:27
Baraka Macuptz
Рет қаралды 63
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE
3:20
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC)
Рет қаралды 134
TAARIFA YA HABARI WIKIENDI - AZAM UTV - 09/02/2025
UTV Tanzania
Рет қаралды 55
SHUGHULI ZA MADINI NCHINI TANZANIA
5:19
Wizara ya Madini
Рет қаралды 6 М.
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН