UVIRA|WADADA WANAO JIHUZA MWILI WAFUNGUKA | NILISHA JENGA NYUMBA KWETU|

  Рет қаралды 24,155

Tanganyika TV

Tanganyika TV

Күн бұрын

Пікірлер: 77
@CharlesMs25Daghaly
@CharlesMs25Daghaly 3 ай бұрын
Watangazaji wangu watanganyika tv nawaeshim sana
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana
@sambaachristopher
@sambaachristopher 7 ай бұрын
Kinachotakiwa ni kutubu na kumwamini Mungu na Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea,karibuni Yesu Kristo atarudi!Amina
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.
@Esther19553
@Esther19553 2 жыл бұрын
Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭
@sifam6348
@sifam6348 Жыл бұрын
iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya
@deborakamsi
@deborakamsi 2 жыл бұрын
Mungu awarehemu wanajuwa ni mbaya kwanini waendelee kuifanya waache na warudi kwa Yesu bado anawahitaji waje kumtumikia
@sostheneabedi4773
@sostheneabedi4773 2 жыл бұрын
Mtangazaji uwe mtulivu Na huliza swali tu achana na Maelezo Mengi Mengi ya Sio na msingi
@chrispinbyamungukaharwa8469
@chrispinbyamungukaharwa8469 2 жыл бұрын
Nime miss uvira kweli mungu ibariki inchi yangu congo
@EvangelistMathayo2604
@EvangelistMathayo2604 Жыл бұрын
dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti. dada zangu ushauri wangu nihuu tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana. Biblia inasema katika kitabu cha methali azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Yeyote asie na dhambi duniani na ampige mawe huyu dada.
@vicWamaana
@vicWamaana 9 ай бұрын
Nimagumu dada m mungu anasaidia
@dinaalondamachozi7529
@dinaalondamachozi7529 2 жыл бұрын
dada wangu tafurta kazi apo uvira zapo kabisa ❤
@salisali3738
@salisali3738 2 жыл бұрын
Yaaani ww mtangazaji umeipasisha hiyo kama ni kazi pole sana
@wamupepe5301
@wamupepe5301 Жыл бұрын
Apana si kazi ku uzisha migulu , ma cuisses diiiii
@arjunmutotowadzaleka
@arjunmutotowadzaleka 7 ай бұрын
Iyo kali❤❤❤❤❤
@BinKingTz
@BinKingTz 2 жыл бұрын
😂😂😂 Sisters Fanyeni Nyama Nyama tu Mpate Utamu.😂😂😂
@joleal7941
@joleal7941 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu unilinde na iyi kazi ya uzinufu🤔🤔🤔
@zenataashura792
@zenataashura792 2 жыл бұрын
Uza mashine dada ulipata zakujenga unakosa zamashine pole sana Mungu akuokowe
@AnastasieZabibu
@AnastasieZabibu 10 ай бұрын
Toujours pawet comedy
@tatianamonga492
@tatianamonga492 2 жыл бұрын
Bongo yako dada!!!!ni tabiya yako tuuu!!! Ma formations y’a kazi y’a mikono iko mingi dada.
@claraelengabulunda6750
@claraelengabulunda6750 2 жыл бұрын
Dada achana naiyo kazi kumbuka kunajeyanamu na maisha siyo hayo kunamaisha baada ya iyo tubuni
@emoalembe4790
@emoalembe4790 2 жыл бұрын
Mithali 14:12 iko njia ionekanayo sawa machoni pa mtu , lakini ni njia ya mahuti.
@bisocijuma5899
@bisocijuma5899 2 жыл бұрын
mtangulize mungu mbele
@BMASTA_BM
@BMASTA_BM 2 жыл бұрын
ndugu mtangazaji nisaidie namba zako za wasapu labda tunaweza saidia dada yetu niko hapa Marekani asante
@TanganyikaTV
@TanganyikaTV 2 жыл бұрын
+243978539244
@justietumaine3127
@justietumaine3127 2 жыл бұрын
Mutiye naba
@wamupepe5301
@wamupepe5301 Жыл бұрын
Amuna association ya BA BARANGA ? ( avocates, médecins, assistants socials,...)
@kashindibakari7726
@kashindibakari7726 2 жыл бұрын
Nyumba unajenga machine unashindwa kununua,hiyo kali duh !
@farajasimon
@farajasimon 2 жыл бұрын
😂😂😂si ndo hapo
@cizaramadhan9737
@cizaramadhan9737 Жыл бұрын
Mwambie uyo dada ani tafute ili aweze kuacha iyo kazi mpe namba zangu ao ani tafute kwenye Facebook
@wamupepe5301
@wamupepe5301 Жыл бұрын
Bravo @cizaramadhan9737 👍
@BisheniKasangandgo
@BisheniKasangandgo 6 ай бұрын
Nisawa tu
@ladysapna3461
@ladysapna3461 2 жыл бұрын
🎤Mtangazaji kama unawatetea vile😜
@salisali3738
@salisali3738 2 жыл бұрын
Sana tu ana eatetea na ameipasisha kuwa ni kazi
@jesusislord9190
@jesusislord9190 2 жыл бұрын
wapi huku nikaishi??
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
SHIDA ZINA KUFANYA UWE HIVYO, MSIMLAUMU.
@ChanceMalumba
@ChanceMalumba Жыл бұрын
Uvira kavimvira 😢
@kahwalambezi1688
@kahwalambezi1688 2 жыл бұрын
ni kazi
@lydiamkein8052
@lydiamkein8052 Жыл бұрын
Toka pale acha kupa zambi mafuta nibamalaya tuu watafute kazi waache😢 kazi zabumalaya
@bisocijuma5899
@bisocijuma5899 2 жыл бұрын
jamani ni shida pole sana 😢 mwenzangu
@kabwefrancine99
@kabwefrancine99 2 жыл бұрын
Kwa nini una hongea huhongo?mtaji waKuchuuza matunda njo laki tano ?
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Acheni uvivu wa dada nyie acha
@MmungaMbele-u1o
@MmungaMbele-u1o 9 ай бұрын
Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.
@marygregory7566
@marygregory7566 2 жыл бұрын
Dada angu ile pesa umejenga nyumba kwann hukununua machine
@mwalimubarakajustin745
@mwalimubarakajustin745 2 жыл бұрын
Mutangazaji, ninaomba unitumie maasiliano ya Sim ya TANGANYIKA TV.
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv Ай бұрын
Mungu una mshukuru kwa lipi? Hata muandishi hauna akili
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Ila.binadamu wanateseka hiyo.sio.kazi.ni.dhambi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Umeshajenga sasa unatafuta nini tena
@happyjohn7630
@happyjohn7630 Жыл бұрын
Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?
@SalehMkyombwe
@SalehMkyombwe Жыл бұрын
Niko USA Ohio, nitampa 300$ je, ataiacha?
@christainc.5217
@christainc.5217 8 ай бұрын
Pana namba yako sasa
@MulangaliroEspoir-p6d
@MulangaliroEspoir-p6d 2 ай бұрын
Ss wa dada simulishapata nakujenga,kama ni Maisha mushapata kiloko,muache ss,kama kweli niukosefu
@esperancesudi2842
@esperancesudi2842 2 жыл бұрын
To be continued
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Mibangi ya wanaume na mipombe.
@mandelabahatibayanga3131
@mandelabahatibayanga3131 Жыл бұрын
Jambo nikazi yamubaya nanimachukizo namwenyezimungu
@zenataashura792
@zenataashura792 2 жыл бұрын
Yani ina maana byashara biliisha mpaka wauze mwili
@luckybrother5130
@luckybrother5130 2 жыл бұрын
Mtangazaji uliza maswali ya kiutu uzima men
@maimai4831
@maimai4831 Жыл бұрын
😂😂
@wamupepe5301
@wamupepe5301 Жыл бұрын
Waka fundisha kazi ndogo ya mikono waweza acha? Kufanya mikate, kushona nguwo,....
@justietumaine3127
@justietumaine3127 2 жыл бұрын
Mukuwe munateya naba
@evayesse7008
@evayesse7008 2 жыл бұрын
Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.
@peter-tj6oo
@peter-tj6oo 2 жыл бұрын
Uvira mnakula nyama za watu
@TanganyikaTV
@TanganyikaTV 2 жыл бұрын
Ahaha
@mariamselemani1366
@mariamselemani1366 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@delphine8976
@delphine8976 2 жыл бұрын
Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment
@farajasimon
@farajasimon 2 жыл бұрын
Huyu interviewer naye aana akili kabisa
@KABWEM
@KABWEM 2 жыл бұрын
Hata biblia inasema tafuta utapata, hakuna lawama yote dada zangu ila mungu atawasaidia siku moja
@bisocijuma5899
@bisocijuma5899 2 жыл бұрын
mtangazaji acha kuongea upumba
@mariamselemani1366
@mariamselemani1366 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@justietumaine3127
@justietumaine3127 2 жыл бұрын
Mukuwe munateya naba
@rugarekashasha8196
@rugarekashasha8196 2 жыл бұрын
Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.
@welongodouniajtt3966
@welongodouniajtt3966 2 жыл бұрын
Mutakwenda na ngoma
@rugarekashasha8196
@rugarekashasha8196 2 жыл бұрын
@@welongodouniajtt3966 Tutabanana mu congo
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04
Mweusi Family
Рет қаралды 6 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,6 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 81 МЛН
Uvira
2:29
DW Kiswahili
Рет қаралды 3,9 М.
TAZAMA MAPATO YA DAGAA KWENYE  ZIWA TANGANYIKA JIJINI BARAKA
20:22
Tanganyika TV
Рет қаралды 2,2 М.
NIMEKUSAMEHE BY LUSEKELO MWALYAJE FT LUCY MWAIKONGE
8:31
Muhubiri Production
Рет қаралды 174 М.
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
0:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
Массаж от Анаконды.
0:53
Арнольд
Рет қаралды 1,6 МЛН
Покрасила ЛЕДИ БАГ 🤣
0:43
ANDRUS
Рет қаралды 2,6 МЛН
Гости в шоке 😂 #shorts
0:24
Владислав Шудейко
Рет қаралды 3,4 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
0:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
Вы бы тоже так поступили? 😢🐸
0:20
WORLD TOP
Рет қаралды 9 МЛН