You can follow our pages on Instagram "anointed_room" and Facebook "Anointed Room". Lets win Differently
Пікірлер: 67
@JoyceMbangwa2 ай бұрын
Kweli nilikuwa sina uvumilivu Mungu anisamehe,, asante kwa somo zuri nimepona na nimevuka kwenye hilo eneo
@mercyaketch11104 жыл бұрын
asante sana mtumishi God bless you adundantly..umeugusa sana moyo wangu kwa uhakika nmekosa sana uvumilivu kwa maisha yangu....i do thank God for using you as vessel ubarikiwe sana...nasikia nmefunguka moyoni mwangu
@jacquilinemashaka28786 жыл бұрын
Somo ni zuri sana, tunapaswa kuwa wavumilivu na sio kumlalamikia MUNGU, ninaomba Mungu azidi kukupa maono zaidi kwa ajili ya watu wake! Be blessed da colle
@victoriambezi62106 жыл бұрын
I'm blessed kwakweli,nilikuwa ni mtu wa kumlaum Mungu but kupitia hili somo naamua kubadilika barikiwa Mtumishi wa Mungu Colle Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi.
@anointedroomministry6 жыл бұрын
amen endelea kumtumaini Mungu.
@godsgrace4682 Жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏 May you live Long my dear sister,I chose you to be my spiritual mum
@agnesmahenge70465 жыл бұрын
Somo zuri dah kweli sikuwa mvumilivu,Mungu anisamehe nilikuwa nakata tamaa jaman,nimepokea leo asante baba
@silyaabel41575 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada angu...hakika Mungu yu ndani yako ....kuna mahali umenivusha ,ubarikiwe sana
@tumainikamwela21605 жыл бұрын
Barikiwa sana dada Colle kwa mafundisho mazuri yamenitoa mahali, Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu zaidi
@aisiaelkisanga43293 жыл бұрын
amen
@suzanlyimo390910 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@neemamwaimu86585 жыл бұрын
Yaani nmebarikiwa sana nilikuja kujifunza somo la sadaka lkn nmejikuta nasikiliza uvumilivu
@shamilahhassan32136 жыл бұрын
Jaman Dada Colle nataman uwe unaweka kila mafundisho yako yote you tube na wengine tufunguliwe jamn...Arusha lini????
@joycetematema13243 жыл бұрын
Mungu namie nisikie Baba yangu
@liberatameshack37306 жыл бұрын
Asante kwa hili somo la uvumilivu nmepona sijawahi kubahatika kuhudhuria nikutakie yako ila nabarikiwa na mafundisho yako kupitia mtandao,siku nikisikia unakuja karagwe najua unakuja kwaajili yangu tu
@evamaro61775 жыл бұрын
Dada Colle tunamshuru Mungu kwaajili yako Njoo na Mtwara uweze kutulisha na mafundisho haya
@adelamwaitula79576 жыл бұрын
Umefungua moyo wangu,ubarikiwe,pia tuvae mavaz yakumbariki Mungu kama anavyo pendeza Mtumish Co
@ruthmfinanga94555 жыл бұрын
Mungu ni mwema natamani na mm kujiunga na hiyo prayer marathon
@mafanikiosanga98202 жыл бұрын
Amina mtumishi
@monicamanzi39455 жыл бұрын
M.Mungu akubariki mno.,.,Mtumishi Colle.!
@shamilahhassan32136 жыл бұрын
Yaani sijui nisemeje...somo limeniingia kwa kweli...he is here kwa kweli....Eeee Mungu niongoze kulitekeleza somo hili la uvumilive ili nishinde kama ulivyonipangia wewe......
@julianajchambala69542 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@sophiaanthony99933 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu aliye hai
@miliammarwa8285 жыл бұрын
Somo zuri sana da colle nakupenda
@rachelmwaki74545 жыл бұрын
Somo ni zuri but vaazi la suruali tujirekebishe ,shukrani nimehudumiwa huduma ni nzuri
@sylviamassawe75223 жыл бұрын
Aaamen am blessed 🙏🙏🙏
@concesafl6 жыл бұрын
It was the best ever
@edgarndyamukama55505 жыл бұрын
Shalom Mtumishi naomba lile somo la Upendo, ulifundisha pale Tanganyika packers
@edgarndyamukama55505 жыл бұрын
Shalom mtumishi , Naomba lile somo la Upendo. Ulifundisha pale viwanja vya leaders, silioni humu youtube
@juliethernest4550 Жыл бұрын
Amen Baba nipe hatua nyingine
@magangamasanja72975 жыл бұрын
Thank u jesus
@neemashoo52026 жыл бұрын
Be blessed sister Colle
@joycetematema13243 жыл бұрын
Niko mbeya, nataka kujiunga na nyie iyo pleya nijiungeje, sijui nianzie wap , nataka niwe na nyie kimaombi, nijibu mpendwa
@aimerinamugisho51825 жыл бұрын
Amen nimekarikiwa na somo ubarikiwe
@charleswaigama80576 жыл бұрын
somo zuri sanaaa.limenibariki
@anointedroomministry6 жыл бұрын
Liweke kwenye matendo sasa. Barikiwa
@bekaogoro70712 жыл бұрын
Amina
@wiza23095 жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA SANA, NI VEMA SANA KUJIFUNZA KUFANYA MAOMBI YA SHUKRANI.
@alicenyangi2011 Жыл бұрын
Asante kwa somo ili zuri limenivusha Sana hasa kwasasa ninavyopitia changamoto ,,,nimekuwa siyo mvumilivu niliona majibu yanakuja sivyo Ila Bwana ametenda na ninabadilika kuanzia Sasa kwa jina la Yesu aliye hai
@salomelubeleka73096 жыл бұрын
namshukuru Mungu somo hili limekuja kwa wakati sahihi katika maisha yangu.
@anointedroomministry6 жыл бұрын
barikiwa na endelea kufanyia kazi.
@suzymhando4185 жыл бұрын
Samahani dada naomba kuuliza kuvaa siruali si dhambi nimebarikiwa sana ila vazi limenikwaza sorry
@lilianjosephat8586 жыл бұрын
Nimepata kitu. ...oh Lord forgive me. .
@mafanikiosanga98202 жыл бұрын
Haleluya
@joycetematema13243 жыл бұрын
nataka niwe patina
@selaalpha13843 жыл бұрын
Shalom Joyce, Upo mkoa gani??
@winnymartin80776 жыл бұрын
I have been blaming GOD and today I sincere apologize
@dicksonkabanji315 жыл бұрын
da colle Beatrice aache kuvaa surual anaharib ibada