SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@rithaurassa50 минут бұрын
Hongera. Sana kaka Mwabukusi kwa hekima yako kubwa🎉❤❤
@roudhamahmoud76337 минут бұрын
Mwabukusi 🎉🎉🎉 nimependa umeongeya point tupu bila kungata ngata
@YusufHassan-u4u52 минут бұрын
Hotuba nzuri sana ongera mwabukusi
@mkingaJulius-u5y24 минут бұрын
Tunashukuru kaka kwa hotuba nzuri
@israelmpiluka-gu6vhСағат бұрын
Free Dr Slaa
@abuumuhammad713330 минут бұрын
Kampake mafuta ili atoke kama utelezi
@michaelelliac727325 минут бұрын
Mwanetu ushakua soft ulifoka sana kwenye kabla ya kampeni na kwenye kampeni ulisema sana lakin asa ivi unaufyata mkia unaongea kama Jidde tu
@johnsebastian-bx6qn2 сағат бұрын
Safi sana mwabukusi
@BardenBensonMwamfupe-dk3ygСағат бұрын
Very good
@RBMBAKARI-bv6wn22 минут бұрын
Mwambukusi ni msomi anashirikiana na serikari kubadili Hali ya Sheria nchini.usipofanya hivyo huwezi kupata mabadiliko.hatumii nguvu anatumia nguvu ya hoja sana
@khalidmdotta384321 минут бұрын
Kwisha kwisha kabisi
@SulePonda29 минут бұрын
Wakili ni Tundu lissu tu
@gabrielsanya327837 минут бұрын
Huu utaratibt wa kuto utambulisho kwa viongozi wlio alikwa ni sheria au n iwatu kutaka kujulikana uwepo wao kwa sifa au wajulikane??
@abuumkumbalu9123Сағат бұрын
Kesha ramba Asali huyo
@roudhamahmoud763Сағат бұрын
Nchi nyingi sioni huo utaratibu wa kutajana au ndo utamaduni wa Tanzania?
@roudhamahmoud763Сағат бұрын
Kwani lazima kutaja majina ya watu wote na vyeo vyao ?
@justussebastian47792 сағат бұрын
nimemwona Mbowe hapo nyuma😂😂
@WadySaidi2 сағат бұрын
Katiba Mpya nini
@godfreymjuni34202 сағат бұрын
Sijasikia mambo ya katiba mpya .
@justussebastian47792 сағат бұрын
siyo lazima usikie na siyo lazima yote yasemwe yote
@danielshauri63902 сағат бұрын
Wananchi hatuhitaji katiba mpya. Hayo waachie wanasiasa wapenda harakati
@DavidDanken-uf7kp2 сағат бұрын
😅😅😅😅 ah mnanifuraisha haya pambanen bana@@danielshauri6390
@NancyChristopher-b2tСағат бұрын
Akili huna wewe katiba sio jambo tu la wanasiasa amka usingizini unaota usije ukajikojolea@@danielshauri6390
@barrynzeyimana627056 минут бұрын
Ubaya wako unadhani TLS ni kama Chama pinzani. Tofauti Chama Cha upinzani na TLS