Kazi nzuri sana kwa serikali yetu, Mungu awabariki kwa kusimamia kodi zetu vizuri. JPM mitano teno
@emmanuelmkama30004 жыл бұрын
Sio mitano tu mpaka akatae mwenyewe
@dennisstafford4504 жыл бұрын
Wapinzani mpooooooo?
@masoudkipara50534 жыл бұрын
Rais wetu ni mfatiliaji sana nampongeza ila na lindi jaman tuiangalie angalau
@godfreybigeyo91054 жыл бұрын
Jpm sio Wa kulinganisha na vitu vya hovyo hovyo hivi
@mtunguja14 жыл бұрын
Godfrey Bigeyo Nikweli kabisa, hakuna hata anayemkaribia kwa uchapakazi na uzalendo. JPM awaachie upinzani vijana wa CCM ndiyo sizi yao, yeye JPM achape kazi tu.
@aminanamoyo834 жыл бұрын
Asante maghufuli ubarikiwe inshallah 👌🏿👍
@eddimalon60514 жыл бұрын
Sio maghufuli, ni Magufuli, Maana yake kafunga Makufuli na funguo katia baharini. hakuna atakae fungua kwenya Makufuli hayo.
@luluamri3704 жыл бұрын
We kiguli lissu haya njoo huku
@calvinkapinga83414 жыл бұрын
noma sana
@jacobmakono3894 жыл бұрын
..ama kweli amefanya mengi!mwinyi,na kikwt wanapaswa kuona aibu kubwa sanaaa!na sijui Mungu watamwambia nini!
@eddimalon60514 жыл бұрын
mbona umemsahau Marehemu Mkapa?
@brobabuu39734 жыл бұрын
Kwa yeyote anayesoma hii.. nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
@YusufAli-ib6xu4 жыл бұрын
Ccm ccm ccm welcome back again next term with magufuli on chair
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@martinkipenya45924 жыл бұрын
Hii ndo itatusaidia kuondoa makelele ya kina tindu lisu kutoka kwa mabeberu
@emmanuelmkama30004 жыл бұрын
Tutaandamana aendelee kuongoza tu hamna namna
@mtunguja14 жыл бұрын
Nafikiri kinacho fuatia ni Serikali kugharamia kuwapeleka mafunzoni Madaktari Bingwa kwa makubaliano ya mikataba. Ili tuwe na madaktari wazuri wakutosha.
@heavenlymusicproduction43604 жыл бұрын
Mosie baba nighambie
@ahmed-shakirmwamba49924 жыл бұрын
Waliokwamisha maendeleo ya nchi yetu ni Serikali zilizo pita kwa miaka yote tangu tuanze kujitawala na kwa bahati mbaya Sana ziliongozwa na chama cha Mapinduzi. Miradi mingi ilihujumiwa na Sisi wenyewe kwa kuwa uongozi daima ulikuwa mbovu na bila mawazo mbadala. Ujio wa vyama vya upinzani ndio ulio sababisha Serikali kugeuza dira vinginevyo ni CCM iliotufikisha hapa. Miaka karibu 60 baada ya Uhuru tulitakiwa tuwe mbali mara nne ya hapa tulipo. Hospital kama hii ingekuwa ipo kila Wilaya na sio Jimbo au Mkoa.
@athumankigomba4274 жыл бұрын
Wewe miaka ya juma Tanzania ilikuwa aina wasomi wengi
@emmanuelmkama30004 жыл бұрын
Uongozi ni dhamira ya mtu mwenyewe na si chama au vyama vya upinzani
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Kumbuka tulitawaliwa tumekuwa huru kuanzia Mwaka 1961 Sasa hapo ndio tulianza rasmi kujipanga wenyewe kwahiyo tolicheleweshwa na ukoloni sio Ccm wasomi wengi wameanza kupatikana Miaka ya 2000 uko nyuma kukikuwa hakuna kitu Nan angefanya kazi