#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 158,670

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

#EXCLUSIVE: MO DEWJI AVUNJA UKIMYA wa HAJI MANARA, AFUNGUKA MENGI - ''SINA KINYONGO NAYE''...
Mwandishi mahiri wa habari za michezo, @salehjembefacts amefanya mahojiano 'exclusive' na Rais wa Heshima wa Simba na mfanyabiashara mkubwa wa Kitanzania, Mohamed Dewji 'Mo' ambapo amefunguka mambo mengi ambayo ulikuwa huyajui.
Saleh amemuuliza Mo kwamba licha ya kufanya kazi kwa muda mrefu na Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Simba, alipohamia Yanga alikuwa akimtukana kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari, je, ikitokea amemuombamsamaha yupo tayari kumsamehe? Mo amelijibu swali hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 251
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie imani na pale unapokosea akuongoze na akulinde na maadui wandani nawanjee
@niyakhalid5650
@niyakhalid5650 Жыл бұрын
Tajiri huwa habishani na masikini big up tajiri wa East Africa nzima MO Dewji one love from Kenya
@tengarashid4703
@tengarashid4703 Жыл бұрын
Hahahahaha chawa kwenye ubora wako kusifia wanaume wenzio tafta pesa
@niyakhalid5650
@niyakhalid5650 Жыл бұрын
@@tengarashid4703 najua uchawa ni tabia yenu Watanzania mimi sio mtanzania mimi ni mwanaume najituma kwa kazi zangu ila ukweli lazima usemwe tajiri hashindani na masikini
@BigZhumbe
@BigZhumbe Жыл бұрын
​@@tengarashid4703 Wewe una pesa?
@user-vr5bi8rb8y
@user-vr5bi8rb8y 8 ай бұрын
​@@tengarashid4703Roho imekuuma😂
@stephentossi2626
@stephentossi2626 Жыл бұрын
Hongera sana MO kwa hekima yako ndiyo maana unafanikiwa Mungu amekunyoshea Heri kutokana na moyo wako wa ibada
@mercymariki2148
@mercymariki2148 Жыл бұрын
Frankly speaking with wise words ☑️ Mo ....God bless you moreeeee
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 Жыл бұрын
Vizuri sana Dewji, yule kijana si sawa yako, haina maana kujibizana na mtu safihi kama huyo. Matusi yake hayakupi hata kipele.
@mussandikumana3561
@mussandikumana3561 Жыл бұрын
Mbele ya Mungu binaadamu wote tunalingana
@philemonambilikile
@philemonambilikile Жыл бұрын
@@mussandikumana3561 ulinganifu huja kwa kuheshimiana wenyewe
@teamjesuschrist2919
@teamjesuschrist2919 Жыл бұрын
​@@mussandikumana3561 ushasema Mungu hata tupo wanadamu😅
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Huyu bro yuko tofauti sana hongera umejaaliwa busara 👏👏👏👍💪🙏🇹🇿
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Жыл бұрын
Hongera Sana mo kwa kumsamehe manara na yeye ana mapumgufu yake na tunayaona watanzania.
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Mwandishi umetimia neno ,kutukana ungesema akawa anakusema VIBAYA kwenye mitandao ya kijamii au ndio umeandaliwa 😂😂😂😂
@omarycheyo5534
@omarycheyo5534 Жыл бұрын
Kwani hakumtukana?acha upumbavu HIVI angetukanwa baba yako ungejisikiaje
@Kimweri_tz
@Kimweri_tz Жыл бұрын
Ila kweli mwandishi kachochea moto
@queenlinda255
@queenlinda255 Жыл бұрын
Mo eti kafanya jambo baya alafu anamuuliza mtangazaji umenielewa jambo baya big boss ❤
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 Жыл бұрын
Kipenzi cha Wana simba❤️
@victorkiiru1237
@victorkiiru1237 Жыл бұрын
Asante sana boss
@akidahamad142
@akidahamad142 Жыл бұрын
Hekma nyingi mno yani daah safi sana muheshimiwa Allah azidi kukuneemeshea maisha yako nakukjbali sana
@twahambowe440
@twahambowe440 Жыл бұрын
MaashaAllah alhamdulillaahi, hapo kwenye wivu upo vizuri sana rais wa heshima, umejipanga vema sana.
@minahaminahaochu255
@minahaminahaochu255 Жыл бұрын
Allah akulinde broo uko safi mashallah❤
@saidmoussa909
@saidmoussa909 Жыл бұрын
SubhanaAllah...Daima Allah huwa khafuru Rahmu. Allah atujaaliye tupate Makhafra yake Allah kabla ya kurejea kwake Yaarab Ameen.Jamani tuwe na tahadhari Sana na midomo yetu tuogope isije kutuponza na tunapo koseana tuweze kusameheana na Tusiwe na viburi na kujifanya wakamilifu kwani hatujijuwi mwisho wetu binaadamu kwani hatuja kamilika na hatuja kamilika kuubwa..Yaarab tujaaliye tukirejea kwako tuwe tumepata Ridhaa zako na Radhi zako Yaarab Ameen.
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 Жыл бұрын
Good sms
@twahambowe440
@twahambowe440 Жыл бұрын
Ni kweli maisha haya ni mafupi sana, Asante sana mo, rais wa heshima ssc
@pendocharles3187
@pendocharles3187 Жыл бұрын
Ndiyo
@reimushi1185
@reimushi1185 Жыл бұрын
Duh!!!! Nyinyi ni chombo kikubwa buana. Haiwezekani intro inaanza hovyo namna hii.
@seifjuma8422
@seifjuma8422 Жыл бұрын
Safi sana mo ujumbe mzuri
@yessemwakibete2458
@yessemwakibete2458 Жыл бұрын
Daaaa Saafi sana Bosi Mo Mungu akujalie Maisha marefu.
@saidchombo5952
@saidchombo5952 Жыл бұрын
Busara nzuri sana
@jamesandrew7482
@jamesandrew7482 Жыл бұрын
Huyo mwandishi ni mchonganishi anaushahidi na matusi ya haji manara
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Mashallah ww ni mwanaume nanusu hupaswi kumjibu mtu mpuuz unamengi yakufanya.
@davidwatson6821
@davidwatson6821 Жыл бұрын
Daaah aisee Mo Mungu akubariki kwa hilo, ni wachache sana wenye moyo kama huo, emdelea na moyo huo utapata thawabu
@kitukizito9178
@kitukizito9178 Жыл бұрын
Hivi ni tusi gani haji alimtukana Mo😃😃.Bado nalitafuta Hilo tusi silioni.. Nyie waandishi wa habari hamna weledi na kazi zenu aseee khaaaaaaaah
@abelbest4984
@abelbest4984 Жыл бұрын
Haji manara Watching
@denismvula300
@denismvula300 Жыл бұрын
Kwa kingereza wanasema "wewe unakunywa sumu lakini unamtakia mwenzako afe, huo pia ni wivu mbaya" boss hapo umetupiga 😂😂😂
@aminamjema-kf7qr
@aminamjema-kf7qr Жыл бұрын
Hongera mungu akubariki akulinde akuepushe na mabaya yote
@jumachidi3567
@jumachidi3567 Жыл бұрын
mungu akupe maishamarefu mo
@boniventurekiwanuka.8098
@boniventurekiwanuka.8098 Жыл бұрын
Hongera sana ndugu,stay safe and be blessed.
@mendoza.hill1
@mendoza.hill1 Жыл бұрын
4:50 nilikufuata mpaka ofisini
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 Жыл бұрын
Anayemuhoji MO anaonekana kama mwandishi aliyepevuka lakini maswali anayouliza hayana tija kabisa, yakitoto! Namshauri MO ajibu tu, maswali ya msingi kulingana na heshima yake.
@kombokassim9591
@kombokassim9591 Жыл бұрын
Anauliza maswali kichawa atume video au clip haji aliyo tukana
@paaboytz5855
@paaboytz5855 Жыл бұрын
Safi Sanaa mo dewj na global tv
@youngchuda1568
@youngchuda1568 Жыл бұрын
Ambao hamjaelewa hadithi tujuane hapa😮😮😮
@geraldkbona5595
@geraldkbona5595 Жыл бұрын
tajiri ana busara
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Жыл бұрын
Safi
@manmgomi3042
@manmgomi3042 Жыл бұрын
Boss aangaikii na maskini ambae mbaka atukane watu ndio apate chakupeleka tumboni ivyoo boss ni boss tuu
@saadysaidzahaze5980
@saadysaidzahaze5980 Жыл бұрын
Allah akupe zaidi duniani na kesho akhera unamoyo msafi sana na wapekee mo dewji Maashaallah ❤
@teamjesuschrist2919
@teamjesuschrist2919 Жыл бұрын
kwamba global mmeshindwa kuweka hata introduction ya maana kuweni kidogo professional angalien bas hata introduction za wenzetu
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 Жыл бұрын
Ashura cheupe anamatatizo mengi.uzuri Mo dewj anaakiri nyingi sana.harafu nitajiri sana.kwahiyo hawezi kushindana na Ashura cheupe.anamchukulia jinsi alivyo.nakupenda Sana Mo.unahekima,busara,nvumilivu,una utu,Mungu akubariki na kukulinda.Ameeeni
@jimmydizonga1335
@jimmydizonga1335 Жыл бұрын
Jembe kumbe naww unapenda majungu ila ulichokitaka hujakipata MO, kakujibu kikubwa Sana. Muulize MO maswali yenyemantik sio majungu.
@lizzybby2392
@lizzybby2392 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@fatmamusa1119
@fatmamusa1119 Жыл бұрын
Allah akbar
@richardboniface9280
@richardboniface9280 Жыл бұрын
👂
@aprow2059
@aprow2059 Жыл бұрын
Hongera kwa saprize kwa ssc suports hasa wachezaji jumamosi
@masolavachui1728
@masolavachui1728 Жыл бұрын
Boss kavaa kipesi mbele ya kamela 😂😂sasa vaa ww mwenzang na mm kama utaruhsiwa kwehojiwa😂😂😂
@emanuelygavile
@emanuelygavile Жыл бұрын
big boss
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 8 ай бұрын
Moo uko vizuri sana sikutegemea kama unaroho ya hekima kiasi hicho manara anatabia za kihuni hatakama mlitofaitiana asingekua na maneno ya vijembe na kejeli kiasi hicho katoka simba kwa hila naatakua alipwa hela nyingi na maadui wa simba ili aendelee kutukana nakuijeli simba kila mala sio moo tu anatukana nakukejeli wanasimba wote
@radynnyagaly3692
@radynnyagaly3692 Жыл бұрын
Saleh umeacha kuuliza maswali juu ya maendeleo ya udhamin wake ndani ya simba na maendeleo ya soka ya Tanzania unauliza mambo ya Haji kama siyo ochonganisho. Unaushahidi wowote juu ya hayo matusi ambayo direct yalirushwa kwake?. Very stupid questions
@mrromantic8889
@mrromantic8889 Жыл бұрын
Hii ni party one bro
@riwayazakiswahilitv4635
@riwayazakiswahilitv4635 Жыл бұрын
Mo Dewje 🔥🔥🔥
@ephrahimjoel6406
@ephrahimjoel6406 Жыл бұрын
Mumgu akubariki sana mo msamehe kwa maana ajitambui
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Ujui lakesho Yake More Ni kweli kabisa kausalem samehehe Mara 100
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 7 ай бұрын
MO HONGERA SANA NIMEKUSIKIA VIZURI NA KUJIFUNZA KUSAMEHE NI KUTAMU MNO NA WIVU PIA NI MBAYA
@almasially6509
@almasially6509 Жыл бұрын
subirini majibu ya hovyo ya haji manara, mtasikia anasema mo anatafuta kiki kupitia yeye
@lesterchristopher9838
@lesterchristopher9838 Жыл бұрын
Presenter wa hovyo kbx .. kuanzia introo n mbaya.. hajui
@danielsebastian3352
@danielsebastian3352 Жыл бұрын
Tajiri maneno ya dhahabu... Achana na manara mtaji wake mdomo wenye maneno machafu, Simba nguvu moja
@abushirhaji9474
@abushirhaji9474 Жыл бұрын
Hapo alikutukana sana ulikuwa uweke neno njengine Hilo neno linaukakasi sana ila ndo hivo
@cottamanywele1396
@cottamanywele1396 Жыл бұрын
Usiwagombanishe watu huo c uandishi wapi haji manara amewahi kumtukana mo? Wewe salehe ni mshenzi wa tabia au unajpendekeza kwa boss upate kibarua?
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Mo Ana kinyongo na mtu simliona mw.kigwangala ya liisha uslam uikristo ndio inayotakiwa Moore Salute 🙏🙏🙏🙏🙏🙏simba simba oyeee
@hayithammafita4666
@hayithammafita4666 Жыл бұрын
1
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Good interview 👏👏👏
@khalifamilulu9109
@khalifamilulu9109 Жыл бұрын
Huyu jamaa kuzaliwa tanzania kote huku. Lakini bado hajui kiswahili. Ety wivu ya pili.
@frankmganda2424
@frankmganda2424 Жыл бұрын
Broo nakukubali sana ila ipo siku tutakutana
@idrisatv5540
@idrisatv5540 Жыл бұрын
Wenye pesa niwepesi sana kuaminisha watu kua wao hawana makosa hivi unakumbuka manara aliwekwa ndani kisa kupaza sauti kisa wewe?
@iamdivineimage
@iamdivineimage Жыл бұрын
Manara hata akiwa sahihi ni ngumu kumuamini hana stara na busara
@salomedeus4165
@salomedeus4165 Жыл бұрын
@@iamdivineimage kweli aisee tunamuona kama mropokaji tu yeye mwenyewe hajiheshimu
@allydingi9736
@allydingi9736 Жыл бұрын
Salehe jembe ndiyo maana huna fansi wengi kwasababu unaunafki mkubwa sana
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂jmn dah
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
Ni mjinga mjinga sana huyu Mtangazaji.
@ModoDodo-nr6ok
@ModoDodo-nr6ok Жыл бұрын
Mo safi sana, ila nawe tanguliza kumuomba msamaha kama kuna kosa lolote ulo mkosea. SADAKTA maisha haya mafupi.
@abdallahally421
@abdallahally421 Жыл бұрын
Manala ajawai kktukana acha uwongo usiludi kwastaili iyo we njoo kwa madunduka uchukue pesa zao za lobo wajinga ndio waliwao
@stellakagemlo8095
@stellakagemlo8095 Жыл бұрын
Nimejifunza kusamehe
@narrissajackson3869
@narrissajackson3869 Жыл бұрын
Manara siyo kijana wa Mo
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Жыл бұрын
Tajirii la afrika Hilo"yaan wew una pesa nyingi af una busara nyingi!sasa manara kichwa kimejaa matopee na pesa Hana ndo maana kila cku anakimbiwa na wanawakee
@malataogtz2080
@malataogtz2080 Жыл бұрын
Interview nzima kuhusu Manara duh bongo nyoso kudadadeki
@shijamarco2662
@shijamarco2662 Жыл бұрын
Mbona hujahoji kisa cha ku gombana
@dicksondkaganga1290
@dicksondkaganga1290 Жыл бұрын
Tunasubiri balance ya hii stori!
@gibsonkabusola6923
@gibsonkabusola6923 Жыл бұрын
Hiyo ndio balance kwa sababu manara ashapewa Sana platform ya kuliongelea hili na kashaongea Sana kwaiyo Nae mo kapewa nafasi
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 Жыл бұрын
Kwani manara sialiongea yote akamaliza,mlimsikia mo akiongea?
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
@@ikramalmas7039 halafu tujue kitu mo ni tajiri muda wa kumzungumzia manara anaweza asiwe nao , manara chawa mtu wakujipendekeza kwa matajiri alipotolewa simba lazma ilikua atafute pakujikomba ili aishi vizuri
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Жыл бұрын
​@@fahadfaraj6474 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
@@aisharajimbo6784 kwani uongo, kina manara ujanja ujanja kukaa karibu na watu wenye hela siku ziende, kujipendekeza sana kwa matajiri , we safari na wakeze wote wawili kipindi kile kapelekwa na watu
@naldclever
@naldclever Жыл бұрын
Boss ana story za uongo ivyo.... waiii
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 Жыл бұрын
Jembe unashangaza hivi kwanini unaanzisha topic inayomhusu huyu zimwi. Kwanini unampa milage. Tulishamsahau sasa mnampatia kisingizio cha yeye kuanza kuzungumza. Hebu uwe unatafuta topic nzuri za kujadili.
@daudkondo4069
@daudkondo4069 Жыл бұрын
Jembe mbona unagombanisha
@musamusa6213
@musamusa6213 Жыл бұрын
Waandishi wengi wa kibongo sijui kwa nini wanapenda mambo ya kinafiki ambayo hayatusaidii sisi wala yeye!! Muulize maswali ya msingi ya kuhusu simba! Huyo ni bilionea hafananishwi na wewe wala manala.
@hamisishirikisho2199
@hamisishirikisho2199 Жыл бұрын
Tuma hizo clip za Haji alizokua akimtukana MO
@iamdivineimage
@iamdivineimage Жыл бұрын
Wewe uko mtandao gani? au unaleta ushabiki hapa?
@robertdominiko2667
@robertdominiko2667 Жыл бұрын
Nini alitukanwa huyu??? Mbona hivi tena
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Hakupunguzii wala hakuzidishii 😂
@abdallahchingua1630
@abdallahchingua1630 6 ай бұрын
yeye anasema akulipwa muda wote aliyekuwa simba wew unasemaje hilo?
@shabanisheka5973
@shabanisheka5973 Жыл бұрын
Tajiri hanuniwi kabisaa.. Huyo Zeruzeru ni jinga tu
@MagaliKiswili-bj6yz
@MagaliKiswili-bj6yz Жыл бұрын
Manala anawaumiza sana kichwa bugati hatari sana
@masoudmasoud9345
@masoudmasoud9345 Жыл бұрын
Allah SWT created us and He knows what is best for us. This is something we often seem to forget. Allah knows it can be very hard to really forgive someone who hurt you and in this ayah, we are given the greatest motivation to push ourselves to forgive; it’s Allah’s forgiveness. When we think of forgiveness we mostly think of Allah’s forgiveness and we forget how important it is that we also forgive. Allah says: الَّذِينَ يُنفِقُونَ فِي السَّرَّاءِ وَالضَّرَّاءِ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ وَاللَّهُ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ “The believers are those who spend in charity during ease and hardship and who restrain their anger and pardon the people, for Allah loves the doers of good.” (Surah Ali Imran 3:134).
@loner_wolf
@loner_wolf Жыл бұрын
Kwani Hadji alimtukana Mo Dewj? Au Mo Dewj amesahau kumuuliza Mwandishi ametukanwaje na Hadji? Mimi mwenyewe Hadji sina kinyongo naye toka alipohamia yanga lkn kiukweli sijawah kumsikia akimtukana Mo Dewj
@PiliIdd-iz7jm
@PiliIdd-iz7jm Жыл бұрын
Acha chuki acha ugombanishi katika watu nilikuwa nakuamini sana ila leo nimekuvuwa vyeo vyote
@MONEY_CHANNEL.
@MONEY_CHANNEL. Жыл бұрын
Uandishi huo siyo Chuki
@zainakassim6618
@zainakassim6618 Жыл бұрын
Hadithi haiendani na uhalisia wa tatizo lililotokea,kikubwa hapo ni kuufungua moyo wake Kwa umma ili umma ujuwe kuwa yeye Hana kinyongo na Manara!!! Je Kama kweli ni hivyo mbona muda umekuwa NI mrefu Sana toka Hilo tukio litokee?Au alikuwa anasubiri hao wachonganishi wafanye naye interview ndiyo atowe huo msamaha!!! Au alikuwa anamsubiri huyo maskini jeuri Kwa upande wake kutokana na kauli yake ampigiye magoti ili msamaha ukamilike!! Hayo yote yanaletwa na hao waandishi hao ndiyo wachochezi na wageuza maneno wakilitaka liwe vita,Shari ama misamaha wao ndiyo watekelezaji WA yote hayoo!! Wao ndiyo wasababishi wakubwa WA migogolo Kati ya MTU na MTU ,nchi na nchi vyama vya siasa n,k Wakiona Hamna anayewatilia uzito wao wenyewe wanatafuta Kiki ya kusuluhisha na Kwa kuzingatia Hilo kwenye chombo kikubwa maswali anayoanza kumuuliza huyo mteja wao ni la ugomvi au usuluhishi WA Manara na bosi wao mteja wao Mo,Ila pongezi Kama amefunguka kidhati kutoka moyoni au Kwa ajili ya kukalilishwa funga yake inayikuja basi Inshallah!! Tunawatakia kila la heri na nyie watia chachandu katika interview maana mmechachuwa sasa mnayaweka vizuri hongereni lengo ni kujenga nchi yenye Amani na si kubomoa nchi kazi kwenu Ila zingatieni maadili ya kazi yenu na siyo kuchochea au kuchonganisha kutokana na maswali yenu tungo tata
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Жыл бұрын
HONGERA SANA MO MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU. WEWE NI TOFAUTI NA WATU WENGINE. MTU UKISHAMJUA HAINA HAJA YAKUJIBISHANA NAYE. TUNAKUPENDA WANA SIMBA. ENDELEA KUCHAPA KAZI SIMBA. ILA USAJILI ULIO BORA USISAHAU. WACHEZAJI WANAJITUMA SANA.
@selinatogolai3314
@selinatogolai3314 Жыл бұрын
Wewe muandishi wa h abari ni mchonganishi sana una maswali yak umchonganisha mana ra na moo sio vizuri w ewe muandishi huna maswali mengine
@msabimarwa9994
@msabimarwa9994 Жыл бұрын
Tuletee Louis mickison boss
@hamisikanyama984
@hamisikanyama984 Жыл бұрын
Ungeuliza b20 zipo benkigani na sawadogo Nani Alie msajili ndiotunahitaji kusikia
@gaudeniciaemmanuel4245
@gaudeniciaemmanuel4245 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji ndo mchochezi yeye hayo matusi aliyaona wapi?
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 Жыл бұрын
Suruali
@abdallahmanula1627
@abdallahmanula1627 Жыл бұрын
Mkumbuke ni sehemu ya kwanza ngoja tuone ndio tukosoe
@nashnene6326
@nashnene6326 Жыл бұрын
Sasa hadithi ya kubaka maiti imehusianaje na haji?
@serekachacha-zg2vp
@serekachacha-zg2vp Жыл бұрын
Ndio maana unafanikiwa Kaka yangu
@alexmmbaga441
@alexmmbaga441 Жыл бұрын
Mtangazaji hajui kuuliza maswali
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
More hatakubali tuu msamaha amna shida kashasema
@barakaayubu6126
@barakaayubu6126 Жыл бұрын
MO kajaliwa busara na ni mtu wa Imani.
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 Жыл бұрын
Jembe fanya mazoezi mwili huo "tunakupenda braza!
@hussainmaulatz6758
@hussainmaulatz6758 Жыл бұрын
Kutokujibu tu ni ngao kubwa ya muumini na mtu muumini huuchunga sana ulimi wake.
@prosperiamdetele1421
@prosperiamdetele1421 Жыл бұрын
Kwel mungu alisem tusameheane kipenz Cha Wana msimbaz❤️❤️
@mendoza.hill1
@mendoza.hill1 Жыл бұрын
Tell em 666
@allymtapela4196
@allymtapela4196 Жыл бұрын
Acha kuuliza maswali ya kinafki Babu mbona nilikuwa naheshimu kipaji chako ila waonyesha udhaifu
@timetravellor5367
@timetravellor5367 Жыл бұрын
Tajiri wa East Africa nzima alafu Wala haringi
@ndrwdotts4347
@ndrwdotts4347 Жыл бұрын
Hiv unamtukanaje tajir afu akaumia?....Ukiona unaumia ujue huna pesa za kutosha...Tafteni hela msiwe na visirani
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Steve Mweusi
Рет қаралды 34 М.
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 16 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
MWABUKUSI AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA AMTAJA TUNDULISU
8:36
Global TV Online
Рет қаралды 3,2 М.
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
UFC 304 : Эдвардс VS Мухаммад
2:27
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 223 М.
Knee Slide Fails 😂
0:26
footpanna
Рет қаралды 7 МЛН
Роман Авдал атакуейшн! Али Хейбати оборонейшн.
0:11
Роналду накажет сына за видео 👊
0:34
КИК Шорт!
Рет қаралды 4 МЛН