No video

PART 2: BAHATI BUKUKU AWAULIZA WANAWAKE, MWENYE 'V8' NA MCHOMA MAHINDI ATAKUOA NANI? | HARD TALK

  Рет қаралды 69,801

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

PART 2: BAHATI BUKUKU AWAULIZA WANAWAKE, MWENYE (V8) NA MCHOMA MAHINDI ATAKUOA NANI? | HARD TALK
HII ni sehemu ya pili ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 235
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
Global App ni ya kwanza kwa BREAKING NEWS🗞, MICHEZO⚽ na BURUDANI🎷 *DOWNLOAD sasa👍 iOS 👉 apple.co/38HjiCx Android 👉 bit.ly/38Lluc8
@sylvesteramwai7192
@sylvesteramwai7192 Жыл бұрын
Jameni niko Kenya wapi likes za huyu mteule wa mungu,bahati bukuku umegonga ndipo!
@sikujuahamisi7252
@sikujuahamisi7252 Жыл бұрын
Bahati bukuku mtumishi wa mungu nahtaji mawasiliano yako wewe ni mshauli mzuri sana napenda kujifunza kupitia wewe
@monicastephen8796
@monicastephen8796 Жыл бұрын
I didnt know if Bahati is this intelligent...You talked the only truth
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 Жыл бұрын
You can say that again
@nassorsaid1034
@nassorsaid1034 Жыл бұрын
Dada Lilian kama unajua jinsi unavyotitengeneza katika kipindi hiki,we Acha Tu ,watu unaowaleta Kwa kweli ni madarasa muhimusana kwetu .asante sanaaaaa Sana Sana kama isingekua tambu ungekibadilisha jina kipindi ukakiita nawatengeneza maana kwakweli unatutengeneza Sana Allah akubariki
@robertgwelela2301
@robertgwelela2301 Жыл бұрын
Kweli ndoa inamuhitaji Mungu hii ni point kubwa sana.
@alpiusmwageni475
@alpiusmwageni475 Жыл бұрын
Mimi mwanangu akiniletea mwenziwe mwenye heshima na adabu inatosho,utajiri usomi siyo muhimu anaweza kuwa msomi akakosa utu.
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Nilisikia sauti ya bahati na Lilian mwasha nachanganyikiwa kwa muda😭🙏🙏🙏natamani nionane na nyie uso kwa uso,mungu amewainua Sana moyo wangu unazimia Sana juu yenu,muishi milele mungu anawaona🙏🙏
@mariamkasongo1906
@mariamkasongo1906 Жыл бұрын
Umeongeya ukweli wote dada Bahati Mungu akubariki
@shekinahshimeni8320
@shekinahshimeni8320 Жыл бұрын
Nimependa hii interview Mungu akubariki mama Bukuku😘
@saidgwakisa5880
@saidgwakisa5880 Жыл бұрын
The interview was so fantastic Be blessed my lovely mom Bahati bukuku😍😍
@ayshahussen7452
@ayshahussen7452 Жыл бұрын
Nakupenda sana Bahati wangu Mungu akutunze kipenzi changu 😘
@nurunuru7834
@nurunuru7834 Жыл бұрын
Somo nimelipenda sana asante dada Bahati kwa somo na dada Lily
@dorcasosano3626
@dorcasosano3626 Жыл бұрын
Mama Bahati ana hekima sana, mimi nimekumbuka mwaka wa 2009 nilikua kituko nilipotoka kwa ndoa juu ya kuwachana na mme wangu, I thank God wapendwa wengine waliponiona mwenye Dhambi Mungu akinipa nguvu ya kuendelea Leo niko Sawa bila huyo mwanaume, ningeendelea kukaa ningeaga Dunia kitambo
@lonelady3368
@lonelady3368 Жыл бұрын
Aki Bahati wewe unavyo jibu ni kama unafanya comedy vile ..akika umenichekesha sana. na nimejifuza mengi..zindi kumbarikiwa..Lillian be blessed too
@Adventsumari-dl5mc
@Adventsumari-dl5mc Жыл бұрын
Baati bukuku namependa uvaaji wako . Lakin pia na mtangazaji nimempenda sana na ana tabasamu zuri. I love you kwa wote❤❤❤❤
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 Жыл бұрын
Ila Mungu iko very strong kwa alie washagua, nyieee sikieni maneno anayo towa kinywanyi da Bahati uwii , God you’re so good kwa wanao kuamini nakukutegemea , Asante dada Liliane Ubarikiwe pia 💕👏🏾
@lovenesspeter6329
@lovenesspeter6329 Жыл бұрын
🙏
@khadijazuberi9788
@khadijazuberi9788 Жыл бұрын
I laughed the whole show😂😂😂😂congrats dada mwasha i wish to do the hard talk with you,tho am not a famous person ❤️❤️❤️
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 7 ай бұрын
MAMA BAHATI ni mtu muimu sana maishani mwangu MUNGU mbariki sana mama huyu nimpendae kwa sikimapenzi bali kwa maono na mashauri yake ktk neno la MUNGU kwa nyimbo na mahubiri...
@neemamassawe8091
@neemamassawe8091 Жыл бұрын
Aki nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣barikiwa sana dada Bahat Bukuku
@julianamkonda5693
@julianamkonda5693 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana pia nimecheka sana, ubarikiwe mtumishi wa Mungu dada Bahati bukuku
@robertgwelela2301
@robertgwelela2301 Жыл бұрын
Duuuh! hii ni babu kubwa sijawahi kuisikia.nimeipenda sana hii hard talk ya leo.
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 Жыл бұрын
Nikweli kuvumiliya nwanaume akipata anakuona wewe siwa samani,nikweli mimi ya menikuta dada haudaganye
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Hata Mimi dear,nmeanza na mwanaume chin mno tulivopata akauza kila kitu na kuniacha mpk imepita miaka miwil ss bado nna machoz ctak mwanaume masikin
@esperanzaashery155
@esperanzaashery155 Жыл бұрын
Nawapenda hawa mama Mungu awatangulie katika hii huduma
@user-xi9pv3wu1c
@user-xi9pv3wu1c 2 ай бұрын
Nawapenda sana Dada zangu,hayo yapo saana kwenye ndoa tunayapitia mnoo Mungu atusaidie
@sairismsigwa2682
@sairismsigwa2682 Жыл бұрын
Mnatufunza mengi sana ahsante sana Dada Lilian na Bahath, Nawapenda mnooo ♥️💞🥰
@MaureenOmondi-kz7sx
@MaureenOmondi-kz7sx 2 ай бұрын
Leo nimepata chakula cha roho na sitakufa kwa dowa thanks sana bahati
@catenzoka2003
@catenzoka2003 Жыл бұрын
We yesu hangalia ndoa yangu imekuwa ndoa ya machozi Na mapito magumu kama ya Dada huyu bukuku.yesu inua macho yako uturehemu.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Poleni sana
@neematito5767
@neematito5767 Жыл бұрын
MUNGU awabaliki Sana MAMA zetu BAHATI BUKUKU na LILIAN kiukweli mnanibaliki na kwa kipindi hiki mmeponya ndoa za watu wengi na mioyo ya watu wengi.
@carolinenyemba2412
@carolinenyemba2412 2 ай бұрын
Woow wonderful,this woman is a woman full of wisdom am encouraged by your message my sister be blessed
@judythasiko8648
@judythasiko8648 Жыл бұрын
Am always here to take notes, more love women of God🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 2 ай бұрын
Tena kwenye maisha usiombe ukakutana na mume au mke alie soma alafu akaacha elimu shule akachukua cheti kuja kutishia watu mtaani ndugu utakoma yani hana utu hana huruma nafasi ya mungu aipo utajuta heri ukutane na muuza mkaa mwenye utu utafuraiya maisha
@yassintaibrahim3541
@yassintaibrahim3541 Жыл бұрын
M/MUNGU Awabariki Saana Wapendwa Wetu 🙏🙏🙏
@susanndegwa4900
@susanndegwa4900 Жыл бұрын
Love you girl doing good job and help us
@azizakwileka1641
@azizakwileka1641 Жыл бұрын
Bahati anazungumza kisela sana😀😀 napenda namna anavyozungumza...♥️
@listangalala9892
@listangalala9892 7 ай бұрын
Sana afu points
@angelinasamson697
@angelinasamson697 Жыл бұрын
Daah!! Bahati umeongea point saana
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Жыл бұрын
Dada Bahati MUNGU akubariki sana umeongea point sana zaidi ya sana
@melodietina9877
@melodietina9877 8 ай бұрын
Woman of wisdom ❤❤
@aoman5214
@aoman5214 Жыл бұрын
Kweli kabisaa mtumishi wa Mungu bahat mm niliwah omba Mungu anipe mchumba ilikuja pic ya mtu mweny Hali ngumu na kavaa kawaida, na alikuj kutokea mwingine yeye alikua vizur siku ya siku alikuj huyu mwenye maisha magum na nilimkata baadae nikamfuata aliekua amesoma mwisho wa siku nikaja kuambilia maumivu, siku ya siku nikaingia kwenye maombi nilionyeshwa Ile pic ya Yule maskini kuwa nilimktaa na ndio alikua mume wangu Acha kabisa Mungu ana makusudi anapokupa maskini
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 Жыл бұрын
Pole sana ndugu
@rashealmwikali2424
@rashealmwikali2424 Жыл бұрын
Congratulations mtumishi wa Mungu bahati bukuru...umeogea points...
@sharonjanery983
@sharonjanery983 Жыл бұрын
Mama Bukuku umenigusa sana mungu akubariki
@rechonjogo228
@rechonjogo228 Жыл бұрын
Asanteni sana mimi nilijaribu ndoa nkashindwa nilivumilia nika fika mwisho nkaamua kutoka sai nko saudia natafutia watoto wangu na sirigret kutoka kwa ndowa wacha mungu anipiganie
@lesusi7872
@lesusi7872 Жыл бұрын
Sitamani kipindi kiishe
@keifatuke99
@keifatuke99 Жыл бұрын
Makanisa yaache kuwalazimisha watu kwenye NDOA,ndoa ina mitihani yake.
@venerandachimoi6646
@venerandachimoi6646 Жыл бұрын
Salamu kwa mtumishi wa Mungu mama Bahati jamani
@magdalenakibinga8102
@magdalenakibinga8102 Жыл бұрын
I Like this mama Bahati Bukuku jmn so much brave and intelligent , thanks Mwasha kwa kutuletea such a blessed servant of GOD
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 Жыл бұрын
Deep, very powerful, much ❤️❤️❤️❤️
@christinemwavula2283
@christinemwavula2283 Жыл бұрын
Daah da bahati Mungu akueke😂😂😂
@floridaalega7387
@floridaalega7387 Жыл бұрын
Bahati wewe ni mama Wa Busara sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼Barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@margaretasiko6950
@margaretasiko6950 Жыл бұрын
Jameni. Unanibariki. Sana. Dadangu. Mungu. Akubariki
@user-yc1ck6rk8g
@user-yc1ck6rk8g 3 ай бұрын
Hapo umesema dadangu yaani ukweli utupu waaa ubarikiwe sana na bwana
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Жыл бұрын
Mungu nipe hekima na upendo nifike na mke wangu mama happy tufike mbali tumetoka maisha Magumu Sana
@sophielishindu1335
@sophielishindu1335 Жыл бұрын
Weeeh mungu wangu kuwa na huruma juu ya maisha yangu.
@pastorboscokatembo629
@pastorboscokatembo629 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa kwa Majibu ya kihekima
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 Жыл бұрын
Nawapenda Sana mungu aendelee kuwatunza ili mtupe madini adimu kama haya❤️❤️❤️nacheka huku nalia
@rhodakinyonto6909
@rhodakinyonto6909 Жыл бұрын
Kweli kabisa Da bahati, wanaona hadhi ya mke alievumilia shida, aliekalia bomba la baiskeli hana hadhi. Ee Mungu tusaidie.
@BrownEyez-zy2jv
@BrownEyez-zy2jv Ай бұрын
Nafatilia Mungu akubaliki
@lilianmathayo7638
@lilianmathayo7638 Жыл бұрын
Jamani bahati akili kubwa
@rosegideon336
@rosegideon336 Жыл бұрын
Mno.
@erickmutungi8792
@erickmutungi8792 Жыл бұрын
Yamkini kupitia kwake mengi kumemfanya awe mwalimu mzuri
@mwamuyenyamawi1456
@mwamuyenyamawi1456 Жыл бұрын
Umenipandisha kiwango kingine mama Bahati🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana mama
@neemamaballa2344
@neemamaballa2344 Жыл бұрын
Love u Lily and Bahati
@officialyustinauliza1305
@officialyustinauliza1305 Жыл бұрын
Nawapenda bure apo studio dada bukuku anatema point tu mbarikiwe
@user-yc1ck6rk8g
@user-yc1ck6rk8g 3 ай бұрын
Ukweli kabisa asante mungu akubariki sana
@neemaneema9969
@neemaneema9969 Жыл бұрын
Bahat bukuku Nakupenda lkn kwa hizo Nywele Hapana zitakukosesha ufalme wa Mungu
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 7 ай бұрын
Sisi wanaume leo tuna shida sana ya kuoa kwa sasa... ma binti ni so materialists sana sana.... kaka usipo kuwa na Pecuniary sahau kuoa Kabisa.
@findinghope3096
@findinghope3096 2 ай бұрын
She's so funny 😁 😂 😀 I love her 💚💚💚💚💚
@user-fv2sn7js7g
@user-fv2sn7js7g Жыл бұрын
Iyo kwer kabisa 🤝🤝🤝🤝🤝🤲🤲🤲🤲🤲🙏✍
@elizabethnamwinga3210
@elizabethnamwinga3210 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi nakupenda sana
@keyafrankline8616
@keyafrankline8616 9 ай бұрын
Bahati Bukuku is so funny. Thank you Lilian for this.
@judithsarakikya6498
@judithsarakikya6498 Жыл бұрын
Dada bahati una maono makubwa sana.
@Mariam-h2f
@Mariam-h2f Ай бұрын
Sasa mariam kajaje tena dada angu bahati😂😂sema nakupenda sana dada angu
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 Жыл бұрын
I'm walking in the same difficult of choice that mom bahati bukuku said 🤔 and last night when I prayed I have asked God why are you tempting me? 😭
@nyamwizajane5627
@nyamwizajane5627 Жыл бұрын
May God hear your prayers
@annamaturo6449
@annamaturo6449 Жыл бұрын
Dada Bahati nakupenda sana na unaongea point za kweli
@reginaandrew6891
@reginaandrew6891 Жыл бұрын
Amazing interview nimewapenda mno. Mbarikiwe sana
@user-dt5km1zv6c
@user-dt5km1zv6c 6 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ushuuda.
@christinamesso2148
@christinamesso2148 Жыл бұрын
Nakupenda sana bahati bukuku
@christinemuthama6625
@christinemuthama6625 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri mwema. Mungu awabariki
@floramlowe7078
@floramlowe7078 Жыл бұрын
Kabisaaa ndo wanaume wa dunia ya sasa mnaanza chini mkianza kupanda wanaanza kuona ubovu wa mke.
@siamalisa43
@siamalisa43 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣ghairi hasira yako baba
@veronicanyenze8377
@veronicanyenze8377 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@angelathanas5993
@angelathanas5993 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rosegideon336
@rosegideon336 Жыл бұрын
Aisee mmeniimarisha Mno.
@rebeccawekaya2342
@rebeccawekaya2342 6 ай бұрын
God bless you the woman of God
@roidaalphonceyou2227
@roidaalphonceyou2227 Жыл бұрын
Asante kwa fundisho mama ndivyo ilivyo Kama umeniona
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Жыл бұрын
Jmn kwa kweli ukisikia ukatili kiukweli sijui ila vingi ni wivu wa mapenzi na kiukweli Nsiwe wao go wanaume tunaumia Sana moyo unawaka moto kwenye usaliti sababu tunawaza Sana hasa usaliti wa wanawake unaweza ukawa unahisi au kweli lakini moja kwa moja usaliti unagusa uwanaume wetu yaani unakuwa kama umedharau mme wako so.... Wamama acheni usaliti kweli kabisa wababa wanaumia Sana
@veroniquegershomu9197
@veroniquegershomu9197 Жыл бұрын
Asanteeee sana bahat nimepata kitu hapa
@elizabety3871
@elizabety3871 Жыл бұрын
Amina mama
@philemonmwangosi6591
@philemonmwangosi6591 Жыл бұрын
Dada angu Bahati ndio maana nilikuheshimu miaka 23 iliyopita. Hujawahi kukosea kuwa mshauri mwema. META ileeee
@winfridahamenya-pb7qt
@winfridahamenya-pb7qt Жыл бұрын
Gods with you bahati ,, from Kenya . U say the truth
@judithjulius5993
@judithjulius5993 Жыл бұрын
Ameena aleluya
@grace2757
@grace2757 Жыл бұрын
Kunywa soda dada🤣🤣🤣
@irendocompany3080
@irendocompany3080 Жыл бұрын
Nakupenda Dada bahati & Lilian mbarikiwe sana
@rahelikaaya7611
@rahelikaaya7611 Жыл бұрын
Ni kweli mtumishi
@dayana5513story
@dayana5513story Жыл бұрын
Mimi kabisaaaaa 🙌🙌🙌 true love 💕 f
@officialyustinauliza1305
@officialyustinauliza1305 Жыл бұрын
Kweli kabsa
@tumainmwamatenge4575
@tumainmwamatenge4575 Ай бұрын
Kweli inasaidia saana❤
@chocolatevivian830
@chocolatevivian830 Жыл бұрын
Kweli ndoa n Mungu relationships pia inahitaji Mungu
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 Жыл бұрын
Elimu ya kutosha hii😂😂😂😂😂
@SuzyKaryn
@SuzyKaryn Жыл бұрын
How sweet 🎊
@RaelAngela
@RaelAngela 2 ай бұрын
Namba kufundishwa mimi niliolewa nakijana ambaye kifamilia ni ndugu yangu
@user-pw8ml6ts8r
@user-pw8ml6ts8r 3 ай бұрын
Shukrani sana ❤❤❤❤❤
@edinaclement7714
@edinaclement7714 Жыл бұрын
Alivyosema Bahati in kweli kuna MTU alikuwa akitaka ushauri kwa mchungaji kuhusu ndoa take jibu alilolipa in Roho wa Mungu ahamue ndañi yako.
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Umenibariki Dada bahati
@chapter2719
@chapter2719 Жыл бұрын
Huwezi kuigiza unatakiwa tu kumove on ukatafute hela na Mungu atakusaidia
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 63 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 506 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 86 МЛН
Being KAMBUA | HIV Is Not The End | Mary Muthoni
49:27
Kambua
Рет қаралды 6 М.
THE BEST PLAYLIST SONGS- BAHATI  BUKUKU -GOSPEL MUSIC
1:35:12
Paul Kersh
Рет қаралды 1,7 МЛН
MAJIBU YA JENNIFER KUHUSU KUOLEWA
28:50
Jennifer Mgendi
Рет қаралды 161 М.
I got pregnant for another man while waiting for my husband from Dubai | Tuko TV
1:28:12
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Steve Mweusi
Рет қаралды 40 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН