kama huyu mtangazaji unamkubali na unakubali kazi yake gonga like
@hassanwanje73735 жыл бұрын
Namkubal tena sna
@mwitamagesa10345 жыл бұрын
Namkubali mshikaji kinoma
@alphanndimubandi78825 жыл бұрын
Yasini Masimba kabisa
@valentineshirima16285 жыл бұрын
Raisi kagame nimwanaume mwanaueme shupavu kaipigania nchi yakeh hatakae mpinga hanahakili mungu hambariki
@chifupromise95755 жыл бұрын
@@hassanwanje7373 n..
@shyakadenis53092 ай бұрын
Edgad Asante kwa kazi nzuli , Kigali Rwanda tunawapenda
@magdalenarusimbi14384 жыл бұрын
Kagame ni baba wa Taifa hilo. Mungu ambariki sana.
@alexmurithi13274 жыл бұрын
The people of Rwanda truly knows what they need. Iñ Africa you cannot make a mistake of replacing such a president with another just for democratic change. This is a rare asset in Africa and Rwandase should give him more years in Office.
@vailetmduda60855 жыл бұрын
Nampenda Sana Rais Paul Kagame,Kwa kuleta Amani Rwanda hakika, Sasa hivi watu wanaishi pamoja,Kuna mashule mazuri,Nchi safi..Amani hainunuliwi jamani hongera,hongera sana Kagame.Mungu aendelee kukupigania
@yusufally68534 жыл бұрын
Vailet Mduda ...amina
@ngendabamy55494 жыл бұрын
Respect Mr President Kagame,tunakupenda sane
@sarahogama95404 жыл бұрын
@Kungfu Panda but he saved his country from being ruled by white pple ,,,can u try to compare Rwanda wth other African countries there is a big different
@amosmunezero99584 жыл бұрын
As Burundian, I salute what President Kagame has done, how can Africans unite, if we cant even treat our neighbors fairly, still have tribalism and clan revelry. The rule of law in Rwanda is credible and impressive, I have never felt safer in any other African country before.
@mahonamachela2005 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri Sana wanangu eeeeeee! Tugonge like hapa
@justinenvimbe86174 жыл бұрын
Iyo nimeierewa BBB gapu sana
@justinenvimbe86174 жыл бұрын
Iyo nimeierewa BBB gapu sana
@josephkusekwa73994 жыл бұрын
Kaka Safi sana
@josephkusekwa73994 жыл бұрын
Mtangazaji Mami napenda niwe Kama wewe
@jumarashidijumaramdhan67624 жыл бұрын
@@justinenvimbe8617 umetisha
@nestanarcisserutagengwa34705 жыл бұрын
Namushkuru sana huu mtangazaji, yaan umejitahid kusoma magazeti, vitabu na ku watch documentaries kuhusu history ya Rwanda, hongera sana kaka. Ila kuna tu tofauti tudogo tu. So tembelea Rwanda sasa uoni machini mwako kinachoendelea on the ground. Ukija uni check tuzungmuze na tupeane mambo bhana. Ahsante
@kachukaimu99874 жыл бұрын
Asante kaka kwa story .. hongera kaka zidisha bidiii 100%
@gegerenne8972 жыл бұрын
Asante ndugu,kwa kuongelea story yetuu.ubarikiwe
@gahangwasteve87895 жыл бұрын
Tunamupenda sana General Kagame
@ibrahimkanuma68964 жыл бұрын
p1 kaka kwakusimria historia ya Rwanda mungu akubariki
@linosjohn90205 жыл бұрын
simulizi zako nzuri sana Naomba utupe historia ya dola ya Amerka ( asante)
@bluebeamkennel92665 жыл бұрын
Nami naisubir sana sana
@lutamichael61614 жыл бұрын
Kweli kabisa
@eddymwalagho3545 жыл бұрын
Kazi sana Kakangu. 🇰🇪 tunasikiliza simulizi zako.
@johnjuda95394 жыл бұрын
mayanga bukelebe that is the new constitution befor rwanda and african country between nyerere and poul kagame in 1992 up 1964
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san ndugu kwa histolia zako nzuri mwenyez MUNGU akuzidishie ubunifu mkubwa zaidi
@patrickmwemezipastory57524 жыл бұрын
Nimekukubali kwa historia
@jahmanasakwe95304 жыл бұрын
Ni ukwel usio pingika sasa Rwanda ipo vizuri.. Mwanaharakat Rais P kagame kaweka usawa na kuzimisha ukabila sasa tunajiita wanyarwanda.. blessed Kagame Jah protect your.. Amani na upendo vidumu milele Mungu ibarki Afrika ❤️💛💚
@feruzimarijani36444 жыл бұрын
haaa kweri Kaka unatisha
@karengaalidiano9614 жыл бұрын
Storry nzri kbs mbn kwet hakun ukabila jmn
@abuuaymankhudhaifa79814 жыл бұрын
Wanangu wa Tabara boyz like mingi.
@jemahaonga7275 жыл бұрын
Msimulizi unajua kunikosha aisee unajua kuchambua mambo na usimulizi wako unaeleweka thanx hongera
@fastonamos54125 жыл бұрын
Kama we mnyarwanda unamuamin kagame gonga like
@dawsonmanyama28604 жыл бұрын
Safi sana kagame
@dannymussae8904 жыл бұрын
Sio kweri
@reggiekamau98654 жыл бұрын
Excellent narrator keep up
@nasiburashidi77295 жыл бұрын
Napenda Sana stor zako zinanikumbusha mbali japo sijaviona ninapochoka nasikiliza nakunifariji
@drfocus73035 жыл бұрын
_kama unamkubali jamaa tupia like_
@Ali_Manzu5 жыл бұрын
Hii kali. Asanteni sana Global kwa makala aina hii yanayoendelea kutufunza sisi wanafunzi wa kizazi cha leo kuhusu historia mbalimbali ya Uongozi,viongozi, mataifa, sera na kadhalika. Najifunza mengi kwa sababu yenu.
@jumamakuri32185 жыл бұрын
Uko sawa kaka! Huna longolongo, una-hit points tu.
@aminajamali99304 жыл бұрын
I
@hajimansab26964 жыл бұрын
@@aminajamali9930 8
@hassankisondo97865 жыл бұрын
Nakukubali sana bro na simulizi zako.
@elvismapendo39994 жыл бұрын
Félicitations à la personne qui nous rappelle l'histoire de notre pays, bravo 👊piga chance
@karihungufred62384 жыл бұрын
Asante sana brother paul kagame Angali nafanye kazi mingi tena nzuri kbs
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
Hongera kwa sauti nzuri
@damasmasanja59764 жыл бұрын
Kagame ni Rais wa kweli kabisa HONGERA NA MUNGU AKUBARIKI
@nehemiedesire91885 жыл бұрын
Nice my president 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@mohamedalinureini47244 жыл бұрын
'
@bellyjames90355 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Rais wa Rwanda Poul Kagame,Imana uguwe umjisha c'ane
@manswerturasa56865 жыл бұрын
chosi LA kimari.
@osiajeston95555 жыл бұрын
Belly James six
@roosevantlogani68005 жыл бұрын
Waooo
@estheremmanuel32834 жыл бұрын
Amena
@immavox84844 жыл бұрын
Hi
@babubomba88685 жыл бұрын
Hongera sana uko vizuri sana Nitafutie historia full ya Rwanda
@yasinisaidi744 жыл бұрын
Bakari bakari gambagamba Rwanda
@johnnasunga555 жыл бұрын
Mr Edgar thx alot bro tunakufatiria na tutazidi maana ulivyo fafanua hii story ya Rwanda Na operation ya Entebe uko Poa kabisa Big up Bro
@bensonmranga10674 жыл бұрын
Mimi nimefatilia Historia vile unaelezea Bro,Hadi mke wangu ananitetesha juu Hukataa kula chakula cha usiku kwa ajili Ya Hadithi Zako Big up bro🤣🤣🤗
@basskigltd4 жыл бұрын
documentary ya historian nzuri, hongera baba, mungu akulinde kagame, mungu alinde inchii yetu
@irasubizajoseph70204 жыл бұрын
Wa africa wengi niwajinga kwani wanahesabu miaka viongizi wanaongozi nchi kuriko kuona vitendo vizuli vyao. Gdafi aliuawa nawazungu kurokana nakutoshilikiana kwa wa Africa eti ana mariza myaka mingi sana sasahivi tunajuta
@abdiibrahim41914 жыл бұрын
G
@abdiibrahim41914 жыл бұрын
@@irasubizajoseph7020 k
@Rwanda6005 жыл бұрын
Edgar wewe nimtaraam kabisa unaereza historia kuzidi mwenyeji. Big up ! Imeni motivate kukufuata kira mara ujitowa Habari. 6/5 Big up!
@ezekielihenga72644 жыл бұрын
Itawasaidia Wa Afrika kujitambua kuto kutumiwa na wazungu.
@dididivine48754 жыл бұрын
ahsante sana kwa hiyi story ya kwetu..Gd bless u
@mgonzasaidi89504 жыл бұрын
Uko sawa
@justinetheotimi18734 жыл бұрын
Napenda sana historia za Ananias Edger
@jeaninewalda4934 жыл бұрын
Asante kwa history ya Rwanda an Burundi
@assiah714 жыл бұрын
Asanteni sana kwa Historia ya Mheshimiwa Gen.Paul Kagame Tunampenda sana
@abdulaziz7035 жыл бұрын
Hapo kwenye 'Good for Nothing' umenifanya nifikirie zaidi. Ila ahsante kwa historia Denis pamoja na Ananius.
@evamwakaleja69644 жыл бұрын
Hongera sana kijana kwa kipaji cha pekee ulichonacho. Pia tunashukuru kwa stori za mafundisho kwa rika zote, sifa kwake kagame. Sasa kama anafanya vizuri kwanini aondoke madarakani, maana wakimpa mwingine ataharibu na mtajuta milele
@gemkachar5 жыл бұрын
Hongera sana kaka. Mafunzo mazuri. Tusipo jifunza historia yetu tutabaki kuwa wajinga na kurudia makosa ya waliotutangulia. Naomba utuletee simulizi ya Pik Botha na Fredereick De Klerk wa Afrika Kusini , John Garang wa Sudan Kusini , Jomo Kenyatta wa Kenya , King Mswati wa Swazi Land.
@mhengamkweli35525 жыл бұрын
Zanzibar yetu
@amiryhemed90294 жыл бұрын
Kagame nibabu kubwa
@evansombati35984 жыл бұрын
Napenda vile unasimulia hizi historia bana! Endelea vivyo hivyo. Hongera
@ibrahimkupah45514 жыл бұрын
Stori nzuri na unani inspire sana nakutakia maisha bora na marefu
@arunamwaholi13514 жыл бұрын
Story nzuri asante kaka kutupa kumbukumbu
@johnsamweli38705 жыл бұрын
Ukabila hauna nafasi katika nchi yetu maana ni chanzo cha mgawanyiko asante mungu asante nyerere
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Viva kagame
@linkreuben58045 жыл бұрын
Msimuliaji bora kabisa, songa mbele zaidi. Kagame yupo vizuri sana! Mungu ibariki Africa, Ameni!
@yembaonosumba24294 жыл бұрын
Yani uyuko smart sana kagame ameerimika pia ninjanja mwenye amenyoosha inchi imekuwa imezoofika arakini kwasasa ivi iko on Top
@joe_nkwabi4 жыл бұрын
Hongera sana kaka. Kwa historia hii. Naomba utuandalie ya Jonas Savimbi
@chrismedard92975 жыл бұрын
Asante Kwa story nzuri.. Nilizaliwa huko🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@kaisileinocent19795 жыл бұрын
Aaa, huko ndo kwetu
@musunguwekesa6707 Жыл бұрын
Hongera bwana kazi njema
@angelinocavimbeag25778 ай бұрын
make a documentation in Portuguese
@theotimumuhairwe24024 жыл бұрын
historia nzuri endelea kunipa kutuletea
@gustavemandela12414 жыл бұрын
Thanks your works are really great
@abdurabiykhamis424 жыл бұрын
Si kazi rahisi nakuomba bro sukuma gurudumu ili tusonge mbele kuhusu historian yet ya Africa mungu atakusaidia kwa hili aamin %
@mohameda.i.baranyikwa65515 жыл бұрын
Masha Allah, ndugu Mpagaze ni professional kabisaa; Ananias sauti yako huniosha moyo. Ahsanteni kwa kutupeperushia ukweli halisi kuhusu historia ya Rwanda pasipo na upendeleo. Hakika Mheshimiwa Paul Kagama ni Mzalendo pia Shuja kwa Africa na ulimwengu kwa ujumla. Ndugu Ananias au Mpagaze tafadhali wasilianeni nami kwenye: mzalendo3@gmail.com au whatsApp: +1 587-437-4419
@msodokidewizzy88025 жыл бұрын
Kitabu nataka
@abdulmkami34254 жыл бұрын
Uko juu
@mosestanzania20965 жыл бұрын
Nakubali kaka
@arancaraba2934 жыл бұрын
Acha ndugu yangu jamaa simba mzuri mno sio kazi nyepesi
@pascalpascal8094 жыл бұрын
Nimezipenda sana hizi mambo aisee.
@yohanabalthazary49225 жыл бұрын
Nzuri sana hiyo history
@wanostra1715 жыл бұрын
Nakupenda sana kijana
@harerimanasaidi45284 жыл бұрын
Hongera Sana bro kwa nice historia
@karimkalama76084 жыл бұрын
Uko vzr napenda story zako, MUNGU akujalie kheri
@leandryMmassy4 ай бұрын
Tatizo la Mpagase Ukweli kidogo fix nyingi.
@juliustweve48705 жыл бұрын
Ukitaka kuielewa hii story,andika chozi la kimbary rwanda,ndio utaielewa vizuri
@patricalton39405 жыл бұрын
Ndio,yule Dullah alielezea kwa kirefu sana
@rashidhassankadege14555 жыл бұрын
Patric Alton dula katumia zaidi ya dakika 100 kulielezea chozi LA kimbali noma sana
@idrissamussa65295 жыл бұрын
Yes,yule jamaa wa IKUMBUKWE TV ameielezea kwa undani sana jamaa big up kwake..
@sabasimwete31394 жыл бұрын
Sawa nakutakia jmanne njema kagame wewe chapa kazi
@sabasimwete31394 жыл бұрын
By sabasi mwete Kama ww ungekuwa kagame ungefanyeje?.
@imagepower36415 жыл бұрын
unaweza sana naomba story ya kina juu ya vita ya pili ya dunia
@rachelmwakatuma27185 жыл бұрын
Romani Catholic Ni kanisa mbovu sana lkn mwisho wa siku Mungu atawahukumu
@sheikhissa80894 жыл бұрын
Gud
@thomaspipo49674 жыл бұрын
nakuelewa sana kaka mlete mondlane kwa kiswahili na Kenneth kaunda
@hassankisobwe7954 жыл бұрын
We nomaaa sana kiongoz
@gasparmpangaa83295 жыл бұрын
Hapo sawa maana nirikua sijasikiriza kabisa Nice stor
@allainnzbnt27644 жыл бұрын
Asante baba,chapa tuu wala usijali malipo,tiyari umekua mwalimu,hata kama hu lipwi lakini atakuja mtu mwenye kuelewa na ata kupa zawadi ndio Africa yetu ha tuesabu mema, ni mabaya tuuu mimi badoo ni kijana mdogo lakini kuna yale ambayo nifaidika kutoka kwako na kushukuru sana,basi nakama hupati comnts usijala maana ni wachache wanao jali hathisi za akili....pole kwetu wa Afrika yaani weusi....
@btsarmygirl84784 жыл бұрын
Nakupenda kishenzi yaani simulizi zako we acha tu
@Ivugangingo5 жыл бұрын
Rwanda to the world!
@nguyumohamednguyu47394 жыл бұрын
Ivugangingo Tv rayivavi
@nguyumohamednguyu47394 жыл бұрын
Raivani
@gasanamugaga76004 жыл бұрын
Asnte sana kagame ni shujaa kbs
@veronicaelieza19004 жыл бұрын
Nice job
@officialsalmazayn29385 жыл бұрын
Now Tuletee history ya Burundi plzzzzz 🙏
@allygungu71095 жыл бұрын
Pamoja xana, nimekukubali yan
@abasibogga47985 жыл бұрын
kweli AFRIKA ni moja
@dicksonmatanga2224 жыл бұрын
Kaka umetishaaa napenda sana hisitoria za Africa
@micomanasseh34974 жыл бұрын
Asante kabisa ndugu .
@michaeldeus1934 жыл бұрын
Ase kale kulikuwa na noma!!
@IAMTHEVIOICE4 жыл бұрын
Make one for uganda since M7
@philipojustine25415 жыл бұрын
Good presdnt but many don't realize
@aishaomary73845 жыл бұрын
Mungu akulinde Kagame
@mohamediathumani98235 жыл бұрын
Kaka unawezaaa
@TNNDOVLOG5 жыл бұрын
Do one on Tom Mboya please
@alhimnamussasaid36195 жыл бұрын
Uko vizuri braza asiekubali uwezo wako atakua na chuki zake binafsi
@amanitesha68915 жыл бұрын
Ahsante kwa kuitumia sauti yako nzuri kutujuza mengi na kuelimisha jamii. Ubarikiwe sana.
@josej98885 жыл бұрын
Daaha!! Ukabila, Ahsante sana mwl.Nyerere kwa kutuepusha na ukabira, Rest in pease.
@rosemarycharles64775 жыл бұрын
Nyarwanda wote pendaneni acheni ushenzi wenu wa kubaguana kuweni wamoja
@andrewmatuta31925 жыл бұрын
Kagame safi
@alfredadriano45664 жыл бұрын
Well done kagame
@immanuelswai66794 жыл бұрын
Nani kakwambia nyerere aliondowa ukabilaa!!
@darkstar23264 жыл бұрын
Hiyo ni rest in peace Au rest in please ......dooo kwel tamaduni zisizotuhusu nouma sana
@nkeshimanayuda11154 жыл бұрын
You are the best KAGAME
@harunimfaume62805 жыл бұрын
mtangazi uko vizur saana historia inaenda powa zaid
@rwegasilamwijage91165 жыл бұрын
Kaka upo powa mpaka sio powa wengi tunapata mengi kupitia ww
@beesmarttv37925 жыл бұрын
Dahh! ! Bro nakukubal sana kwa hiz story zako hongera sana brother
@godfreykimanga86375 жыл бұрын
Mpanazi,umejitaidi kujaribu kueleza histori ya Kagame,lakini acha unafiki wa kuficha ukweli,eleza watu wajue nani alidungua ndege ya Rais Havyarimana.
@godwinimbadame67985 жыл бұрын
itakuwa makala nayo atufanyie
@davidmoshi96035 жыл бұрын
Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo
@davidmoshi96035 жыл бұрын
Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo
@shyakadenis53092 ай бұрын
Ndugu zangu mnacyo kisema amkijui nendeni Rwanda kunawarinzi wa raisi habyarimaa watakuelezea nani Alie lipua ndenge ya raisi habyarimana utajua vizuli Alie lipua ndenge ya habyarimana,nawaomba msiwe mnasikia maneno tuu
@ndayisengasaidi43704 жыл бұрын
Safi sana tunataka na Burundi
@jmm18404 жыл бұрын
Wangapi tunapomsikiliza Ananias Ediga unasisimkwa kwa utangazaji wake! Gonga like