💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@ndukulusudikucho_10 күн бұрын
Hahahahaha bado mtasema tu Mungu ibarik Tanzania , Mungu Mbarik SSH na wote wanao msaidia
@ramadhanmahongole92939 күн бұрын
Mungu bariki serikal
@ShesheKaoneka10 күн бұрын
Chadema wapuuzi, kila kitu huwa wanaponda huo ndio upumbavu mnaolalamikiwa sio vinginevyo, wajirekebishe wataeleweka sio kuponda kila kitu.
@fidelfidel-jz4iw10 күн бұрын
Cha ajabu huwa hawatoi ushauli Mimi huwa siwaelewi labda vision zao ndogo😂😂😂😂
@kanoleausi42049 күн бұрын
Hao wote ni wamoja. wakiwa bungeni ndio wanapitisha mipango ya nchi . siasa si uadui
@rahimzuberi267310 күн бұрын
Ikiwa bwawa la mwalim nyerere mlilipinga sgr ingeendeshwa vipi wapinzani wa tz ni wapuuzi tu
@aminitaycoon10 күн бұрын
Yaone sasa ivi yana furahia matunda lkn kipindi serikali imeamua kufanya, kutwa yalikua yana shinda yana ponda tu
@evelina962110 күн бұрын
Nyinyi.çcm.nyerere.alisema Cheo.zamàna.leo.kwako.kesho.huna.mogope Mungu Mtusi.vurugu Acheni.wanaccm
@MtanganyikaTanganyika10 күн бұрын
Mbuzi huyu Hana akili lazima tutofautiane mawazo na tukubaliane mwisho
@KamiliKapeta-yr3uc10 күн бұрын
Kenge aoo
@allymusira215310 күн бұрын
Halafu mkipanda majukwaani mnatukana na kubeza kuwa hakuna kilichofanyika
@exaverysimon10649 күн бұрын
YAME KAA TU YANAKURA AC YA MAMA AF KWENYE MAKUKWAA YANAMTUKAN 😂😂😂😂😂 YA ONE KWANZA HAYANA ATA AIBU😂😂😂
@salmanmagwe26129 күн бұрын
😂😂wewe jamaa umeniacha hoi
@jamesjahasa33489 күн бұрын
Wahuni tu Hawa mwamba anaanza miradi mkakati wakawa wasema wanataka maerndeleo ya watu sio vitu acheni ujinga wenu ccm wapiga kazi ona wamevimba utazani wapo kwa vibaraka wao wazungu kudadeki !!!!! Mama piga kazi sisi tunaendelea kipambana mitaaani
@kostajoseph58119 күн бұрын
WANAANZA KUA WAZALENDO , SAMIA MITANO TENA
@shukurukihwelo308410 күн бұрын
Haya majamaa bwana tayari yatakuja na jambo ringine tena la kukosoa 😂😂😂😂😂
@robertzamani561210 күн бұрын
Na wao ni wananchi wanatakiwa kupanda hiyo treni
@RashidHaroun-c2j9 күн бұрын
Kwaiyo pale wanapo pinga kila jambo la maendeleo wanakuwa si wananchi
@husseinloyy19128 күн бұрын
lisu aliwahi kumsema magu kuwa ni raisi wa ajabu leo ameamini kwa nini watz walimpenda jpm mungu mlaze peponi mwana wa tz jpm
@NassoroSipemba10 күн бұрын
Maendeleo hayana chama.
@MohamedRashid-py7ro10 күн бұрын
Na bado wanasema
@aminattai26769 күн бұрын
Wanapanda kila siku,kwani unawajua wote wanapanda SGR? inatakiwe iwe hivo wakubaliane na mazuri ya Tanzania kwani ni ya wote,ata ukiwa mpinzani ndio umekuwa mgeni kwenu
@kennethbenjamin27510 күн бұрын
Watata wamekubali
@HajiKlein-so1rk10 күн бұрын
Chadema wanatapa tapa tu
@Ibrahim-ne3in9 күн бұрын
Bado hamjasena na mtasema yani mpaka mseemeeee hapo baaadooooo
@stateofart108910 күн бұрын
Baada ya muda kidogo utasikia wamehamia CCM
@omarybakunda25548 күн бұрын
Mpunguze matusi watanzania tutawaelewa
@lovenessvisent94089 күн бұрын
Mnapenda kukosolewa tu au kikiwa kitu nzuri tunasema
@OscarAsukenie10 күн бұрын
Watu wanasafiri kwa sababu kwenye treni hakuna kusimamishwa hovyo, pia usalama una afadhali hasa kwa kipindi hiki cha matukio ya utekaji
@twalibulomy-cd4zd10 күн бұрын
Nimeskia Machadema yote yamehia meza yenye nyama, CCM. Mbowe yup Dom tayr.
@SKY-fk3fz10 күн бұрын
Haki zao
@henryndosi20029 күн бұрын
Chadema walipinga na yule machunusi zitto kabwe ndie alikuwa anadanganya waziwazi,
@josephchaba60079 күн бұрын
Walisema hakuna kitu
@ikulunimahalipatakatifu764210 күн бұрын
WAPINGA MAENDELEO YA VITU!!!, VIVURUGE !!
@afropanorama47309 күн бұрын
Ni njaa tu huwa inawasumbua sio kwamba hawaoni maendeleo ya nchi
@renatusblandes113110 күн бұрын
Kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa watayasema Mazuri ya JPM
@ruhindacostantine20929 күн бұрын
Shida Yao wanabeza kila kitu hao.Walimpinga pia Rai's magufuli wakati anaanza ujenzi
@willymdeka60349 күн бұрын
Aibu zimewajaa hapo
@hasanimkamba837710 күн бұрын
duu maendeleo hayana chama sema kungekuwa chama kingine hapo ungewasikia chadema wakisema ni ccm b siasa bahna
@PrinceHendry-hp8vv10 күн бұрын
Nyie nae mbona hamna msimamo filam mlisema samia mcheza sinema yani rambo
@exaverysimon10649 күн бұрын
WANAFIK WAKIBWA KWENYE MAKUKWAA S WAGA WANASEMA SERIKAL YA SAMIA HAIJAFANYA CHOCHOTE KO HIYO TREN IMEJENGWA KWA USIMAMIZ WA CHAMA CHAO YAN HAO ILITAKIWA WASIRUHUSIWE KUPANDA HIYO TREN NADHAN UNAFIKI UNGEWAISHA😢😢
@sir_ENOCKMACHA9 күн бұрын
We akili huna na ndio maana kuandika ni mtihani kwako.
Chadema ni sawa na mbwa Koko. Tangu waliposema mnyika anahuska na mauaji ya Ali kibao. Mpaka Leo wako kimya kama hawapo
@NDEWARA10 күн бұрын
Malalamiko jazz band 😂😂 Leo wameona nchi yetu pendwa inakoelekea kimaendeleo
@danielshauri639010 күн бұрын
Chadema chama cha wajinga sana. Wao wanapinga kila kitu , hata chema wanaponda
@chalokalunde942910 күн бұрын
Jamani msiwasimange nawao wamechangia kwa kukatwa kodi.
@ameirzapy131810 күн бұрын
Hawasimangwi ila wanaambiwa ukweli uliopo, wakipanda jukwaani watasema kinyume kabisa
@RashidHaroun-c2j9 күн бұрын
Tanzania hakuna mlipa kodi bwana pana wachangiaji tu na walalamikaji hebu tutembeeni tukaone nchi za wenzetu wanalipaje kodi bila shuruti wala mtutu
@timothykaiza32710 күн бұрын
Kwahiyo mmeamua msome kwakupokezana mtu na demu wake au sio.
@kasomishedrack502710 күн бұрын
Mko wa hovyo tu nanyi kwani wao chadema hawatoi kodi? Au mradi huu unajengwa na ccm? Pateni hakili za maana.
@fauzseif734410 күн бұрын
Ndio ni ccm chadema walibeza rejea hutuba zao za miaka mitano nyuma walitukana miradi ya kipumbavu
@bestman365110 күн бұрын
Hizi comment zinadhihirisha watz bado vilaza sana. Hadi naona aibu nchi yangu kuwa na raia vilaza hivi. Kwani hii SGR ni ya CCM?
@robertzamani561210 күн бұрын
Ndio ushabgae Wana akili ndogo za kufikiri
@KudraWanguvu-em1xw10 күн бұрын
Ni ya serikali ya chama cha ccm
@KudraWanguvu-em1xw10 күн бұрын
tunae Jemedali Samia Suruhu Hassan Rais bora Africa na simwingine zaidi ya SAMIA HASSAN SURUHUHISHO YA MATATIZO YA WATANZANIA yatakwisha na tunaenda kuwa bora Africa huwezi kulinganisha na viongozi vilaza maendeleo yao ni kula pesa ya saccos pamoja luzuku wanazo pata hawana vision chama hakina majengo ya office ya kwao nikula hela tu. kudai maandamano yasio na kichwa wala miguu.
@TisaMkenda-oj5uj10 күн бұрын
Kilaza wa kwanza ni ww,,kwani c ni wao walikuwa wanapinga,,pamoja na mradi wa bwawa la umeme,!!
@bestman365110 күн бұрын
@@TisaMkenda-oj5uj nitajie mrombo ambaye si kilaza