🔴

  Рет қаралды 28,329

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

🔴#Live: HIKI NDICHO KILICHOMUONDOA CHAMA SIMBA -MO DEWJ HAKUMTAKA? SALEH JEMBE KAFUNGUKA SIRI YOTE..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 27
@CareenJulias-iu7tf
@CareenJulias-iu7tf 3 ай бұрын
Kwa hiki Simba walichokifanya kwa chamba nawapongeza Sana uongozi wangu kwa kuchukua maamzi hayo magumu, hakika Mimi nimechoka Sana na Chama maana alikuwa Ni mtu wa kutengeneza maguroup ya usaliti miongoni mwa wachezaji na kujiona yeye Ni wa maana Sana kuliko Simba. 👏👏👏👏👏👏
@EsterMpogole
@EsterMpogole 3 ай бұрын
Namimi nauga Mkono kuodoka Kwa chama
@miangijunior4358
@miangijunior4358 3 ай бұрын
Safi bro Uchambuzi mzuri Tena uliotulio na wenye Utondoti
@AllyMohammed-nv5sj
@AllyMohammed-nv5sj 3 ай бұрын
Safi sana aondoke tu ni msumbufu sana
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Simba ndiyo Club kubwa Tanzania..Ligi tangu ianze inaongelewa Simba, ligi imeisha inaongelewa Simba, usajili umeanza inaongelewa Simba..Huu ndo ukubwa wa Simba..asee All fans of Simba be Proudly...💪 Usajili wa Chama usichukuliwe ki Hasira Viongozi tulizeni akili msizivae Propaganda tengenezeni utulivu..Kwenye Sajili ya Chama.
@saidmngai9504
@saidmngai9504 3 ай бұрын
Chama asiwatoe relini yeye ndo mkude aliekuwa kabaki Simba wachezaj wote kawatafutia madem nikison bonge la tako tabata
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 3 ай бұрын
Jembe umeongea vizuri sana. Costal waache tamaa biashara ilishakwishaa hiyo imeendaaa😂😂😂😂
@piusmwakyembe4545
@piusmwakyembe4545 3 ай бұрын
Umeongea vzr
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 3 ай бұрын
Uko sawa Jembe
@absm8084
@absm8084 3 ай бұрын
Nasema hivi chama aondoke mara moja
@ibrahimngitu6072
@ibrahimngitu6072 3 ай бұрын
Chama ni msumbufu wacha aende akawasumbue sasa
@barnabasmatonya2635
@barnabasmatonya2635 3 ай бұрын
Tz kila mtu anaongea hata kama hamna official info
@yuzoooyuso583
@yuzoooyuso583 3 ай бұрын
Mnaombeza ni mashabiki wa vyura nyokanyoka ikisemwa Simba vibaya hua mnaona raha.simba pia inamazuri na si gongo wazi Ina mazuriii mjue inamabaya.hivyo sio Simba Kila baya ni lao.
@stanslausmachege2179
@stanslausmachege2179 3 ай бұрын
Katika watu wenye kumchukia Chama ni huu Jembe naona kampeni yake imefanikiwa ngoja tuone sasa hayupo
@MalongoBayege
@MalongoBayege 3 ай бұрын
Watoto sita unaomba talaka?.si bora uende tu,na uzuri umekwishia
@saidmngai9504
@saidmngai9504 3 ай бұрын
Sawa katugomea mchukueni kaeni nae
@kanoleausi4204
@kanoleausi4204 3 ай бұрын
Mnafiki huyo. ustaarabu gani coastal wafanye? FEI alivunja mkataba huyu akatetea leo anatumia ushabiki wake kutetea makosa ya Simba
@saimonntani6831
@saimonntani6831 3 ай бұрын
Feisali alivunja mkataba .sasa lawi amevunja mkataba? Mbonawewe statment yako haina mikono wala Miguu?
@kanoleausi4204
@kanoleausi4204 3 ай бұрын
@@saimonntani6831 "Tutaelewana tu kidogo kidogo ngoja tuoneshane kwanza makali" Dr shika
@saimonntani6831
@saimonntani6831 3 ай бұрын
@@kanoleausi4204 hapo hamna makali .huyo lawi atacheza Simba bila samia kuingilia kati.mchezaji mwenyewe anapenda kucheza Timu kubwa East Africa.hizo kelele zachura tuu.hamna cha ulaya wala nini.Atakipiga Simba namtakunyata vijuso vyenu kama uchi.
@AbdullyMtwane
@AbdullyMtwane 3 ай бұрын
Vp kuusu lameki law
@bashrkahabuka8835
@bashrkahabuka8835 3 ай бұрын
Mwanzo niliamini kuwa anatumia akili sana baadae nimegundua anatumie zaidi unazi tu na nafikiri huyu ni msaidizi wa ahmedi ally
@mohdabdalla7070
@mohdabdalla7070 3 ай бұрын
uyu jamaa ni muongo et simba wamemuacha chama wakat simba ndio zaid ya wiki ya pili hii wanahangaika kumuomba chama aongeze mkataba lakini kawagomea mnatak kusema nn wachovu nyie mpira pesa saiv sio makelele wtu wameshampa anacho hitaj bakini na maumivu yenu kuku nye
@omarijuma1136
@omarijuma1136 3 ай бұрын
Unaweza ukatupa ushaidi
@salimmbilu4524
@salimmbilu4524 3 ай бұрын
Ndo mwisho wa chama
@TedyElisha
@TedyElisha 3 ай бұрын
Hakun maamivu wala nin wew acha 2 aje kweny Majin fc
@AdhamAlliy-mg5py
@AdhamAlliy-mg5py 3 ай бұрын
Matusi yanini ligi ulivyo Anza Simba ndo ilio kua inaongelewa zaid na ilivyo Isha pia ndio timu inayo zungumziwa mmechukua ubingwa lkn bado hamjiamini nata ciku mnapokea kombe mlikua watano uwanjani
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 17 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Бригадир.
43:03
ASTANATV Movie
Рет қаралды 708 М.
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 419 М.
MCHUNGAJI AUMBUA NJAMA ZA WAJUMBE SIMBA KUMTOA MO/ WALIKUWA WAPI?
12:33
Maximum Tv Online
Рет қаралды 7 М.
PENEZA ANASEMA CCM OYEEEEE,,,,UZINDUZI WA KAMPENI CHADEMA GEITA MJIINI
10:09
#LIVE: HATIMA YA LUHAGA MPINA, BASHE YASOMWA MUDA HUU BUNGENI
2:26:30
Mwananchi Digital
Рет қаралды 34 М.
THIS GRACE CALLED FAVOUR WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN (KOINONIA SUNDAY SERVICE)
2:42:31
Coach Put summons Cranes squad to face South Sudan
12:22
103.5 APEX FM TV
Рет қаралды 13