UWEZO WA KUONGOZA ZANIZBAR TUNAO HILO HALIPINGIKI NA LIKO WAZI KABISA

  Рет қаралды 3,512

Vuga Online Tv

Vuga Online Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 22
@m.seifsaid4836
@m.seifsaid4836 Жыл бұрын
Ndugu Kiongozi mmoja wa kamati kuu ya ACT hongera sana sana maneno yako na nasaha nzuri na zenye maana kwa nchi yetu ya Zanzibar na wananchi wake.👍
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 Жыл бұрын
Speaking up my brother never give up zanzibar home
@salyali7807
@salyali7807 Жыл бұрын
Mashaallah in ACT kila kiongozi anamshinda mwenziwe kwa umakini.. May Allah awahifadhi watukombolee zanzibar yetu
@ashaali7506
@ashaali7506 Жыл бұрын
Hongera kiongozi wetu tupo pamoja mimi na zanzibar zanzibar na mimi ❤ 2025 kura yangu kwa ACT wazalendo
@MWIGAADAM-r3e
@MWIGAADAM-r3e Жыл бұрын
ZANZIBAR kwanzaaaaaa🎉🎉🎉🎉
@suleimanfaki1764
@suleimanfaki1764 Жыл бұрын
Act wazalendo online tv tunakupongezeni
@vugaonlinetv
@vugaonlinetv Жыл бұрын
Asante
@salyali7807
@salyali7807 Жыл бұрын
I like this man.. very intelligent
@Mursalin68680
@Mursalin68680 Жыл бұрын
Mimi na Zanzibar, Zanzibar na Mimi inshallah 2025 kura yang Kwa omo
@نوفل-س5ر
@نوفل-س5ر Жыл бұрын
Hiii Zanzibar ingekua si mungu na mtume na mh Othman massoud ingekua ishauzwa ivi
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Wallahy si uongo. Alipokataa bunge la katiba, hapo ndipo alipovunja adhma mbaya ya ccm. Maana alisema akiwa ni Mwanasheria wa serikali.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
​@@FarhatSeif-p3t Hebu acheni upuuzi iuzwe kwa nani na ili iwe je. Usitowe sifa za kumtoa mtu kwenye sifa, aliyotoa ni maoni yake ni haki yake na muda wote amepewa fursa hata UAMSHO walipokuwa ndani alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali pia.
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Wazanzibari nyote msifanye mchezo kura zenu kwa ACT ili muikoe nchi yenu znz.
@suleimanfaki1764
@suleimanfaki1764 Жыл бұрын
Tunaomba mikutano ya jussa ,babu Duni na omo ya Tanzania bara
@AllyOmarHamad
@AllyOmarHamad Жыл бұрын
Pamoja sana viongozi wangu wapendwa
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Iwe ndio mwisho kuletewa viongozi kutoka TANGANYIKA, 2025 ZANZIBAR iongozwe na WAZANZIBARI WENYEWE.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Vyama vyote Makao Makuu yake ni Bara tofauti ni mitaa tu.
@wakwetu2444
@wakwetu2444 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa. Tatizo ni kupewa hiyo Serikali.
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Mama Raisa❤
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t Жыл бұрын
Bi Raisa vp uligombea na kuitetea nafasi yako ya Mwenyekiti?
@suleimanfaki1764
@suleimanfaki1764 Жыл бұрын
Tunaomba mutuleteee mikutano yote
@suleimanfaki1764
@suleimanfaki1764 Жыл бұрын
Ila hii video sauti inakoroma 😂😂 may be mic ni mbovu
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
WANANCHI WA MAKUNDUCHI WASEMA MAZITO MBELE YA WANASHERIA
9:54
Zan Culture Online Tv
Рет қаралды 2,2 М.
MWINYI AINGIA IKULU,NYERERE AAGA TAIFA 1985
8:20
Mwananchi Digital
Рет қаралды 94 М.
В Швеции ищут, кто разорвал подводный кабель
1:01
Euronews по-русски
Рет қаралды 44 М.