VIDEO: AROBAINI YA MTOTO WA MARIOO NA PAULA, KAJALA NA MAMA MARIOO KWA PAMOJA WAMSOMEA DUA

  Рет қаралды 179,487

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 164
@MoniraAbuu
@MoniraAbuu 3 ай бұрын
Mashaallah yani apo wangefunga ndoa kabisa ingependeza zaidi Allah awafanyie wepesi watimize jambo la heri❤❤
@CandidaTemba-up5yj
@CandidaTemba-up5yj 2 ай бұрын
Ooo this is so nice God bless them forever❤❤🥰😍
@mohamedmahmudali9346
@mohamedmahmudali9346 3 ай бұрын
Mtihani mtupu hapa , ukosefu wa kuijua dini na kuhafilika na matamanio ya Ulimwengu,inapelekea watu kuishi kama vile mbuzi aliekata kamba eti hela inaongea , wenye uwelewa wameshaelews,zaidi ninani atamfata mwenziwe kwenye dini yake ? COME back to Allah💪
@bintyk5149
@bintyk5149 3 ай бұрын
Mama ake omy kama hajawahai kumuona mjukuu wake anamuangalia kwa kuibia😢
@GraceMarine-vo9hu
@GraceMarine-vo9hu 3 ай бұрын
Huyo ndo alikuwa anamfanyisha mazoezi yakutembea Paula kama hujui
@ShamsaOmary-l9g
@ShamsaOmary-l9g 3 ай бұрын
Punguzeni ukali wa maneno...mtoto ametimiza cku 40 tangu azaliwe anatolewa nje inasomwa dua mtoto anapata baraka zake..watu wanajitoa ufahamu hayo wakati uko mtaani hayo mambo tunafanya sana na tukialikwa tunaenda lakin umu mtandaoni kla mtu sheikh kazi kukosoa ya watu
@Ashuzuberi
@Ashuzuberi 3 ай бұрын
Waaambie chuki tu zinawasumbua, utazan wao wamekamilika Kila kitu😂😂😂
@user-hy9pp5rp9i
@user-hy9pp5rp9i 3 ай бұрын
Wewe unasema 40 mtoto akifikisha siku7anatakiwa afanyiwe hakika na ikiwa wakike mbuzi 1 aanachinjwa na kutolewa sadaka mifupa yake inafukiwa na nywele zake sinanyolewa na kupiwa halafu zinatolewa pesa Kwa mujibu wa kipimo chake na akiwa wakiume ni mbuzi wa2 nayo mifupa hairuhusiwi kuvunjwa I nn afukiwa hivo ndio dini inavosema na sote watoto wetu tumewafanyia na ikiwa imefikia arubaini kama mwenyewe unataka kumtoa unamtoa Kwa Dua khalas
@alhamdhulillahyaallah4013
@alhamdhulillahyaallah4013 3 ай бұрын
Nenda kasome dini wewe sikujiongelea ovyo tu...nani kakwambia Kuna arubaini wala sitini?hebu kasome usipotoshe wasiojua kama wewe
@Official83640
@Official83640 3 ай бұрын
Dua inasomwa kichwa wazi Subhannallah 😢. Haya hatimae mama wa Marioo aonekana sasa
@husnaabubakar7144
@husnaabubakar7144 3 ай бұрын
Si ameva buibui na mtandio wa Black alafu akabadilisha
@Official83640
@Official83640 3 ай бұрын
@@husnaabubakar7144 Kwahy hapo sio muda wa dua? Km sio muda wa dua sawa
@BonifaceMasolwa
@BonifaceMasolwa 2 ай бұрын
Mbona Paulababa mtoto hayupo hapo mmependezen na mond km ndio baba shuhuli 😂😂😂😂😂
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 3 ай бұрын
Nimefurahi kumuona mama Marioo.
@ASHAKHAMISMUSSA
@ASHAKHAMISMUSSA 3 ай бұрын
Yaani ! Wambea wamezibwa mdomo
@samhasuleiman7673
@samhasuleiman7673 3 ай бұрын
Mmemuona Amara Anchzea face ya dady ake ❤
@Sabina_Thomas
@Sabina_Thomas 2 ай бұрын
Hongera Dana mdogo Angu Paula mungu awatunze
@PetroagustinoMgina
@PetroagustinoMgina 3 ай бұрын
🎉🎉hongera Mario kwa kupata jiko zuri lakin muoane huoni wa2wanapenda maneno mengi 2 ukifa auwoz 😅😅😅 wooooh Mario and paula❤❤❤❤
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 3 ай бұрын
Wamependeza sana mashaallah
@florencemeza6540
@florencemeza6540 3 ай бұрын
Mario ana amaniiii anampenda saaana paula
@user-bc3lh5ss6c
@user-bc3lh5ss6c 3 ай бұрын
Hata Paula anampenda Sana marioo❤❤❤
@norahmajaliwa3841
@norahmajaliwa3841 3 ай бұрын
Amuoe
@RamadhaniIbrahim-ed8xr
@RamadhaniIbrahim-ed8xr 3 ай бұрын
Jamn simlitangaza mtt amefarik kumbe yup Hay asante mng napenda sana wtt mung atampa maisha marefu inshaalla
@PitaMwinuka-o6k
@PitaMwinuka-o6k Ай бұрын
Hongeren
@yfhff5268
@yfhff5268 3 ай бұрын
Huyo mama marioo kama haruhusiwi kumshika mtoto
@RoseMadatta
@RoseMadatta 3 ай бұрын
Anae onekana și amala amala bado anafinywa agalieni anavyo funikwa ❤❤❤❤❤
@Rinnickbenard
@Rinnickbenard 3 ай бұрын
hongereni sana mungu awatunze
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 3 ай бұрын
Uislam Hauna Arobaini.Hizo ni Mila za Kifirauni ktk Nchi ya Misri.
@AishaNgoyi-vi2ku
@AishaNgoyi-vi2ku 3 ай бұрын
Hawa Malaya wapo kzn Mario utachunw mpaka utaukimbia mji
@NaaPius-kl2wh
@NaaPius-kl2wh 3 ай бұрын
​@@AishaNgoyi-vi2kuwivu mbaya sana mwanamke unamuita mwanamke mwenzio malaya kwel jmn wakat wew Kuna jemba inakupanua miguu na unamuomba Hela vp wew haumchuni mwanamke kuwa na kauli ya stara
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wenzio wanapiga hella kila katukio mbona warabu hawafanyi na ndo wenye dini
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 3 ай бұрын
​@@dorcaskidoti249arobaine hufanywa acha uongo wangu siku ya 40 ndo alitahiiriwa
@Boshbriz3344
@Boshbriz3344 3 ай бұрын
​@Aish😂😂😂aNgoyi-vi2ku
@ghhyhh7591
@ghhyhh7591 3 ай бұрын
Huyu alosema km 40 maana tunajua amefariki nakujib km ulizaliwa 40 ipo na ukifa 40 ipo kwa ss waislam cjui wengin
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 3 ай бұрын
Mbona wamesema 40 sio kiislam
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 3 ай бұрын
​@@Nihadshighadisio kiislam na wakati siku ya 40 ndo damu ya uzazi ya mama inakata anatakiwa ajisafishe ili kuendelea na ibada zingine kwnye ukristo mnayajua hayo
@MamyHamso
@MamyHamso 3 ай бұрын
​@@fettiemaganza1484sikubaliani na ww kabisa mia fil mia damu ya uzazi wengi ni wk 2 ikizidi inategemea na pindi damu zikiacha kutoka unapaswa kujinadhifisha ndio wuanze ibada kama kawaida
@africa7479
@africa7479 3 ай бұрын
​@@Nihadshighadikatika uisilamu hakina arubain tofauti na hapo mtoe dalili sio kusema tu hakuna arubaini msibani wala uzazini
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 3 ай бұрын
@@africa7479 yani ww na huyo mwenzako hapo ju hamjulikani mnaeleza ama sijui makasiriko ya nn
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 3 ай бұрын
Mama kavaa hereni pia kapendeza mashaa Allah ❤.. Baba nae kavaa hereni na kipini juuu😢😢
@fahymamsangi7303
@fahymamsangi7303 3 ай бұрын
Wakwanza leo nipewe maua yangu😂❤❤
@Milanorock
@Milanorock 23 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉mashallah
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Mama mkwe mbona anaogapa kumwamngilia mtoto anaon kaingia ukoo wa maneno kajala muonyeshe vizuri mtoto mama w omari
@sisifaty9183
@sisifaty9183 3 ай бұрын
Umesema kweli kama vile ushirikiano mdogo kama kuna kitu
@ASHAKHAMISMUSSA
@ASHAKHAMISMUSSA 3 ай бұрын
Jaivah amebadilika aiseee😅😅😅😅😅
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 3 ай бұрын
Mayahudi(Wana ezrail) walisema hawatatuacha hadi tufate Mila zao ndio hizi sasa
@RayanDai-fr7ks
@RayanDai-fr7ks 3 ай бұрын
Swadacta
@emmadora7848
@emmadora7848 3 ай бұрын
Waisrael wanawapa joto sana ,siku hizi hata mkishindwa kuwaridhisha wake zenu , Israel kahusika😂😂😂
@RayChausa
@RayChausa 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂Wa mwisho wenu mm hapa...ma sha Allah❤❤❤❤
@JumaMpwimbwi-oi4fz
@JumaMpwimbwi-oi4fz 3 ай бұрын
Acheni kuchipua mamb wabongo wapeni maua yao na mpite na yenu 😊
@Nadraalimwalim
@Nadraalimwalim 3 ай бұрын
Waowane Tena wapate watoto wa halali,maana Kama baba wa mtoto ni muislamu basi si mtoto wake na hafai kujinasibisha nae,ni mtoto wa nje,anapaswa kumuhudumia lakin hawez kumrithi so etlist wakioana atakuwa na nafasi ya baba wa kambo,ni vile tu tunayaendesh maisha kidunia na sio kidini
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 2 ай бұрын
Swadactaaaa umeongea kweli kabisaaa
@HellenaMissana
@HellenaMissana 2 ай бұрын
Mashaalla❤❤
@hanifamziray277
@hanifamziray277 3 ай бұрын
Hy sio 40 ni sherehe kchwa wazi ndio nn ss
@naomymuro2199
@naomymuro2199 3 ай бұрын
Leo kajala kavaa nguo ya kumstri nahis anaona mwl unamuwasha kabs anataman avue zote 😅
@aickatesha4542
@aickatesha4542 3 ай бұрын
😂😂😂
@sadakombo2048
@sadakombo2048 3 ай бұрын
Kumbe mama wa mariyo bado kichanga kabisa
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 3 ай бұрын
Naombeni kufafanuliwa 40 Ni nn?! Mtoto kufikisha mwezi tanguvazaliwe au Nini??
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 3 ай бұрын
Mashaallah ❤
@HalimaYussuph
@HalimaYussuph 2 ай бұрын
siku mkiyachana yani sijuhi niseme nini
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 3 ай бұрын
Masha Allah
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@Mariam-pe6ow
@Mariam-pe6ow 2 ай бұрын
Minaona wanache kexha2 Dunia 😅ahaaaaa
@saumukiduma
@saumukiduma 3 ай бұрын
Maashallah
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 3 ай бұрын
Mario. Mtu. Wa wapi. Yani. Mkoa gani
@user-ok7fo5dt2q
@user-ok7fo5dt2q 3 ай бұрын
Jmn binadamu tunashida wivu ndo tumejaza kwenye mioyo yetu kipi kibaya kimefanyika hapo
@BJM-j2t
@BJM-j2t 3 ай бұрын
Niulize wali funga ndoa hawa
@arafakhamis3336
@arafakhamis3336 3 ай бұрын
Mtihani dual kusomwa kichwa waz
@ginafaruque5335
@ginafaruque5335 3 ай бұрын
Karibu amarah
@IbrahimOmar-tu5tc
@IbrahimOmar-tu5tc 3 ай бұрын
Ona mlivo vaa mavaz ya dini sahih ya uislam mlivopendeza
@Mariam-pe6ow
@Mariam-pe6ow 2 ай бұрын
Minaona wanache kexha2 Dunia 😅
@RockstarKitanga
@RockstarKitanga 3 ай бұрын
Wasitaa😂
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@pendoseleman9069
@pendoseleman9069 3 ай бұрын
Mimi wa nane😅
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 3 ай бұрын
wa kumi hapa nimetuliaaa😂😂😂😂
@Msafirimakini
@Msafirimakini 3 ай бұрын
Sawa
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 3 ай бұрын
Mimi napita tu
@doricemwakasengo1167
@doricemwakasengo1167 3 ай бұрын
Mm wa nne😂😂
@khadija5761
@khadija5761 3 ай бұрын
Wa sita
@barbiepixie92
@barbiepixie92 2 ай бұрын
Hivi nyie mnaoulizia ndoa nyie mnazo? hebu mtupishe
@keyla3641
@keyla3641 3 ай бұрын
Mbona km paula hamumfungi tumbo
@salmasalam3268
@salmasalam3268 3 ай бұрын
Ako katoto keusi sana kama bibi kizaa baba😂mkono nimeuon bas apo rkn kaatapigwa Snapchat mpkatuisi kazungu kumbe black
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 3 ай бұрын
Kwan babake mzungu?
@HappyMtondi
@HappyMtondi 3 ай бұрын
ndo hapo xax bab ake sio mzung😢😢😢😢😢
@barbiepixie92
@barbiepixie92 2 ай бұрын
Kwa hiyo unamaanisha watu weusi no wabaya au hebu acha ulimbukeni
@maryamathman8917
@maryamathman8917 3 ай бұрын
Wa tano🎉😂😂😂😂
@estermongela8733
@estermongela8733 3 ай бұрын
Lazima marioo afate nyayo za baba mkwe wake kuishia kulea mtoto nahiv nayy ni wakike yaani milemule maji hufuata mkondo
@BerthaKihanga-qd5hy
@BerthaKihanga-qd5hy 3 ай бұрын
Amen
@SuleimanAbdallah-jb6sx
@SuleimanAbdallah-jb6sx 3 ай бұрын
Hawajaowana. Nafahamu wote ni waislamu.. Nauliza u _ jee mtoto nje ya ndoa huitwaje. ? Na anaweza rithi ?
@judithsijaona9875
@judithsijaona9875 3 ай бұрын
Pau mkristo
@hassanramadhani1122
@hassanramadhani1122 3 ай бұрын
😊
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 3 ай бұрын
Aroubaini ya mtoto wa nje ya ndoa halafu eti Jina la baba Ni muislam na mama mkiristo Hakuna hiko kitu kwenye Dini yetu Hao wote Ni wazinifu na huyo mtoto Ni koba tu
@MvuviJuma
@MvuviJuma 3 ай бұрын
Ucmtie mtt dhamb n za wazaz wake
@emmadora7848
@emmadora7848 3 ай бұрын
Na wewe ni Koba mbona tunakufahamu vzr
@Nadraalimwalim
@Nadraalimwalim 3 ай бұрын
Hamjamuelewa tu ijapokuwa ametumia neno sio zuri la kumuita mtoto koba,mtoto Hana kosa,makosa ni ya wazazi wake
@MSELLEMSWELUMYAHYA
@MSELLEMSWELUMYAHYA 3 ай бұрын
Oya dogo km n kweli muowe wcha uwoga
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 ай бұрын
Hivi jina la mtoto ni Amarah au ni Amalah
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 3 ай бұрын
Kama Nerson na Nelson
@aminakipande5645
@aminakipande5645 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@aminakipande5645
@aminakipande5645 3 ай бұрын
Sasa hapa lipi sahihi😂😂😂😂
@TatuSeleman-zm1hn
@TatuSeleman-zm1hn 3 ай бұрын
Wakumi
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@anjelagwasma
@anjelagwasma 3 ай бұрын
Hata celewi
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Marioo uweke akili sawa au utakuta huna hata pesa ya kula hoa wanapenda mahali pawe na pesa huoni rayvanny al8shiyuka katoka japonica alilimlipia ada ya shule na duka akafungua kudaiwa tena ada ya shule akaona hapa mm analipa ada mtu yupi na mungine na wewe kaa mkao w kuliwa na mshenga mwenywe ni j lokole
@Gersah
@Gersah 3 ай бұрын
Acha makasariko
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 3 ай бұрын
Bado hujasema
@ASHAKHAMISMUSSA
@ASHAKHAMISMUSSA 3 ай бұрын
Hakuna asiependa helaa wewe mwenyewe ukipewa utazitupa?😮😮😮
@Pemba680
@Pemba680 3 ай бұрын
Sisi waislamu tunajuwa 40 anafanyiwa mtu aliekufa
@NoelaSumari-ww9lo
@NoelaSumari-ww9lo 3 ай бұрын
Ww muislamu wa wapi Mbona mm mkristo na najua kuna arobaini ya kuzaliwa na dua inasomwa na pilau tunakula
@zahrazahraa3485
@zahrazahraa3485 3 ай бұрын
Ww n mwesilam wa wp kwani hujuwi mtoto wakiisilam anapo zaliwa n anapokufa nilazima afanyiwe 40 au ww wa wp
@Pemba680
@Pemba680 3 ай бұрын
@@NoelaSumari-ww9lo ww kafiri kaa kmya ya upande huu ww hayakuhusu hivyo ata niongee vpi kamwe huwez kunielewa
@Pemba680
@Pemba680 3 ай бұрын
@@zahrazahraa3485 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maiti iyo,alie hai hasomewi 40
@victoriamatei7757
@victoriamatei7757 3 ай бұрын
Noo pia ya kuzaliwa we vipi
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 3 ай бұрын
Baada ya hapo mario ataachwa atakuwa nahudumia mtoto tu
@aminakipande5645
@aminakipande5645 3 ай бұрын
Why aachwe😂😂
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 3 ай бұрын
@@aminakipande5645 wewe si maji yanafuata mkondo mama ake WA Paula ilikuwa VP??
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 3 ай бұрын
Ww unajua kesho yao,yko waijua
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 3 ай бұрын
@@Nihadshighadi ndio najua Mimi
@aminakipande5645
@aminakipande5645 3 ай бұрын
@@GeorgeChitemo-kt8sw mnh hebu ngoja tuone mwisho wa huu mchezo lkn km kweli wanapendana wanaweza fika mbali
@stivmabando5661
@stivmabando5661 3 ай бұрын
Hatari sana
@annamussa185
@annamussa185 3 ай бұрын
Uchafu tu
@user-ql6jr4tz4m
@user-ql6jr4tz4m 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@BerthaKihanga-qd5hy
@BerthaKihanga-qd5hy 3 ай бұрын
So
@user-js7lr8vr9i
@user-js7lr8vr9i 3 ай бұрын
Mnajua maana ya 40 kwamba alifariki au
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 3 ай бұрын
Ukizaliwa kuna 40 na ukifika vile vile
@Zuuh4286
@Zuuh4286 3 ай бұрын
𝗠𝗮𝘀𝗵𝗮𝗮𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@OmanOman-fr5hl
@OmanOman-fr5hl 3 ай бұрын
40 ya wazinizi lanatullahi alykum
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 3 ай бұрын
Ujinga tuuuu.utapeliii.,..mapenzi hajui...kiuno kigumu
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 ай бұрын
Wajinga wote kama kweli alobaini mbona mashekhe hawapo pumbafu zenu
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 ай бұрын
Ndio wanaichezea dini
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@arafakhamis3336
@arafakhamis3336 3 ай бұрын
Mtihani dual kusomwa kichwa waz
@user-kg7yq3on9j
@user-kg7yq3on9j 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 ай бұрын
Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize
IRENE UWOYA Amfunda Paula Mbele ya Marioo Sikiliza maneno hayo..
3:41
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 32 МЛН
AIBU JUX AZUA GUMZO AMUIGA VANESSA KUVAA
3:08
Onlinegossip
Рет қаралды 2,2 М.
FULL VIDEO: KAJALA Amuomba Radhi P, Majani wakumbatiana...
6:50
EFM TANZANIA
Рет қаралды 357 М.
MUME WA SNURA ALIVYOCHUKUA KABIDHIWA MKE FULL SHANGWE
8:22
Bona Tv
Рет қаралды 144 М.
LIST YA WATOTO WA MASTAA WAZURI NA WALIOPENDEZA ZAIDI 2023,UTAWAPENDA
11:38
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15