VIDEO: MWANAJESHI WA URUSI ALIVYOOMBA ASIUAWE VITANI ALIPOSHAMBULIWA NA DRONE ZA UKRAINE

  Рет қаралды 211,261

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 456
@manubei3574
@manubei3574 3 ай бұрын
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu... Amina
@nicolenyerere
@nicolenyerere 3 ай бұрын
Amina. 🙏
@MiwagoTz
@MiwagoTz 4 ай бұрын
TOKA MADALE TZ,SAFI SANA HILI NI FUNDISHO KWA WOTE KWANI MUNGU PEKEE NDIYE ANASTAILI KUHUKUMU KIFO,MUNGU IBARIKI DUNIA NA WATU WAKE
@rojasofficially
@rojasofficially 4 ай бұрын
Sawa kakaa kumbe na wewe KZbinr rajabu mbalika mojaa
@KidumetokaKyelauko
@KidumetokaKyelauko 3 ай бұрын
Kabisa shekhe
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 4 ай бұрын
Being a soldier front line mazeee dah🙌🙌
@GabrielSky64
@GabrielSky64 4 ай бұрын
Daah naumia sana Nikiona hivi uhai ni Jambo lenye dhamani Kubwa sana kwa binadamu inatia huruma Sana 😢😢😢😢. Ni heri basi wamfunge hata jera. Vita uviskie tu hakun mmbabe
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 4 ай бұрын
sio kila mtu ni katili simple deeds great outcome there is hope ya kuisha vita
@Riamaproduct
@Riamaproduct 4 ай бұрын
Rabi tujalie amani na usalama Kwa Dunia nzima🙏
@IBNQAASIMLUKANDAH
@IBNQAASIMLUKANDAH 4 ай бұрын
Aaaamin yaa rabb
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 3 ай бұрын
Amani na usalama unakuja na anayeileta ni mpinga Kristo ili aweze kuabudiwa Yeye dunia nzima na kumstaajabu...mpokeeni Leo Yesu Kristo akuokoe kwa kukupa ujasiri kwa hofu kubwa inayokuj ulimwenguni na kupata unyakuo.. 1 Wathesalonike 5:3 Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa.
@khayraatabdool2286
@khayraatabdool2286 3 ай бұрын
Allahumma Aamiyn yaa Rabbi Al 'Aalamiyn
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 4 ай бұрын
Imetugusa wengi shetani ashindwe kwa damu ya YESU !
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 4 ай бұрын
Huo ndio utu ,hongera sana wanajeshi wa Ukraine kwa kuonyesha utu.
@RachelJimmy-t9v
@RachelJimmy-t9v 3 ай бұрын
kijesh nikosa kubwa
@GraciuosGeofrey
@GraciuosGeofrey 4 ай бұрын
Wamekonda jamani hata chakula hakuna 😢😢😢😢
@fridahkarimi5510
@fridahkarimi5510 4 ай бұрын
PRACTICE Love,kindness and mercy its God's character this the language to humanity we can offer here in the world 🙏
@amanmalima940
@amanmalima940 4 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@PhilipoKabalo
@PhilipoKabalo 4 ай бұрын
Mungu akubark kwa ujumbe mzito
@Kombs-cr2mj
@Kombs-cr2mj 4 ай бұрын
Amina.
@officialmanji4438
@officialmanji4438 4 ай бұрын
Amina
@AbdallahShaabani
@AbdallahShaabani 4 ай бұрын
Mbona ww Bado upo duniani aujaenda mbinguni👈👈
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 4 ай бұрын
​@@AbdallahShaabanichukua uamuzi sasa maana baada ya Dunia hii yenye taabu nyingi liko tumaimi la makao mapya yasiyokua na hizi shida
@Pastorbarakamwanjala
@Pastorbarakamwanjala 4 ай бұрын
Namwomba MUNGU asitishe vita vya Ukraine. Na pia vile vya Israel. Type amen.
@Revelation1412.
@Revelation1412. 4 ай бұрын
Amen
@josephjohn8363
@josephjohn8363 4 ай бұрын
AMEN
@fredducaunt
@fredducaunt 4 ай бұрын
Vita haiishi hadi makubaliano... Ambayo hayapo😂 Kwo mwisho wa vita ni mwisho wa mmojawapo
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 ай бұрын
AaminaYaarabi
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 ай бұрын
​@@fredducaunthayajakukuta ndo maana.. we bwabwaja huku huvijui vita 😅😅
@NikolausSungula-s2v
@NikolausSungula-s2v 3 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati
@florencenduku4427
@florencenduku4427 3 ай бұрын
Barack Allah Fik.Mashallah.🙏🙏🙏🙏
@donaldmgunda4970
@donaldmgunda4970 4 ай бұрын
Haoo jamaaa ni ndugu, halafuu ni majiranii,anayewachonganishaa ni wahington na Brussels
@NaimaChekeche
@NaimaChekeche 3 ай бұрын
Kumbe mwanajeshi wa urusi safi sana uawote nimefurah sana tena hyo adhabu ndogo😅
@Revelation1412.
@Revelation1412. 4 ай бұрын
Kwakweli wanajeshi huwa nawahurumia sana yaani wao ni mbuzi wa kafara na viongozi na raia wanashangilia daah 😢
@GabrielSky64
@GabrielSky64 4 ай бұрын
Kabisa maskini wanao umia ni familia zwo😢😢😢😢
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 4 ай бұрын
Mrusii atashindwa tuu vita yeye ndio chanzo Chaa vitaa atalegeaa tuuu ukreni atukati tamaa mbele kwambelee mpaka kieleweke tuuuuuu💪💪💪🤛💯😎
@faidamuhamed3011
@faidamuhamed3011 4 ай бұрын
Hata akishindwa lkn chamoto wamekipata
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 4 ай бұрын
Mungu ni mwema
@ERICKMAKENGO-cc9bk
@ERICKMAKENGO-cc9bk 3 ай бұрын
Yeah ni sheria kumhudumia adui kipindi Cha vita akiwa na njaa au akiumwa akiwa na shida ukimuua shughuli inayo kwa taifa Hilo lililomuua
@GeofreySolomon-lp7xl
@GeofreySolomon-lp7xl 3 ай бұрын
😂😂😂ila wabongo bhana
@godfreya6955
@godfreya6955 4 ай бұрын
Unarudia sana maneno boss. pull ur sock up
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 4 ай бұрын
Ana familia inamtegemea😢😢😢
@yasintamsuya
@yasintamsuya 4 ай бұрын
Anafamilia jamani nyie maisha sema tu wakati wake ulikua bado😢
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 4 ай бұрын
Vita siyo nzuri basi Tu wanataka silaha ziuzwe lazima waanzishe vita
@africa7479
@africa7479 4 ай бұрын
una akili sna.
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 ай бұрын
Ili zipate soko
@hakizimanatony1355
@hakizimanatony1355 4 ай бұрын
Asante kwa kinipotezea mda
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 4 ай бұрын
Hhhhhhh, kwann
@rugambasamuel6836
@rugambasamuel6836 3 ай бұрын
Wanyarwanda na roo mbaya
@rosemary3816
@rosemary3816 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@shabanimbega40
@shabanimbega40 4 ай бұрын
Hii siyo kweli kabisa uwongo mtupu
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 ай бұрын
Tuletee ukweli 😅😅
@khloevibe7569
@khloevibe7569 4 ай бұрын
huna unachojua
@JohnOuya-w7j
@JohnOuya-w7j 4 ай бұрын
Shida ya waislamu ni ubishi tu
@Sandra39823
@Sandra39823 4 ай бұрын
​@JohnOuya-w7j sasa uislamu unaingilia wapi apa ukona ujinga, kwani magaribi si wameishi kudanganya siku zote, Ukraine wanafanya hivyo kupata uruma kuwa wao ni wazuri bali hakuna, alikopelekwa unajua anachopitia?
@Sandra39823
@Sandra39823 4 ай бұрын
​@JohnOuya-w7j sasa uislamu unaingilia wapi apa ukona ujinga, kwani magaribi si wameishi kudanganya siku zote, Ukraine wanafanya hivyo kupata uruma kuwa wao ni wazuri bali hakuna, alikopelekwa unajua anachopitia?
@Adonkamotci
@Adonkamotci 4 ай бұрын
Ana ujuA Ukweli waiyo Vita Ndio mana kamu Acha vizuli Sanna👏👏🇷🇺🇷🇺💞💞
@abigailpasiany8240
@abigailpasiany8240 3 ай бұрын
We are all human beings
@VivianGozberth
@VivianGozberth 3 ай бұрын
Hawezi kamwe kurudi nchini kwake kwamaana utakiwi kumuonesha adui yako uyonge😢
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 4 ай бұрын
Mungu ni mwema kama siku zako hazijafika huwezi Uliwa hata Ukiwa mikononi mwa adui yako.Controller wa ndege ya Ukraine ni mchaMungu ndio maana alimhurumia mwenzake.
@shukuraniLock
@shukuraniLock 3 ай бұрын
Eheeeeeee kube na vitani mungu anapewa heshima!!!! Nahuruma inapatika kati yanaowindana ahaaaaa"" HIVISASA naelewa kabisa, kinachotenganisha watu ni SIYASA .
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 4 ай бұрын
MUNGU yuko pamoja na yeye watu msiuane jamani wote sisi ni wa MUNGU 😢
@josephatdunda1937
@josephatdunda1937 4 ай бұрын
Watu wa kwanza kabisa kuathirika na vita ni wanajeshi na familia zao
@goramatz9488
@goramatz9488 4 ай бұрын
GORAMA WAS HERE🔥🔥
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 4 ай бұрын
Amemshukuru kabisa na Mungu wake
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w 4 ай бұрын
Poa poa 👍
@StellaCharles-zk4kb
@StellaCharles-zk4kb 4 ай бұрын
Safi Sana marekan
@expert5898
@expert5898 4 ай бұрын
Itakuwa ni kweli ndiomaana wamemchukua sura yake direct
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 4 ай бұрын
Sio kweli, hao ni mamluki wa ukraine.
@kaya.o5483
@kaya.o5483 4 ай бұрын
siokweli
@micumass1989
@micumass1989 3 ай бұрын
Hata hafananii na warusi waongo awo😂
@allyrashid-o5l
@allyrashid-o5l 3 ай бұрын
umeon uyo mamluk tuu
@erickmjuni4108
@erickmjuni4108 3 ай бұрын
@@micumass1989Mkuu hao jamaa walikua nchi moja ukimuona m-Ukraine kuntofautisha na Mrussia ni ngumu sana wote walikua USSR
@tithomhagama
@tithomhagama 3 ай бұрын
Kwakweli wanajeshi wanapitia mengi sana
@desngalaba1181
@desngalaba1181 4 ай бұрын
Wamalize vita 2 wazazi wamezika watoto wao sana.
@mudinhomeshack9041
@mudinhomeshack9041 3 ай бұрын
😅😅😅 millard unatumika vby
@kaya.o5483
@kaya.o5483 4 ай бұрын
😂😂😂😂 nyinyi hamuna habari kabisaaaa😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂 na hamuna uhakika hili nimetoka wapi
@gildopitapita1383
@gildopitapita1383 4 ай бұрын
Amen mungu atukuze
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 4 ай бұрын
Slava UKRAIN 💛💙💛💙
@JosephRaymondMushi
@JosephRaymondMushi 4 ай бұрын
Kwakweli mungu atawahukumu wale wote wanyanyasao wenzao kwa maslai yaoo binafsi
@DavidOsward-kk2rz
@DavidOsward-kk2rz 4 ай бұрын
Achane kuwadanganya watuu hv nyinyi mnaijua vita kweliii
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 4 ай бұрын
MNGU wetu ni mwema 😢🙏
@HALFANIJUMA-j8t
@HALFANIJUMA-j8t 4 ай бұрын
Muislamu nimtu waamani sana
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 4 ай бұрын
Mafala sana nyie Ukraine ikifanya vizur mnatoa taarifa
@Gervaskinongo
@Gervaskinongo 4 ай бұрын
Tunaitaji amani dunuanzima tupendane
@philiphokoson1272
@philiphokoson1272 4 ай бұрын
Unaombea kwa MUNGU vita vya Ukraine unaacha kuombea waafrica wenzio kila saa wanakufa🧠.Guinea,Congo nk...
@othmandadi6242
@othmandadi6242 4 ай бұрын
apo kaz anayo akirudi kambini wanaweza mmaliza
@ChrisUromi
@ChrisUromi 4 ай бұрын
Nilikua nakufatilia sahna ila kwa ili umetupiga sikuamini tehna
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 4 ай бұрын
fala huyu... analeta story zakutengezwa na mashoga
@SultanAlly-nz4mz
@SultanAlly-nz4mz 3 ай бұрын
Bahat hakukutana na muisraeli dah wangemsindikiza kwa mabomu
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 4 ай бұрын
Wanajeshi hawataki kupigana ila niongozi wao ndio wamewatuma hawana cha kukataaa
@LeonardoJuja
@LeonardoJuja 4 ай бұрын
Duhhh Mungu azid kuingilia kati
@richarddavidmk
@richarddavidmk 4 ай бұрын
Kawaida kijeshi anaposalenda Ana kuwa Pow. Sasa jukumu linabaki kwa aliye kuzidi uishi au ufe
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 4 ай бұрын
Mbona kafanana na yule yesu wa movie
@BobErick-er6qm
@BobErick-er6qm 4 ай бұрын
Big up+254
@FarajaKadungula
@FarajaKadungula 4 ай бұрын
Ewe Mungu mtuliza bahari watulize vita yao
@africa7479
@africa7479 4 ай бұрын
tuna uhakika gan kama ni wa Urusi kweli.
@juliusmix
@juliusmix 4 ай бұрын
Mavazi
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 4 ай бұрын
Siasa ya vita hiyo... Hii itawavuruga warusi na jeshi lao
@sbboymkaliofficial9108
@sbboymkaliofficial9108 4 ай бұрын
Mbona za Ukraine wakiuliwa usemi acha shobo pi Didy hakutaki 😂😂
@mohamedyonazi7229
@mohamedyonazi7229 4 ай бұрын
Kwa hiyo Barua alimuandikia muda huohuo,ukiwa muongo usidanganye waliokuzidi,Huwa wanakaa kimya sio umefanikiwa Ila wanakustiri.
@FrankieFrank-e4e
@FrankieFrank-e4e 3 ай бұрын
Sio kweli
@Adabachaa
@Adabachaa 3 ай бұрын
Hakuna mrusi kama uyo bro acha uongo
@HamisiHassani-xj9vr
@HamisiHassani-xj9vr 4 ай бұрын
Nashauti mwandi na msimuliaji - akasome zaidi next time alete kitu cha kueleweka
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 3 ай бұрын
Hao ni ndugu ata lugha yao ni moja ni basi tu lakini hao ni ndugu kabisa
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 4 ай бұрын
Kawaida sana. Kuna video nyingi sana za wanajeshi wa Urusi wanasaidia wanajeshi wa Ukraine.
@GeorgeElias-p5o
@GeorgeElias-p5o 4 ай бұрын
Sio kweli
@Anthonyzombie-d2s
@Anthonyzombie-d2s 4 ай бұрын
Choko ww
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 4 ай бұрын
Ndio
@Happizo
@Happizo 4 ай бұрын
Kawaida ya mavi
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 4 ай бұрын
@@Anthonyzombie-d2s Choko babako na mamako. Kobe wewe.
@yusafbayu7016
@yusafbayu7016 4 ай бұрын
Nyie tuna juwa mna fanya Kaz na vyombo vya magharibi mana sijawai kuona ma zuri ya urusi mpaka ukrain tu
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 4 ай бұрын
Just imagine hapo kaaacha watoto wake na mke wake home…..lakini yeye kauwa wangapi mpaka kufika hapo? Simple question.
@EphraimGreen-t5c
@EphraimGreen-t5c 3 ай бұрын
Huo ni utaratibu , na ni sheria za kimataifa askari akijeruhiwa hatakiwi kuuawa anatakiwa asidiwe na kutibiwa
@AshuraSudi-z7l
@AshuraSudi-z7l 4 ай бұрын
Huyu akirud kambini atauwawa
@nameiztv7870
@nameiztv7870 4 ай бұрын
Ni kwel.
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 4 ай бұрын
Maskini🙏🙏
@Ezim2445
@Ezim2445 4 ай бұрын
We Miladi sasa hv hufai tena we chawa tu hujui lolote
@MuhhamadMsigala
@MuhhamadMsigala 3 ай бұрын
Yupo Mungu
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 3 ай бұрын
Mbona hakuna alama yeete kwe gwanda kuonesha ni wa Urusi au lah
@lugendondago8493
@lugendondago8493 4 ай бұрын
Wewe Ayo TV mmeona hiyo tu, mbina wao wanapigwa hamuonyeshi au kwakuwa nyie ni katika wale
@EmmanuelNyinyigwa-m1o
@EmmanuelNyinyigwa-m1o 4 ай бұрын
Acheni SASA vita tuishi pamoja😊
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 ай бұрын
HAWA NDIYO WA NGWANA NA SIYO KILA SIKU VITA TU!
@Ampinobelitv
@Ampinobelitv 4 ай бұрын
Hapo ndio ujue Marekani anapigana na urusi na sio Ukraine wenyewe
@GeofreySolomon-lp7xl
@GeofreySolomon-lp7xl 3 ай бұрын
kivipi
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 4 ай бұрын
Huyo ni wa ukrain ila mbona za uzuri hutumi😂
@OscarlucasKagombogombo
@OscarlucasKagombogombo 4 ай бұрын
Kumbe urus kuna wakristo wao🙏🙏🙏🙏 kama umegundua hii drop down like apo
@Ampinobelitv
@Ampinobelitv 4 ай бұрын
Yeah wapo tena dhebu la othodox
@OscarlucasKagombogombo
@OscarlucasKagombogombo 4 ай бұрын
@@Ampinobelitv 👏👏
@isaacdavid3997
@isaacdavid3997 4 ай бұрын
Asilimia 88 ya wananchi wa Urusi ni wakristo wa dhehebu la wa orthodox
@chany9950
@chany9950 4 ай бұрын
Amen🙏🏾🙏🏾 Yesu ni mwema jmn
@galdersniper2701
@galdersniper2701 4 ай бұрын
Yesu ndo anaendesha hapo au ndo amempa maji
@Classic-i2e
@Classic-i2e 4 ай бұрын
😂​@@galdersniper2701
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 4 ай бұрын
Hii media nimeshakuwa na uongo mwingi
@yohanakateko
@yohanakateko 4 ай бұрын
Wanajeshi hawataki ujinga wanasiasa ndo wanaharibu mambo
@jostamzxkaole3113
@jostamzxkaole3113 4 ай бұрын
😂😂👍.. kilamtu anapenda amani.. hakuna anaependa kupigana🫣😂
@yohanakateko
@yohanakateko 4 ай бұрын
@@jostamzxkaole3113 wanasiasa ndo washenzi
@NaftaryMgoye
@NaftaryMgoye 4 ай бұрын
Umeanza kuleta vitu vya kishamba tofauti na habari tunazotarajia
@kombosalehe9787
@kombosalehe9787 3 ай бұрын
Maigizo tuu angalia machoo uongo mtupu
@KelbnaMedard
@KelbnaMedard 4 ай бұрын
Mmmmh wenzetu wanajeshi wanaata shida kama hiv unaacha family yako wanaish kwa matumain hawajui kama utalud au ndo unafia huko
@chindemasoftware
@chindemasoftware 4 ай бұрын
Kwamza mbona kama ni mu ukrain huyo
@kijukuuwakijukuu923
@kijukuuwakijukuu923 4 ай бұрын
kwa sababu ni wa urusi ndio maana mmeirusha ila uwezi rusha za wanajeshi wa israel wanavyo nyooshwa na hamas au za wanajeshi wa ukraine wanavyo fanyiwa
@geomangi6123
@geomangi6123 4 ай бұрын
mimi nikiona mafala wanashabikia vita nashangaa tu sana tena sana. fahali wawili wapiganapo nyasi huumia saa hizi putin ankaa na bibi yake na watoto wake wastarehe huku wanajeshi raia wadhulumika.
@SaidMbulwa-ks4mk
@SaidMbulwa-ks4mk 4 ай бұрын
Maajabu
@pascalvitalis
@pascalvitalis 4 ай бұрын
Millad ayo munakoelekea munakua page ya udaku sasa... Huyo ni shoga wa ukrain
@Rakim-y2z
@Rakim-y2z 4 ай бұрын
Huyo ni mwanajeshi wa Ukraine hata sura yaonekana hiyo
@aloycialucas3442
@aloycialucas3442 4 ай бұрын
Ad huruma waliowatua wanakuna vitambi tu mpaka kasal baba wa wat
@edmundngongi5455
@edmundngongi5455 4 ай бұрын
Hapo mmetudanganya huyo ni mwanajeshi wa Ukraine 🇺🇦
@GeorgeElias-p5o
@GeorgeElias-p5o 4 ай бұрын
Huo ni ushabiki
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 3 ай бұрын
Sio kila mtu ni mtu mbaya
@sosteneselias7764
@sosteneselias7764 4 ай бұрын
Yaani mtangazaji upo empty kinoma hufai kuwa chanzo cha habari
Simba 3-1 Al Ahli Tripoli | Highlights | CAF CC 22/09/2024
12:04
Azam TV
Рет қаралды 1,3 МЛН
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI
17:50
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 08/11/2024
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 12 М.