Reminds me of my younger days. They came to wake us for pre-dawn meal (suhur) during the month of Ramadhan.
@AmneFaraj-zg5fy Жыл бұрын
MashaAllah, my home😊.
@hamadmohamed3056 Жыл бұрын
Hayo sio mafundisho ya Dini ya Uislamu Wacheni kuleta Bida'a zenu. Mnashindwa Kuswali kiam Lail mnaleta upuuzi. May Allah guide us 🤲
@ELIPHAZAMON-ex9zc Жыл бұрын
Waislamu mnatuchekesha sana mambo yenu halaf mnaanza kupingana wenyew kwa wenyew ndo mana nyie manakaa mnauana nyie kwa nyie
@hamadmohamed3056 Жыл бұрын
@@ELIPHAZAMON-ex9zc Wanachokifanya sio katika Dini ni upotoshaji ni uzishi wanazua ndio maana tunapeana nasiha njema hio ipo katika Uislamu mwenzio akikosea unamuelekeza.
@jumak.ismail2504 Жыл бұрын
Same kawangware kigoma was there
@Haytham_The_Car_Don Жыл бұрын
Nakubali citizen hii ni kazi kubwa sana mlioifanya🙏🙏🎉🎉
@Zigzag-o6k Жыл бұрын
huu sio uislam aliofundisha mtume wetu kuamshana daku kwa ngoma asili ya waislam kuamshana wkti wa daku ni adhana ya kwanza ambayo uadhiniwa saa tisa au kumi na nusu usiku
@bonfacemuhammed Жыл бұрын
Hawa ni wavuta bangi.saudi Arabia wanangojea adhana muji mtukufu wa Madina hakuna hiyoo.tabia,,🇲🇷
@samuelmbugua6781 Жыл бұрын
Here in Uganda I went to visit a friend that very night I Neva new anything like that , so I thought it's night runners in this neighborhood I was shaken the whole night I Neva gone back there although I had to ask here night runners r more advanced every laughed 😂 I never new anything like that 😂😂😂
@hellennjenga5267 Жыл бұрын
Saudi Arabia tunalala mchana ❤❤❤
@earlyearly2234 Жыл бұрын
Upuzi mtupu munaamsha watu daku lakini hamuamshi Watu waende Wakaswali
@ahmaduun6523 Жыл бұрын
hiyo nayo ni point muhimu kabisa. Swadakta.
@sylviaecke1772 Жыл бұрын
amu the beautiful place tobe
@kateciku1229 Жыл бұрын
Kwani Lamu ni wazembe aje lazima waamshwe.
@KIM-xl6zs Жыл бұрын
How I want to visit lamu
@youngsaid2371 Жыл бұрын
Bida'a
@husseinahmed9856 Жыл бұрын
Ya babako
@masindeernest5994 Жыл бұрын
Chakula hicho utapewa bure?
@maathaimaathai3395 Жыл бұрын
Why nema ain't stopping this
@mwanasitidettwiler9254 Жыл бұрын
👍👏👏
@tosh313 Жыл бұрын
Sio wote waislsmu wacheni watu walale
@zakiakondo2849 Жыл бұрын
Mbona kawaida sana miaka nenda rudi katika miji yetu ya pwani kama dar tanga unguja 😅
@fly69jamual62 Жыл бұрын
hio ni kali, waniamshe saa kumi na mbili asubuhi lakini saa tisa jameni salaala!
@ahmaduun6523 Жыл бұрын
saa kumi na mbili ni saa za kula daku jamani? duuuhhhh! hiyo kali nayo.
@omokemorara8656 Жыл бұрын
Usiku nala kabisa halafu mchana nafunga kabisa.
@ahmaduun6523 Жыл бұрын
hiyo kali mzee!
@samuelmwangome4 Жыл бұрын
This is nonesense and lack of education
@royphaskazungu6317 Жыл бұрын
Stupid. Very lazy boys .kazi yao ni hii tu badala wasome...
@eriminahmshai Жыл бұрын
Wamekuambia hawajasoma nenda ukawaweke shule basi
@ahmaduun6523 Жыл бұрын
@@eriminahmshai hhhhh. miye sisemi kitu hapo, langu jicho tuuuu!