Nakubaliana, na maneno, yenu, kwanza maandamano, yaanze, leo
@charokakio914 жыл бұрын
This is the right time for all Kenyans to standup and take this Corrupt Government home without fear.
@politicianstv95294 жыл бұрын
Yes
@johnkariuki47894 жыл бұрын
Vitanda kumi na moja walale wenyewe na wake zaoo.......
@sakinat25274 жыл бұрын
Hapo sasa
@aminasaid76574 жыл бұрын
Nimecheka sanaa😂😂😂
@luizngugivlogs56004 жыл бұрын
Kenyans we are tired with this government ...tukiamua kuandamana kila mtu ana hasira tunaumia sote
@pendoonyango66764 жыл бұрын
I support you
@cytkl4 жыл бұрын
The govt of goons destroying the Future of everyone
@esiebabs44874 жыл бұрын
Waislamu na wakristo it's time to pray 💔
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Ino ndio comment muhimu nimeona kutoka Corona ianze, mda wakurudi kwa maombi mungu mwenyewe atatupigania corona
@esiebabs44874 жыл бұрын
@@babyhamisi5331 AMEN, tumuite mungu wa shadrak meshak and abedinego ,hakika hii moto ya corona haitatuchoma
@naturalist95174 жыл бұрын
waislamu na wakristo ya nn kwan wengine walijiumba
@michaelibrahimibrahim6654 жыл бұрын
Nimependa sana vile umeongea , maana ni ukweli,
@albertmangera22694 жыл бұрын
Uislamu tuaongea ukwli tu ju ni agizo. Kutoka kwa Allah.
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Kweli kabisa mlivyoongea
@elnorahmjomba13114 жыл бұрын
Tumekataa ndege ya uchina hapo umeongea hongera
@langatchepkoech7174 жыл бұрын
This is the same mistake china did when they arrested the Whistleblower.. now look whats happening there. TUMECHOKAAAA!
@mscantraah82104 жыл бұрын
Kabisa 🙉🙉🙉😭😭😭
@mwendapoleee4 жыл бұрын
Na alijifiya maskini doctari!
@mercykangangi14 жыл бұрын
Ushanena aki kama nzige zimetushida... Je,corona tutaweza kweli???
@albertmangera22694 жыл бұрын
I love this sheikh, as he looks into serious issues.
@bratonwilliam78774 жыл бұрын
Albert Mangera point taken
@mdigowanimdigowani74014 жыл бұрын
Aawapi
@hashim-kenya47884 жыл бұрын
Hatuwezi
@pinvii86794 жыл бұрын
We are behind you...lets do this💪
@abdullwahab394 жыл бұрын
Kweli kabisa kwanza waziri wa usalama matiangi afutwe kazi kwa sababu ameshinda kufanya kazi yake
@jamesnjoroge64404 жыл бұрын
Akili zao zimepotozwa na bbi hawajali chochote ila wajitafutie viti pamoja na jamii zao uhuru na raila Mungu yuko na amesoma fikira zenu jehanamu yawangonja.
@chebby73514 жыл бұрын
Bbi na 2022
@jackiendambuki47884 жыл бұрын
Absolutely
@danneismail54424 жыл бұрын
Sawa Ruto
@mscantraah82104 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 wallah
@mscantraah82104 жыл бұрын
Kweli kabisa
@samuelmakona62144 жыл бұрын
This president has failed completely
@mwalimupatrick43234 жыл бұрын
hii Kenya tumechoka bana!! tunafaa kuaanza maadamano sasa hivi😣😣
@arifswaleh1764 жыл бұрын
Tuko tayari kwenda barabarani Kenya ina ushenzii
@sassiejane12994 жыл бұрын
Hapo kweli kabisa
@amaliajifaith46454 жыл бұрын
Umeongea vizuri Sana huu ukweli kabisaa
@Temboz4 жыл бұрын
I support the first dude...he has valid points Kenyans are very ill equipped to handle a global epidemic like corona virus.
@b.truthful4 жыл бұрын
You are the Big Dude
@ibrahimrukundo30644 жыл бұрын
ALLAH awahifadhi hao mashekh nawoooote mfano waooo.
@marylynkenya31214 жыл бұрын
I support you
@xa9xn4374 жыл бұрын
Marylyn Kenya kabisa tumechoka
@khamisijuma31674 жыл бұрын
Hata wakimfuta kazi mitandao ipo tutawamulika tu washenzi
@mwanakombosuleiman61614 жыл бұрын
Mm nitawamulika sasa .wamenichosha
@omarjeylani91444 жыл бұрын
Faida ya BBI hiyo, kenya imekufa kitambo sana, kenya Kuna shida ya drugs, health sector, barabara mbovu, uchavu mitaani na barabarani, port ya mombasa inaomboleza, uwizi na hali ya usalma imezorota kutoka lamu garissa mandera mombasa marsabit na kwenginneko, may God get rid of all corrupt leaders and their allies. I will be very happy if this virus clean those corrupt leaders.
@حورالفهد-ف4ز4 жыл бұрын
imagine hata huku warabuni wamestopisha watu kusafiri , hii si mchezo viongozi wa kiismamu mumefanya vizuri kuingilia kati coz wenzenu viongozi wakikristo wamelala tu wangoja kufanyiwa michango na na harambee wapelekewe mapesa washibishe familia zao , Mungu awabariki na kuwapa ujasiri ndugu zetu .
@josephatmoracha57554 жыл бұрын
I like the way you speak becouse it's now time to go back to the streets and demonstrate coz hatuna lingine plz Kenyans we have to do something plz.
@Unclesam000014 жыл бұрын
Ufisadi tunaeza vumilia lakini Corona itatumaliza Ni Corona solution no bbi
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Kweli kabisa
@zulfahhussein5054 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@sharonmakungu91854 жыл бұрын
Kwanza hiyo ndege inakuja kila Wednesday.Fala ingine inaitwa rashid ilisema ati hata tukikosa ku allow chinese kenya bado tunaweza pata from other people from other countries coming to kenya.he is forgetting that china is the epicenter of this disease.y shld we risk.this guy really suprised me.its better to take precautions than to risk.he is so stupid
@nicholaskiamah17194 жыл бұрын
The chair man has spoken very clearly and given proper facts these are the religious leaders that Kenya need , the chair man has the peoples best interest at heart
@estherwawera21474 жыл бұрын
Nahasira sana,najutia kuzaliwa nchi yetu hii ya kenya,ukoloni upo bado,watunyanyase na kesho tukapange foleni kuwapigia kura,Yangu hawapati inshallah nisipo sobwa na corona,watataniona paa,
@estherwawera21474 жыл бұрын
Atakae wafuta kazi nani,kama raisi wetu wa Kenya alijua kuna ndege imeingia Kenya kutoka china,hakuchukua hatua yeyote,hapo kuna njama Fulani inaendelea,wanataka kuitisha misaada Kenya watie pesa mifukoni,huku twaendelea kufa,pasipo kujua pia wao wamo hatarini,nashangazwa sana na serikari yetu ya Kenya,pesa mbele
@AliIbrahim-lv5cq4 жыл бұрын
Tunaumizwa na chikungunya leo mwenda tuletea CORONAVIRUS nchini ugonjwa uloshindwa na tiba kwa nchi za kitajiri Khah!!!!
@Kasweetie_2544 жыл бұрын
Na dengue fever jameni
@sakinat25274 жыл бұрын
Allah atustiri yaa Rabb
@AliIbrahim-lv5cq4 жыл бұрын
@@sakinat2527 Amiin dada
@helenwangechi77464 жыл бұрын
Hongera baba umeongea ukweli mutupu tuandamane jameni uhuru atatua
@mscantraah82104 жыл бұрын
Kweli kabisa kenya tuiskie tuu ni kenya bt utaratibu hakuna kabisa mwasema nzinge tu je matakataka umezisahau zilivyo tapaka Mombasa hata hutamani kuka mombasa je Corona ikija tutarishe makaburi hakuna usaidizi mwengine ufisadi umepita mizizi nanyi mwasema corona mutapambananayo matokeo na mutajua hapo? Ikifika ni kuomba mungutu
@manfredgungah42464 жыл бұрын
Woi jamen hii italeta shida kabsaaa huku
@stellaloves98794 жыл бұрын
Mombasa mumeogea point nawependa bure tuombeni Mungu atuepushie na ili janga.. Government yatamini pesa sio binadam
@zakayowanjala78184 жыл бұрын
Aki huyu shiekh ameongea ukweli kabisaa tho amefanya nicheke kidogo pale pa vitanda walela wenyewe na bibi zao twaumia sisi wanyonge
@mwanakombosuleiman61614 жыл бұрын
Wakenya serikali mwamfuta kazi mtu kwa sababu amesema ukweli mbona mwakubali ndege za china zije kenya .ingekuwa mm pia ningeipika picha nikasambaza tumechoma jamani njaa ipo uchumu umepanda tena mwataka kutuletea maradhi .
Sisi waeslamu lazima tunazuguma makosa yametokawapi walale nawakezao kisha kuna ayazakusoma Allah ndiye wakulinda watu jamani ndugu waslamu tuwenaemani
@AishaAli-lk7gh4 жыл бұрын
kabisa
@wattsleilah4 жыл бұрын
kweli kabisa sheikh,,,
@lydiamuthoni71664 жыл бұрын
Let’s all protest Kenyans wake up wake up🙆♀️🙆♀️🙆♀️👏👏👏
@djeye47064 жыл бұрын
Remember before kutetema; hii ni laana kutoka kwa mungu kumbuka ambri 10 zilizotolewa kwa mungu wakati wa Faraoh... 💣 bomba ya 1 locusts 💣 ya 2 magonjwa hiyo coronavirus... bomba lingine laja ... tuajiangalieni...
@bamariz4 жыл бұрын
kwa mara ya kwanza juma ngao amesema ya maana.siku zote anabonga zero
@kituxina46664 жыл бұрын
Mashekh WA Kenya NI WANNAFIK..! ALLAH anakuoneni nyinyi NA ndio maana leo DEMOCRACY iyo iyo MNAYO iyabudu ndio inayokutieni adabu kupigwa NA kuuliwa..? Hamuwezi nyinyi kuwa wauumini wakweli kama al shabbab........ Inna aqssara nnasi lahumm fassiqunn
@sageforce93064 жыл бұрын
I like this sheikh. He brings out our wrath and frustration with a dash of flavour. Tell this Chupili kafament wasikize
@tejah24 жыл бұрын
Vitanda Kumi Na Moja Walale Wenyewe Na Wake Zao!!!!!!!!!!!! Sisi Hatutaki
@magoigagati35694 жыл бұрын
Kenyans are just mad!!! Starting from top to bottom.Uhuru mwana wa Kenyatta MOI anointed you Wrongly!!!! When he said publicly"Atakayeweza ishikilia hii nchi kidogo ni"UURU KINYATTA".Am real dissapointed by your LEADERSHIP!!!!!. Exposing us to CORONAVIRUS?????!!! GOD will NEVER FORGIVE YOU AND YOUR FAMILY!!!! By killing poor Kenyans.☣️
@fatumamwalimu57654 жыл бұрын
Mimi namuomba MUNGU hiyo CORONA impate Uhuru tena afe ndio wengine watakaojiweka madarakani wawe na adabu
@susankariuki4494 жыл бұрын
Ha, ha, ndio
@AishaAli-lk7gh4 жыл бұрын
ameen
@carol-morasta4 жыл бұрын
wasee tu andamane mpaka state house juu hii kitu ni sisi itamaliza wao wako na pesa wataka kwa ma mansion zao,na mmoja wao aki patwo nayo ata providiwa na the best doctors,so it's up to us,tunaweza enda mpaka iyo airport na tuifuruge,wao hawana shunguli na sisi wanafikiria kuhusu BBI
@kevinwamalwa95254 жыл бұрын
Tafathali ...hao viongizi wa kidini .. Tuongozeni...kwa kila namna ...mwazo....mm sioni faida ya wachina ....kwa sababu tangu 2 wajenge reli maisha yamekua nagumu sana ... ....just imgn hii kitu ikiingia. ....ushagooo ..
@mav2zmajamboz6244 жыл бұрын
Samahani kwa wote ... Lakini hakuna hatua Serikali itachukua...munadaiwa maBilioni...lazima mukubali matokeo yaishe...
@hustlernaturalrocks2924 жыл бұрын
Kweli kabisa Ustadh lakini Mbona nyumba ya mungu ifungwe? Yani Jamia mosque
@mwanaishahussein26354 жыл бұрын
Inasikitisha Shujaa kuichua video ndege ilina wa China kufutwa kazi lkn je, ni bora wakubwa kuhongwa ili kuangamuza uma?,jamani tusihadaike na pesa tutafute amali njema😏😏😏😏
@remiomar71544 жыл бұрын
Nikweli asemayo shekh ndege zistopishwe kwende china mpaka huu ugonjwa uishee jamani Kenya inamajanga tele Al-shabab tuu wanatuendesha mbio
@damarisnyambura91114 жыл бұрын
Serekali gani hii mtu akiongea ukweli afutwa kazi,usemi ni unakosea serekali heshima pombe haramu wamweshidwa kumaliza ambayo inauzwa hadhalani corona ni virusi atazimaliza vipi zikiingia humu inchini🙄🙄🤔🤔☠☠
@marysaituni45844 жыл бұрын
Serekali wangefunga usafiri wa kutoka inje ya nchi.. ingekuwa Bora zaidi
@ezraketer16434 жыл бұрын
Prevention is better than cure. Uhuru should wake up
@respectall45514 жыл бұрын
We need to understand just only one thing. No one surpass the power of the Almighty God. Oppressed kenyans, all religious affiliation we need to stand together join our hands and pray against all the people involved in this drama, the people who wants to harm the life's of poor civilians. May Almighty God accepts your prayers and punish them all. May the Almighty God protect the people of kenya and its neighbors. Love from another side of the world.
@zaudebodaboru1814 жыл бұрын
Jambo hili linakaa kaa tu kawaida kusikia wakati wote kwa wakenya.lakini endapo mtu mmoja kudhibitishwa kuwa na virusi ndio watajua hii ni jangaa .kwa sababu kutoka mwaka tuliopiga kura hadi waleo sisi tunachojua ni siasa tu. Kenyans should stand with ALI GERE ...a Hero and a patriot. Si jambo la kushinikiza tu.
@williamjulius59814 жыл бұрын
True sheikh wambie ukweli Kenya hatuna uwezo wa kupambana na Corona viruses
Swali kubwa ni mbona hio ndege iliruhusiwa kuingia humu kutoka china? Vile ilivyotua ivo ivo ingestahili kurudia papo hapo bila abiria yeyote kutoka ili kuzuia usambazaji wa virusi humu.
@eminaburu14234 жыл бұрын
Mungu Atuepushie mbali janga hili la koron hasa kwa wenzetu wa kenya
@alexmuvua13124 жыл бұрын
These guys dropped some hard barz..."Locust wametushinda.Hatuna lab.Tunatuma specimen South Africa kupimwa.Tutapambanaje na Corona?Hatuna capacity ya Nzige....Corona tutapambanaje nayo???". 😤😤😤
@chunaamina87194 жыл бұрын
Laiti kama the first one ungekua president hakungekua Na udhalimu Na ufisadi mwingi manake umeongea ukwel mtupu👌🙏
@evelynmumbi16594 жыл бұрын
This is a world war item....BT why is the President not speaking no planes to be allowed until tukue tayari ata mask na sanitizer zitatosha kweli
@atienomitchell4 жыл бұрын
At least Indians earned their citizenship in Kenya and being the 43tribe in Kenya by helping us kitambo in the railway businesse but China this is corruption .Tusipochunga our country will be renamed "Kenya republic of China"king Kaka was right by calling us wajinga tuamke tusiwe zuzu zaidi.
@alicewagula40794 жыл бұрын
I support you ..president alipe deni ys china warudi huko nkt
@Ed-vi6bs4 жыл бұрын
Ukweli
@furahakwaumabyrashid40324 жыл бұрын
Serikari ichukue hatuwa katika hilo mbona marekani wamezuiya ndege kuingia na kutoka sie waafrika tunashindwa vipi
@merryeliufhoo20354 жыл бұрын
Eee mola wetu wa haki tuepushe na hili janga yarabbylaghalminn
@aloycemwakatala26344 жыл бұрын
Arudishwe kazini upesi maana tutakosa habari za kweli kutoka Kenya maana msema ukweli mmemutoa kazi, ludisha haraka huyo mwandishi wa habari.
@tcgmchurchtanzania80514 жыл бұрын
Kama haya yanao ongelewa APA yana ukweli .wakenya ugonjwa huo utaishambulia afrika mashariki nzima kwa kutokana na muingiliano yetu hatimae tutatengana wenyewe kwa wenyewe jambo ilo sio lakufumbia macho nila kukemewa Sana halivumiliki na linakera .wachina hao watafutwe na warudisheni kwanza kwao.atuwabagui ila nikulinda jamii zetu
@mumkmamy51864 жыл бұрын
Serikali isidhani hayo maradhi niya maskini pekee hta wao hawatatoboa Shenzi Type
@raiyanmohd9184 жыл бұрын
Ni kawaida nchi zetu za Afrika na viongozi wetu wanajali pesa zaidi kuliko wananchi
@grantler17264 жыл бұрын
" Wameshindwa na funza, wataweza covid 19!!!
@sidistephen89824 жыл бұрын
Uhuru,raila na ruto wametuangusha pakubwa wanataka kutumaliza ndio wauze inchi yetu ili walipe deni la wachina
@mumblessed0014 жыл бұрын
Asanteni itabidi hivo hio swali ndio naulizo mbona anafutwa kazi juu ya video hapo kuna ufisadi hio ndio unapata vitu huingia kenya kama sukari mchele xakuagamiza wakenya watu wa defend hakuna kitu wana fanya
@judyjudy10524 жыл бұрын
Kabisa hapo tuko pamoja sana warudi kwao kwanza for surely Kenya hatutaki hao watu
@mursilmursal4 жыл бұрын
Its high time kenya we come together tumekua wajinga snaa
@samiramohamed39944 жыл бұрын
MM MTAZANIA NAOMBA MSAMAHA KWA NDUGU ZANGU, ALLAH HAKUSEMA KISIMA KILE PALE JIDUBUKIZE MM NITAKUOKOA KASEMA JIOKOE NA MM NITAKUOKOA NA BINADAM SOTE TUNAHAKI BILA YA KUBAGUANA NA SERKALI INA WAJIBU WAKE NA PIA SERKALI ATIZAME ROHO ZA WANANCHI WAKE HATA KAMA KENYA INA DENI YA MCHINA ITAFIKA WAKATI ITAISHA INSHA-ALLAH NITAIOMBA KENYA SERKALI NA WANANCHI WAKE WASHIKAMANE NDIYO UMOJA NA NGUVU ✊💪 WAKUOGOPEWA NI MOJA TU ALLAH SIYO MCHINA TIZAMENI WAZEE NDUGU WATOTO TUWAHIFAZI HIZO NDIZO DUA NDIZO ZITALETA MAENDELEO YA NCHI BILA KUJUA NDUGU ZANGU WOTE 👍
@phayphay84714 жыл бұрын
Sema baba Sema sisi wa tz waoga sana na wajinga sana walingi tukanyamaza sasa tunaumwa
@johnchacha74804 жыл бұрын
Serekali wasitubebe kuwa wafala maana BBi ndio muhimu kuliko afya ya wakenya wacha hio ungojwa wa korona ushike moja wao ndio watajua BBi ndio muhimu au afya wakenya
@hajiabdalla57724 жыл бұрын
Sio wachina to wazungu wote na wazaliwa wasije Afrika au kenya au tanzania au zanzibar wasije wageni
@allyflavour80054 жыл бұрын
Napenda kuona wananchi wenye kueleza kitu kwa weledi pia kujiamini kabisa nice kikubwa kuomba duwa mungu atunusulu
@mwamengi24094 жыл бұрын
Waziiiii umeongea kama watu million 10 Kenya hongera sanaaaa
Hawa Viongozi wanafaa kuombewa washikwe nawazimu. Kwa ulafi wao natamaa Bila kujali binadamu wengne katika taifa hili... Laana zAMungu zawashukie kwa dhulma zao na uharibifu katika ardhi ya Mungu. Amen!
@estherwawera21474 жыл бұрын
Wasishikwe nawazimu,wafe wao kwa hizo mikutano zasiasa na corona, waoze kwa Siku moja
@mwambaowapwanichannel85724 жыл бұрын
Wakenya hii sio maswala ya kisiasa, hatutaki kitu chochote kutoka china, rais apige marufuku ama tugome kwa maandamano, Mgomo mgomo mgomo
@jackiendambuki47884 жыл бұрын
Yes tuko nyuma yenyu munyoki nyumbani kenya yetu hatari kweli. Uhuru na raila bbi tu
@mwendapoleee4 жыл бұрын
Ata ninio ya kupima temperature airport ni 6 pekee na sio halisi mara hazifanyi kazi mara 2 tuu zafanya na wenye kupima hawana vifaa za kujikinga jameni.
@mercymwanzari96464 жыл бұрын
Serikali ituache tufe maskini lakini si kutokana na virusi vya korona
@salomemukani16274 жыл бұрын
Nikweli kabisa wahenga walisema kinga ina shinda tiba.mbona awa wakubwa awawoni vile watu wana kufaa kiolela kule china. Waruhusiwe kuingia kenya na uko kwao wamezuia ndege kutoka inje kuingia kwao.
@abdifatah7774 жыл бұрын
waliziuza hizo visa kwa thamani ya pesa bila kujali maisha ya wakenya....bb death
@essaeriziq15524 жыл бұрын
Ni kweli huyo aloingiza ndege kisiri afutwe kaziiiii
@mariamm27244 жыл бұрын
Umeongea sawa bado tz maana hawasikiii.etieti biashara .
@timaahamdi56214 жыл бұрын
Aki Kenya ni nchi ambayo ingekuwa juu kimaeneleo.Lakini ndio nchi ambayo imezoroteka kiuchumi Africa kwa sababu ya UFISADI Na UBINAFSI
@Kasweetie_2544 жыл бұрын
Wakitumaliza na corona nani atalipa china lile deni?...
@zainabomar91394 жыл бұрын
Yan nikuomba sana t wakenya lkn wameyaleta hayo maradhi kusudi kutumaliza maana wajua hatunakinga kuwashinda lkn twaamini allah ndie atakae kutunusuru na korona yao
@salimsalim84214 жыл бұрын
Angalau ume amua kunene safari hii, watu wame chokaaaaaaaa