Daddy tukea tumetoka kwenye ibada ya jma4 April 9 usingizi umeluka nikaanza kuona mapicha picha tu sielewi mala naolewa sielewi nikasia sauti inaniambia tafuta hii video nikaandika vita anavyo pia mwanadamu John sembatwa ikaja hii BABA nimepigika naamini Mungu anajambo lake mpaka kunileta hapa nitazidi kufunguliwa namna ninavyo zidi kujiunga manisha na sadaka za umoja wa kanisa najua na mimi nazidi kuwa kuingizwa ndani zaidi kuwa na ukalibu na huyu Mungu GOD BLESS you Daddy John
@monicahmwalozi9 ай бұрын
🙏 baba Mungu akubariki sana kwa kutuelimisha hii Elimu ya kiroho.
@PerisiperisiKingi9 ай бұрын
Mungu naomba unipe nafasi nyengine AMEN❤
@monicahmwalozi9 ай бұрын
🙏🙏🙌🙌😭😭Katika ya mazingira na hali ngumu ya uchumi eee Mungu nipe nafasi nyingine 🙏🙏🙏niinulie watu Eee Bwana hata walio adui zangu 🙏🙏🙏 😭😭😭 najua Bwana Sawasawa na NENO lako kwako hakuna lisilowezekana .