Fei is fantastic player and he score very nice gool Zanzibar TZ oyeee🎉
@pascalmwani31636 күн бұрын
Aliyecheza ni Mtanzania Sio Mzanzibari ndugu
@pascalmwani31636 күн бұрын
Acha ubaguzi
@Rahima-kv6mn6 күн бұрын
@@pascalmwani3163 Washamba hao achana nao apo wanatamani Mungu wangewaumba wao Dunia mzima 😏
@rukiakyaka18276 күн бұрын
Alhamndulilah kwa kupata ushindi M/Mungu atujaalie zaid Inshaallah
@AllybchataAlly6 күн бұрын
Zanzibar number 1
@piusmapunda59006 күн бұрын
Hongera sana wachezaji wetu! Mmeiletea Nchi heshima! Wachambuzi waliisifia sana Guineas eti inaizidi Taifa Stars kwa gap ya 40, sasa endeleeni tena kuisifia! Umefika wakati mashabiki wa Tanzania waache mambo ya kishamba ya kulalamika sana na kulaumu kila timu yetu inapofanya vibaya. Muhimu tuwape support hata tusipopata matokeo hii ndo timu yetu lakini kuna mijitu kazi kusifia timu za wenzetu kisa alibeti na imekuwa tofauti
@Brown-hs1gv6 күн бұрын
hongeren TZ ila ndomsivimbe vichwa kwa ushndi huu kwan umesha pita bali sasa ni kufocus na mchezo ujao dhidi ya Congo maana ni mgumu mno👏👏👍
@jeromemassawe6946 күн бұрын
Hongera wachezaji wote viongozi wote watanzania wote mungu ibaraki Tanzania.
@aloyce65836 күн бұрын
Baada ya ushindi ubaguzi umeanza zanzibar na tanganyika. Ushamba mkubwa
@mwajumagomera76096 күн бұрын
Ndo akili yetu ngozi nyeusi 😂😂 ila wazungu hawana hayo maana hata olympic tunaona watu asili ya Africa na wanawakilisha inchi zao na hakuna ubaguzi😂😂
@venosmodekai15756 күн бұрын
😂😂😂
@RashidMwandola6 күн бұрын
Yan Tanzania ugenini hatumwachag mtu mpaka tumnyoe Hongera sana Tanzania stars Maombi juu yenu ushindi wenu juu yetu. From Mbeya
@abednegomawalla87476 күн бұрын
Zanzibar wametengenezwa Tanganyika kwa faida ya Taifa la Tanzania.
@Anandezi6 күн бұрын
Taifa ⭐️ 👍🏽
@perucebuhomaosward85126 күн бұрын
Mi ndio maana natamani wachezaji wanaocheza nje ya Nchi wasicheze kabisa Timu ya Taifa, waliopo nyumbani wanatosha na wanacheza kwa kujitoa sana. Wachezaji wanaocheza nje ya Nchi hawajitoi coz hawana Uchungu na Timu ya Taifa wamelewa pesa wanazolipwa Nje. Big up Fei & Muda
@aminattai26766 күн бұрын
Taifa star inapendeza na jezi hizi,zile nyengine na rangi zetu haziendani
@ommybrandTz6 күн бұрын
Zanzibar 1 iyooo inatueka sehemu salama mung ibarik Tanzania
@PauloAlfayo-qi1gn6 күн бұрын
Hivi Hawa wapuuz wanaongelea uzanzibari Wana maana Gani??jinga puuz kbsa
@PeruthNehemia6 күн бұрын
Hongera sana wachezaji wote mud🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@obedimwakagali77556 күн бұрын
Kuna bonge namuona anakimbia kweli😅kushangilia goli la mudathir
@JaneKissanga-fe1vp6 күн бұрын
Namkubar sana fei Sali mungu amujari
@allysalum37446 күн бұрын
Hongeren sana wachezaji wetu pamoja nabenchi lote laufundi
@fatmaally72526 күн бұрын
Mudathiriiiiiii
@aminattai26766 күн бұрын
Wazanzibar wachweni choko choko,Mimi mzanzibar lakini kwa ilo siungani na maneno yenu,kwani mechi ya kwanza na Ethiopia wazanzibar hawakucheza mbona hawakufunga wao? Na je timu nzima waliocheza ni wazanzibar? Mnapenda kukuza mambo pale ambapo hakuna sababu ya kukuza,jitathimini kabla kukurupuka.
@antidiusmtakyawa6 күн бұрын
Kiukwel tz wamepambana San nawap hongera🎉🎉❤
@ShaidaAfati6 күн бұрын
Hongereni sana wachezaji Kwa kupeperusha bendera ya Tanzania endeleeni kujitowa katika mechi zote mtakazo cheza yuko pamoja
@GraceDui6 күн бұрын
Hongereni woooote wachezaji
@JoshuaBushesha6 күн бұрын
Wapongezwe wachezaji wote kwa juhudi ya kulipambania taifa letu
@obedimwakagali77556 күн бұрын
Kumbe hawana chochote achen ujinga hamna chochote taifa stars
@frida-oi6kw6 күн бұрын
Ila watanzania sisi wanafki kinoma 😂😂😂😂...wakishinda fresh wakipalasa matusi juu
@RobertMligo6 күн бұрын
Mungu ibariki TANZANIA na mama aongezewe baraka kwa hamasa ya taifa
@wilondjarama14276 күн бұрын
Mama gani
@malupex62996 күн бұрын
Mmetufurahisha stars, hongereni sn.
@RICHARDMBUKWA-r9e6 күн бұрын
Hongera sana
@ameali56066 күн бұрын
Wa Zanzibar ndio weny mpra
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye6 күн бұрын
leo mmetufariji hongera sana vinaja wenzetu kwa kulipambania taifa letu na kutufuta machozi
Watanzania. Nyie niwajinga wangefumga. Bila kuletewa woote wamecheji
@jamesukombozi52166 күн бұрын
TANZANIA yangu ❤🎉🎉🎉
@IbrahimMmoto6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉hongera sana mmepambana wakuu
@marykitinya79426 күн бұрын
谢谢您
@errydeo88656 күн бұрын
Kwanini kujiweka kwenye wakati mgumu kwa kusuluhu na Ethiopia??? Hizi zingekua 6points za bureeeee kabisa!
@jephtephlon23666 күн бұрын
Ile mechi Ethiopia walikamia sana, na tulikosa nafasi za wazi nyingiii,, anyway kuna mwanga wa taifa stars kufuzu
@errydeo88656 күн бұрын
@@jephtephlon2366 🤣🤣🤣🤣walikamia? Walifanya mashambulizi mangapi? SELECTION ya timu na mfumo vilikua HOVYO ! Wapangie kile KIKOSI congo uone kama mayele hajatulamba 4🤣! Ukipata mdhaifu ka Ethiopia,piga! Haya sio mashindano ya majaribio au game za kirafiki bro! Huyu kocha ni mbovu! Period
@jephtephlon23666 күн бұрын
@@errydeo8865 upo correct kabisa na nilikuwa nawaambia watu, selection ya timu ilikuwa mbovuu, wakat wachezaji wazuri wapoo na wameachwaa..... ila nashanga tuna pata matokeo eti 😅🤣🤣
@errydeo88656 күн бұрын
@@jephtephlon2366 kusema ukweli hata mimi nimeshangaa 🤣🤣🤣ila tunamshukuru Mungu 🤣🤣
@ImanuelMallya6 күн бұрын
❤ tanzania
@labancharles84536 күн бұрын
safi sana faitoto
@AnneEdwin-b3s6 күн бұрын
Taifa stars wameotea tu kushinda
@erickchitumbi13086 күн бұрын
Kama ni mwendo tumepiga hatua 1 mbele.bado 1
@Mwenjumamophy6 күн бұрын
Safi sana Tanzania hoy
@Brown-hs1gv6 күн бұрын
likn bado uzembe ktk safu ya ulinzi nitatizo kwa taifa strs kama goli la kwanza yan ni bacca ndo anae pambana lkn mabeki wengine walikua kama watazamaji tu waliniboa sanaa 😠😠
@djoziljr99996 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏pongez nying kwa TZ stars
@EmmanuelMathias-i1v6 күн бұрын
Why feisal
@ThabitmbaroukAli6 күн бұрын
Ndo wanao juwa boli et wanzibar muhimu dua tunaweza kufika mbali
@MohdAli-cx7bc6 күн бұрын
Uyo mzize anaimba ibariki Tanganyika 😂😂
@dominicmbise98486 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@venosmodekai15756 күн бұрын
Leo wamepambana sana
@Sakho17papeOmarhemedy6 күн бұрын
Aaah wa pemba aooo
@pacomezouzoua91756 күн бұрын
Mudathir mutambo wa magori
@JummaIlomo6 күн бұрын
Young boy were all Tanzanians so no need to Complain stop it bad manner you be have so improper
@shaameshaame28376 күн бұрын
Mudathir atabaki kuwa Mudathir tu huwez kufananisha na upuuz mwengine
@AminiMsellem-gk3yy6 күн бұрын
Kuliko FEI? Goli la muda Muda hat SUZI BALE anafunga 😂😂😂😂
@Monica-i5x6 күн бұрын
Huna akili wew kwahy aliv fungal golo hilo ndo umeon mchezaj san w ndo mpuuz
@samirmussa89146 күн бұрын
Kuna akii zingine bana kwahy mdathir ndo afunga peke yake wew kichaa kweli
@samirmussa89146 күн бұрын
Yaan hana akili huyo wamefunga wawili anamtaja mudathir kahongwa ety
@shaameshaame28376 күн бұрын
Mm siongelei kufunga naongelea kaz
@SamsonMolly-h3v6 күн бұрын
Afadhali uko mambo mazuri
@ShaghaliJafari6 күн бұрын
Mungu alibariki Tanzania
@yalhafoundationafrica99616 күн бұрын
Tumeshindwa
@user-ww1xf3hl6h6 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🥀🥀
@SallumAbdallah6 күн бұрын
Wana penda kutudharau ila kisoka tupo juu wa zanzibar
@romamtalambuga76 күн бұрын
Editing ya kisenge hii
@nurdinmbumi24886 күн бұрын
mjinga wewe kwani Zanzibar ni wapi
@JoshuaBushesha6 күн бұрын
Mnao comment mambo ya mchezaji nyie hamlijui soka hivi BAO la ushindi kwako unaliona la kishabiki na unajua tupo kimataifa et mutathili atabaki hukuona BAO la Zanzibar fainest wewe ambae kiufupi katufanya tuendelee kuwepo kutafuta ushindi muache maswala ya KUIFANYA team ya taifa kua ya club mkone
@frankmosha58546 күн бұрын
Naona mgunda kakibiza tumbo
@sewandomkuchu92676 күн бұрын
Mgunda kocha wa ukweli sana
@KitebiMagope6 күн бұрын
Ni hatar
@AnisetiMasud6 күн бұрын
Wapewe maua yao
@WahidaHilaly6 күн бұрын
👏👏👏👏👏
@johnsinyinza89006 күн бұрын
Umetoka wapi ubaguzi?ubagu tulishausahau ktk serikali za wakoloni kwa Sasa hauna nafasi
@PauloAlfayo-qi1gn6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LinuslusianLinuslusian6 күн бұрын
Tunamwitaji samata na Msuva
@grolyligola89596 күн бұрын
Ila kocha Bado jaman mwe maplesha kama mhalo
@jut11616 күн бұрын
Ili awe Tyr atoke wap
@SamsonMolly-h3v6 күн бұрын
Ngai tunatetewa na wazanzibari sasa
@subiraaddo8646 күн бұрын
Kwani wazanzibar sio watanzania??
@osiakita86936 күн бұрын
Huo ndo ujinga tena ujinga wa hali ya juu Nini maana ya Tanzania!? Kwani imecheza Tanganyika pale harafu Zanzibar ikatutetea watanganyika? Acha upuuzi wako
@errydeo88656 күн бұрын
Kwanini Muda hakumuanzisha vs Ethiopia?? Ndo mjue kocha ANABAHATSHA TU HAIJUI first 11 yake! Hana mfumo unaoeleweka, SELECTION ya timu,inayumba( hapa nahisi kikosi anapangiwa na tff)Hizi zilitakiwa ziwe 6points! Na tukitaka kufanikiwa,huyu sio kocha wa kutufikisha mbali! Sasa hivi, TIFUATIFUA ( tff) waanze mchakato wa kutafuta kocha Mkuu mwenye sifa na weledi wa kuiandaa Taifa stars ya AFCON 2027,wachezaji tunao! Otherwise,tutatolewa mapemaaaaa ,viwanja vitakuwa vitupu,na itakuwa AIBU kwa taifa! 2027 sio mbali.
@mubaarakhassani57466 күн бұрын
Kwani wewe ndie ulimwambia kocha leo ampange? Tuwapongeze Taifastars Wamejituma
@errydeo88656 күн бұрын
@@mubaarakhassani5746 yes,wananchi tulilalamika kwa kikosi alichokipanga dhidi ya Ethiopia! Kwanini hakupanga kikosi kilichocheza leo!? Ni kwasababu hajitambui,anabahatisha tu! Kikosi cha leo ndo kilitakiwa vs Ethiopia bro! Kama unaujua mpira! juzi Wachezaji karibu 7 walicheza out of their natural positions mkuu! tulikuwa kwa Mkapa kapanga kikosi utafikiri tuko ugenini na tumeshafuzu! Hizi zingekuwa point 6 za bwerere kabisa! Huyu kocha hatufikishi popote hata tukibahatika kufuzu bro!
@NescoMhewa6 күн бұрын
Mjinga hujamuona Zanzibar fei toto
@SaraMbuya-hr2nj6 күн бұрын
Natafuta comment za lawamaaaa😂😂😂😂😂
@halimaally49806 күн бұрын
Samara na msuva ni wastaafu wewe
@RuhAli-pw8hh6 күн бұрын
Wafungaji wa magoli wazanzibar rais wa nchi mzanzibar ZANZIBAR oyeeeeeeeeee
@vival88006 күн бұрын
Wanawakilisha Tanganyika
@maryangomanyama6 күн бұрын
Ndio ubaguzi huo
@Brown-hs1gv6 күн бұрын
wewe huna busara kabisa yan unaanza kubagua nchiyako mwenyewe😮😢😢😢😤😠😡😞
@MohdAmeri-h4d6 күн бұрын
Muda mtu
@AmranShafik6 күн бұрын
Sema kocha Umuhimu wa samatta na msuva hupo tusiongopeane
@richardrobert22036 күн бұрын
Bado tunawahtaji sana wale majamaa
@sewandomkuchu92676 күн бұрын
@@richardrobert2203Hapana hatuwahitaji...wana miaka mingapi?Si 40 huko!!!
@elbarbosamiskiry28126 күн бұрын
Halafu mtutukane wazanzibar
@fatmaally72526 күн бұрын
Jamani nani kawatukana lakini
@neemamangushi81876 күн бұрын
Walikua wanacheza peke yao?
@EmmanuelMathias-i1v6 күн бұрын
Kuen naaman ss niwa 1
@JobayerAhamed-z4y6 күн бұрын
Acha kuleta ubaguz msenge
@DanieliDgani6 күн бұрын
Kwa hiyo ushindi wa Zanzibar kwani walicheza wawili tu tumia akili boya wwe