Kusema ukweli huyu kijana solorist kwakweli Mungu ambariki nakosa maneno yakusema kwaajili yake ila kanifanya nijue kuwa walio okoka na wanaoimba kweli wapo kijana tumika sana kwa Mungu nae hatakuacha kabisa mamajusi mtunzeni huyu kijana from Uganda🇺🇬🇺🇬
@kibonajuhudi421411 ай бұрын
Amenibariki sana narudia kusikiliza Wimbo Kwa sababu ya kipande chake
@shillabaraka892311 ай бұрын
Kila nikisikiza huu wimbo najihisi niko kiwango cha juu, sololist Mungu azidi kukutunza nimebarikiwa sana na jinsi ulivyoimba
@cristamelahashimu367911 ай бұрын
Hakika
@israelkisaila840111 ай бұрын
Upo uganda sehemu gani mkuu
@kibacha288910 ай бұрын
Mama jusi mpojuu
@georgemassebu208310 ай бұрын
Wapiga vyombo bless you all aisee
@titussambay735611 ай бұрын
Tunawashukuru woote Kwa unyenyekevu wakimbingu mbarikiwe sn.nyinyi niwatu muhimu kwetu.
@maryammohmmed59094 ай бұрын
Wimbo umenibariki sana nkikumbuka majanga mungu ameniepusha kwa kweli asante mungu...umenifanya nisikilize nyimbo zote za mamajuzi
@andrewnzioki9499 ай бұрын
Mamajusi mnanibariki Kwa nyimbo zenu zenye ujumbe tena tamu zilizopangika sawa. Siwezi maliza siku bila kuwasikiza. Mungu azidi 11:10 kuwabariki.
@helenmamuya766811 ай бұрын
Hamjawah kuniangusha watu wa Mungu barikiweni sanaaa Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaidi muendelee kulisifu na kulitukuza jina la Bwana
@mamajusichoirmoshi562011 ай бұрын
Ameen. Tunashukuru sana Mpendwa. Atukuzwe Mungu alie juu.
@jamessila32195 ай бұрын
Asante Mungu.. kuniokoa kwa ile ajali ilinipata kwa.. uliniikoa nasikuumua hata kindogo 🙏
@YusuphGoleha-qj3dw6 ай бұрын
Nampenda Sana huyu kaka mungu amuonekanie ananifanya nizidi kuona thamani ndani ya Yesu
@simpassagrace690711 ай бұрын
Amen bwana usehemu yangu rafiki yangu utembee nani nikiwa pekee yangu nitapotea kabisa. Mungu awabariki sana nawapenda
@mtumplole215511 ай бұрын
Hiindio kwaya ya kusikiliza kama unataka kusogea mbele ya kiti cha Jehova. Nawapenda sn kwaya hii I wish one dy nikaonane nao nikawape maua yao
@twabe11 ай бұрын
Hapa nikubarikiwa kila wakati Mungu awalinde kila wakati. Kweli Bwana u sehemu yangu
@trilionea_online_TV7 ай бұрын
Kwangu wimbo huu unastahili tuzo ya wimbo bora wa mwaka, Kwaya hii imefanya vizuri sana, pia ni kwaya inayoendelea kulinda utukufu wa Mungu 1)Tuzo ya wimbo bora wa mwaka 2)Tuzo ya tungo bora ya mwaka 3)Mtunzi bora wa mwaka 4)Vidio bora ya mwaka 5)Tuzo ya mavazi bora ya mwaka
@francesmpangwa880111 ай бұрын
Mebarikiwa saana Mungu azidi kuwainua Zaid MamaJusi choir ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@urassahonest2 ай бұрын
this piece ni fireee🔥🔥🔥may God continue to shower his blessings on you people.
@user-lq9gq8uy7n10 ай бұрын
Amen watumishi wa mungu aki nabarikiwa na hii nyimbo mzidi kubarikiwa sana
@simpassagrace690711 ай бұрын
Nguvu ya msalaba imefuta kabisa aibu yangu na kuniheshimisha
@bethsharon70104 ай бұрын
Naeda viwango vingine ,, Nimepewa Heshima n Mungu Wangu,, Amen.God bless you I love the song it uplifts me.More Grace as you serve God.Adui umechelewa Mimi c yule yule omba omba wooow
@Wilfred-K10 ай бұрын
Hii ni kiwango ya juu sana. Bwana apewe sifa na utukufu.
@godyjuma631111 ай бұрын
Mamajuzi kazi nzuri Mungu awabariki sana
@dannpedaste78689 ай бұрын
Mungu awapandishe viwango vingine
@gladyelisante60024 ай бұрын
Naenda viwango Vingine Nimepewa heshima na BABA YANGU 🙌🙌🙌🙏
@winfreyemmanuel11 ай бұрын
Mungu azidi kuwatumia kwa viwango hadi viwango,🙏🙏🙏🙏
@noelkipera658111 ай бұрын
Ujumbe mtraaaam, nyimbo katraaaaam saaaana
@tomkimilu11 ай бұрын
Your song are spiritual, your are one of the choirs who sings songs with substance, may keep uplifting you. From Kenya am listening your songs
@lovenesswilfred54959 ай бұрын
Amen ..,Mungu awakuzeee ktk viwango vya juu zaidiii.., Hakika mmenibarikiii🙏
@jacksondismas41099 ай бұрын
Bwana usehemu yangu katika safar yangu nitembee nawe
@robertemanueli601811 ай бұрын
Amen watumishi wa Mungu mmekuwa baraka sana kwa wengine, nanyi mzidi kubarikiwa❤
@msechutimotheo483011 ай бұрын
This is more than a song but a testimony God bless you choir
@peternoga11 ай бұрын
MUNGU ni yeye pekee tu🙏🙏🙏
@mamajusichoirmoshi562011 ай бұрын
Hakika
@WinfridaLameck-rn5vw4 ай бұрын
Mna nibarik xn mungu wa mbinguni awatangulie shamban mwake
@NeemaPeter-tq7jf3 ай бұрын
Mubalikiwe sana wimbo huu unanibaliki sana
@ThymaKlone11 ай бұрын
I am tremendously blessedby this song. WaKristo wa TZ endeleeni kuwatubariki na nyimbo za injili.
@miltonjohn977911 ай бұрын
Karibu Tanzania
@user-qb7ru9xo5b8 ай бұрын
Nimependa sanaaa uimbaji huu Mungu awabariki, ilula anglican twawapenda
@jonaswingodmushi26085 ай бұрын
Aminaa mbarikiwe mno waimbaji
@wilsonkassita794611 ай бұрын
Kazi yenu ni njema
@mamajusichoirmoshi562011 ай бұрын
Tunashukuru sana. Sifa kwake Mungu.
@sergddr966310 ай бұрын
Amen 🙏 amen may you live long to continue preaching the gospel
@bumijaelinazi31822 ай бұрын
This song has all quality of being the 1st in the YOU-TUBE LIST OF THE YEAR God bless the singers
@jacksondismas41099 ай бұрын
Mamajusi hamjawah niangusha hata kidogo
@deogratiusmgute59839 ай бұрын
Now is 7/10/2023 listening from KIBAHA , blessing verses
@TitosAnderson-mv1li9 ай бұрын
Naenda viwango vingne utukufu hadi utukufu aaaaaaahhhhh nice song 💥💥💥💥💥
@hellenkiselema9 ай бұрын
Nyiye watu huwa mwanibariki sanaaaa 😢 et ila mungu awazidishiye tooooo
@user-vd8eq6eq5t3 ай бұрын
Naenda viwango vingine maana mimi siwa chini niwa juu sanaa
@user-ho7zk4it4l8 ай бұрын
Hongerani mamajusi wimbo unasisimua hadi nywele.
@alephealthlaboratory254111 ай бұрын
Mbarikiwe
@user-nh6ty3vr9u7 ай бұрын
Avery good soloist God bless you
@noelymedia686410 ай бұрын
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri lakini hapo mlipo imba mnajitukuza sionsawa wakutukuzwa ni mungu peke yake na utukufu ni wake peke yake binadamu huwezi kujitukuza hata maramoja
@noelymedia686410 ай бұрын
Sentesinsahihi ni hivi'HAKIKA NINAKUTUKUZA NINAE MUNGU'
@AliceGuga-qs5eg2 күн бұрын
Nawapend sn jmn
@SafariAbdallaman-we3sd8 ай бұрын
Hundo mwibo Bora kuliko nyimbo zote za mama jus
@titussambay735611 ай бұрын
Mbarikiwe sn Watumishi wa Mungu
@danielmgogo830511 ай бұрын
Ameen mbalikiwe watumishi wa Mungu
@user-rl8jf7cg9z11 ай бұрын
You have been my favorite choir ever since I was a youth till now.barikiweni sana Wana mamajusi
@mmary7010 ай бұрын
Kazi nzuri, Mungu wa mbinguni awabariki ❤
@petermatabwa213311 ай бұрын
Amen ila hilo jina mama jusi choir mlibadilishe
@ELIAHSAIMONI3 ай бұрын
Aloo bas tu mbarikiwe sana🎉
@alexmwamtobe70918 ай бұрын
Wimbo mzuri sana
@charlesadhola11 ай бұрын
Mamajusi Choir is a true blassing. Now this is a songs that is a powerful confession and praise to God!
@esthermundia393811 ай бұрын
Amen mbarikiwe zaidi
@user-td5rq2dx1t9 ай бұрын
Mko vizuri mamajusi hongereni sana
@kabochijohn811211 ай бұрын
I remain blessed by your songs keep up mmajusi choir 'kabochi Nakuru kenya.
@johnshedrack86029 ай бұрын
Ni kweli wananigusa sana,natiwa nguvu ya kuendelea kumtegemea MUNGU,yaani utukufu had...........................
@user-ng3wq8ty2q11 ай бұрын
Mbarikiwe sana kwa kulitukuza jina la Mungu alie hai
@noelkipera658111 ай бұрын
Nyimbo traaaaam saaana respect kwenu wataaram wa injiri,najikuta happy eventhough niko empty sack💪💪
@miltonjohn977911 ай бұрын
Hizo ni dharau, hivi unajuwa maana ya ka mtu, lione, kanyimbo!
@miriamsyombua58411 ай бұрын
Ever blessing Voices ..... lifting our souls
@njugunathuo469711 ай бұрын
This team is always on frontline.may God bless you guys
@mamajusichoirmoshi562011 ай бұрын
Ameen. Glory be to God.
@user-cr4dl3jh2b4 ай бұрын
Hakika hata mimi huyu jamaa ananibariki sana kiukweli nimempenda sana natamani niwe kama yeye kwenye kusolo lakini sidhani ila nakaza siwezi kushindwa
@SophieKathure9 ай бұрын
My oh my the soloist keep it up may the Lord take to the next level. Good job 👍👍👍👍
@janembithi99936 ай бұрын
This team is always on frontline.. may God bless you guys 🙏🙏🙏🙏🙏
@eliyavurugu22136 ай бұрын
Mama ESTA Mungu akubariki Mimi mudisho
@user-ge6qf5rk2u9 ай бұрын
Jaman kwaya hii naipenda sn mbarikiw watumish
@EliusLika-bb6tp9 ай бұрын
Jamaa anatisha mungu ambariki sana
@user-vj6xj2fm9y5 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@elishashijashija84728 ай бұрын
Mungu awabariki
@livinohaule844211 ай бұрын
Nzuri sana. Baraka nyingi
@itsmeanna82868 ай бұрын
AM BLESSED MNOOO
@wilsonkassita794611 ай бұрын
Kazi inabariki sana watumishi
@mamajusichoirmoshi562011 ай бұрын
Ameen. Sifa na utukufu kwake alie juu
@emmanuelnyandwi6508 ай бұрын
Tunaitaji mawasiliano na nyinyi
@alephealthlaboratory254111 ай бұрын
Hongereni i
@emmanuelnyandwi6508 ай бұрын
Mubarikiwe wana wa Mungu ❤
@emmanuelnyandwi6508 ай бұрын
Amen mungu azidi kuwatumikisha
@jonathankioko837711 ай бұрын
Blessings words and touching the souls expeciall I, God bless the choir
@josephatemmanuel4586 ай бұрын
Welcome to all the singers of the whole team Amen
@aickapkutchoir5 ай бұрын
Your choir a blessing can I have contact ya Mwalimu if possible please
@nsajigwamwasalemba182310 ай бұрын
Asante Mungu🙏🙏
@atuganilekalinjila83859 ай бұрын
My favorite kwaya in Tanzania ❤
@FredOdhiambo-tt6fp9 ай бұрын
may God almighty bless this team in Jesus name
@SafariAbdallaman-we3sd8 ай бұрын
Kwangu mimi
@elikanaambunya643510 ай бұрын
Touched indeed blessed people. It has become my favourite