Emame kwechu I miss chundwa my homeland... Mmmwaaaaaaaaaaaaaah ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️nchu nkwavo nami kwechu ni Tchundwa
@MohamedMohamed-ks5yc4 жыл бұрын
Nami kwechu tchundwa
@firdausmuhaji70254 жыл бұрын
Tawheedaeeee eeee mwenechu nko doha
@anwarabeid20912 жыл бұрын
@@firdausmuhaji7025 Hi
@taimourahmed92664 жыл бұрын
Madi mera uko juu
@aminaabdulkarim48545 жыл бұрын
Mwacha asili mtumwa wanikumbusha marehemu mamangu Allah amuweke pema penye waja wema
@shakilashariff97735 жыл бұрын
Ameen
@baloz8974 Жыл бұрын
Ameen
@duidala32285 жыл бұрын
VUGO Hilo Very nice. I'm proud to be MBajuni Please keep the tradition and the culture I miss. Home
@mombasaraha12524 жыл бұрын
Bajuni hoyeee 👍nchu nikwavo chume mameee
@rishadimuhammad32385 жыл бұрын
Miss sanaaaa hzi song After 16 years in London
@suhaila82613 жыл бұрын
Sweet home
@aminaabdillahi59384 жыл бұрын
Mashaallah ajab....i love it
@yussufmohamed22494 жыл бұрын
I am proud of my tribe
@omarsalim98795 жыл бұрын
Tuko ndani tchundwa iburini wanikumbusha mbali na mimi mbali.
@jayjamil98735 жыл бұрын
I miss this after long time I'm proud of my trb home sweet home
@kulthumsaid29193 жыл бұрын
Im proud to be bajun🇰🇪
@faizabaishe51725 жыл бұрын
MaashAllah salimu Ahmed Kwa video pekee
@ysm2003 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@faizabaishe51725 жыл бұрын
MaashAllah Mambo Kwa mipango InshAllah heri nawaombea umoja ni nguvu,
@yaaishbaybe74775 жыл бұрын
hakuna county naipenda kama lamu yaani nipate swahiba anitembeze huko.ntafurahi 💃🙏Inshaallah
@yaaishbaybe74775 жыл бұрын
mombasa kushaniboo
@mohammeddaniel89145 жыл бұрын
yaaish baybe plz call this no 0701294701 Nitakutembeza
@tommillia78163 жыл бұрын
Twende
@salmasalim60555 жыл бұрын
Mopiga zumari nakuona jamani watu walamu kama kwetu pemba salamu kutoka wete babu yangu katoka lamu mis you all😘
@rayisadesigns26465 жыл бұрын
@Khalidi Mohamedi Lamu ipo Pwani ya Kenya sio Komoro, ila watu wote wa pwani ya Afrika mashariki na visiwa vyake Unguja, Pemba, Mafia na kadhalika mpaka Visiwa vya Komoro ( Ngazija walipotoka babu zangu, na visiwa vyengine vya hapo ) wote wanafanana kitamaduni.
@lamumachacharicomedy13643 жыл бұрын
Nice ni lamu machachari comedy i need your support plz
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Shukran sana Mimi ni dadake Umi MaashAllah Diya na wezake
@faizabaishe51725 жыл бұрын
MaashAllah InshAllah heri
@gamarmahsan82544 ай бұрын
Hongera kwa hilo vugo
@karimayusuf63095 жыл бұрын
#proudlybajun all the way from tchundwa
@marseloyahya57114 жыл бұрын
Kwenda 🤣
@karimayusuf63094 жыл бұрын
@@marseloyahya5711 uwe nawee uko kila mahali
@marseloyahya57114 жыл бұрын
sinikwetu lazima tuwepo🤣
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Shaban Abdullah from Zanzibar Tanzania
@multikpopfan48733 жыл бұрын
Waniivaimi Mjukuu Wa shahasi arumii iburini
@mohammedalimohammed93223 ай бұрын
Wow bajuni hoyeee
@خيراتعباس5 жыл бұрын
I Miss tchundwa! 😙😙😙😙
@mombasaraha12524 жыл бұрын
Hoyaaaa chundwa hoyeee tahareni hoyeeee nakuvona
@shabanabdullah845 жыл бұрын
MashaAllah Ajab mwanatee miss u
@mwaamwetahussain99475 жыл бұрын
Wapi hii wadau taaam jmn
@suleimanabrari92055 жыл бұрын
This is very 😎 I like it!!!!!! Miss my home 😔😔😔😔
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Home sweet home I miss natoka hapo ndio home kabisa Madi rovu wa tchundwa InshAllah heri nawaombea kila la heri
@nassiromar17975 жыл бұрын
shamefully for me i have not been home for close to 20 yrs... and ooh the guy would do an adhan like no other
@shabanabdullah845 жыл бұрын
FAIZ miss u
@msellemkassim25152 жыл бұрын
Tchundwa ni Haswaaa.
@saidicanali69495 жыл бұрын
Mpaka raha wanawake wote wamevaa Stara maashaAllah Kwa hilo
@mombasaraha12525 жыл бұрын
Ndio raha ya bajuni mashallah
@mombasaraha12525 жыл бұрын
Raha yao bajuni mashallah
@kmnanamora5 жыл бұрын
Samahani, but Hilo bado sio vazi la mwanamke.
@hassanalhussein39825 жыл бұрын
@Cheetah 6 If you have nothing to say it's better to be silent. Ignorance is more dangerous you stupid fool. Let the Bajunis enjoy their culture if you don't like it go fuck yourself asshole !
@hadyahaydar315 жыл бұрын
hii kwa Dini yetu ya kiislam haijawa ni stara ...kuwaanika mama zetu na ndugu zetu kwenye mitandaoni .
@bfbfalhamadi2265 Жыл бұрын
عليهم الصلاة والسلام اقطاب الامة النبوية الاسلامية المتحدة في التوحيد الدينين الشريفين المكرمين في الكونين
@mohammedalimohammed93223 ай бұрын
Emamee kwechuuu
@saadakhalfan9455 жыл бұрын
subhana Llah Allah awaongoze dada zetu njia ilionyooka amiin
@hadyahaydar315 жыл бұрын
Saada Khalfan Ameen Ameen yaa RABB😢
@nanabwanaheri14884 жыл бұрын
Muombee Mungu amuongoze alopost wake na dada za watu bila Idhini yao,hao wako harusini na haijakatazwa kucheza Harusi but ndugu zetu kwa kupenda sifa za kupost KZbin waeka videos bila Idhini ya wenyewe,mumefanya watu siku hizi waeke security kwenye Harusi zao,yaani Hakuna Tena Raha ya kusherehekea.
@mwanahamisjuma33615 жыл бұрын
Kumbe maisha ya pwani uanafanana kama ,tanga ,unguja,Pemba na bagamoyo utamaduni sawa
@aishasalim62555 жыл бұрын
Kama msanja,tanga tunaita
@aishasalimaishasalim13235 жыл бұрын
Jamani...ninatoa mimachoo..natamani nipaterafiki
@rayisadesigns26465 жыл бұрын
Watu wote wa Pwani ya Afrika Mashariki ( kuanzia Pwani ya Somalia upande wake wa kusini mashariki unaopakana na Pwani ya Kenya, pia Pwani ya Kenya yenyewe, Pwani ya Tanzania kama Tanga, Bagamoyo na Mkoa wote wa Pwani, Morogoro Mashariki, Kilwa na Lindi yote, Mtwara, Tundruru Mkoani Ruvuma na Pemba ya Msumbiji na baadhi ya maeneo yake ( Msumbiji ) ya Pwani ya Kaskazini Mashariki yanayopakana na Tanzania) kadhalika na visiwa vyake ( visiwa vyote vya Afrika Mashariki) kama Unguja, Pemba, Mafia na pia mpaka Visiwa vya Komoro ( Ngazija, walipotoka babu zangu, na visiwa vyengine vya hapo, Mwali, Nzuani, na Mayotte ) watu wake wote wanafanana kitamaduni.
@duidala32285 жыл бұрын
Kwani hujui ni waswahili wote Makabila ya waswahili watokeya hapo pwani
@mahbubdawood29092 жыл бұрын
Kabla ya porojo za corona kuanza
@ayubmaalim57985 жыл бұрын
Uislamu hauruhusu hivi mwatuanikia mama zetu na madada zetu wengine wako uchi
@rukiaosman84165 жыл бұрын
Nilaana hio wallahi mama nikitu bora yaarabi maskini hatahajui Mumewaanika yarabi tusamehe
@hadyahaydar315 жыл бұрын
Albert Junior kasome ujue maana ya Uislam.
@hadyahaydar315 жыл бұрын
Rukia Osman Ameen yaa RABB
@duidala32285 жыл бұрын
Yupi ulo muona uchi hapo ibilisi mkubwa wewe hebu tuambiye ? Kwani uislamu ulisema watu wasiteze ngoma kwenye harusi zao ?
@hadyahaydar315 жыл бұрын
DUI Dala subhanaLLAH !!! Tukihesabu uchi mwanamke ni uchi yeye mzima ...kisha wajitingisha na wapiga ngoma ni wanaume hayo ni makosa ...kusherehekea harusi ni sunnah haijakatwazwa kwa dini lakini kila jambo lina Qiyas... hii imepita Qiyas ... kila mwanamume aona yake za watu hili huwa lishaingia kwa Haram ....wapiga ngoma ngoma na vizumari nao wamevaa miwani za mbao hawaoni wake za watu ? Ukumbusho ni kwa waumini .
@joycemajala43555 жыл бұрын
Mashallah.....timizeni aliyoyafanya mtume.....
@hudheifaomar23704 жыл бұрын
Mtume s.a.w. hakufanya upumbavu huu
@lio57195 жыл бұрын
Masha allah beautiful from where's this, country
@mariamgitau36145 жыл бұрын
Kenya
@lio57195 жыл бұрын
Masha allah
@alimawali5 жыл бұрын
Mashalla nice video and sound , imetulia sana big up
@habibakhalfan10654 жыл бұрын
Natafuta_rafiki_wa_lam_mie_ni_wa_mombasa_na_Tanga
@famamfei57523 жыл бұрын
Nami pia natafuta Rafiki wa mombasa tujuane basi +97477575460
@diyaosman89925 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah
@user-wh7rl2ip7v8 ай бұрын
Aa nikiwa nawataka ntawapata wapi na no zao ziko
@rukiyashee94395 жыл бұрын
Mashallah I am proud to be Bajuin
@rukiyashee94395 жыл бұрын
Mashallah
@gobaadhassan73885 жыл бұрын
mansha allah
@mmaahsayyid18585 жыл бұрын
Nmejikuta mwili wanyumbuka kidogo kidogo.......Raha sana
@aishasalimaishasalim13235 жыл бұрын
Umeonaeee
@fatumasaid99855 жыл бұрын
Proud of my tribe😍😘
@ramakoja59145 жыл бұрын
Yaaish Baibey njoo Zanzibar utapenda zaidi ya Lamu.
@usongoali92015 жыл бұрын
It's call vugo by bajun tribe Proud to be
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Mashallah
@allyrottland28565 жыл бұрын
MashaAllah
@issakawanya6485 жыл бұрын
Bi shaale uko
@aishasalimaishasalim13235 жыл бұрын
Jamani asili aifi....mbona..kamawatu twafanana kamakwetu Tanga tunasemaga msanja..?bgp
@duidala32285 жыл бұрын
Sini makabila ya waswahili yalioko ufuoni wa baharini pwani Sote ni watu wamoja ndio tuka fanana
@mohamedsalum89335 жыл бұрын
Km msondo pia
@deepsea21415 жыл бұрын
Asili ya Tanga, pemba, Ngazidja, sofala, Wangao ni wabajuni. Asili ya waswahili ni wabajuni ambao walikuwa wakiitwa Wangozi kutoka east Ethiopia tangu karne ya 7.
@mimamuhaji64475 жыл бұрын
Home sweet home
@mimamuhaji64475 жыл бұрын
@@usongoali9201 hoyee
@mamitomamita62845 жыл бұрын
nice mashaallah
@khamisahassan60485 жыл бұрын
M ntk npte mume w lamu
@mombasaraha12525 жыл бұрын
Mima kama hili jina nakujua mwenechu
@mombasaraha12525 жыл бұрын
Usongo bajuni hoyeee hawatuezi
@suleymanosman695 жыл бұрын
utamaduni wetu unaenda kupotea. machozi yanitoka
@fransiscamatemu9875 жыл бұрын
be strong
@fransiscamatemu9875 жыл бұрын
jiungeni tena pambaneni culture will never end
@fatmafatma5505 жыл бұрын
Nakwambia ama ushapotea kabisa
@hadyahaydar315 жыл бұрын
tuwaombee hidaya Allah atuongoze sisi na wao waloghafilika.
@itsmebalqiis89605 жыл бұрын
A S C SISTER WICH COUTRY IS THIS I LIKED
@fatmabowa7395 жыл бұрын
Kenya , Lamu
@abubatv89965 жыл бұрын
mashallah lamu yetu
@mwanaidiruwa61684 жыл бұрын
Msanga
@maryamwaukweli24075 жыл бұрын
Masha'Allah amu rwaha jamanieee
@abdulahiyare175 жыл бұрын
Maa sha allah
@elliotjersey5 жыл бұрын
Where is this?
@queenofshebaqueen94965 жыл бұрын
Lamu Kenya
@mimamuhaji64475 жыл бұрын
Lamu county ,sub location Tchundwa village.
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Vugo poa la tchundwa juu
@mimamuhaji64475 жыл бұрын
Juu
@onesmusmungai6775 жыл бұрын
Mashaallah raha kweli
@saidasuleiman32535 жыл бұрын
mbona km 2na fanana from Pba
@dazuuhmd8195 жыл бұрын
Mbona hao ndio sie sie saida mie mwenyewe baba yasili yao huko wanavyo zungumza sawa na kwetu lamu naipenda ipo siku nitaenda
@saidasuleiman32535 жыл бұрын
+DAZUU ZUlly kwn uko wp ww my no +96898554379hii text me whatsapp