🤝🤝🤝 nakufata kutoka Burundi Na Niko mubembe Na maneno yenye unasema mwenye ahana akili ahata kuhelewa lakini hulisema maneno kweli 🤜🏼🤛🏼🍷
@EshimaniMauridi-im8gi19 күн бұрын
Uko vizuri.sana kaka
@mbelechimakobola883521 күн бұрын
Leki ameongea point sana
@Bless-b.DL-babyofficial876920 күн бұрын
Nami niko nalakusema brother
@fidelfidel-jz4iw20 күн бұрын
Wabebe hii tabia ipo Sanaa toka Africa Hilo wala sio Siri cha msingi ni kufanya ukaguzi Yani serikali ipekuwe mzigo wanaleta uchawi kuhalibu maisha ya watu kimywa kimywa hii ni aibu sanaa
@marcedouard296021 күн бұрын
Siyo mtu uyo😊
@user-fk7lr9uw3t20 күн бұрын
Ashefujo
@JacquelineBaholerwa-hv7gv8 күн бұрын
Nimavi yake tu ibwa ya mwanaume uyooo Leki
@AsaniMkangya20 күн бұрын
Mkwala siomwenyekiti wa babembe marekani,Mwenyekiti ni ANDRE MCHINDA
@assaningyoku594820 күн бұрын
Nani aliye kuambia au kukudanganya eti Andre ndo mwenyekiti
@thebabilon720 күн бұрын
Ndomana nasemaga ukija marekani usiwahi kuongea mitandaoni utaonekana bado mjinga sana 😂😂😂
@mbelechimakobola883521 күн бұрын
Yaani leki ndiye mbembe mwenye AKILI hapa marekani
@Starbrunodg21 күн бұрын
True
@Gudowabazoba20 күн бұрын
80
@Heiskmb21 күн бұрын
LEKIIIIIIIIIIII
@DuniaKalenga-hr2lz19 күн бұрын
Nikwasababu ahujapata shida zamagonjwa LEKI utajuwa hii mchi, wewe ahujabadirika pombe na bagi ahujahacha, pili ASILI ya mtu nimuhimu sana wazee walihishi kwamila na walihishi miaka mingi, wewe mkataa asili Mungu wababembe atakuona tu sikumoja na utarudi unakokuzarau
@LekiNumbe21 күн бұрын
Tubadilike wabembe 😢
@approxtv902121 күн бұрын
Punguza ulevi kwanza
@mbelechimakobola883521 күн бұрын
Umeongea point sana ndugu, vijana wetu wakosa akili ndio hawakuelewi
@Messi23420 күн бұрын
Acha bangi kjn na izo state zenu Kansas Missouri 😂😂
@keymlonge488421 күн бұрын
Leki tuliza bangi zako bado uko mgeni fata kilicho kuleta sio kuongea vitu kwenye pombe Tulia acha kuwaita wabembe washamba nawe pia ni mshamba kwakua na wewe ni m'bembe nawe mshamba pia
@Starbrunodg21 күн бұрын
Ukweli unauma 😂😂
@user-cb2us2nu2m20 күн бұрын
UKWELI UMEKUINGIA MPAKA KWENYE MISHIPA YAKO YA UZAZI
@Bukaya19 күн бұрын
Mwamba ka nuna kuhitwa wa bembe ni washamba kwani hame danganya nyinyi ni washamba tu 😂😎