Brother Sky mimi nakukubali sana ,Wewe nimkweli ,nawapenda sana SNS ❤❤ Simba ni big Aest Africa
@bettybetty87172 ай бұрын
Salute sns for correcting those fools
@rashidiamini2 ай бұрын
Ht Serena Gomez hana maajabu marekani lkn Rema kamshikirisha kwenye Calm down na ndo nyimbo iliyohit kuliko original song
@johnmwasilu70872 ай бұрын
Asante sana Sky kwa elimu nzuri. Sasa Jonijo na wenzie wachukue madini hayo yawasaidie hasa kuongea bila kufanya utafiti kwanza
@othmanibnabdullah2 ай бұрын
Ila bongo bhana kipi jema? Nakumbuka mtu ambaye alikuwa ana hiyo ndoto ya kufikisha game yetu mbele alikuwa AY ila sasa DIAMOND kashika hicho kijiti kweli wana haki ya kusema hivyo ila kwa nini tunakuwa tuna angalia upande wa kuvunja moyo tuu na unajua mashabiki wa bongo kitu kikisemwa kwenye Media kubwa kama hiyo basi wanakichukua kama ilivyo yaaan tubadulike bana anajitahidi tumpe heshima yake nasi kumkatisha tamaa hivyo yaaan
@eng.maxmillianghachocha80232 ай бұрын
We bro nakupenda saana.And I appreciate very much what you're doing.Yaan ww unastahil kufanikiwa kabsaaa ht Mungu anajua.Hakuna mtangazaji mwenye sauti nzuri inayofit in formal or street like yours. But also the intelligence and humbleness withnin.
@wemaMichael-fr4th2 ай бұрын
Wale watangazaji wa kile kipindi wote ni walevi na wavuta bange tena huyo jonhn ndo kabisa ndo maaan hata wasafi walimtimua pale
@StevenMathiasSallu2 ай бұрын
Umepigaje hapo
@Maxpaul-oi8pw2 ай бұрын
Bangi haihusiki hapo..watu wanaovuta bange wana upeo mkubwa sana
@mfalmekaitaba24252 ай бұрын
Wao wenyewe ni watangazaji waliokosa mvuto na hawana maajab tena
@thabitdaudi98152 ай бұрын
Kwanza no body listens to radio anymore. Now media ni youtube na nyie wakina sns na millard ayo mliotangulia bdae mtakuja kua then next big thing keep it up
@lybiajohn41222 ай бұрын
N gharama kubwa zaid pia kumshrksha msanii wa marekan ambaye yuko on top now . Cost management hyo imagine unamwambia Chris Brown unamshrksha cost yake n kubwa mno. Ila Diamond kaweza mno na n mwanzo mzur kwenda kwa wakina Chrisbrown sasa na wengneo weng sasa mnaosema wenye maajabu zaid. Taking all things postive
@sidosaidi39382 ай бұрын
Acheni majungu ...let's praise our east African artists
@Khalidniya3802 ай бұрын
Kwa leo nimekubaliana na Wakazi Leo ameongea fact
@billskeez922 ай бұрын
EFM inatembea na upepo wa Damiond 😂
@thabitdaudi98152 ай бұрын
Kwani jonijooh bado anatangaza? Mm namjua kupitia wasafi tv. Sns achen kuwapa clout wajinga kama hao. SNS is far bigger than jonijoh .Fredwaah caome on bro you are legend unajua? Vp bwana
@alibinali_2 ай бұрын
Diamond Platinum angefanya hiyo remix na Chris Brown bado tu mugeongea mbaya
@emanueldrancula2 ай бұрын
Sio wangeongea Chris brown ile challenge tu walisema sio kitu Cha ajabu Chris brown ashaisha saiz
@rosemahenge90712 ай бұрын
@@emanueldranculana kabla afanye walisema ungekuwa wimbo mkubwa ungefanyiwa challenge hata na kina CHRIS BROWN 😂alipofanya tena wakabadili maneno
@adamnasibu59312 ай бұрын
😅uchawi upo@@rosemahenge9071
@billskeez922 ай бұрын
Hao kina Jonijo wameshapotea wanatafuta kiki yakurudi mjini.....😂
@ramazanitr85412 ай бұрын
Ifike mahali diamond aende zake States, coz wa bongo 🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️ chuki za kijinga
@OlgaChirezi-qt1pg2 ай бұрын
Watanzania mda mwengine mna boa sn ivi bila diamond ku fanya iyo ft mgetoa huo uchambuzi wenu shidweni na pepo ya umaskini tupo USA 🇺🇸 na twaicheza comasava
@BigZhumbe2 ай бұрын
EFM lazima iende mjini kupitia Simba la Masimba Dangote
@omarimpogo68952 ай бұрын
Watu wanaonyesha chuki za wazi… ni Ushamba
@cosbytz23702 ай бұрын
Hawa jamaa wapuuzi sana tena wivu unawasumbua sana naona hawapendi mafanikio ya wasanii wenzake ila hata hawamkomoi Simba la masimba 😂
@rosemahenge90712 ай бұрын
Kaka SKY ww ndio unafaa uwe unasoma hata zile habari za kimataifa kuliko yule mwenye msauti mzito huwa hasikiki hata 😢
@abel_esam2 ай бұрын
Roha mbaya tu, watangazaji walitakiwa kupongeza ndio wanaponda, bongo bana Wimbo mzuri, Jason ni msanii mkubwa
@AkotesefeSafari2 ай бұрын
Natoka drc kongo pa Kinshasa ila watanzania ni tu nabii haana eshima kwao, akifa diamond platnumz basi mutalia jinsi mziki wenu utashuka sana kama filamu zenu
@IldefoseLaymalo2 ай бұрын
Umeongea la maan xaan
@zombazezu2 ай бұрын
Kweli kabisa
@Black-sound242 ай бұрын
Marioo alifanya yimbo na mr nice kwan saiz mr nice ana nn BONGO jau sanaa 😂😂
@malkiarosemuhando33102 ай бұрын
Roho mbaya TU !!! Nyie hata kukoroma hamuwezi
@pascalvitalis2 ай бұрын
Aho watangazaji vichaa... Me sio shabik wa diamond ila Jamaa anatisha😊
@issabaraka24042 ай бұрын
EFM wanacheza na moto diamond Platnumz ndokila kitu Tanzania hii sisi mashabiki wake tukisema basi hiyo radio wataifunga, kwa nini wanaoleta zarau au tuseme wanajua nini kuhusu mziki zaidi ya Diamondplatnumz wasifikiri labda amekurupuka hapana bali anajua kama Derulo nimkubwa pia atamfikisha sehemu shenzi zao wote na EFM yao😢😢😢😢😢😢
@mwajumagomera76092 ай бұрын
😂😂mie wasafi tu ndo redio yangu cna muda na redio zingine 😂
@nixsonmkamba28952 ай бұрын
Derulo msanii mkubwa achen ujinga
@philipotieno99962 ай бұрын
Wanaujiinga sanaaa❤❤.
@SUNDAYMRGAMINGTZ2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 nimependa sana unavyosoma comment.... Nice 1
@magrethmagonza1862 ай бұрын
Hapo wakazi umeonea watu wengine bwana hao wanamawazo.mafupi. Una wanweza ukafanya na.mtu mkubwa mwenye hot soup na nymbo ikawa.mbaya. think twice before you talk. Hao watangazaji kwa kifupi viziwi na vipofu hawajiu kitu. Diamond ana akili sana. Hafatagi mawazo ya.mtu anafata mawazo yake ni yeye km yeye sio.photo.copy. na bado mnazidishia atapaa.sana.tu
@official_6ixer_2 ай бұрын
Tafuteni Shughuli nyinyi sikubwata tuh😂😂😂😂💔
@Zillionking6272 ай бұрын
Daaaa kumbe watu wana chuki hivi??!!!!!!😢😢
@ramayonline22812 ай бұрын
Watangazaji vilaza wengi wanatokea EFM
@shoshifataki58252 ай бұрын
Diamond for life in Congo uvira ❤❤😢🎉🎉
@HeriRamadhan-q7m2 ай бұрын
Diamond atawanyoosha mamaezenu.
@iam_sami2 ай бұрын
Arf nd mnataka gemu liendelee watangazi wenyew wanawivu na wasanii 😂😂😂 kula chuma iko
@STAREHE2552 ай бұрын
Kaka Skywalker umechimbaaaaaaaa nakupa 💯
@sulleymernmannarah79302 ай бұрын
TV E Ina upuuzi
@HanchoJunior2 ай бұрын
Wamuite na wao
@NsisaniraJean2 ай бұрын
Majizo unaangalia vigezo gani kumuajiri mtangazaji mbona unaajiri watu walio chini ya uwezo hawana upeo ndiomaana median zingine zinakuwacha mbali sana
@godblesshudson15642 ай бұрын
Wakwanza leo naombeni likes zangu 👍
@nadinekinyata10722 ай бұрын
True 🔥
@Paplick92 ай бұрын
Yoote haya kwasababu jonijoo alifukuzwa kazi wasafi 😂😂😂😂😂
@johnmwasilu70872 ай бұрын
Jonijo chuki haiishi kama demu
@KingJungle-t3m2 ай бұрын
Wapo sahihi kabisa.. #Les Twins kuwepo kwenye video kuna more impact kuliko #JasonDerulo
@islamiscopromax2 ай бұрын
Asante
@themoredwamichano86362 ай бұрын
Safi sana wakazi
@innocentemiliani34942 ай бұрын
Hao watangazaji watoa maoni yao kwa kinyongo , ila ngonja tusubiri mda uende ndio tutajua kuwa ana impact au hana impact, yaani video ina SK moja tu mmeanza kujaji mmmmmmm bongo bwana hatunaga jambo hahahaha!
@mafianboyTV2 ай бұрын
Hawa watangazaji wa hiki kipindi ni watu wa kuponda tu juzi ilikuwa Jay melody sio watu wa ku appreciate
@Gody3602 ай бұрын
Wanaropoka tu Jeson anapiga hela ndefu sana apo tiktok tu
@osmanmohammedosman54932 ай бұрын
Wakazi Leo nimemuela
@inearclassictz12332 ай бұрын
#wiggle 903M #swala 1.7B #savage love.190M Acheni bangi Jason derulo impact yake ni kubwa
@moudrickmouh35692 ай бұрын
Wa kusini aliimba na shirmuda mlimuandalia tamasha ila bongo🙌😂💔
@BenjaminNickson2 ай бұрын
Ona huyu mshamba anazungumzia wigo hajui ngoma kama swalla haujui ngoma kama Good bye
@SumaMixy2 ай бұрын
❤Nakubali sana
@waidiyoyadagospelsmusicofficia2 ай бұрын
Jamani WA tanzania mnamatatizo gani? Mimi na ishi America 🇺🇸 tena Texas sijuwi tanzania hasa watangazaji muna shida gani? Kama unataka kujuwa mengi munitafute ni wape full story.
@GagaRino-iv7pr2 ай бұрын
Ndo maana kumbe Kenya na Uganda wanasema Diamond ni msanii wao,, leo sas nimeelewa aiseee😅😅😅
@JohnKulinga2 ай бұрын
KWELIIIII KABISA
@petermvellah41202 ай бұрын
Ujuaji mwingi😅
@Muba33042 ай бұрын
Mwisho wanazirika na comment za wasomi😂😂
@BHALEEALI2 ай бұрын
DIAMOND PLATNUMZ aliwahi kusema kuwa anachofanya yeye kwenye muziki hakuna mtu anaeweza kukiona impact yake baadae, DIAMOND kwenye muzik anajua zaidi ya hao mandondocha wa redio mbovu.. PIGENI KIMYAA
@JanetAhmad-v3h2 ай бұрын
😅😅😅😅😅simba katulia tu yani nawazi kasema😂😂😂😂
@kizzkevin11972 ай бұрын
Kwani hao niwatangazaji au?
@rosemahenge90712 ай бұрын
Hawa ni walevi na hapo pengine walikuwa wamelewa😂😂
@muharamimwalie97532 ай бұрын
wapo sahihi
@allymtunge55302 ай бұрын
Mimi sio shabiki wcb lkn wamezingua yani mondi ata angefanya kazi snoop
@rebbywealth98692 ай бұрын
Mfano wa Rema na Gomez ulikua unatosha hata mtu mwenye uwezo wa kunyambua mambo kuelewa. Walivyokua wanaongea kama watu wenye akili vile kumbe wamefuga ndevu tu😅😅😅
@kabambulasimon2 ай бұрын
HATA WAKATI ANAANZA KUWASHIRIKISHA WASANII WA CONGO DR MLIMCHEKA SANA OK KUANZIA INAMA NA FALLY, yope na INNO’S B NA WAAAH NA KOFFI OLOMIDE ANGALIENI NUMBERS ON KZbin KILA MTU ANASHIRIKISHA YULE ALIYEELEWANa naye kwa mda fulani, kwani kuzozana kupo katika maisha.
@AgatonyMayala2 ай бұрын
itoshe kusema tu kuwa Hawa watangazaji na viraza👐👐
@sayyedsaeed80892 ай бұрын
Kwani wapo radio gan ao?ifungiwe au walikua wamelewa?😂😂😂
@draxelr-vc9wr2 ай бұрын
Ni kwer ngoma ya derulo ya mwisho ilo it yan it song ni ngoma inaita Love not war ilitoka 2022 mbaka saiv akuna ngoma yyote alotoa imasumbua kama komasava ni wazi kwamba tumemsaidia 😅
@rebbywealth98692 ай бұрын
Hata baada ya kusikiliza hii video yote bado una mawazo hayo.... Huna akili masta
@jojigeorige10562 ай бұрын
Ulivyo ianza story na ulivyo i wind up binafsi nasema inatosha. Zile brahbrah huenda watapunguza.
@ombeniruvubika53922 ай бұрын
Duniani hata ufanye nini huwezi ukakubaliwa na wote kwa wakati umoja.... wanadamu noma sn..
@kennedysimon67072 ай бұрын
Wapumbavu hao
@TariqAziz-sc1lb2 ай бұрын
Inabidi wawe wanawek watu ambao wanajua update za mzikiii , derulo after wiggle wiggle ametoa trumpets, try me which were top songs , savage love, like foreal lets just appreciate
@peteryohanne12682 ай бұрын
Young killer aliwahi kusema, "bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi, ila sisi kazi kazi, wengine tumetoka kwenye msoto, kuoga mpaka tushikiwe viboko..." 😅😅😅
@firdaousselalini2 ай бұрын
Jaman leo jumapili vip GPS sky 😢
@ZaitunMohamed-w2o2 ай бұрын
Jonijo a cha Ku force kuja mjin
@DearestSmith2 ай бұрын
Yani hii ni aibu kubwa kweli kwenye comonet natamani waifute
@DearestSmith2 ай бұрын
Kwanza kafanya kazi na la twice intertotion dance
@hassanyunus46342 ай бұрын
Hio ni kweli
@PalomaMshana2 ай бұрын
D NI MWAMBAAA MMNO WATUACHIE KAKA YETU KATUWEKA KWENYE RAMANI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 💪
@markkayuni97752 ай бұрын
Nimependa iyo jezi ya liverpool aliyo vaa jonijo
@Markhomestz2 ай бұрын
Angalieni Itune album inayo ongoza kwa America
@kiswantatv38172 ай бұрын
Watu wapo na personal sana...kuliko ukweli
@AdolpheBahininwa2 ай бұрын
Hiii radio ifungwe hiii
@saxannjo61732 ай бұрын
HUO NDIO UKWELI... JASON HAYUKO KWENYE HIYO PEAK... TUSIJIFOS KUAMINI USHAMBA... GOMA NI KALI,,, LITAENDA SANA,, LAKIN jason ni normal sana kwa sasa.
@JackChildishKE2 ай бұрын
Itawauma Sana na ndio simba ameanza more still to come, already Montana and DJ Khaled imewafikia
@jumamussantuiche2 ай бұрын
Kujua kuwa kwingi
@Kaleztoz2 ай бұрын
Let’s be honest komasava it’s number one song in Africa bt me my opinion on this track dimond yani kwa sasa hvyo ku do the rimx kwa jd was actually quick decision because of I believe if diamond should wait kidogoa maybe even cris should pop out from no where and we all know on this time the most artist in here us one of the biggest artists cris and right now those artists are most popular ni yeye lil baby na lil dark
@FatumaMfaki2 ай бұрын
Hta ww waeza imba n hao uliowataja uslaximishe diamond afanye venye unataka coz psa si yko mbwa ww
@MALIGOCLASSIC2 ай бұрын
Washirika wa harmonize
@ilynpayne74912 ай бұрын
Pombe mbaya sana redio yenye walevi watupu
@fridageorge28092 ай бұрын
Mtakufa na vihoro! Wanaume wazima mnajichekesha hovyo! Wivu utawauwa
@boitumeloboitumelo80382 ай бұрын
Nikweli sana ata wale wengingine omarioo na neyo
@donlinechanell47602 ай бұрын
Jonijoo skutegemeag km anawez ishiwa mpka akawa anaongea huu upuuzi
@RamadhaniMadanga-ne7jk2 ай бұрын
Haya majamaa hayana akili Sana kwasababu yaani hata mondiangeimba na Chris brown wangesema ivoivo
@bakarially2532 ай бұрын
Hawajaa washenzi sana hana maajabu woa wanamaajabu gani
@jimmyhabarugira42322 ай бұрын
Duuuh wa Tz
@alibachirofficial39392 ай бұрын
Nikweli😂😂😂
@adronicokalumna2 ай бұрын
Hawa jamaa sauti na sura zao haviendani kabixxaa 😮