Wakazi, Mashabiki wawakosoa watangazaji wa Transformer ya EFM waliodai Jason Derulo hana maajabu

  Рет қаралды 41,292

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 286
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 2 ай бұрын
Brother Sky mimi nakukubali sana ,Wewe nimkweli ,nawapenda sana SNS ❤❤ Simba ni big Aest Africa
@bettybetty8717
@bettybetty8717 2 ай бұрын
Salute sns for correcting those fools
@rashidiamini
@rashidiamini 2 ай бұрын
Ht Serena Gomez hana maajabu marekani lkn Rema kamshikirisha kwenye Calm down na ndo nyimbo iliyohit kuliko original song
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 2 ай бұрын
Asante sana Sky kwa elimu nzuri. Sasa Jonijo na wenzie wachukue madini hayo yawasaidie hasa kuongea bila kufanya utafiti kwanza
@othmanibnabdullah
@othmanibnabdullah 2 ай бұрын
Ila bongo bhana kipi jema? Nakumbuka mtu ambaye alikuwa ana hiyo ndoto ya kufikisha game yetu mbele alikuwa AY ila sasa DIAMOND kashika hicho kijiti kweli wana haki ya kusema hivyo ila kwa nini tunakuwa tuna angalia upande wa kuvunja moyo tuu na unajua mashabiki wa bongo kitu kikisemwa kwenye Media kubwa kama hiyo basi wanakichukua kama ilivyo yaaan tubadulike bana anajitahidi tumpe heshima yake nasi kumkatisha tamaa hivyo yaaan
@eng.maxmillianghachocha8023
@eng.maxmillianghachocha8023 2 ай бұрын
We bro nakupenda saana.And I appreciate very much what you're doing.Yaan ww unastahil kufanikiwa kabsaaa ht Mungu anajua.Hakuna mtangazaji mwenye sauti nzuri inayofit in formal or street like yours. But also the intelligence and humbleness withnin.
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 ай бұрын
Wale watangazaji wa kile kipindi wote ni walevi na wavuta bange tena huyo jonhn ndo kabisa ndo maaan hata wasafi walimtimua pale
@StevenMathiasSallu
@StevenMathiasSallu 2 ай бұрын
Umepigaje hapo
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 2 ай бұрын
Bangi haihusiki hapo..watu wanaovuta bange wana upeo mkubwa sana
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 ай бұрын
Wao wenyewe ni watangazaji waliokosa mvuto na hawana maajab tena
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 2 ай бұрын
Kwanza no body listens to radio anymore. Now media ni youtube na nyie wakina sns na millard ayo mliotangulia bdae mtakuja kua then next big thing keep it up
@lybiajohn4122
@lybiajohn4122 2 ай бұрын
N gharama kubwa zaid pia kumshrksha msanii wa marekan ambaye yuko on top now . Cost management hyo imagine unamwambia Chris Brown unamshrksha cost yake n kubwa mno. Ila Diamond kaweza mno na n mwanzo mzur kwenda kwa wakina Chrisbrown sasa na wengneo weng sasa mnaosema wenye maajabu zaid. Taking all things postive
@sidosaidi3938
@sidosaidi3938 2 ай бұрын
Acheni majungu ...let's praise our east African artists
@Khalidniya380
@Khalidniya380 2 ай бұрын
Kwa leo nimekubaliana na Wakazi Leo ameongea fact
@billskeez92
@billskeez92 2 ай бұрын
EFM inatembea na upepo wa Damiond 😂
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 2 ай бұрын
Kwani jonijooh bado anatangaza? Mm namjua kupitia wasafi tv. Sns achen kuwapa clout wajinga kama hao. SNS is far bigger than jonijoh .Fredwaah caome on bro you are legend unajua? Vp bwana
@alibinali_
@alibinali_ 2 ай бұрын
Diamond Platinum angefanya hiyo remix na Chris Brown bado tu mugeongea mbaya
@emanueldrancula
@emanueldrancula 2 ай бұрын
Sio wangeongea Chris brown ile challenge tu walisema sio kitu Cha ajabu Chris brown ashaisha saiz
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 ай бұрын
​@@emanueldranculana kabla afanye walisema ungekuwa wimbo mkubwa ungefanyiwa challenge hata na kina CHRIS BROWN 😂alipofanya tena wakabadili maneno
@adamnasibu5931
@adamnasibu5931 2 ай бұрын
😅uchawi upo​@@rosemahenge9071
@billskeez92
@billskeez92 2 ай бұрын
Hao kina Jonijo wameshapotea wanatafuta kiki yakurudi mjini.....😂
@ramazanitr8541
@ramazanitr8541 2 ай бұрын
Ifike mahali diamond aende zake States, coz wa bongo 🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️ chuki za kijinga
@OlgaChirezi-qt1pg
@OlgaChirezi-qt1pg 2 ай бұрын
Watanzania mda mwengine mna boa sn ivi bila diamond ku fanya iyo ft mgetoa huo uchambuzi wenu shidweni na pepo ya umaskini tupo USA 🇺🇸 na twaicheza comasava
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 ай бұрын
EFM lazima iende mjini kupitia Simba la Masimba Dangote
@omarimpogo6895
@omarimpogo6895 2 ай бұрын
Watu wanaonyesha chuki za wazi… ni Ushamba
@cosbytz2370
@cosbytz2370 2 ай бұрын
Hawa jamaa wapuuzi sana tena wivu unawasumbua sana naona hawapendi mafanikio ya wasanii wenzake ila hata hawamkomoi Simba la masimba 😂
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 ай бұрын
Kaka SKY ww ndio unafaa uwe unasoma hata zile habari za kimataifa kuliko yule mwenye msauti mzito huwa hasikiki hata 😢
@abel_esam
@abel_esam 2 ай бұрын
Roha mbaya tu, watangazaji walitakiwa kupongeza ndio wanaponda, bongo bana Wimbo mzuri, Jason ni msanii mkubwa
@AkotesefeSafari
@AkotesefeSafari 2 ай бұрын
Natoka drc kongo pa Kinshasa ila watanzania ni tu nabii haana eshima kwao, akifa diamond platnumz basi mutalia jinsi mziki wenu utashuka sana kama filamu zenu
@IldefoseLaymalo
@IldefoseLaymalo 2 ай бұрын
Umeongea la maan xaan
@zombazezu
@zombazezu 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@Black-sound24
@Black-sound24 2 ай бұрын
Marioo alifanya yimbo na mr nice kwan saiz mr nice ana nn BONGO jau sanaa 😂😂
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 2 ай бұрын
Roho mbaya TU !!! Nyie hata kukoroma hamuwezi
@pascalvitalis
@pascalvitalis 2 ай бұрын
Aho watangazaji vichaa... Me sio shabik wa diamond ila Jamaa anatisha😊
@issabaraka2404
@issabaraka2404 2 ай бұрын
EFM wanacheza na moto diamond Platnumz ndokila kitu Tanzania hii sisi mashabiki wake tukisema basi hiyo radio wataifunga, kwa nini wanaoleta zarau au tuseme wanajua nini kuhusu mziki zaidi ya Diamondplatnumz wasifikiri labda amekurupuka hapana bali anajua kama Derulo nimkubwa pia atamfikisha sehemu shenzi zao wote na EFM yao😢😢😢😢😢😢
@mwajumagomera7609
@mwajumagomera7609 2 ай бұрын
😂😂mie wasafi tu ndo redio yangu cna muda na redio zingine 😂
@nixsonmkamba2895
@nixsonmkamba2895 2 ай бұрын
Derulo msanii mkubwa achen ujinga
@philipotieno9996
@philipotieno9996 2 ай бұрын
Wanaujiinga sanaaa❤❤.
@SUNDAYMRGAMINGTZ
@SUNDAYMRGAMINGTZ 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 nimependa sana unavyosoma comment.... Nice 1
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 2 ай бұрын
Hapo wakazi umeonea watu wengine bwana hao wanamawazo.mafupi. Una wanweza ukafanya na.mtu mkubwa mwenye hot soup na nymbo ikawa.mbaya. think twice before you talk. Hao watangazaji kwa kifupi viziwi na vipofu hawajiu kitu. Diamond ana akili sana. Hafatagi mawazo ya.mtu anafata mawazo yake ni yeye km yeye sio.photo.copy. na bado mnazidishia atapaa.sana.tu
@official_6ixer_
@official_6ixer_ 2 ай бұрын
Tafuteni Shughuli nyinyi sikubwata tuh😂😂😂😂💔
@Zillionking627
@Zillionking627 2 ай бұрын
Daaaa kumbe watu wana chuki hivi??!!!!!!😢😢
@ramayonline2281
@ramayonline2281 2 ай бұрын
Watangazaji vilaza wengi wanatokea EFM
@shoshifataki5825
@shoshifataki5825 2 ай бұрын
Diamond for life in Congo uvira ❤❤😢🎉🎉
@HeriRamadhan-q7m
@HeriRamadhan-q7m 2 ай бұрын
Diamond atawanyoosha mamaezenu.
@iam_sami
@iam_sami 2 ай бұрын
Arf nd mnataka gemu liendelee watangazi wenyew wanawivu na wasanii 😂😂😂 kula chuma iko
@STAREHE255
@STAREHE255 2 ай бұрын
Kaka Skywalker umechimbaaaaaaaa nakupa 💯
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 2 ай бұрын
TV E Ina upuuzi
@HanchoJunior
@HanchoJunior 2 ай бұрын
Wamuite na wao
@NsisaniraJean
@NsisaniraJean 2 ай бұрын
Majizo unaangalia vigezo gani kumuajiri mtangazaji mbona unaajiri watu walio chini ya uwezo hawana upeo ndiomaana median zingine zinakuwacha mbali sana
@godblesshudson1564
@godblesshudson1564 2 ай бұрын
Wakwanza leo naombeni likes zangu 👍
@nadinekinyata1072
@nadinekinyata1072 2 ай бұрын
True 🔥
@Paplick9
@Paplick9 2 ай бұрын
Yoote haya kwasababu jonijoo alifukuzwa kazi wasafi 😂😂😂😂😂
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 2 ай бұрын
Jonijo chuki haiishi kama demu
@KingJungle-t3m
@KingJungle-t3m 2 ай бұрын
Wapo sahihi kabisa.. #Les Twins kuwepo kwenye video kuna more impact kuliko #JasonDerulo
@islamiscopromax
@islamiscopromax 2 ай бұрын
Asante
@themoredwamichano8636
@themoredwamichano8636 2 ай бұрын
Safi sana wakazi
@innocentemiliani3494
@innocentemiliani3494 2 ай бұрын
Hao watangazaji watoa maoni yao kwa kinyongo , ila ngonja tusubiri mda uende ndio tutajua kuwa ana impact au hana impact, yaani video ina SK moja tu mmeanza kujaji mmmmmmm bongo bwana hatunaga jambo hahahaha!
@mafianboyTV
@mafianboyTV 2 ай бұрын
Hawa watangazaji wa hiki kipindi ni watu wa kuponda tu juzi ilikuwa Jay melody sio watu wa ku appreciate
@Gody360
@Gody360 2 ай бұрын
Wanaropoka tu Jeson anapiga hela ndefu sana apo tiktok tu
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 2 ай бұрын
Wakazi Leo nimemuela
@inearclassictz1233
@inearclassictz1233 2 ай бұрын
#wiggle 903M #swala 1.7B #savage love.190M Acheni bangi Jason derulo impact yake ni kubwa
@moudrickmouh3569
@moudrickmouh3569 2 ай бұрын
Wa kusini aliimba na shirmuda mlimuandalia tamasha ila bongo🙌😂💔
@BenjaminNickson
@BenjaminNickson 2 ай бұрын
Ona huyu mshamba anazungumzia wigo hajui ngoma kama swalla haujui ngoma kama Good bye
@SumaMixy
@SumaMixy 2 ай бұрын
❤Nakubali sana
@waidiyoyadagospelsmusicofficia
@waidiyoyadagospelsmusicofficia 2 ай бұрын
Jamani WA tanzania mnamatatizo gani? Mimi na ishi America 🇺🇸 tena Texas sijuwi tanzania hasa watangazaji muna shida gani? Kama unataka kujuwa mengi munitafute ni wape full story.
@GagaRino-iv7pr
@GagaRino-iv7pr 2 ай бұрын
Ndo maana kumbe Kenya na Uganda wanasema Diamond ni msanii wao,, leo sas nimeelewa aiseee😅😅😅
@JohnKulinga
@JohnKulinga 2 ай бұрын
KWELIIIII KABISA
@petermvellah4120
@petermvellah4120 2 ай бұрын
Ujuaji mwingi😅
@Muba3304
@Muba3304 2 ай бұрын
Mwisho wanazirika na comment za wasomi😂😂
@BHALEEALI
@BHALEEALI 2 ай бұрын
DIAMOND PLATNUMZ aliwahi kusema kuwa anachofanya yeye kwenye muziki hakuna mtu anaeweza kukiona impact yake baadae, DIAMOND kwenye muzik anajua zaidi ya hao mandondocha wa redio mbovu.. PIGENI KIMYAA
@JanetAhmad-v3h
@JanetAhmad-v3h 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅simba katulia tu yani nawazi kasema😂😂😂😂
@kizzkevin1197
@kizzkevin1197 2 ай бұрын
Kwani hao niwatangazaji au?
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 ай бұрын
Hawa ni walevi na hapo pengine walikuwa wamelewa😂😂
@muharamimwalie9753
@muharamimwalie9753 2 ай бұрын
wapo sahihi
@allymtunge5530
@allymtunge5530 2 ай бұрын
Mimi sio shabiki wcb lkn wamezingua yani mondi ata angefanya kazi snoop
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 2 ай бұрын
Mfano wa Rema na Gomez ulikua unatosha hata mtu mwenye uwezo wa kunyambua mambo kuelewa. Walivyokua wanaongea kama watu wenye akili vile kumbe wamefuga ndevu tu😅😅😅
@kabambulasimon
@kabambulasimon 2 ай бұрын
HATA WAKATI ANAANZA KUWASHIRIKISHA WASANII WA CONGO DR MLIMCHEKA SANA OK KUANZIA INAMA NA FALLY, yope na INNO’S B NA WAAAH NA KOFFI OLOMIDE ANGALIENI NUMBERS ON KZbin KILA MTU ANASHIRIKISHA YULE ALIYEELEWANa naye kwa mda fulani, kwani kuzozana kupo katika maisha.
@AgatonyMayala
@AgatonyMayala 2 ай бұрын
itoshe kusema tu kuwa Hawa watangazaji na viraza👐👐
@sayyedsaeed8089
@sayyedsaeed8089 2 ай бұрын
Kwani wapo radio gan ao?ifungiwe au walikua wamelewa?😂😂😂
@draxelr-vc9wr
@draxelr-vc9wr 2 ай бұрын
Ni kwer ngoma ya derulo ya mwisho ilo it yan it song ni ngoma inaita Love not war ilitoka 2022 mbaka saiv akuna ngoma yyote alotoa imasumbua kama komasava ni wazi kwamba tumemsaidia 😅
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 2 ай бұрын
Hata baada ya kusikiliza hii video yote bado una mawazo hayo.... Huna akili masta
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 2 ай бұрын
Ulivyo ianza story na ulivyo i wind up binafsi nasema inatosha. Zile brahbrah huenda watapunguza.
@ombeniruvubika5392
@ombeniruvubika5392 2 ай бұрын
Duniani hata ufanye nini huwezi ukakubaliwa na wote kwa wakati umoja.... wanadamu noma sn..
@kennedysimon6707
@kennedysimon6707 2 ай бұрын
Wapumbavu hao
@TariqAziz-sc1lb
@TariqAziz-sc1lb 2 ай бұрын
Inabidi wawe wanawek watu ambao wanajua update za mzikiii , derulo after wiggle wiggle ametoa trumpets, try me which were top songs , savage love, like foreal lets just appreciate
@peteryohanne1268
@peteryohanne1268 2 ай бұрын
Young killer aliwahi kusema, "bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi, ila sisi kazi kazi, wengine tumetoka kwenye msoto, kuoga mpaka tushikiwe viboko..." 😅😅😅
@firdaousselalini
@firdaousselalini 2 ай бұрын
Jaman leo jumapili vip GPS sky 😢
@ZaitunMohamed-w2o
@ZaitunMohamed-w2o 2 ай бұрын
Jonijo a cha Ku force kuja mjin
@DearestSmith
@DearestSmith 2 ай бұрын
Yani hii ni aibu kubwa kweli kwenye comonet natamani waifute
@DearestSmith
@DearestSmith 2 ай бұрын
Kwanza kafanya kazi na la twice intertotion dance
@hassanyunus4634
@hassanyunus4634 2 ай бұрын
Hio ni kweli
@PalomaMshana
@PalomaMshana 2 ай бұрын
D NI MWAMBAAA MMNO WATUACHIE KAKA YETU KATUWEKA KWENYE RAMANI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 💪
@markkayuni9775
@markkayuni9775 2 ай бұрын
Nimependa iyo jezi ya liverpool aliyo vaa jonijo
@Markhomestz
@Markhomestz 2 ай бұрын
Angalieni Itune album inayo ongoza kwa America
@kiswantatv3817
@kiswantatv3817 2 ай бұрын
Watu wapo na personal sana...kuliko ukweli
@AdolpheBahininwa
@AdolpheBahininwa 2 ай бұрын
Hiii radio ifungwe hiii
@saxannjo6173
@saxannjo6173 2 ай бұрын
HUO NDIO UKWELI... JASON HAYUKO KWENYE HIYO PEAK... TUSIJIFOS KUAMINI USHAMBA... GOMA NI KALI,,, LITAENDA SANA,, LAKIN jason ni normal sana kwa sasa.
@JackChildishKE
@JackChildishKE 2 ай бұрын
Itawauma Sana na ndio simba ameanza more still to come, already Montana and DJ Khaled imewafikia
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 2 ай бұрын
Kujua kuwa kwingi
@Kaleztoz
@Kaleztoz 2 ай бұрын
Let’s be honest komasava it’s number one song in Africa bt me my opinion on this track dimond yani kwa sasa hvyo ku do the rimx kwa jd was actually quick decision because of I believe if diamond should wait kidogoa maybe even cris should pop out from no where and we all know on this time the most artist in here us one of the biggest artists cris and right now those artists are most popular ni yeye lil baby na lil dark
@FatumaMfaki
@FatumaMfaki 2 ай бұрын
Hta ww waeza imba n hao uliowataja uslaximishe diamond afanye venye unataka coz psa si yko mbwa ww
@MALIGOCLASSIC
@MALIGOCLASSIC 2 ай бұрын
Washirika wa harmonize
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Pombe mbaya sana redio yenye walevi watupu
@fridageorge2809
@fridageorge2809 2 ай бұрын
Mtakufa na vihoro! Wanaume wazima mnajichekesha hovyo! Wivu utawauwa
@boitumeloboitumelo8038
@boitumeloboitumelo8038 2 ай бұрын
Nikweli sana ata wale wengingine omarioo na neyo
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 2 ай бұрын
Jonijoo skutegemeag km anawez ishiwa mpka akawa anaongea huu upuuzi
@RamadhaniMadanga-ne7jk
@RamadhaniMadanga-ne7jk 2 ай бұрын
Haya majamaa hayana akili Sana kwasababu yaani hata mondiangeimba na Chris brown wangesema ivoivo
@bakarially253
@bakarially253 2 ай бұрын
Hawajaa washenzi sana hana maajabu woa wanamaajabu gani
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 2 ай бұрын
Duuuh wa Tz
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 2 ай бұрын
Nikweli😂😂😂
@adronicokalumna
@adronicokalumna 2 ай бұрын
Hawa jamaa sauti na sura zao haviendani kabixxaa 😮
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 2 ай бұрын
Wivu
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 10 МЛН
IMPEACHED: Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa Madarakani!
2:53
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
Ndaro Tz
Рет қаралды 369 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН