Рет қаралды 288
Kutokana na makali ya jua na upepo wa kisulisuli na vumbi, wafugaji wengi katika kaunti ya mandera huathirika na maradhi ya macho ambayo huathiri pakubwa shughuli zao za kila siku huku matibabu yakizingatiwa kuwa ya Gharama ya juu.
Wakazi wa eneo bunge la Lafey kaunti ya Mandera wamepokea matibabu bila malipo kutoka kwa wahisani wa shirika la kutoa udhamini wa kiafya na mafunzo ya bure... Watu zaidi ya mia saba wamefaidika katika mpango huo ulioandaliwa kwa ushirikiano na Mbunge wa Lafey Mohammed Abdikheir. Wafugaji wengi hukumbwa na changamoto ya kupokea matibabu vile vile kutokana na umbali wa makaazi yao na miji palipo na hospitali na matibabu ya dharura.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya