Wakenya…msitupotezee muda!

  Рет қаралды 8,093

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Utendakazi wa serikali ya Kenya Kwanza uliwekwa kwenye darubini na wakenya waliojitokeza kwa vikao vya umma vinavyolenga kumbandua naibu rais Rigathi Gachagua ofisini. Katika maeneo mengi nchini, shughuli hii iligeuka kuwa kura ndogo ya maoni kuhusu utendakazi wa serikali, kutoka kwa wakenya walioonekana kujawa na ghadhabu. Waliozungumza maeneo mbalimbali wakiikosoa serikali kwa kujipa shughuli na mambo yasiyo na msingi, badala ya kuangazia maswala muhimu kama afya, elimu na hata vita dhidi ya ufisadi.

Пікірлер: 22
@Gravitti85
@Gravitti85 Сағат бұрын
Dennis Wanjala Mob love😂😂❤
@ChayenneKatindaMutambo
@ChayenneKatindaMutambo 36 минут бұрын
This guy from Bunge la mwananchi is a virbe. We need such GenZ's with a Vision. Talking with courage. Much love bro 😘
@geedupyo
@geedupyo 40 минут бұрын
Gachagua is a non-issue....SHA is a problem
@KENYANQUEENOFFICIAL
@KENYANQUEENOFFICIAL Сағат бұрын
True 💯 hakuna kupoteza mda❤❤, nipitieni guys pale kwangu youtube channel
@IkeateCaro
@IkeateCaro Сағат бұрын
Very true
@KENYANQUEENOFFICIAL
@KENYANQUEENOFFICIAL Сағат бұрын
Nipitie pia
@jeptookotos3347
@jeptookotos3347 56 минут бұрын
Praying for my nation.
@TopgangCulture
@TopgangCulture Сағат бұрын
Wakenya tusipoteze muda
@KENYANQUEENOFFICIAL
@KENYANQUEENOFFICIAL Сағат бұрын
Nipitie pia
@TopgangCulture
@TopgangCulture Сағат бұрын
@@KENYANQUEENOFFICIAL ushasema
@KENYANQUEENOFFICIAL
@KENYANQUEENOFFICIAL Сағат бұрын
@@TopgangCulture nimeland kwako tuzidi kuinuana tafadhali
@chanceobondo3843
@chanceobondo3843 40 минут бұрын
you guys voted in these fools alafu mnakuja kulia
@paulinenancy8182
@paulinenancy8182 38 минут бұрын
Stupid what?😂😂😂
@DanielMulamba-ih2sc
@DanielMulamba-ih2sc Сағат бұрын
Hyo jamaa lazma aend nymban
@aheudit
@aheudit Сағат бұрын
By the way, I don't know why people are ignorant. Today to be honest there were A. People who wanted gachagua to go mostly not from central B. Those who want gachagua to stay mainly from central, shareholders to be specific. C. Those who wanted both Ruto and gachagua to go. D. Those who discredited the Kenya Kwanza government. E. Those who care less. Summery The opinion was still a reflection of a tribal affair for most central Kenya people just like gachagua wanted. People want to hear what pleases them. The end result is a simple 50% + 1 opinion vote for gachagua to stay or go. Then we go back to Adani, SHAF, SHI IS CHIEF, and the education fund.
@Gravitti85
@Gravitti85 Сағат бұрын
In terms of percentage, I think C ndio iko na wengi as compared to other options
@manofthepeople5014
@manofthepeople5014 44 минут бұрын
Exactly ​@@Gravitti85
@humphreynyambok5984
@humphreynyambok5984 39 минут бұрын
C
@Njukimungaiizme
@Njukimungaiizme 34 минут бұрын
The truth is a hard pill to swallow but it is one that we must swallow if we are to be emancipated .
Wakenya watoa maoni kuhusu kuondolewa kwa Gachagua ofisini
1:02:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 64 М.
Why they want me impeached-DP Gachagua speaks
1:25:41
KTN News Kenya
Рет қаралды 283 М.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 44 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 31 МЛН
DEAD ON ARRIVAL: Ruto, this will backfire on you…
16:00
Herman Manyora
Рет қаралды 4,7 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 582 М.
🔴 NTV LIVE | October 2024
NTV Kenya
Рет қаралды 3 М.
President Ruto's "Story za jaba'
7:05
KTN News Kenya
Рет қаралды 436 М.
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Darryl Vega TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
Impeachment: What Kenyans want
3:56
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 522
What REALLY Caused the Split Between Sunni and Shia Muslims
17:03
The Islamic History Hub
Рет қаралды 294 М.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 44 МЛН