WANACHAMA CCM WAZUA TAHARUKI NJE ya OFISI - WAIVAMIA OFISI ya CHAMA - KISA MATOKEO - WAITAJA CHADEMA

  Рет қаралды 1,714

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 22
@globaltv_online
@globaltv_online 3 сағат бұрын
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Сағат бұрын
Bora muendelee kupinduana tu wenyewe Kwa wenyewe mmesahau vita ya panzi faraha Kwa kunguru🤣🤣💃💃
@AliciaKyai
@AliciaKyai 2 сағат бұрын
Siyo lazima unaemchagua apite sisi chadema 2020 tulimchagua lissu ninyi mkamuweka magufuli wenu Leo Yuko wapi?
@melch3097
@melch3097 2 сағат бұрын
Wanaohamia ccm safari hi mtalijua jiji
@devissyprian1526
@devissyprian1526 Сағат бұрын
Ccm mwenyewe hamuelewani kweli, aaaah kazi ipo
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Сағат бұрын
Nyie niwezi wote watu waccm sasa mnamlalamikia nani mmesha zoea mtajua hamjui hama mama njoo kwenye haki chadema chama chenye hofu yamungu
@no-code-club
@no-code-club 2 сағат бұрын
Thanks for sharing 🎉
@FloridaAdelinus
@FloridaAdelinus 2 сағат бұрын
MZIMU WA KUWAENGUA VYAMA VYA UPINZANI UNAWAANDAMA. HONGERA LAANA NA NYIE MUONE HAKI INAVYOPORWA INAVYOUMA.
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 2 сағат бұрын
Nawashauri chadema, msiwachukue watu walioshindwa
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 2 сағат бұрын
Utajua ujui
@ipyanamwasampeta653
@ipyanamwasampeta653 Сағат бұрын
This is the true colour of CCM. Wakati wapinzani wanalalamika kukatwa majina wagombea wao na TAMISEMI CCM, sasa wanakatana wenyewe kwa wenyewe. CCM na rushwa ni Pete na kidolle. Na bado TAMISEMI CCM itawakata wapinzani kwa sababu za hovyo kama form hazikujazwa vizuri n.k.
@NeemaElisante-zd2dt
@NeemaElisante-zd2dt 2 сағат бұрын
Hameniii mmelamizishwa
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 2 сағат бұрын
Kuna mwenyekiti alikimbia kuchukua wanafunzi wa shule za msingi
@salama1113
@salama1113 2 сағат бұрын
Amjui kinachoendelea kwann msijuwe mbambaneni na hali zenu kashapitishwa atakae pigiwa simu😂😂😂😂
@musaguga
@musaguga 2 сағат бұрын
Njooni chadema chap
@minazsaid2470
@minazsaid2470 2 сағат бұрын
Sasa hao CCM wanaibiana kura wenyewe kwa wenyewe
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 2 сағат бұрын
KILA CHAGUZI NDANI YA CCM NI SHIDA TU KUNA WATU NDANI YA CCM WAMEJIMILIKISHA CHAMA.
@josephatkajange8714
@josephatkajange8714 2 сағат бұрын
Sasa mamasamia anahusikaje hapo? Ninyi malizeni matatizo yenu bana. Kwani lazima mmhusishe mamayetu?
@BossiLaizer
@BossiLaizer Сағат бұрын
Pindua pindua wakupewa maelekezo sio atakaewatumikia
@nicolauslema88
@nicolauslema88 Сағат бұрын
Bado kidogo kutakucha.
@samwelclement8108
@samwelclement8108 31 минут бұрын
Acha..yaumane .yenyewe. Kwa .yenyewe
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka Сағат бұрын
Tandare bado wajinga mnaendelea ku a hagua ccm hata mkachagua mtu mnae mtaka ccm wataenda kuwafunda
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН
Elza love to eat chiken🍗⚡ #dog #pets
00:17
ElzaDog
Рет қаралды 12 МЛН
How One Family Lives in the Mountains Far from Civilization
34:48
Food Around The World
Рет қаралды 4,1 МЛН