Wapelelezi wa DCI wamtambua mwanadada anayeaminiwa kuua Eric Maigo

  Рет қаралды 698,827

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Wapelelezi wamemtambua mshukiwa mkuu wa mauaji ya kaimu mkurugenzi wa fedha katika Nairobi hospital Eric Maigo. Sasa imebainika kuwa anne adhiambo, ndiye mwanamke aliyenaswa kwenye kamera za CCTV akitoroka baada ya mauaji ya Maigo. Wapelelezi waliokuwa wanaendeleza uchunguzi wamepata nguo alizokuwa amevaa wakati wa tukio nyumbani kwake mtaani kibra.

Пікірлер: 458
@cheptanuichepsit3146
@cheptanuichepsit3146 Жыл бұрын
Let us dedicate our life to Jehovah God 🙏,as in you will be always at the right place at the right time with the right people,,rip maigo
@fndutakamau
@fndutakamau Жыл бұрын
Amen
@samaruko
@samaruko Жыл бұрын
Amen
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 Жыл бұрын
Nakuelewa Ndugu au dadangu
@GoDannyKE
@GoDannyKE Жыл бұрын
Pitia kwanguuu akhy
@billm6829
@billm6829 Жыл бұрын
If this us how police identify and track corrupt govt officials tugekua far as a country
@alphany4897
@alphany4897 Жыл бұрын
things are changing we as kenyans are heading samewhere
@mahmoodmohammed1679
@mahmoodmohammed1679 Жыл бұрын
Facts....hii kma ingekua ni kesi ya MTU mkubwa serikalini izi CCTV zisingepatikana for some reason....
@alphany4897
@alphany4897 Жыл бұрын
@@mahmoodmohammed1679but the truth will always kam out free data ikiwa after years it will kam out
@sophianasiekukatampoi7824
@sophianasiekukatampoi7824 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@MAYWAHITO
@MAYWAHITO Жыл бұрын
Imagine
@samwelnyangau9828
@samwelnyangau9828 Жыл бұрын
its the courage she has that is still shocking me
@wanjalaspha797
@wanjalaspha797 Жыл бұрын
Recidivism, she's an ex convict
@gwg216
@gwg216 Жыл бұрын
True her courage is on another level.....
@lovvy854
@lovvy854 Жыл бұрын
Yote hii ni ku panic cz ametowa roho ya mtu already akiliaio yake
@phoebewanjiru1955
@phoebewanjiru1955 Жыл бұрын
She may have taken drugs. How can she stump someone 25 stabs?
@lovvy854
@lovvy854 Жыл бұрын
@@phoebewanjiru1955 ata sio drugs huyu ako na roho ya mapepo yanafuata labda alishawai kufanya kitendo kibaya zaidia hio
@Irandabale
@Irandabale Жыл бұрын
What a daring and corregous murderer!!Going over razor sharp wires is another level. Proper crook.
@mowawajowangu8216
@mowawajowangu8216 Жыл бұрын
Waah! Maswali ni mengi majibu ndiyo hakuna😢
@mimsbaibe6mimsgul737
@mimsbaibe6mimsgul737 Жыл бұрын
My condolences to the family wababa wachaneni na dogodogo this really sad 😢whats goes around comes around sasa watoi wamebaki bila baba this so evil
@phoebeadikinyi3441
@phoebeadikinyi3441 Жыл бұрын
Woooo jamani,na by the way unaweza pata ni mtu anajuwa huyo jamaa vizuri juu hawezi ingia pale kama hajui hapo
@mercymburu7163
@mercymburu7163 Жыл бұрын
Watoi wagani, I think Eric was not married
@eddahwekesa1951
@eddahwekesa1951 Жыл бұрын
Kwanza kabisa adhiambo ni nani kwa iyo nyumba 😢😢😢
@hassanyussuf7063
@hassanyussuf7063 Жыл бұрын
hyo ndio sja jua bka ssa😢
@kimorihellen7908
@kimorihellen7908 Жыл бұрын
@janetanui1988
@janetanui1988 Жыл бұрын
Ni mkuli wa mkulaji
@ednaogeto6464
@ednaogeto6464 Жыл бұрын
A very good question...it should start here.
@fridahwayua9393
@fridahwayua9393 Жыл бұрын
The effort and the courage she has if she can put it in money finding activities,,,haki angekuwa billionaire,,she is a risk taker if she can jump over an electric fence😳
@webbtz3591
@webbtz3591 Жыл бұрын
Isn't an electric fence.
@MichaelKhaemba-uh9ys
@MichaelKhaemba-uh9ys Жыл бұрын
Wakati akipambana kuruka fence ndo wange alert security haraka but they delayed so much
@thomasmarende2445
@thomasmarende2445 Жыл бұрын
Mimi sijaelewa hili tukio. Nikama naota.yani dem anajitokeza na kuua MTU , badae tunasikia ati anatafuta vyatu, uyu ni mwizi au muuaji? Anyway we leave all to almighty God who is in heaven.
@mubatsievonne4649
@mubatsievonne4649 Жыл бұрын
​@@thomasmarende2445she's both,a murderer and a thief.
@elizabethamukhale3735
@elizabethamukhale3735 Жыл бұрын
Maybe they thought she wanted to commit suicide ndio wakatake time kumbembeleza
@CleophasKoech-yi6yp
@CleophasKoech-yi6yp Жыл бұрын
​@@thomasmarende2445nikama viatu vyake vilianguka wakati alikua akichinjwa na hizo wire za fence.
@thomasmarende2445
@thomasmarende2445 Жыл бұрын
@@CleophasKoech-yi6yp anyway wacha Tu believe, Mimi tangu citizen TV iyanze porojo za abnuasi huwa siamini citizen TV news zao.
@evanswesonga5016
@evanswesonga5016 Жыл бұрын
Showing us how she escaped, how did she get in? Something left out.
@aheudit
@aheudit Жыл бұрын
' Tiger woman gachagua said there are tigers in Kenya you said it's not true, this tiger was spotted recently. Despite all it's a sad situation
@Karengakii
@Karengakii Жыл бұрын
No matter what in this life try to create a relationship with God that you may be safe in his hands, the world is fading and the life itself is not parmenent Don't forsake God for fame Remember there's death give your life to Christ and be saved God bless you.
@kaibungarose4207
@kaibungarose4207 Жыл бұрын
She is analogue, the digital world caught her
@wendie954
@wendie954 Жыл бұрын
Cctv mbona isionyeshe vile aliingia,wabanaz na ndogo ndogo😢😢😢
@halimaadan3412
@halimaadan3412 Жыл бұрын
Mauaji imekua mob huu mwaka sijui kwanini😢
@erickmanyara53
@erickmanyara53 Жыл бұрын
That is a seriously traumatized character because the behaviour clearly is daring and dangerous
@alicehappiness509
@alicehappiness509 Жыл бұрын
I hear most ppl from those areas are hardcores!
@brianonyango1687
@brianonyango1687 Жыл бұрын
That dangerous
@brianonyango1687
@brianonyango1687 Жыл бұрын
​@@alicehappiness509she is not a hardcore the evedence is overwhelming
@alexinamaina794
@alexinamaina794 Жыл бұрын
Adhiambo alikujaje kwa hiyo nyumba?..alipitia wapi akaingia kwa compound?walikuwa na uhusiano gani na mwenye? nyumba?
@NjeriLydia
@NjeriLydia Жыл бұрын
Mahali sielewi ni kama waliingia kwa hio nyumba pamoja ama?
@hassanyussuf7063
@hassanyussuf7063 Жыл бұрын
hapo ssa
@maverick_spirit
@maverick_spirit Жыл бұрын
This CCTV footage is not complete. Show also the entry of the two. And how is she really jumping over electric fence? Was it really LIVE? Traumatizing.
@davidwanyama
@davidwanyama Жыл бұрын
That's not electric fence, electric fence is thin like a thread
@milkah_george5877
@milkah_george5877 Жыл бұрын
Hii cctv inakuanga wapi wengine wakiuliwa na pesa za wananchi zikipotea,anyway,Ann ajisalimishe tu hana otherwise
@elizabethotienonyaure992
@elizabethotienonyaure992 Жыл бұрын
How did they get the name
@BeatriceKhamasi
@BeatriceKhamasi Жыл бұрын
I think there is more to this story than meets the eye. She does not seem in a rush after stabbing someone 25 times. We need CCTV showing them entering the residence as well.
@gwg216
@gwg216 Жыл бұрын
Tru hii story iko wiered sana sana..... We don't want to judge but aaaaai
@lilac8794
@lilac8794 Жыл бұрын
Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind
@yobrabrayo
@yobrabrayo Жыл бұрын
​@@lilac8794nkt
@matindepaulanne1781
@matindepaulanne1781 Жыл бұрын
​@@lilac8794 But if you leave a club with a man what do you expect... Kwanza kama umekunywa pesa zake.
@alicehappiness509
@alicehappiness509 Жыл бұрын
​@@matindepaulanne1781am asking the same question. Minor akienda clubbing is treated as a grown up.
@olivermuthoka5587
@olivermuthoka5587 6 ай бұрын
Hii case ilienda wapi
@twelve1993
@twelve1993 Жыл бұрын
People are coming up missing nowadays. Remember the NHIF lady who was shot,There was no case,no follow up... Nothing. Now a finance manager at a big hospital. Someone doesn't want something to be known.
@robinsonritho3140
@robinsonritho3140 Жыл бұрын
Funny thing despite this CCTV evidence a good lawyer can get her out if there's no direct evidence she committed the crime
@governordavid9398
@governordavid9398 Жыл бұрын
Actually it's a very easy case
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
....ehh...what other evidence do you have...?....escaping is not an offence...!!...the captors need to be jailed...!!...ni mtoto...so..afanyiwe medical check...na captors wawekewe charges sawa sawa...
@matindepaulanne1781
@matindepaulanne1781 Жыл бұрын
Everyone is innocent until proven guilty ...
@nairobski4886
@nairobski4886 Жыл бұрын
Clothes with blood stains of maigo,.knives with dna prints of ...
@beautifullyMade2024
@beautifullyMade2024 Жыл бұрын
I don't think so...DNA seems to be all over.
@kenjuma3058
@kenjuma3058 Жыл бұрын
She is so familiar in that compound from the reaction of the lady in black.
@thebold6700
@thebold6700 Жыл бұрын
I have been reading comments and I concur with you. How comes the two Househelps never regarded her as a stranger to raise the alarm. She looked someone they know well.
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
​​@@thebold6700....ehhh....the oj simpson case...they even planted a glove....and it is danstan omari...of that time mr cochran.. who found the glove could not fit..... ...ombeta and danstan need to reach this girl...for the truth to be known...whether she did it or not....server/cctv itolewe yote without editing.....anything else will be chebukati ..cherera story - opaque...with injustice cj reading scripts witten from cotu headquarters or by a thesis from non existent student at teams university (UG) - sak.aja.... ...be the salt of the earth...seek ye first the truth...and all the rest shall be added unto you...
@Sage-o4q
@Sage-o4q Жыл бұрын
Kwani ilikuaje hadi akaingia ndani kwa dr..? kuna problem somewhere walikulana au? Kamfanya nini hadi afanye hayo mauaji mabaya namna hiyo........baby girl come out useme ukweli wako.
@lilac8794
@lilac8794 Жыл бұрын
Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind
@Sage-o4q
@Sage-o4q Жыл бұрын
@@lilac8794 for sure dear, kuna kitu behind.
@PearlHeaven-vs3cu
@PearlHeaven-vs3cu Жыл бұрын
Maybe former mboch na hakulipwa
@AkinyiOuma-i5u
@AkinyiOuma-i5u Жыл бұрын
A woman climbing those fence like a spiderman is shocking. She might have gone through tough times in life,but killing a grown up man ,seams like a cover up somewhere.There is someone in the house with a white shirt how come he never botherd to come out to confront the lady jumping the wall?????
@eunicemutiso5788
@eunicemutiso5788 Жыл бұрын
Nimejikuta napasua kicheko matangani na design huu dem ameramba barbed wire na mdomo😂
@aminaanab1071
@aminaanab1071 Жыл бұрын
Very true
@phoebeadikinyi3441
@phoebeadikinyi3441 Жыл бұрын
Waah!huyu mwanamke ni genius, dealing with sitima ni kama wamecomunicate na sitima,this is serious
@tonyirimu
@tonyirimu Жыл бұрын
Were you watching with your ears closed ?
@AkinyiOuma-i5u
@AkinyiOuma-i5u Жыл бұрын
@@tonyirimu what do you mean???
@victordan9158
@victordan9158 Жыл бұрын
Hii Nairobi vitu zinaendelega usiku mungu tu anajua. ...Eish. ...
@SulaimanMohd-xl3jc
@SulaimanMohd-xl3jc Жыл бұрын
Tuonyesheni CCTV wakiengia wote kwa nyumba
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
....ehh...hapo umenena...cctv ifunguliwe yote bila editing.......bila hiyo..itabakia kua mambo ya chebukati na cherera - opaque.....
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 Жыл бұрын
This lady is worthy akiller
@shammillajibera9007
@shammillajibera9007 Жыл бұрын
Don't judge coz this story is not adding up
@moseskimanimacharia
@moseskimanimacharia Жыл бұрын
Wapi ua😂 la umeme, security hakuona damu! ama majeraha mbaya ni gani?
@petergitau1632
@petergitau1632 Жыл бұрын
uyo den aliingia vipi kwa uyo wenada zake?
@neemanyerere1939
@neemanyerere1939 Жыл бұрын
Sasa mbona hatuoni wakiingia ndani ya nyumba na huyo mubaba cctv inaonesha tu akiruka uko nje ata atujaona vile ametoka kwa hiyo nyumba mmh maswali ni mengi majibu ndo hakuna😢
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Umeonaee mtihani hizi nchizetu
@oloem268
@oloem268 Жыл бұрын
I know they will catch her soon, she has no where to hide now that she is known and she has serious injuries. On another note ,could you be doing the same with mweshimiwas , don't just be telling as that one mweshimiwa is involved in illegal gold business or wash wash and you don't give us the name or picture.
@hyrinenyagaya2527
@hyrinenyagaya2527 Жыл бұрын
Double standards on another level
@maryguya9430
@maryguya9430 Жыл бұрын
Neighbours seem to know her.. coz they should have stopped her
@susankaburu4527
@susankaburu4527 Жыл бұрын
My question to
@nataliasally
@nataliasally Жыл бұрын
Kwani hizo waya hazifanyi kazi how comes anazishika na hakuna shock
@eevansnnyongesa3343
@eevansnnyongesa3343 Жыл бұрын
Hizo naona ni maridadi tu
@danielwaita1828
@danielwaita1828 Жыл бұрын
Hizo azinanga shock😅😅 The electrified ones are different....
@deborahmoige2363
@deborahmoige2363 Жыл бұрын
Who is she to Eric?tuanzie hapo
@gwg216
@gwg216 Жыл бұрын
Yaani hii story inashangaza na inaogofywa sana pia ju huyu mtoi ilifika aje point ya kukua kwa nyumba ya huyo mtu.... Plus anakaa anajua sana vile ata move.. Move kuruka ma fence until she finally got away 😮
@jonathankisilu9021
@jonathankisilu9021 Жыл бұрын
There is a lot of missing information..whonis Adhis' to marehemu??..under 18yrs?..we are not shown how she climbed up to the top of the tank.. 🙄...Alafu kwani ye ndiye ako na hizi nguo pekee??😢..!
@brisbanesokoth5541
@brisbanesokoth5541 Жыл бұрын
Wanaume mtakufa kama hamuwezi jiheshimu na kutulia kwenu
@kauskimkulima2171
@kauskimkulima2171 Жыл бұрын
This is mama fua. Useless!
@RiskyGai
@RiskyGai Жыл бұрын
Sawa mwanamke
@alicehappiness509
@alicehappiness509 Жыл бұрын
So the lady watching her jump over that fence couldn't have raised an alarm...scream or something...even after seen her clothes stained with blood!!! Again the watchman pia couldn't notice anything??
@mercywangui835
@mercywangui835 Жыл бұрын
I wonder too,there is a lady there in the door
@kikiharry1886
@kikiharry1886 Жыл бұрын
I wonder too,.hata wapige kelele or picha in this era.. I have so many questions with just that small episode...
@jemimahmumbua6688
@jemimahmumbua6688 Жыл бұрын
1:04 kuna watu wanamchungulia kwa mlango kutoka side ya tank.mbona jawakusaidia😢😢
@puritynduku8940
@puritynduku8940 Жыл бұрын
Asking the same...apa kuna kitu tunafichwa
@vansoham930
@vansoham930 Жыл бұрын
Poleni kwa familia
@decoloniz_afro
@decoloniz_afro Жыл бұрын
That electric wire woi....she must be hurt wherever she is......but kitendo alichofanya cha. Unyama woi
@sammiebabu8550
@sammiebabu8550 Жыл бұрын
Ghaiii huyo security namjua n wa nyumbani ghaiii poleni sana
@rosekadzokillian9700
@rosekadzokillian9700 Жыл бұрын
Waah, nae anaugua hapo alipo,.... Haya atapatikana tuu.. Siku za mwizi ni 40 only
@evalynewanjiru9685
@evalynewanjiru9685 Жыл бұрын
😢hao wamama hawajiulizi mbona mtu arukie kwa ukuta kama sio mbaya🤔🤔🤔wangesema nduru
@joycemusyoka837
@joycemusyoka837 Жыл бұрын
Wanaume mtaacha kuchenzea wanawake , all the man 👞 ujifunzwe kuheshimu wemen ok , wanawake fire 🔥
@DICKSONSITATI
@DICKSONSITATI 8 ай бұрын
Kwa vifo ama
@johnoleheshima2142
@johnoleheshima2142 7 ай бұрын
You are also a killer
@lornamwavali5599
@lornamwavali5599 Жыл бұрын
Walete full video vile waliingia kwnza
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
Ohoo God. Who to trust now
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 Жыл бұрын
Aisee huyu msichana ni jambazi sugu muuaji hana hata uoga na anajua nn afanye kukimbia😢
@petermakaumutuku9150
@petermakaumutuku9150 Жыл бұрын
She is not a teenager.Hamjui sura za teenager ?.Her own mum said on NTV interview that she was born in 2003.She is 20 years old
@calvinochieng8123
@calvinochieng8123 Жыл бұрын
Damu ya binadamu huwa ni mzito sana hauezi hepa popote dunia hii,
@brianonyango1687
@brianonyango1687 Жыл бұрын
Thatts a. Dangerous woman
@DeejeyNayak
@DeejeyNayak 6 ай бұрын
tupee ukweli
@neriousjellagat4306
@neriousjellagat4306 Жыл бұрын
Sasa huyu si angewatch Kwanza how to get away with murder
@KwituRanch
@KwituRanch Жыл бұрын
1:43 pray for kenya😢😢
@terrywatahi1203
@terrywatahi1203 Жыл бұрын
She's now regretting her deeds 😢😢
@VictoriaVata
@VictoriaVata Жыл бұрын
Aim y kumuua ilikua gani?
@vugutsadickson487
@vugutsadickson487 Жыл бұрын
Kwani hukukuwa na mtu kwa hiyo boma? Na mfanyikazi alikuwa anamwambia ashuke kwani wanakuana, mbona hakumuuliza we ni nani? Na kwani aliingilia wapi? Na kwani Eric hakupiga nduru hata akidungwa kisu? Na mshukukiwa kwani hakukuwa na damu yeyote kwa nguo zake?
@jacklinemaravi8688
@jacklinemaravi8688 Жыл бұрын
Woi.poleni kwa familia..😭😭😭😭😭😭
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Sijaona nyaya za umeme bali za nyembe au nyaya wembe
@Victor-qu5nz
@Victor-qu5nz Жыл бұрын
Why???
@cosytvkenya3232
@cosytvkenya3232 Жыл бұрын
Pple will go for any job offer that will make better life . No tym to calculate the results of of it as long as it's a good deal
@judahwillgofirst7964
@judahwillgofirst7964 Жыл бұрын
I'm sure angekuwa mkikuyu, angekuwa judged hata kama her side of the story haijaskika,, anyway let's hope, polisi watajua what happened.
@Eddyke
@Eddyke Жыл бұрын
Wakikuyu wako na historia mbaya
@missc5119
@missc5119 Жыл бұрын
@@Eddykewell as you can see si mkikuyu.its funny everyone is she is a victim innocent until proven guilty. Yeah the same way you judged all the others with no evidence of doing the deed the same way we are judging her
@Eddyke
@Eddyke Жыл бұрын
@@missc5119 we judge her peke yako... Don't bring tribalism here... they's no wey this girl climbed those walls just for money. She was hurting
@emilysawayi5787
@emilysawayi5787 Жыл бұрын
A killer remains a killer
@elizabethmwende9353
@elizabethmwende9353 Жыл бұрын
😮😮😮😮kwani alitoana wapi na underage? Second question was he drunk? Ama alidungwaje visu 25 am still wondering 🤔
@reggie-n
@reggie-n Жыл бұрын
Innocent until proven guilty .I can't judge her negatively before listening her side of the story.
@samsonmburu9940
@samsonmburu9940 Жыл бұрын
You can as well defend her.
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
...ehh....well said....she does not look a killer... ...the other ppl in that apartment didnt seem suprised seeing the girl climbing the wall.... .....my premature judgement...she is the victim..
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Shaitwani wewe!
@RuweidaMacool
@RuweidaMacool Жыл бұрын
​@@peterkariuki9073😂😂😂
@lilac8794
@lilac8794 Жыл бұрын
Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind
@paulkhisa5137
@paulkhisa5137 Жыл бұрын
Even if she ran away Bible say, The men who have buried Maigo are now at the door. Acts 5:9
@jembekali5928
@jembekali5928 Жыл бұрын
Hahaha..... smells like a cover up... clothes are conveniently displayed and pictured as if in a shop, the investigation focuses on her escape (via CCTV) but nothing about their entry into the compound. The name of the suspect is known but you give an age range. Since the suspect in question is a minor, it introduces a technicality. By the way, while the suspect is struggling to jump over the wall, there is one person visibly seen through the window of the building - how come they don't notice any unusual activity outside and raise an alarm? One could ask a million questions but this feels like the usual circus prepared for a gullible public. The answer to this gruesome murder lies somewhere else - his workplace.
@Simba_tano
@Simba_tano Жыл бұрын
You missed the river by a boat. The ladies seen are in the neighboring compound to Eric after the murderer jumped over. Second, it's 6:25am and seeing a lady up and about in a compound of several tenants, you cant raise alarm unlike seeing a dude.
@bettywabuko5071
@bettywabuko5071 Жыл бұрын
Haijulikani penye alielekea, na nguo zilipatikana kwa nyumba yake?
@oloem268
@oloem268 Жыл бұрын
I don't agree with you on some but on that cctv issue I do. There should be a video of them walking in together.
@ericmatheri9394
@ericmatheri9394 Жыл бұрын
Also am also asking myself the same question, whom did he enter with in the house? Which was his house? or is this a different compound that the suspect entered in a bid to escape? Only DCI will unravel the mystery.
@kauskimkulima2171
@kauskimkulima2171 Жыл бұрын
If there is no CCTV it doesn't mean it is a cover up
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Жыл бұрын
Dunia simama ni shuke 😭😭😭
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
Na ilikua bado ni mapema kwani wapangaji wengine walikua wameenda wapi? Mpaka washukiwa watekeleze mauwaji na wapate nafasi ya kutoroka tena kwa kuruka fence yenye ni electric. Na walizimia wapi stima ndio waruke bila wapangaji wengine wasijue? Ikiwa walichukua mda wa kutoroka
@drogbake4190
@drogbake4190 Жыл бұрын
If daring was a person 😢
@richardmungori7197
@richardmungori7197 Жыл бұрын
Huyu alilipwa kumuwa huyu Maiyu lakini hiyo pesa hatakula kwa amani,aliyeuwa kwa upanga atakufa kwa upanga, maanake ashapatikana wacha haki ya mwendazake ionekane.
@cashauto3349
@cashauto3349 Жыл бұрын
you are deluded
@Eddyke
@Eddyke Жыл бұрын
Wewe huna akili .....this is obviously a ln affair
@oneonone8198
@oneonone8198 Жыл бұрын
Wewe punguza mdomo how sure are you eti ni yeye alifanya hicho kitendo
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
....ehh....jamaa alikua na deals...or...mambo ingine....huyo mtoto inaonekana alidhulumiwa..au...alikua the wrong place with the wrong person....cctv yote itolewe...bila editing...
@godsfavour1603
@godsfavour1603 Жыл бұрын
@@qrankmw. exactly,she was in a place at the wrong time,unless she found him dead and was afraid to be cought ikabdi ajitoe..if she was the killer why can't the cctv show us if they entered the house together?
@evalindama9710
@evalindama9710 Жыл бұрын
Huyu ni hatari kwa usalama alifaa aende aibe kwa bank instead ya kuua
@morinemuonja3382
@morinemuonja3382 Жыл бұрын
Waah na vile naogopa stima na mtu anapanda ata akishika izo wire
@akinyiokeyo4618
@akinyiokeyo4618 Жыл бұрын
It is a difficult one to decipher...but one thing is for sure,kama there was a payment agreement after a service which was not honoured,such can occur....just my two cent worth if opinion,sad though...
@allanngugi7664
@allanngugi7664 Жыл бұрын
Pay for services , some people desperately need the money .
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
....ehh...she doesnt seem okay... .....she does not seem desperate to get away... ...she looks like someone who has managed to get away from her captors...or getting away from something she didnt expect.... ...i could be wrong...but...she will say much if given protection..... ....i would be more worried about what goes on in those apartments....
@anneekiru5071
@anneekiru5071 Жыл бұрын
Her clothes were found soaked in blood. She was in approved school. I see a daring person who doesn't fear to jump over and get injured. Off course there may be accomplices
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
​@@anneekiru5071....ehh...cctv yote itolewe....also...hiyo ploti ina mambo....huyo kuruka haikustua sana aliyetokea...mwingine alionekana dirishani kwake akiendelea na mambo zake...hiyo ploti kuna mambo zisizo za kawaida.....
@godsfavour1603
@godsfavour1603 Жыл бұрын
@@anneekiru5071 wait how many cloths did she have?if they found her cloths in socked blood how come she was seen with the same cloths jumping the fence 🤔🤔🤔 this does not add up
@anneekiru5071
@anneekiru5071 Жыл бұрын
@@godsfavour1603 she removed them. They were found where she lives. What kind of children are taken to Approved School? Anzia hapo
@qrankmw.
@qrankmw. Жыл бұрын
​@@anneekiru5071...ehh..jamaa alipokua akifanya kazi pia kuna pesa zinapitia.....pesa nyingi..... ..wenye tamaa ya pesa...wengine wako na pesa .....na wenye tamaa ni wengi ....
@ag-tm7je
@ag-tm7je Жыл бұрын
Na si kunaonekana kulikuwa na watu hakuna aliye notice Kuna kitu imefanyika
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
Ingekua ni mombasa angechangamkiwa
@leochemkoros1595
@leochemkoros1595 Жыл бұрын
Wondering too. May be she is not the murderer. May be she witnessed the murder and was running away. May be the guy did something bad to her???????????????
@vugutsadickson487
@vugutsadickson487 Жыл бұрын
Kumbe hiyo wire haikuangi na shock🤔
@alicehappiness509
@alicehappiness509 Жыл бұрын
Those saying the man assaulted the lady....am here wondering,the so called *minor* was out Partying at night,goes home to a *grown man's* house expecting candy!!!
@roziialex
@roziialex Жыл бұрын
Huyu dam ninani kwa hiyo nyumba.labda ata siyeye aliuana.kuna maswali mob sana ..nakaa hakuonekana akiuana..itabidi wafanye kazi kubwa sana ...kujua nani alifanya hicho kitendo.....mungu asaindiye ukweli ujulikane aki
@CleophasKoech-yi6yp
@CleophasKoech-yi6yp Жыл бұрын
Ndio inafaa akamatwe illi asaidie police kwa uchunguzi
@christinemoraa8497
@christinemoraa8497 Жыл бұрын
How come hakupigwa shock ama ni mfano tu wa fence
@shawakc7125
@shawakc7125 Жыл бұрын
what have I just watched wooi
@bjzee1981
@bjzee1981 Жыл бұрын
wanaume tulieni na mwanamke moja. Haya yote ni wivu wa mapenzi. But ujinga gani kwenye dunia hii ya sasa ya cameras kufanya ushenzi huu
@stellawambua3489
@stellawambua3489 Жыл бұрын
Hawaskiagi
@puritymutheu1237
@puritymutheu1237 Жыл бұрын
What can I comment now?
@tomcalvinceKeTv.
@tomcalvinceKeTv. Жыл бұрын
The world is coming to an end, Jesus come take as home😭
@tonyirimu
@tonyirimu Жыл бұрын
Wewe enda kama uko na haraka.
@tomcalvinceKeTv.
@tomcalvinceKeTv. Жыл бұрын
@@tonyirimu😂😂
@MercyWangariNjeri
@MercyWangariNjeri Жыл бұрын
@tonyirimu 😂😂😂😂
@cindyrobins8257
@cindyrobins8257 Жыл бұрын
Huyu ni kama alitumwa auwe
@millicentjepkemboi5476
@millicentjepkemboi5476 Жыл бұрын
I think that gal is a maid there she is not a killer maybe she was running away from her bosses coz the pupil i think know her the other maids knows her so kuna kauongo ati aliua mtu no
@risukiart4615
@risukiart4615 Жыл бұрын
hao ndiyo wanawake wa kenya wana roho ngumu
@faithpius6401
@faithpius6401 Ай бұрын
Huyu mwanamke sijui nguvu yuatoa wapi..kweli shetani ni mwalimu
@peterirungu5020
@peterirungu5020 Жыл бұрын
AFTER WANAWAKE NO 2 OGOPA CCTV DAH 🤣🤣🤣🤣🤣
@nellynaliaka6039
@nellynaliaka6039 Жыл бұрын
Hao wa mama mbona wanaangalia tu na hizo wire si za stima
@RehemaAthman-r9h
@RehemaAthman-r9h Жыл бұрын
So the CCTV dint record her getting in but only getting out.. n this CCTV also cannot show us the door for the decease... okay.... maybe it has selective amnesia
@maureenmbiroh7193
@maureenmbiroh7193 Жыл бұрын
😂😂😂
@maureenmbiroh7193
@maureenmbiroh7193 Жыл бұрын
I want to see Adhiambo getting out of the house,
@WENSLOUSSEME
@WENSLOUSSEME Жыл бұрын
nice one
@swts4k
@swts4k Жыл бұрын
Ama alikua anamfulia nguo 5am na hakulipwa?
@gracenzomo9386
@gracenzomo9386 Жыл бұрын
Funny 😂
@ChildLeba
@ChildLeba Жыл бұрын
Tuonyeshe akiingia kwa nyumba acheni hii ufala
@pabloesc7755
@pabloesc7755 Жыл бұрын
Yaani wanatazama mtu akiruka fences bila kuchukua hatua kali kama vile kumkatakata kwa mapanga na kisha waite polisi.....nkt!
@happytimes9747
@happytimes9747 Жыл бұрын
Hiyo bila shaka ni love story ukiona mwanamke anaruka wire disgn hiyo si bure enyewe aliraruliwa kweli kweli😢😢😢
@DANIELMACHARIA-d5y
@DANIELMACHARIA-d5y Жыл бұрын
Cctv must show Maigo and her before also
@faithpius6401
@faithpius6401 Ай бұрын
Kwan waya..haikua na moto jameni🤔
INSIDE KAMITI 'CALL CENTRE' | How inmates mint 'millions' from con calls
22:22
Mfanyabiashara apoteza pesa baada ya kutoka benki
3:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 47 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 12 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 41 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
| MAKASISI WABAKAJI | Wasichana wakiri kubakwa na makasisi
16:12
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,7 МЛН
Arafat Manyoka afuga nyoka na mamba kama walinzi wa boma lake Ukunda
5:36
Polisi Kilimani wanamzuiliwa mshukiwa kwa tuhuma za ubakaji
2:48
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 19 М.
Black Woman Humbles Man On Pop The Balloon After Taking Wig Off
14:31
TheChitChatCorner
Рет қаралды 301 М.
Masimulizi ya Birdman
14:31
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 401 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН